Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...
Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂
From kenya connected by madam ❤❤Aisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wa kwanza comment naomba like zangu jaman
Wapili 2❤
Nakubali Mwanetu wa mchele jogoo
Mzee wa kabinyau...naenjoy sana kumsikiliza mwamba. Mpee gwara sana mzee wa mbanga
safi sana hii programme na mpo very creative mlivyofanya kwenye mazingira kama hayo na yapo reality
Oy napenda San stail yak mwan nakukubali San pamoj sn ❤
Namskia princ Balozi 🇨🇦
Ametisha sana balozi ni mtu Kweli Kweli Tupo uk 🇬🇧 big love
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761
Appreciate the lessons coming out of this. 🇰🇪
Mama Samia huyo mtu mchukue mpachike katika pozisheni yoyote Ata katika kualimisha vijana🇹🇿🇬🇷✊👊
Mzee wa kabinyau😂😂😂👊🏽👊🏽
Experience yko bro imenifunza mengi✌️
Msosi mzuri du!
Aloo kama movie mtupe ktk kuigiza filamu
Naked truth 👏
mchizi achoshi kusikiliza
Naimpenda sana
😂😂😂 sina mengi ya kusema ila na enjoy sana kumsikiliza huyu mwamba
Kabinyauuu mnyamweziii sana
Tupo pamoja dupa 🇧🇷🇧🇷✌️
Oy mmb vp samhn San ningeomba sku moja uyo mzee niongee nae man namkubali San tn San mzee wa kokoriko
Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...
Eeeeh na ndio maana bwana putin yatakuyaondoa
Ndio maana yake watu wa magharibi hawafai
Ulaya ulaya tu
Uswazi raha sana hata buku 5 haijaisha
Kabinyau jamaa wa kokoliko,leo anapiga chapati tatu na nyama,umetisha sana
Kabu nyau, Mzee wa Wali jogoo😂
Huyu jamaa hata kuingiza anaweza mpelekeni kwenye jua Kali huyo Yuko vzur
Kweli kabisa Mkuu!! una uwezo mkubwa sana wa kubaini Vipaji .....
Mzee wa wali sondo
Akah huyo muuza supu anavyojiamin mikono kushika nyama😂
jaama khb2
Kipindi kizuli sanaa
Woyoooo
Kabunyau
Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂
Zee la mchele jogo 😂
Balozi mastori hayaishi
Mzee mwakudonyoa
Mzee wakokoliko
Magira ....