Amina.mchungaji nimesikiliza haya mafundisho nimepata faida kubwa na majibu ya maswali yangu ,lakini pia umenisaidia sana kutambua maana ya nini nifanye
Hongera sana. Pia unaweza ukasikiliza pia na hayo mengine ya namna ya kumkomboa mzaliwa wa kwanza. Nayo pia yatafanyika baraka kwako. Kama yalivyofanyika baraka kwako unaweza ukawashirikisha na wengine baraka hii. Mungu na azidi kukuimarisha.
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
KANISA LA THLIC- MAKIMBILIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM. KWA MSAADA WA KIUSHAURI, MAOMBEZI PAMOJA NA MSAADA WOWOTE WA KIROHO KUANZIA KATIKA HAYA MAFUNDISHO ULIYOYASIKIA, WAWEZA KUWASILIANA NASI KWA WATSAPU NO +255 755 021 008 WEWE NI WATHAMANI MNOO MBELE ZA MUNGU KWA KUZAWADIWA MAARIFA HAYA.. BARIKIWA SANA
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Rumi 8:29 yesu ndie mzaliwa wa kwanza kila aaminie huhesabiwa haki yesu pekee ndie lango ukimwangalia yesu utabalikiwa hakunaga malango ya wanadamu hakuna binadamu anaeleta kitu cha kiungu kwako hivyo nawashauli wanafamilia wamwamini yesu ili wapokee ahadi ya mzaliwa wa kwanza yesu
Asante kwa mchango wako. Lakini si vema sana kutumia falsafa binafsi kulifasiri andiko. Katika ufalme wa Mungu Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza, na katika familia yako huenda kaka/dada yako au wewe ndiye mzaliwa wa kwanza.
Amina.mchungaji nimesikiliza haya mafundisho nimepata faida kubwa na majibu ya maswali yangu ,lakini pia umenisaidia sana kutambua maana ya nini nifanye
Hongera sana. Pia unaweza ukasikiliza pia na hayo mengine ya namna ya kumkomboa mzaliwa wa kwanza. Nayo pia yatafanyika baraka kwako. Kama yalivyofanyika baraka kwako unaweza ukawashirikisha na wengine baraka hii. Mungu na azidi kukuimarisha.
Shalom Shalom..Kama umefanikiwa kusikiliza haya MAHUBIRI usikose Mwendelezo wake wa namna ya kumkomboa mzaliwa wako wa kwanza/ Malimbuko
Amen Amen mafundisho mazur
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
Mim ni mzaliwa wa kwanza Mungu naomba uifungue nyota yangu kutoka mikononi mwa adui 😭😭😭🙌
Kama utafanikiwa kuyaelewa mafundisho haya basi natumai yatakupeleka kwenye mchakato wa kufanyia kazi yale ulivyojifunza. Be blessed in Jesus name.
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
KANISA LA THLIC- MAKIMBILIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM.
KWA MSAADA WA KIUSHAURI, MAOMBEZI PAMOJA NA MSAADA WOWOTE WA KIROHO KUANZIA KATIKA HAYA MAFUNDISHO ULIYOYASIKIA, WAWEZA KUWASILIANA NASI KWA WATSAPU NO +255 755 021 008
WEWE NI WATHAMANI MNOO MBELE ZA MUNGU KWA KUZAWADIWA MAARIFA HAYA..
BARIKIWA SANA
Amen Mtumishi wa Mungu nabarikuwa sana 🙏🙏 Mungu akuinue zaidi 🙏🙏
Hakika tumefunguliwa kwa neno hili na mioyo yetu imejua kweli ya Mungu
Ayubu 3:3
🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
1korontho15: .yeremia 1:4-5
Kutoka 12:2
Mwanzo 35:23
Mwanzo :38:7
Amen 🙏
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
Rumi 8:29 yesu ndie mzaliwa wa kwanza kila aaminie huhesabiwa haki yesu pekee ndie lango ukimwangalia yesu utabalikiwa hakunaga malango ya wanadamu hakuna binadamu anaeleta kitu cha kiungu kwako hivyo nawashauli wanafamilia wamwamini yesu ili wapokee ahadi ya mzaliwa wa kwanza yesu
Asante kwa mchango wako. Lakini si vema sana kutumia falsafa binafsi kulifasiri andiko. Katika ufalme wa Mungu Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza, na katika familia yako huenda kaka/dada yako au wewe ndiye mzaliwa wa kwanza.
Kutoka 11-5