BANDA BORA LA KUKU CHOTARA | KIENYEJI, FUGA KUKU WENGI KWENYE ENEO DOGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Banda bora la kuku chotara na kuku wa kienyeji.
    Fuga kuku wengi kwenye eneo dogo kwa ubunifu wa banda la juu.
    Ubunifu kwenye ujenzi wa banda la kuku ni muhimu sana ili uweze kufuga kuku wengi hata kama una eneo dogo.
    Banda hilo unaweza kufugia kuku wa aina yeyote, kuku wa kienyeji, chotara na kuku wa mayai.

КОМЕНТАРІ • 175

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  4 роки тому +5

    Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 ua-cam.com/video/0XmXo-8o5DY/v-deo.html

    • @martinmakundi7134
      @martinmakundi7134 4 роки тому +1

      naaza aje kufuga kuku

    • @julianmsaki7012
      @julianmsaki7012 3 роки тому

      Naomba Sana sijuwi unapatikana wapi naomba Sana niwahsap au unipigie

    • @AbubakarFakii-en9ic
      @AbubakarFakii-en9ic 5 місяців тому

      A.A.Habari ya leo kaka.Mimi nilikua nàtaka kutengezewa banda kama hiyo lako lakini Niko mbali Mombasa Kenya.

  • @nakurucyber617
    @nakurucyber617 2 роки тому +1

    eeish ...mko fiti wazito... nisha get ideas za kujenga keja za kuku...asanteni sana...big love from kenya..

  • @kingdaddydesign8426
    @kingdaddydesign8426 4 роки тому +3

    kwa kweli, hongera sana, huu ndio ubunifu unaohitajika. safi sana, nimependa hii idea, iko vizuri sana. lakin napenda kuuliza swali, vipi kuhusu suala la hewa safi kuingia na hewa chafu kutoka kwenye banda, nilitarajia kuona madirisha makubwa ya kuingiza hewa safi na kuondoa hewa chafu. ahsante

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 4 роки тому +2

    Mh kitaalamu hapo ni rahisi sana magonjwa ya kuambukiza kaa njia ya hewa kuingia maaana hewa ni ndogo

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 3 роки тому

    Napenda. San. Ufugaj. Wa. Kuku. Basi. Nina endereya. Kujifunza🇧🇮♥️

  • @salumjuma2983
    @salumjuma2983 4 роки тому +1

    Maaanshaallah. Mapambano yako yana manfaa. Allah akujalie afya na maarifa zaidi. Nimeelimika kiasi.

  • @franceanna5608
    @franceanna5608 4 роки тому +1

    Ndugu zangu hii kazi ya ufugaji ni nzur ilimrad tu ukiweka nia

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 роки тому +1

    Brother uko vizuri nimefulaishwa Sana takutafuta

  • @tonnynyokori7618
    @tonnynyokori7618 Рік тому

    Nimependa Sana .....vyote ....ulivyotuandalia ...naitaji mawaidha zaidi ....

  • @rsllife9004
    @rsllife9004 Рік тому

    Look great video and good information

  • @lilianlawuo4731
    @lilianlawuo4731 2 роки тому

    Nakupataje.... Nataka unidizaidie banda

  • @abdonbusega7911
    @abdonbusega7911 5 років тому +2

    Nzur bro

  • @kakasmarta9503
    @kakasmarta9503 3 роки тому

    Niko Kenya kazi nzuri ndugu

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 4 роки тому +1

    Hongera sana kwa ubunifu wako

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 років тому +1

    Mashaallah nimkenya ninatamani sna kufunga

  • @neriacharles955
    @neriacharles955 4 роки тому +1

    Asante kwa somo zuri. Nahitaji kutengenezewa banda km hilo

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому +1

      Wasiliana naye, namba zake ziko kwenye video

  • @polytarimo324
    @polytarimo324 4 роки тому +2

    Ningekuwa karibu ningekuja kukutembelea, ila naomba unisaidie hili je unawezaje kuuweka huo mfumo wa yai litagwe mwishoni mwa Banda then liserereke hadi nje na kutoka likiwa safi kabisa

  • @fadhilisawe434
    @fadhilisawe434 4 роки тому

    asante sana una roho nzuri, na utafika mbali

  • @alleblue
    @alleblue 4 роки тому +1

    Great video and information..salamu kutoka kenya...

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 5 років тому +3

    asante kwa kutupatia mautundu juu ya ujenzi wa cage yetu ya kibongo.

  • @jeplekutto3517
    @jeplekutto3517 6 місяців тому

    Hongera Sana Kaka

  • @suleimankhalfan8542
    @suleimankhalfan8542 5 років тому +2

    Nimelipenda

  • @josphatakama4625
    @josphatakama4625 4 роки тому +1

    Baba unaweza

  • @leonidajones1749
    @leonidajones1749 4 роки тому +1

    Hongera sana sana.

  • @bambabamba3239
    @bambabamba3239 4 роки тому +2

    Ma challah 👍👍👍

  • @alexmtemi382
    @alexmtemi382 5 років тому +4

    Good things bro 🙏

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 4 роки тому +2

    Nimekusoma sana kaka, umeeleza vizuri sana kuhusu suala la kufuga katika eneo dogo. nimepata hamasa ya kufuga katika eneo langu dogo.

  • @EmmanuelKawawa
    @EmmanuelKawawa 2 місяці тому

    Asante sana

  • @ramakheri9824
    @ramakheri9824 5 років тому +1

    Kazi safi bro,ongera sna

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 4 роки тому

    Nimeipendaaa sanaa hii

  • @allynguvumali4741
    @allynguvumali4741 5 років тому +3

    Haya maisha kama masiala we Fanya tu kuna watu hawana utani na maisha

  • @isaiahkibiwott6596
    @isaiahkibiwott6596 3 роки тому

    Hongera Sana

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 2 роки тому

    Nimekupenda bure bro

  • @wilckstenyaboke7829
    @wilckstenyaboke7829 4 роки тому +1

    Asante br pia nintakutafuta

  • @nurumdugo8325
    @nurumdugo8325 3 роки тому

    Umeniihamasisha sana suala la ufugaji wa kuku katika eneo dogo

  • @zziwasamuel8791
    @zziwasamuel8791 Рік тому

    Good work

  • @veronicawambui1618
    @veronicawambui1618 4 роки тому +1

    Asante kwa mafunzo mazuri

  • @judithiwakaroyo8694
    @judithiwakaroyo8694 5 років тому +1

    Asante Sana nashkuru najifunza kila cku ninapenda Sana kufuga kuku nawashukuru Sana Changamkia Fursa kwaelimu nikiwa tayari kuanza nitawatafuta Kwa elimu Zaid

  • @salutarym4920
    @salutarym4920 5 років тому +1

    I like that....

  • @jereannpoultryfarm-bometmu1594
    @jereannpoultryfarm-bometmu1594 2 роки тому

    GOOD

  • @feysalmb9167
    @feysalmb9167 4 роки тому +1

    Hiyo ni jela ya kuku

  • @masheneneluhumbika8668
    @masheneneluhumbika8668 4 роки тому

    Safi sana asee

  • @angelasudi710
    @angelasudi710 5 років тому +2

    Very good 👌

  • @stephenmwangi3245
    @stephenmwangi3245 3 роки тому

    This is very good, job well done

  • @shariftwahir8493
    @shariftwahir8493 2 роки тому

    Ao kuku wa kienyeji au chotara

  • @manaseelias2351
    @manaseelias2351 4 роки тому +1

    Umenihamasisha asante

  • @magariabdallah8066
    @magariabdallah8066 9 днів тому

    Upo msasani seheni gani naitaji kufika kujifunza zaidi

  • @superarts3334
    @superarts3334 3 роки тому

    Very educative

  • @magrethbruno1857
    @magrethbruno1857 5 років тому +2

    Nice

  • @PeterWere-uz1xx
    @PeterWere-uz1xx Рік тому

    Kuku kienyeji ya siku moja ni pesa ngapi

  • @victormambasa4735
    @victormambasa4735 5 років тому +3

    nimejifunza kitu, jamaa nimemkubali

  • @sheiladayo3462
    @sheiladayo3462 3 роки тому

    Zuri sana

  • @boniphacekamuli9241
    @boniphacekamuli9241 Рік тому

    Vp kuusu jua maana kuku anahitaji jua

  • @akhamis9861
    @akhamis9861 5 років тому +4

    Nzuri sana. What about kutembea tembea, mazoezi hawahitaji?

    • @rosepaul7901
      @rosepaul7901 2 роки тому

      Sa mazoezi ya nn wkt hawa kuku hawana kitambi na uzito mkubwa kwa kuku ndo unatakiwa soko linakuwa zuri zaidi unauza kwa bei utakayo wewe na siyo mnujuzi atakaye😃

  • @pranavkro9212
    @pranavkro9212 4 роки тому +1

    I like Very much your poultry farm house design. But you didn't show properly all the house design and room

  • @gladymwaipopo5002
    @gladymwaipopo5002 3 роки тому

    Umetumia sh. Ngapi kutengeneza CAGE

  • @ramzanshamsu2948
    @ramzanshamsu2948 3 роки тому

    Habari kaka office zako zipo wapo nataka kufika na kupata ushauri afu naomba mawasiliano

  • @lilianlawuo4731
    @lilianlawuo4731 2 роки тому

    Niko Kibaha... Naomba mawasiliano pls... Nataka unifanyie hay mabaanda

  • @kismakoita7887
    @kismakoita7887 2 роки тому

    J'aim beaucoup c'est que vous faites, mai je ne comprends pas là langue

  • @godfreydaniel8190
    @godfreydaniel8190 2 роки тому

    Naomba kujiunga na kikundi cha furusa

  • @nganga-the_scientist
    @nganga-the_scientist 3 місяці тому

    Inagharimu pesa mingi kujenga

  • @lawrencetesha5936
    @lawrencetesha5936 5 років тому

    Mwanga wa jua vp

  • @tadeikomba2784
    @tadeikomba2784 2 роки тому

    Nataka kuku wa malawiii msaada jaman

  • @florencelunani5403
    @florencelunani5403 4 роки тому +1

    Asante bro, tufunze jinsi ya kujenga ili kurahisisha kuchukua mayai

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 5 років тому +1

    Very nice

  • @nackymziray3787
    @nackymziray3787 3 роки тому

    Nime kukubali jamani ,sijui uko wapi maana banda nimelipenda

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023 2 роки тому

    Kazi zuri sisi tuko Congo rdc kuku tu ta panta n'a muna gan?i

  • @gladyssimiyu6134
    @gladyssimiyu6134 4 роки тому

    Niko Kenya unawezakujakunijengea banda

  • @luqmankassim6102
    @luqmankassim6102 3 роки тому

    Kwa majina kamili naitwa Luqman Kassim kutoka inchini Kenya. Nimependa sana mradi wenu wa kuku naomba sana kujiunga na nyinyi kwenye ufugaji wa kuku

  • @delphinmalupenga8148
    @delphinmalupenga8148 2 роки тому +1

    Bonjour grand frère je suis en RDC je suis passionné de faire l'aviculture mais je n'ai pas d'expérience puis je avoir une formation ?

  • @sethmwahalega5155
    @sethmwahalega5155 2 роки тому

    Uko vizuri nimependa Banda lako bei Gani?

  • @abdallasalim324
    @abdallasalim324 4 роки тому

    Ok nimekupata vzr ndg, je hilo banda lako la ukubwa wa chumba kimoja, ambcho umeweza kuku 90,,limegharim shilingi ngapi, ?

  • @user-vx3iy9gj1g
    @user-vx3iy9gj1g 8 місяців тому

    Nzuri kupata uzoefu kutoka Kwa mfugaji

  • @margueritnyingani8844
    @margueritnyingani8844 5 років тому +2

    Thanks for sharing am in Kenya will you come to design it for me? I love it

  • @furahamuywanga2427
    @furahamuywanga2427 3 роки тому

    Nimejenga, na nimeshaweka kuku, mtihani kuku wanataga, ila sijui yupi anayestahili kulalia maana sielewi anayetaga, naomba nijibu

  • @euniceochieng6478
    @euniceochieng6478 3 роки тому

    Uko na mafunzo mazuri.Unapatikana wapi.nahitaji kujengewa nyumba ya kuku. huko Kisumu, lakini niko Nairobi ,Kenya

  • @samuelonchiri8960
    @samuelonchiri8960 5 років тому +1

    Thanks bro.Nataka kuanza na chache kama tano hivi for a trial can u help plz

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 роки тому

    Naomba mawasiliano ya mtaalam

  • @henrynyabuto4892
    @henrynyabuto4892 4 роки тому +2

    Hiyo nyavu ndogo iko na kipimo gani(shimo) na iunapatikana kwa hardware?

  • @judymwangi3993
    @judymwangi3993 Рік тому

    Elezea Banda Hilo la kukusanya mayai

  • @dastanidanis8742
    @dastanidanis8742 4 роки тому

    nzr

  • @deogodi1655
    @deogodi1655 2 роки тому

    iyo ya kuzuia kinyesi kisiende ameeka nini kaka

  • @johnjm3858
    @johnjm3858 4 роки тому +1

    Naomba namba yako ndugu, wewe ni mwl mzuri

  • @eugenetv6881
    @eugenetv6881 2 роки тому

    Kwan ako apa Kenya 🇰🇪 am????

  • @rashidiwewendioutoshaemung7392
    @rashidiwewendioutoshaemung7392 3 роки тому

    Kwahio hawalalii

  • @petermumo9251
    @petermumo9251 7 місяців тому

    Mm nataka kufunga kuku wa mayai!! Je inachukua miezi gapi ndio waannze kutaga mayai? Alfu niwe na kama pesa gapi ya kuanxia? Naomba usaidizi broo

  • @veronicahmatara5695
    @veronicahmatara5695 4 роки тому

    I will like to meet you Plz tell me how?

  • @justusobara1458
    @justusobara1458 3 роки тому

    Hi Kaka,,hope uko sawa but nimefurahishwa na kazi yako

  • @tukaeamani7090
    @tukaeamani7090 2 роки тому

    Banda kama hilo gharama yake ni shilingi ngapi

  • @khadijasegumba8898
    @khadijasegumba8898 Місяць тому

    Nimependa hilo banda nitampata wapi mjenzi?

  • @josephsilem7239
    @josephsilem7239 3 роки тому

    Kaka hakika nimekuelewa tena Sana ila kwa namna mayai yanavyokuja mbele kutoka yanapotagiwa sijajua umepadisainije hapo

  • @emmanueleddiemwamakula3398
    @emmanueleddiemwamakula3398 5 років тому +1

    Hongera kwa ubunifu huu naamini hutatua changamoto kwa wafugaji wenye maeneo madogo, naomba kuuliza kuhusu eneo la kucheza kwa kuku limezingatiwa hapa?

  • @rosepaul7901
    @rosepaul7901 2 роки тому

    Hili banda limegharimu kiadi gani cha pesa?

  • @user-xp2ti2lx1y
    @user-xp2ti2lx1y 2 роки тому

    Unaweza ukaweka kuku juu na sungura chini?

  • @samwelmuhere2807
    @samwelmuhere2807 Рік тому

    Naweza aje kupata namba yako

  • @nganga-the_scientist
    @nganga-the_scientist 3 місяці тому

    Je mtu akitaka kununua kuku anakupata wapi ama mnafanya delivery?

  • @fitwamnilnurd1913
    @fitwamnilnurd1913 2 роки тому

    Kaka naomba msaada wako nahitaji kuanza kufunga kuku je Banda natakiwa kujenga la aina gani uchumi wangu ni mdogo

  • @lusum2442
    @lusum2442 4 роки тому

    Hupatikani kwenye namba zako ulizotuonyesha

  • @furahamuywanga2427
    @furahamuywanga2427 3 роки тому

    Kuku akitaga mayai, akianza kulalia utajuaje?

  • @anyangograce1465
    @anyangograce1465 5 років тому +2

    Mm niko ukonga napataje no yk kwa ushauri zaidi?nataka nifuge ikiwezekana nisaidie no yk nikupigie au nije kabisa nione