BANDA LA KUKU WA KIENYEJI | CHOTARA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2019
  • Banda la kuku wa kienyeji
    Ubunifu kwenye ujenzi wa banda la kuku wa kienyeji ni kitu muhimu sana kama unataka kufanikiwa kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji.
    ujenzi wa banda bora la kuku utakusaidia mfugaji wa kuku kupunguza changamoto mbalimbali za magonjwa yanayo sababishwa na bakteria wanaotokana na uchafu bandani.
    Jifunze jinsi ya kujenga banda bora la kuku wa kienyeji, chotara na kisasa kupitia changamkia fursa Tv ili kupunguza changamoto za magonjwa.
    usisahau ku - subscribers, like na ku - share video hii
    #bandalakukuwakienyeji

КОМЕНТАРІ • 65

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  4 роки тому +2

    Ujenzi wa banda bora la kuku chotara 👉 ua-cam.com/video/0XmXo-8o5DY/v-deo.html

  • @samsonharerimana3048
    @samsonharerimana3048 4 роки тому +2

    Jambo saana,
    Mimi naitwa Samson kutoka Burundi; na fuata bipindi vyenu kupitia mtandao nashukulu saana kwa mafundisho yenu.
    mimi ni na mladhi wa kufuga kuku wa kisasa lakini ninacho itaji ni uwonozaji na ushauli wenu wa kujenga banda la kuku. Asante Mungu awabaliki

  • @sylvesterindasio4738
    @sylvesterindasio4738 4 роки тому +3

    great information i am researching in order to start it in kiambu county thika kenya. yuur help will be highly appreciated you have all i need

  • @aishaathuman9589
    @aishaathuman9589 5 років тому +5

    Asante kwa somo zuri.
    Nitajenga banda bora kupunguza changamoto

  • @lectricianjerinjesh1396
    @lectricianjerinjesh1396 5 років тому +2

    Asanti kwa somo nzuri sasa hio bada linatumia hela ngapi Kenya shillings

  • @kenethaongo2614
    @kenethaongo2614 3 роки тому

    Imenifurahisha nemeipenda sana

  • @jonsonngomaitaka2715
    @jonsonngomaitaka2715 2 роки тому

    Hapo nimeelewa

  • @haronwaithaka6245
    @haronwaithaka6245 4 роки тому +1

    Good advice

  • @mzalendosospeter7500
    @mzalendosospeter7500 Рік тому +1

    Nitumie no ako nashida na vifaranga

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 роки тому

    Asante sana kwa kutoa elimu

  • @saidyussuph2287
    @saidyussuph2287 5 років тому +1

    Somo zuri

  • @henrylisutsa4002
    @henrylisutsa4002 5 років тому

    You are located where in kakamega watching

  • @majaliwasalum6991
    @majaliwasalum6991 3 роки тому

    Majaliwa
    salum

  • @19785881
    @19785881 5 років тому +5

    Nice and Cheap👏

  • @jameskihonge6467
    @jameskihonge6467 5 років тому +2

    Asante

  • @emaly6200
    @emaly6200 3 роки тому

    Hi I am from Kenya. Pls demonstrate a chicken structure ya gorofa tafadhali

  • @vendelinejacob479
    @vendelinejacob479 4 роки тому +1

    Niko dar nitapataje vifarsnga wa bata mzinga

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 3 роки тому

    Saafi sana je Dodoma tuihesabu ni kwenye joto au baridi?

  • @sarafinajonathan1042
    @sarafinajonathan1042 2 роки тому

    Inagharimu shi ngap ad banda LA kuku likamilike

  • @issahmwakinyuke9506
    @issahmwakinyuke9506 8 місяців тому

    Kwahiyo usafi wa Banda ni Mara ngapi kwa mwezi?

  • @vinutsovunnavong5563
    @vinutsovunnavong5563 5 років тому +1

    Ok

  • @bahatngowo3379
    @bahatngowo3379 Рік тому

    Danrod

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 5 років тому +5

    tupatie contacts zako ili tukutafute

  • @alilamtane6399
    @alilamtane6399 2 роки тому +1

    Ni lazima kuziweka hizo wavu ndani ya banda

  • @mussamaduhu8377
    @mussamaduhu8377 4 роки тому +1

    Sa ukiweka hizo nyavu unaenda vp kusafisha hko chini

  • @vinutsovunnavong5563
    @vinutsovunnavong5563 5 років тому +1

    Thankyou

  • @johnmpande1219
    @johnmpande1219 4 роки тому +1

    How do you clean the chicken house floor?

  • @user-ij7im4lz9s
    @user-ij7im4lz9s Рік тому

    Nahitaji kutengenezewa Banda naomba namba zenu

  • @wilckstenyaboke7829
    @wilckstenyaboke7829 4 роки тому

    Sjandika contact rudia tena

  • @maureenkirokhi2135
    @maureenkirokhi2135 4 роки тому

    T what stages are gumboro and newcastle administered pls.new farmer

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Newcastle is administered in day 7 and day 21
      Wile Gumboro Is administered day 14 and 28 in the normal schedule

  • @wigelwadavid5697
    @wigelwadavid5697 2 роки тому

    Samahani kujenga Banda la kuku kumi linagari shigapi Kuna mtu kaniambia 937,000 nisaidie please

  • @febianandunguru8054
    @febianandunguru8054 Рік тому

    Nimependa jinsi mnavyotengeneza mabanda mazuri na ya gharama nafuu. Ni namna gani naweza kipata huduma yenu?

  • @beathalugoye6962
    @beathalugoye6962 5 років тому +4

    kwa mkoa wa mwanza wataalamu wa ufugaji wa kuku wa mayai wanapatikana wapi

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 роки тому

    🇧🇮🇧🇮💯💯🙏👌🇹🇿🇹🇿

  • @dannykakobe7332
    @dannykakobe7332 4 роки тому +2

    Nahitaji kujenga banda la Kuku 10 kama kianzia natakiwa nijenge mita ngap na ni Kuku Wa mayai? Niko Dodoma

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 4 роки тому

    Upepo huwa unabadilika vp utaweza kukinzana nao

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Ukijenga banda la namna hiyo lazima ufunge nailones ambazo utakuwa unazishusha na kuzipandisha kulingana na hali ya hewa

  • @erickkidava5784
    @erickkidava5784 3 роки тому

    Habari wanachangamkia fursa, nahitaji mchanganuo au gharama za ujenzi wa Banda lakuku wakienyeji au kroila 100 mpaka 150 .

  • @abdallasalim324
    @abdallasalim324 4 роки тому +2

    Sasa nimekwmbia nitasoma vp? Mm nipo nje sipo Tanzania lkn naitaji kusoma kw njia wsap, ,nimeona kujiunga elfu 5 ,ok, utaniunga kivipi? Ww unataji namba za Tanzania ili kijua namba na jina

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Wasiliana na ndugu yako ambaye yuko Tanzania, afanye malipo yako kwenye namba hii 0656528455, kisha anitume namba yako ya what's app

    • @abdallasalim324
      @abdallasalim324 4 роки тому

      Ok, nimekupata,

  • @sittasayenda2119
    @sittasayenda2119 3 роки тому

    Nipo shy mjini nahitaji kujenga bada0785634247

  • @jonsonngomaitaka2715
    @jonsonngomaitaka2715 2 роки тому

    Kuna kitu sijaele, sqr mt 1 ni kwa upana, au kwa urefu?

  • @edwardbongo1538
    @edwardbongo1538 3 роки тому

    Ujenzi huu hauitaji kuweka nyavu za mbu? maana mbu wanara magonjwa kwa kuku.(ndui).

  • @rweikizaadrian305
    @rweikizaadrian305 4 роки тому

    Jamaani nimefugaa kuchi natafutaa sokoo lakee kwa anae waitaji wasiliana nami kwa simu namba0620430052

    • @SB-li5qv
      @SB-li5qv 4 роки тому

      rweikiza adrian bei gan

    • @marymakundi8032
      @marymakundi8032 4 роки тому

      Uko wapi mie nahitaji kuchi

    • @paulmganga5880
      @paulmganga5880 3 роки тому

      Unapatikana mkoa gani wewe me nawahitaji pia

  • @jairosgreyson3268
    @jairosgreyson3268 3 роки тому

    Asante

  • @jairosgreyson3268
    @jairosgreyson3268 3 роки тому

    Asante

    • @silvesterbuswelo3380
      @silvesterbuswelo3380 Рік тому

      Naomba kuelimishwa kuhusu Mambo yakuzingatia ktk ujenz wa Banda,hasa kipengele chakuangali muelekeo was jua na upepo