Hongereni Wamwiduka Ila Director uwe makini kwenye matumizi ya props. Kwa mfano hapo imeoneshwa mwaka 1980 kisha jamaa akatoa simu ya mkononi. Kwa Tanzania zana hizo zimeanza miaka ya 90. But kwa ujumla Ni kazi bora kabisa.
Kazi zenu nimezisoma sana, mmeonyesha ukomavu wa kisanii japo bado ni wadogo kiumri. maoni yangu ni kuwa endeleni kutumia zana za kitamaduni zenye asili yenu kama vile nyanga., ngoma, lakini bila kusahau mavazi ya kisafa mtakuwa juu sana. Nimevutika sana na midundo yenu, Pia mbuni namna ya uchezaji hasa wa kabila lenu itapendeza zaidi. BIG UP..........
Mnanibania wimbo wa mere. Naupenda sana nautafuta siupati. Vipaji vipo sana bahat mbay miziki ya kijinga ya kusifia pombe umalaya na madawa ndo zipokelewa na kupigwa. Komaeni ipo cku.
Mwl. Gano hakika asili ionesheni mtazunguka dunia nzima maana kila msanii huimba mambo yakisasa niyi asilisa mukovizur nawapenda hasa wimbo nenda kijiweni
Kabisa shida ya waswahili wengi hawajielewi na hawafahamu ukishika asili ndipo unqweza ukatoka na mitindo yako, Kwani hao wanigeria wameshika asili yao n ndio wameweza kuibuka na tone yao ndani yake na wakichomekea miondoko ya kileo
Aisee bado sijapata majibu kwanin nimechelewa ivi kuufaham huu wimbo... Wimbo mkali sio siri content, melody na mziki wake ni vyaukweli sana ❤👌
Aiseee naomba tugonge like hapa jmn kama tunawakubali hawa jamaaaaa
omary R john .555m
Hawa jamaa ni noma aiseeeeeèe
Wanajuwa
Wanaotazama 2024 gonga like hapa
2020 kama naww unadamu na awajamaa kama mm 😘mm ni mm tu
Nawaelewa Sana wamwiduka nataka siku ya harusi yangu niwaalike hawa watu"
Daah yan ukiisikiliza nyimbo hii unarud ujanan kipind tuko kijijin axee! Hii ndo asili yetu watanzania ❤
Daah hii style inanifanya nikumbuke magoma ya awilo wa mbeya....mmeua sana mazee hatar radha ya mtanzania
The music is on top level,message collected,the vybe,pure africana..❤
Komaeni mludi nyumbani na ushindi kazi nzur sana na muomba San mungu ndoto zenu zitimie
I love this song very much ❤❤❤
asiekupenda atshana naye, belle mélodie et très bonne composition bravo à vous !!!!!!!!!!
huu wimbo umenigusa sana had choz linatoka mko vizur sana nawaombea mfike mbal
Umeona eeeh?
Wanyumbani hawa,wasafwa tuko vzr.
This is the kind of music we need to represent our african culture.
Ni kweli wa nyumbani kwenu album yake gan unenunua tuache unafki tuwasupport awa watu
@@emanuelmatola7351 pimbi ww unataka niseme umu nimesupport vp,acha utahila ww
😂😅😅😂😂
Nyimbo za maana kumbe ziko huku aiseee,siyo zile namtafuta hani.
Unanikosha sana nasubir safwa boy upo vzur unatuwakilisha wasafwa kuwa tunaweza tunashkr sana
Kazeni wazee huu mziki bongo mnao nyie tu komaeni sasa hivi mnatoboa
Hongereni Wamwiduka Ila Director uwe makini kwenye matumizi ya props. Kwa mfano hapo imeoneshwa mwaka 1980 kisha jamaa akatoa simu ya mkononi. Kwa Tanzania zana hizo zimeanza miaka ya 90. But kwa ujumla Ni kazi bora kabisa.
Kazi zenu nimezisoma sana, mmeonyesha ukomavu wa kisanii japo bado ni wadogo kiumri. maoni yangu ni kuwa endeleni kutumia zana za kitamaduni zenye asili yenu kama vile nyanga., ngoma, lakini bila kusahau mavazi ya kisafa mtakuwa juu sana. Nimevutika sana na midundo yenu, Pia mbuni namna ya uchezaji hasa wa kabila lenu itapendeza zaidi. BIG UP..........
True African.. much love from Malawi 🇲🇼
Bonge la ngoma mesen kajitaidi kuongeza vionjoo
gwelelagwemwoyo maeweeeeeeee nashyukwa hukwitu wilambo
Umeona eeeh?
Saf sana wahumwitu
Mmetisha sana nawakubali mno japo me sio wa mbeya twende kazi
Mbey kutamu
Pamoja Sana asili aifi
Pamoja Sana asili aifi
Pamoja Sana asili aifi
Niko Italy nachek ngoma hii mmetisha one day yes
Natamani niimbe ngoma Kali kama hizi mmetisha
Aisee hawa wamwiduka ni shida wanajua
Wanangu wa ndaga ntokera nzunda galijembe igoma isyonje iwalanje unyamwanga number one fanye kulike hapa chap 🙌🙌🙌
Nawaona watu wa om kaz nzur
Mnanibania wimbo wa mere. Naupenda sana nautafuta siupati. Vipaji vipo sana bahat mbay miziki ya kijinga ya kusifia pombe umalaya na madawa ndo zipokelewa na kupigwa. Komaeni ipo cku.
ahsante sana Mwl. Gano tunafanyia kazi maneno yako
Hongera sana, Hii Ngoma asili yake ni Mbozi kwa Wanyiha, Inaitwa BABATONI.
Mwl. Gano hakika asili ionesheni mtazunguka dunia nzima maana kila msanii huimba mambo yakisasa niyi asilisa mukovizur nawapenda hasa wimbo nenda kijiweni
Daaah kaka upo sahihi sana
Mere ameimba awilo
Good African vibes 🎶 keep it up.... So talented 💫
Nyinza Nyinza sanaaa Yan
WEW N WEW TU..... hakun meingineep1%%%%%%
kama niko home vile the green city kumbe niko mtwara
ipo siku watu wataelewa nini mnafanya nawakubali sana na nawaombea mfike mbal mfikishe muziki wetu mahari siku moja inshaallah
Nawaelewa sana ndugu zangu tilipalishimo washi uwoga pakhaya khola ngoma
Yaani cjawahi kuona nyimbo imepostiwa ikakosa Dislike🤪🤪🤪.Mjitu inakeraaa.Hongera Sana mazee kwa kazi nzuriiiiiiiiiiii,wimbo mtamu
Ndio maana dunia ina wachawi
Oohooo bhayaya nasungwa mweeeeh
Watu wanamipenda kwajili yakusimamia misingi ya asili Mungu akubariki msibadilike mnatufurahisga sana nanyimbozenu
Duuu ipo powa sana hiyo kweli wewe uliyemoyoni mwangu
Nikiagalia hiv nakumbuka hom wallh hao watot wanavocheza apo🥰🥰
This is the best African artists, I swear
Fact
Wimbo wa narudi nyumbani mbeya mbona youtube haupo kulikoni
this song cheers me up ! it makes me feel so happy
Watching you in Zambia🇿🇲🇿🇲 one love
Mungu awabariki sana vijana nyie na Muwe na maisha marefu yenye heri nyingi
Nawapendeni hadi basi❤🎉
Very talented. Congratulations Wamwiduka Band.
uwiii ..nakupenda et wamwiduka..umefanya Siku yang iende vizr ..asante sana
Karibu sana
wamwiduka Kazi nzuri
Hizi Ndio nyimbo zenye asili ya Tanzania,pia heshima kwako mesen selekta unawagongea beat za Maana sana,siku moja mfanye colabo na mesen selekta
I just found your songs today and I love it,all the best brothers, watching from USA 🇺🇸
Napenda sana nyimbo za asili hasa hizi za kisafwa safi sana aisee.
Hii can i get your phone number
Hi
@@defaokimata5636 hi you can if you want
Keep it up my lovely brothers
Mmnatisha sana. Nyie wasafwa wenzangu
Profesa mwenye phd mmemuona kwa pangusa big up
Nyinza xana tasafwa pa mbeya
Nilitafua ii nyimba sana Leo nime upata😍
Kama namuona Roma Mkatoliki akitia vocal kwenye hii ngoma!
Hatar sana mwiduka mnatisha
Unauwaa sana Ngoma zako kali san
Kama unamkubali p didy gonga like hapa
Yaani sijui redio hazioni
Kweli kabisa
Nakubali mafundi wa muziki
tasafwa juuu humwanya❤❤❤❤
Jaman kwa gharama yotote kama ntapata nyimbo za hawa jamaa ntafurah wananikumbusha mbali sana
Me and wamwiduka in one train 2024, gonga like 10000 🎉🎉🎉
Nawaelewa Sana wamwiduka toka nawaona kutoka mitahani mpaka kutoa video mungu ajifichi kwa mtu mwenye kuitaji pamoja sana jamani.
Let's keep good music alive... Never give up Mbasa Kuzi
eshee mwanawewe
Mnanipa rahaaa sana wadogozangu mmeangaiki sana mungu awasafishie njia mzidi kuinuka namziki waasili
Nawakubali sana shemeji zangu. Heko safwa salaga, yole n.k
Wasafwa kumbe tumo asante kwaujumbe twende kazi
Asanteni sana Wanamagufuli nimewapenda sana kutoka Kenya
Sana mbeya juuu sana
Finally nimewapata ✊✊✊🔥❤💯
Nawakubali sana hawa jamaa aina yao ya mziki wanaopiga ni wa kipekeee sana
nice
Ni wewe tu ulie moyoni mwamgu,bonge la ngoma,nawaelewa sana hawa jamaa
Saf sana
Nkbl sana nazipenda sana nyimbo zenu sana
Indaga mwimbaaa
Mkazane ungulubhi abhavwe
AMISA NJENDA s
Safwa meuha ngoma Kali sana mazee
Utafika,tu,mwana,wa isaya,kila,kona,watakujua,had,Botswana,kwa,wasmakilikili,hamu,ahogope,anazyo,wamwiduka
Wimbo mtamu kwelikweli aisee
navutiwa sana na nyimbo zenu kwakwel keep it up
Safi sana mwanawetu
Good job .....wababa
Ahsante mbaba
Jamaa wanajuwa sana
Hii ndo asili yetu haya mambo mengne ya Nigeria yanafata nn kwetu ndo maan mziki wetu mzuri haupewi nafasi kaz nzur vijana
Kabisa shida ya waswahili wengi hawajielewi na hawafahamu ukishika asili ndipo unqweza ukatoka na mitindo yako, Kwani hao wanigeria wameshika asili yao n ndio wameweza kuibuka na tone yao ndani yake na wakichomekea miondoko ya kileo
Kazi nzurii nduguzanguuu, mistari ya maana sana
Wasalipa sana wanawitu
Jamaaaaa wanajuaaa sanaaaa aiseeeeeee
God bless you guys!! You are very very very unique!! South Africa is greeting you!!!
Kweli kabisa ❤️❤️❤️
Ngoma Qaliiii san 👊👊👊🇹🇿
Mmeiba vizur Sana Jimbo inaelimisha Jamii
jamani tafuta akupendaye.....gwelela umoyo
Love you guys, safwa juu
Weka na ule wimbo wa ajali ya Moto mbeya"
wamwiduka ulishinza
chuzi la pweza ule kaimba awilo wa mbeyaaa co hawa wamwidukaaa
Nakubali songs
woow video nzr sana umeitendea hki .
Safi sana❤❤❤
Congratulations 👏🎊👏🌟🌟🌟🔥🔥🔥🆒
Nawakubali sana
Daaaah ww unajua kaka
Mwaveja
Kazi nzuri,Wasafwa nione Comment zenu hpa
Nyumban muhimu
Nimekubali
Tiweli
a pride of usafwa
Tiweli mwanawewe
DAAAA YAAN HIZI SAUT ZINGEMUIMBIA YESU KUMSIFU DAAAA NJEMA
😳😳😳😳😳😳🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Acha bangi
Kwahyo wanaomuimbia yesu wana sauti mbaya
indaga mwimba kaz nyinza xana ta safwa pa mbaya
Ulisawa
Naipenda sana hii
Wasafwa oyeeee....
Kitu mxuri sana
Nawapenda sana
Kabisa asiekupenda achana nayee