WAMWIDUKA BAND - Live Session for "MIDEM AFRICAN FORUM" - Spotlight on East Africa.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • WAMWIDUKA BAND - Live Session recorded for "MIDEM AFRICAN FORUM" - Spotlight on East Africa" presented by Midem & Nyegen Nyege.
    Special thanks to NAFASI ART SPACE , Kuzilive ENT, Stonetown Record & Midem & Nyegenyege.

КОМЕНТАРІ • 160

  • @Mwaringah
    @Mwaringah 4 роки тому +17

    Talented panguso song ndio imenifikisha apa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @emmanuelmbedule3358
    @emmanuelmbedule3358 4 роки тому +15

    Daah hawa jamaa wanaitendea haki talanta Yao! No good words to express my admiration to this music

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 4 роки тому +10

    Nasyukwa pakhaya!!!! Mko juu wadogo zangu!!!

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 4 роки тому +7

    Mungu awabarik mfikie malengo wamwiduka...hvi Rayvanny huwaoni ndugu zko wa mbaya jpo utoe support

  • @simulizizadudumizi8417
    @simulizizadudumizi8417 Рік тому +1

    Nawapata saafi sana hapa Nairobi Kenya. Hongereni sana kaka zangu. Kama tunavyosema huku, mnachachisha ile mbaya mbovu. Huyo mheshimiwa wa kucheza maraka ananiuwa!

  • @vailethmichael2707
    @vailethmichael2707 3 роки тому +6

    Safi,nimewapenda sana nyie watu mnaimba mno

  • @altodeule
    @altodeule 29 днів тому

    Great work of art from the best talents of Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rehemamwashemele1230
    @rehemamwashemele1230 4 роки тому +9

    Isheeeee,,mulipamwanyaaa ,,umulungu awatule

  • @amanchidundo2849
    @amanchidundo2849 4 роки тому +7

    Hongera sana kazi nzuri

  • @nyapolasuleiman3485
    @nyapolasuleiman3485 Рік тому +2

    This is what we need to be hearing in Africa....cool things ....good job WAMWIDUKA BAND👏👏👏👏

  • @ikramlatyathumani8365
    @ikramlatyathumani8365 3 роки тому +4

    Wamwiduka mnafanya poa sana Mungu awabariki ktk kazizenu💕💕💕

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 4 роки тому +7

    Kula wayaaaaa

  • @fadhilingowi5143
    @fadhilingowi5143 2 роки тому +3

    Mpo vizuri vijana nilitafuta jina leo nimefurahi sanaa,msife moyo,kazi nzuri!

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 2 роки тому +1

    Wamwiduka,wajipange waende kushirika saut za busara Zanzibar,watafanikiwa sana

  • @johclassic_tz7375
    @johclassic_tz7375 4 роки тому +7

    Jamani mtoe nyimbo mpya mana mnajua kuimba mpaka mnajua yanii

  • @مسدمصطفى
    @مسدمصطفى 4 місяці тому

    What the heck Am I listening here? I've got goosebumps everywhere. Woooooooow. This is just amazing. You guys have natural talent no one can take away from you. If you have sound system, play this band... It's just amazing. Wow. Sad song isn't it?

  • @emmanuelmbedule3358
    @emmanuelmbedule3358 4 роки тому +4

    Jamaa wanajua wanachokifanya! Hii ndo maana halisi ya muziki

  • @erickipeter3508
    @erickipeter3508 3 роки тому +4

    Tz kuna vipaji sana💌🇹🇿

  • @TINNYMARTINVEVO
    @TINNYMARTINVEVO 4 роки тому +5

    Ni wamwiduka hao kula waya

  • @Ulamaa_Sokoni
    @Ulamaa_Sokoni 4 роки тому +8

    Nawakubali sana Wamwiduka

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 3 роки тому +3

    Moyo acha tamaaaa

  • @vanmakington2047
    @vanmakington2047 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana 👊👊

  • @furahasaimon4380
    @furahasaimon4380 4 роки тому +6

    Show show show! Tasafwa safi sana vijana wangu!

  • @princeofthenile958
    @princeofthenile958 Рік тому +1

    Authentic music
    My people doing Afrika justice
    Music is our spirituality.
    When this guys sing they invoke the spirits of their ancestors directly.

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 роки тому +3

    So natural and touching. From Burundi, nimewapenda sana hawa jamaa

  • @casimunteshe5591
    @casimunteshe5591 4 роки тому +3

    Nawakubali wasafwa katika ubora wao

  • @ShaibuGwaru
    @ShaibuGwaru 5 місяців тому

    Moyo moyo moyo kazo nzuri wamwiduka

  • @allyyuzo9382
    @allyyuzo9382 4 роки тому +3

    Mbeya home boy nakubal ma blo zangu

  • @BakariSalum-s3f
    @BakariSalum-s3f 5 місяців тому

    Nawakubari sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @atukuzwesanga4982
    @atukuzwesanga4982 4 роки тому +7

    Wanakubali sana wamwiduka

  • @esterkomba4072
    @esterkomba4072 3 роки тому +2

    Haina matusi niujumbe mzuri

  • @SefuBona
    @SefuBona Рік тому

    Napenda ngoma za asili pambana usiniangushe shabiki wako. Mozambiq nangade sede kwa wajanja.❤❤

  • @albertsanga4615
    @albertsanga4615 2 роки тому +1

    Nimeangalia nikaludia tena Natena nakubali ododo ❤️❤️❤️❤️

  • @jamesabraham2757
    @jamesabraham2757 3 роки тому +1

    Mpo vizuri sana hongera sana. Yamwiduka band.keep up

  • @KaladobhaYoctan
    @KaladobhaYoctan 11 місяців тому +1

    Nimerudia tena 2024

  • @lazarojassely4178
    @lazarojassely4178 4 роки тому +1

    Udada washee, nawakubari sana , huo wimbo wa soko la mwanjelwa umenigusa nikiupata

  • @michaelkinyaha4299
    @michaelkinyaha4299 2 роки тому

    Aisee mnatisha sana kazi nzuri sana hongereni

  • @mandelamwandoje8816
    @mandelamwandoje8816 4 роки тому +3

    Pamoja sana wamwiduka band i lovu your work big up sanaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @ramadhankaniq7179
    @ramadhankaniq7179 Рік тому

    Mko vizur wanangu ❤
    Sema yule jamaa kipofu mloanza nae alikua anapiga Gita yukowp

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 роки тому +9

    What an organic music🙌🙌🙌🙌

  • @prof.oduoroduor6471
    @prof.oduoroduor6471 3 роки тому +2

    extratalented guys.... waaaaaaaaaaaaaaaaah

  • @ackimshibanda5542
    @ackimshibanda5542 3 роки тому +2

    Hapo mumetoboa mimi najua muliko anzia, kaza buti vijana bahaya

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 3 роки тому

    Jah awatanguliye Wamwiduka band. Maana kipaji hiki sio cha mchezo kabisa.

  • @ndelanimisoz
    @ndelanimisoz 3 роки тому +1

    VIJANA WAKALI SANA MUSIC WAO TOFAUTI NA MZURI SANA SAFARI ❤❤❤❤❤❤❤

  • @magajufololo8601
    @magajufololo8601 3 роки тому +1

    You are story tellers guys

  • @mwasubilasaimoni4119
    @mwasubilasaimoni4119 8 місяців тому

    Hatari SANA huu wimbo huu unaniliza sana

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 3 роки тому +6

    Nawapenda Sana wamwiduka love from Finland 🇫🇮🇫🇮🇫🇮🤝🤝

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 2 роки тому

    Big up sana wasafwa wenyeji halisi wa Mbeya

  • @leonardmponzi49
    @leonardmponzi49 4 роки тому +1

    Kazi nzur sana

  • @zombazezu
    @zombazezu 3 роки тому +2

    Ajali ya Mbeya. 😭

  • @oscarmponzi1597
    @oscarmponzi1597 2 роки тому

    tuko nyuma sana~keep going guyz

  • @stephencharles8790
    @stephencharles8790 3 роки тому

    Kazi nzuri wamwiduka tasafwa pamwanya nkani daaah mmetisha sana

  • @royalmbwana
    @royalmbwana 3 роки тому +8

    Now this is authentic african music with tales and message 🎶

  • @watzdancer7643
    @watzdancer7643 2 роки тому

    Tauna tauna tauna nziki mwarongo mweee

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 3 роки тому

    oyaaa ni motoo🎤📡 full energy ni mwendo kula wayaa

  • @sevelinamwailanga9391
    @sevelinamwailanga9391 Рік тому

    Wapo shinza sana

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 4 роки тому +2

    Nawapenda bule

  • @mariamkawawa3626
    @mariamkawawa3626 3 роки тому

    Nawakubari saaana wasafwa mko juuu pi mwanyaaa ngani

  • @lazarojassely4178
    @lazarojassely4178 4 роки тому

    Muhwemba shinza sana bhana kwetu , naomba remix ya narudi nyumbani Mbeya aliyoimba Wamwiduka sio ile ya Mwanjalila wa ndaga

  • @jonele8592
    @jonele8592 2 роки тому

    Yani mzimi mzuri 👌👌😘

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Рік тому

    💜💜💜💜💜wow such nice music🌹🌹🌹🧡🧡🧡

  • @nicksonamiani
    @nicksonamiani Рік тому

    Hii wimbo ni story yangu kabisa

  • @ApotensiMwachahe
    @ApotensiMwachahe 7 місяців тому

    Wamwidunda wsko vzr

  • @nduwaaline6826
    @nduwaaline6826 Рік тому

    Inaingiya mpaka kwa mifupa .from🇧🇮

  • @amashambowe1583
    @amashambowe1583 2 роки тому

    Nimeangalia nikaangalia Tena natena🔥🔥🔥🔥

  • @mwampomacho6344
    @mwampomacho6344 4 роки тому +4

    Sijawahi kocomment! nimekuwa nikiwafuata tangu mtaani kwetu Tandale long before. nimesubscribe kwa mara ya kwanza kwenu ili mkitoa mpya nipate immediately. hadi leo niko South Africa naendelea kuwafuata. Kiukweli napenda mziki kwa ujumla! ila nyi jamaa mpo special sana!! Mungu awabariki sana!!

  • @mandelamwandoje8816
    @mandelamwandoje8816 4 роки тому +4

    Keep it uppp

  • @veranokessy2923
    @veranokessy2923 3 роки тому

    Nawaelewa sana hawa jamaa. Kitu chao kienDacho kwa jina mooyo. Utaniweka matatani mooyo

  • @habibamour3867
    @habibamour3867 3 роки тому

    Ndio band niipendayo ..... big up sana

  • @zahiriulaya221
    @zahiriulaya221 4 роки тому +1

    Nawapenda sana

  • @Pwanyazz
    @Pwanyazz 2 роки тому

    The real tuff gongz.

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 2 роки тому

    Nawapenda Sanaa

  • @AishaSaleh-ob4xg
    @AishaSaleh-ob4xg Рік тому

    Naipenda sn ihingoma jamani mungu azidi kujaza palipopungua

  • @frenkreuben5650
    @frenkreuben5650 2 роки тому

    Mko vizuri sana

  • @asaajuma9961
    @asaajuma9961 3 роки тому

    Noma sana jama wanajua

  • @felixowino1212
    @felixowino1212 10 місяців тому

    This band should perform in Kenya

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 3 роки тому

    Safi sana, mambo mwoto ugwiluyombo

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 5 місяців тому

    Wanaimba kama Awilo kidume Cha mbeya, ule wimbo wa ajali ya ntokela

  • @hassanjuma7086
    @hassanjuma7086 3 роки тому +1

    Twinzile mwiduka

  • @levinamugyabuso4917
    @levinamugyabuso4917 Рік тому

    Natamani vijana wa Tanzania wangekuwa na uelewa na kujielewa kama hawa vijana. Jumbe zao zinaonesha makuzi yao pia yalikuwa mema. Kutoka kilugha chao mpaka Kiswahili - wanakuza Utanzania kwa wote na kuukuza utamaduni wao. Naamini hiking ni kizazi kingine cha kuungwa mkono sana na kuigwa [Saida Karoli?]

  • @mosessanga7415
    @mosessanga7415 3 роки тому

    Wanajua sana🙌

  • @fredricknamoyo236
    @fredricknamoyo236 3 роки тому

    Hata mm sana tu Wanaimba ualisia

  • @amiriathumani6758
    @amiriathumani6758 2 роки тому

    Kwako kasha shaa

  • @benedictkomba1341
    @benedictkomba1341 2 роки тому

    2022…..daaah😥😥😥😥

  • @nelsonkawina8809
    @nelsonkawina8809 2 роки тому

    Raha ya African music huwez iona Kama ujakutana navitu Kama iv 31_03_22

  • @juma-njijjteknolojia1906
    @juma-njijjteknolojia1906 3 роки тому +1

    that great music

  • @frenkreuben5650
    @frenkreuben5650 2 роки тому

    Hongera Sana

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 3 роки тому

    Jamani moyo moyo💃💃💃💃💃

  • @masterleeleon2974
    @masterleeleon2974 3 роки тому

    Nyegenyege kula waya

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 4 роки тому +5

    Tushow luv kwa kusurbscribe wadau, Hawa jamaa wko vizur sna.

  • @eliethkwesigabo1990
    @eliethkwesigabo1990 3 роки тому

    Nawapenda saaana

  • @decity1378
    @decity1378 4 роки тому +2

    Wa Mwiduka mko vizuri nyimbo zenu tamu sana lkn siku hizi sizion nyimbo zenu mpya online.

  • @eliethkwesigabo1990
    @eliethkwesigabo1990 3 роки тому

    Nipo nakula waya

  • @amiriathumani6758
    @amiriathumani6758 2 роки тому

    Mwamba huyoo

  • @kicheko4980
    @kicheko4980 2 роки тому

    Sasa huu ndo muziki halisi wa kiafrika

  • @watzdancer7643
    @watzdancer7643 2 роки тому

    Nong'omya kilechenge kati bwuusii

  • @jumasamwel6204
    @jumasamwel6204 3 роки тому

    Pamoja wana ,mbele yenu nyuma yenu

  • @salumchando7721
    @salumchando7721 3 роки тому

    Tasafwa ilyoyo

  • @hassanabeid9962
    @hassanabeid9962 4 роки тому +4

    Gud job wamwiduka

  • @tabumkangara6611
    @tabumkangara6611 2 роки тому

    Soko la Mwanjelwa😭😭😭