Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

EXCLUSIVE: MKEWE LISSU AFUNGUKA, NGUMU KUAMINI (PART 1)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 лис 2017
  • Mke wa Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu , Wakili Alicia Magabe ameongea kwa mara ya kwanza baada ya mume wake kushambuliwa kwa risasi miezi miwili iliyopita njini Dodoma. Ameeleza jinsi alivyopokea taarifa za shambulio hilo hadi aliposafiri kuelekea Dodoma na hatimaye Nairobi nchini Kenya.

КОМЕНТАРІ • 104

  • @elizabethlujabiko8166
    @elizabethlujabiko8166 6 років тому +5

    Ninaamini Mungu aliyemuumba Tundu Lisu anazo spea za viungo vyake,Mungu ninazidi kukuomba na kukusihi tuma malaika wako washuke na spea za viungo vya Tundu Lissu ili apate kuwa mzima tena.Kama kila anacho tengeneza binadamu kina spea ninaamini kilichoumbwa na Mungu ni zaidi sana.Madaktari wanatibu unayeponya ni wewe YEHOVA SHAMA,asante Mungu maana umesikia kuomba kwangu.In Jesus name I pray. Amen!

  • @dernardchambwani671
    @dernardchambwani671 5 років тому +1

    Mungu ni mwenye ngumu damu hii Mungu anawajua waliojarib kukatisha Maisha ya MTU , lakin kwa sabab yeye ndie mwenye mamlaka akasema no you can't do that , shame on them, pole sana Mamaangu hakika Ukuu wa Mungu haupimiki

  • @salamamohamed9519
    @salamamohamed9519 6 років тому +2

    Pole sn Mama Lissu Mungu yuko pamoja na nyinyi ataweka wepec

  • @sameeral-ghafri627
    @sameeral-ghafri627 6 років тому +3

    This is very touchy n sad 😔 pole mama shujaa atarudi na kadi ya kura nahamisha next time

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 4 роки тому

    Pole sana mke wa kamanda wetu

  • @mossesmlokozi3425
    @mossesmlokozi3425 6 років тому

    pole sana mwenyezi mungu ni mwema tuko pamoja KAMAnda wetu lissu tunamupenda sana

  • @matondomboje2704
    @matondomboje2704 6 років тому +3

    mama tuko pamoja tunampenda sana mume wako watanzania tutachanga hata mia mia zetu mpaka apone

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 років тому

    Pole sana Mama Lissu, Mungu amekuonekania

  • @isaacmsekefu1752
    @isaacmsekefu1752 6 років тому +4

    pole sana mamaangu MUNGU yupo pamoja na nyie. atapona tu MUNGU atamsaidia

  • @fidelismponda9931
    @fidelismponda9931 6 років тому

    Pole sana

  • @stephanothomasmchenya9679
    @stephanothomasmchenya9679 6 років тому +1

    MCL iko vizur Chanel yen naipenda

  • @eluzaberthkarugaba6375
    @eluzaberthkarugaba6375 6 років тому +3

    poleni sana. lakini hakuna silaha inayoweza kupambana na uamuzi wa Mungu.

    • @stella88244
      @stella88244 6 років тому

      We nawe unaongea kama mtoto anaejigunza kuongea mfuuuuuu! Ila pole yako sana Mungu yupo pamoja nae

    • @asiasalum7365
      @asiasalum7365 6 років тому

      Eluzaberth Karugaba
      pole sana mumy

    • @dorcasdominic9880
      @dorcasdominic9880 6 років тому

      amen

  • @julianabenedicto8462
    @julianabenedicto8462 6 років тому +2

    wewe ni mwanamke jasiri,mungu akusimamie.

  • @danielmgomo717
    @danielmgomo717 Рік тому

    Mahojiano haya yana mapungufu sana kwa sababu sio kive.Mwanfishi hajatueleza kama mke wa Tundu Lisu kwa sasa anaishi Mbinguni na hawezi kuonekana na yeyote.Dereva wa Tundu Lisu alishahojiwa lakini mwandani wa Tundu Lisu yaani mkewe

  • @agnessdaud6250
    @agnessdaud6250 6 років тому

    pole sana mama

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi5257 6 років тому +2

    Machozi yamenitokaa duh 😭😭

  • @jacksondamas8634
    @jacksondamas8634 6 років тому

    pole mama mungu ameonekana

  • @patrickkalengela4797
    @patrickkalengela4797 6 років тому

    Lisu"s wife is a strong woman, she deceives to be a leader in this country.I say so for what she said after her husband being terrorized Nanukuu " Kama baada ya haya utegeuka nyuma sitakuwa mke wako" hiyo ni Kauli ya mtu jasiri

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 6 років тому

    very sad..

  • @kayenzehudumadldm1713
    @kayenzehudumadldm1713 6 років тому

    Mungu anaonyesha uwezo wake hakuna alieeamini kama bwana mkubwa atakuwa hai mpaka mda huu

    • @vickypoul9117
      @vickypoul9117 6 років тому

      Mungu ameonyesha ukuu wake kupitia tundu lissu

  • @baumbachogero9410
    @baumbachogero9410 6 років тому

    Mbona anaoongea kawaida tu jamani! Watu wengine mkoje?

  • @ishengomadeogratias1994
    @ishengomadeogratias1994 6 років тому

    Hii story inatia sana machungu na inaongeza chuki dhid ya wasiojulikana japo waweza kuwahisi!!

  • @crownpress5512
    @crownpress5512 6 років тому +1

    ni simanz kweli ila hii sauti cjaielewa kama ndo halisi au ni ya mtandaoni

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 6 років тому

      Eim mia mume wale Ndo anaojua sauti ya mkewe ya kweli we inakukuhusu nini?

    • @crownpress5512
      @crownpress5512 6 років тому

      Happiness Mwaipopo nmetaka kuijua nawew inakuwasha nini?

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 6 років тому +3

    Ongea kiswahili tu jamani....

  • @ibrahimmwakasembe8681
    @ibrahimmwakasembe8681 6 років тому +1

    Hata mkula(magu) nae anachanganya lugha?? Na hata watanzania wengi kwa sasa sio wazalendo wa lugha ya kiswahili, hata ivo sio objectives ya hii view. Pole sana madam

  • @doriswilson4163
    @doriswilson4163 6 років тому +1

    Pole xanaaa..
    Ila nina wasi wasi saut yako na wadhifa wa marehem kwako kama haviendan vile yaan unaingea simple xanaaa au ni mtu unae ongea kwa niaba ya mke husika.!?
    Kama ww ndie mmmhhmhmhm..!!!
    Cna swali pole na MUNGU amtete kamanda wetu.

    • @heriethmakwetta7180
      @heriethmakwetta7180 6 років тому

      Doris hiyo ni sauti ya Mrs Tundu Lissu siku zote.. kila mtu ana sauti yake hata ww yako haifanani na ya mwingine

    • @doriswilson4163
      @doriswilson4163 6 років тому

      Herieth Makwetta duuh sasa kwa nn taarifa za huzun ivo anaongea kirahis na kwa mbwembwe hivyo au mm ndo mshamba jamaaan.!!?
      Mmmhhhhhmm MUNGU atusaidie xanaaa kwa kweli hata kama ni usomi khaaaa..!!!

    • @charleskatoto2017
      @charleskatoto2017 6 років тому

      Doris Wilson

  • @fubanjenjele2632
    @fubanjenjele2632 6 років тому

    So sad

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 років тому +4

    kuchanganya lugha ni kutokuwa na uhakika lu lugha isiyoyako.

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 6 років тому +1

      Blandina Ruganisa Utakuwa na ka upumbavu kidogo tu. Sasa wewe hii uloandika ni lugha gani??? "Lu lugha" ni kitu gani???

    • @muyaf2051
      @muyaf2051 6 років тому +1

      Kama hujaenda shule kimpango wako boya wewe

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 6 років тому

      Blandina Ruganisa huo sasa ni wivu Wa kijinga kwani umelazimishwa kumwangalia? Yaani watu wengine bwana

    • @dorcasdominic9880
      @dorcasdominic9880 6 років тому

      +Happiness Mwaipopo asante kwa jibu tamu maana ni mwanamke mwenzie yule alaf amejua kumponda si kumuhurumia

    • @zuhuraomary6041
      @zuhuraomary6041 6 років тому

      we unajua

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 років тому +1

    lugha anayoichanganya haina mahusiano na sentensi😅😅😅😅

    • @tinajoe4
      @tinajoe4 6 років тому

      Blandina Ruganisa Jamani tujifunze kunyamaza

    • @jaberjohn7556
      @jaberjohn7556 6 років тому

      Blandina Ruganisa weird. Stop being mean.🙄

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 6 років тому

    mungu mkubwa kuliko ukubwa wenyewe

  • @stephanomacha9532
    @stephanomacha9532 6 років тому

    stefhno

  • @kyandomarry2015
    @kyandomarry2015 6 років тому

    Mume wako anaumwa ukapata na nguvu za kuendesha gari hee

  • @paulojohn7070
    @paulojohn7070 6 років тому

    Atakutombaje na kiuno chote kimevunjwa na lisasi?

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 років тому

      duuuh blooo

    • @paultayari3676
      @paultayari3676 6 років тому +1

      dah watu wengine mnakosa ustaarabu, hata kama unatumia bangi muda mwingine unajizuia bhana.

    • @danielmarunda153
      @danielmarunda153 3 роки тому

      Paulo John huna busara mjinga wewe

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 6 років тому +7

    Ongea kiswahili mbwebwe zote za nn?

    • @laurentkimbatummassy8075
      @laurentkimbatummassy8075 6 років тому +2

      Acheni upuuzi, huu sio mjadala.

    • @nochanel5392
      @nochanel5392 6 років тому +1

      Kwani kakulazimisha kumsikiliza

    • @jisephmaganiko3859
      @jisephmaganiko3859 6 років тому +2

      robert laizer matatizo yako xhule c zipo unalalamika nn kasome

    • @knowledgeispower1118
      @knowledgeispower1118 6 років тому +3

      Jiseph Maganiko shule ninayoyakutosha naweza hata nikawa nimemzidi yeye lakini najaribu kujiuliza,inaama hajui kiswahili vizuri kwasababu mtu anaishi usukumani kijiji na hajasoma, hatamuelewa je?..ni ushamba tu.

    • @ishengomadeogratias1994
      @ishengomadeogratias1994 6 років тому +1

      robert laizer Huyo mama kakaa nje sana!

  • @mamahustru
    @mamahustru 6 років тому

    Yaani hiyo lugha yake ndo lugha wanayotumia wanasheria wa bongo. Wote wamekaririshwa elimu ya mkoloni na wenyewe wanaitana ``WASOMI´´. Na sote tunajua nini maana ya mkoloni kumuita muafrika ``MSOMI´´. Wataelimika tu na wao siku moja.

  • @mbojayahya434
    @mbojayahya434 6 років тому +4

    sema lugha yako halisi ya Kiswahili usijihashue

    • @laurentkimbatummassy8075
      @laurentkimbatummassy8075 6 років тому +4

      wewe mwenyewe kiswahili hujui, swala la lugha sio zito kama huo ushuhuda, kama huna point ya kuongea nyamaza.

    • @salamamohamed9519
      @salamamohamed9519 6 років тому +2

      Badala ya kutoa pole unaleta mambo ya ruga co ubinadam huyo mama Lissu bado anamachugu mpka anataman kulia anavyo ongea uclichukulie Jambo hili jepec kwa kuwa liko kwa Mwezio huu ni mtihan mkubwa sn

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 6 років тому +1

      Mboja Yahya unajuaje kama kiswahili ni lugha yake halisi? Kwani yeye ni mzaramo? By the way hujalazimishwa kumsikiza

    • @erastomwakalinga7079
      @erastomwakalinga7079 6 років тому

      Mboja Yahya ww ni mmoja kat wasio julkana???km ulikimbia shule na huelew lugha anayo iongea si mmbaya kukaa kimya na kama unataka kuelewa rud shule sio kuacha darasa la pil kwa kuwa unajua kusoma na kuandika unaona elim imefka mwisho afu unakuja kutuletea umbulula wako hapo ,,,,,,,pole sana mama lisu mungu amekupa kifua cha kustahimil hayo na hilo lilikuwa jarb lako na mpaka sasa umelishinda kwa kishindo ila aibu ni kwa walio tenda hao na wakidhan wao wataish milele lakin mungu yupo nawe

    • @zuhuraomary6041
      @zuhuraomary6041 6 років тому

      mwache

  • @tamzeeeconomy1637
    @tamzeeeconomy1637 6 років тому +1

    Ongea Kiswahili sanifu acha mbwembwe. Huu ni ulimbukeni wa juu ambao umepata Watanzania wengi kudhani unapochanganya Kiswahili na Kiingereza ndo unaonekana msomi na mtu wa kisasa. Ujinga mkubwa na kansa ya akili inayofanya watu kudharau vilivyo vyao na kuthamini vya wazungu. Mwenyezi Mungu atusaidie Watanzania na Waafrika kwa ujumla. Limbukeni hao ni wengi, mama huyu hayuko peke yake. Mkasa wenyewe unasikitisha ila namna yake ya kuonga inaleta kichefuchefu. Maneno anayosema kwa Kiingereza ni maneno rahisi mno kwa Kiswahili.

    • @mydiary39
      @mydiary39 6 років тому +3

      Mbona wewe povu limekutoka rafiki yangu.....Ni mazingira ambayo mtu anaishi inategemea Lugha ipi kwake ya kwanza kuzungumza hivyo siyo kupenda kwake.....Hebu vitu vidogo vidogo tuvipuuzeni

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 6 років тому

      Fatuma Hamis Asante sana, umeeleza vizuri sana Fatuma.

    • @lilianmakanzo3855
      @lilianmakanzo3855 6 років тому

      Waliocomment kuhusu lugha wengi imewashinda Kwahiyo hayo maneno ya sizitaki mbichi hizi.. Acheni chuki binafsi

  • @ameriamasoud6718
    @ameriamasoud6718 6 років тому

    The

    • @veronicazacharia2080
      @veronicazacharia2080 6 років тому

      Pole xana Dada Alicia Mungu azidi kuibariki ndoa yako

    • @sillamnyawami7469
      @sillamnyawami7469 6 років тому

      Mama lissu God is good all the time,atapona tu mpaka sasa ni Mkono wa Mungu

    • @agnesjosephat7863
      @agnesjosephat7863 6 років тому

      kwani tatizo nn akiongea kingereza. acheni majungu.pole mama

    • @frankraymond2985
      @frankraymond2985 6 років тому

      mtu anae tumia lugha mbili anaonyesha ushamba watoto wadogo especill tu dem sio lika yako

    • @christopherkashumba2129
      @christopherkashumba2129 6 років тому

      Inawezekana kuchanganya lugha ndio mapigo ya wajanja. Lakini aangalie wale waliompiga risasi Mmewe wapi hukohuko CHADEMA( Sinajua tena mama uchaguzi Wa 2020).

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 років тому

    Mume wake kapigwa risasi akawa na uwezo wa kuendesha gari looo

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 6 років тому

      Blandina Ruganisa sasa ukitaka afanyaje? Tunatofautiana. Kama wewe huwezi wenzako wanaweza

    • @sundayulomi9547
      @sundayulomi9547 6 років тому +1

      Blandina Ruganisa we ni mpuuzi, mbona watu wanafiwa na wazazi wao na wanaendesha magari mpaka msibani???
      Kwa hiyo mtu akifiwa anashindwa kuendesha gari??

    • @fidelmbai3642
      @fidelmbai3642 6 років тому +1

      Blandina Ruganisa Angefanyeje?

    • @paultayari3676
      @paultayari3676 6 років тому +1

      huyu dada ajielewi kwahiyo alitaka afanyaje. we mpuuzi kweli.