binafsi huwa nakaa chini nazichambua hoja zako, nakuelewa xnaaa lisu na nakuunga mkono myb kwa sababu ya uwingi au uchache wa akili yang...!! ur right man.
nakukubali sana tundu lisu unatutetea Zungumza, ss tunazuiwa kuongea tunaelewa yote yanayoendelea kaza buti hipo siku mungu atasikiliza vilio vyetu,hata Wana wa Israel waliteseka utumwa Misri kwa muda wa miaka 400 lakini ilifika kipindi mungu aliwatoa utumwani Misri.
napenda sana mh. tundu lisu aje kua rais wa tanzania mwaka 2020ntafurahi sana sana tena sana hakika mwenyewe mungu ni mwema ipo siku utajua rais mwaka 2020
Mungu yuko pamoja naww lisu kama serekari ya tanzania 🇹🇿 ya awam ya 5 kama aitaki hak kwako mungu ana waona apa dunian tuna pita kama awatak hak apa tulipo bc kwa mungu haki ipo______p1 xana mheshimiwa lissu uzma wa milele kwako mpenda haki
Your Excellency.my president. You working hard and proving that you are pracatising DEMOCRACY and this is the reason. Why you have been appointed the SADC Chairperson.tell the police to bring up a report on who attempted to kill t honourable tundulissu.because arresting him will paint a bad picture on you .ccm andopposition parties after he is just coming frm the hospital
Rais nampenda anafanya vizur sana. pia namuunga mkono Lisu kwa kuwa watu kama hawa wana faida kubwa kwa kuwa wanawafanya viongozi wasijisahau na kupitiliza
Harold Ukason Kelele zake zitamfanya raisi azidi kuwatumikia wananchi ili asiteleze. Watu kama huyu ni wa muhimu ili serikali isijisahau. Si vema sana kumsifu rais kwa sasa. Tumkosoe pale anapokosea, tusimsifu kwa mazuri maana hayo ndiyo yanayotegemewa na kila mtu, rais hakutuahidi kututendea mabaya bali mazuri, akitenda hatuna haja ya kukaa tukisifu. Kwa Hulka zetu mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Upo wakati ambapo tutamsifu...ni pale amemaliza vema kazi yake. Hata mwenyewe sijawahi kumsikia akiwaomba wananchi wamsifu, anaomba wamwombee. Nadhani hilo ndo la kufanya
yaani we lisu mungu hajakuumba kwa bahati mbaya. yaan unastahili na Tanzania wakiwepo hata watano wa type yako tungekuwa mbali ila kamanda ucjali 2020 kama kawa
Nawakumbusha tu wanaomchukia Lissu na kumbeza kwa minaajili ya uccm, au maslahi binafsi wanayoyapata kutoka ccm naomba mjue tu kuwa mnashindana na ile KWELI ambayo mungu katuletea watanzania, ili umwelewe Lissu, weka uccm kando kwa dakika 2 tu umsikilize ukiwa mtanzania asiye na chama cha kisiasa
Halafu anatokea mtu anajiita yeye ndio mzalendo na lissu msaliti. ACHENI KUMUNGUNYA MANENO . TUNDU ANTIPAS LISSU NDIE MZALENDO NA KWA MADHILA ALIYOFANYIWA YEYE NDIE ANAESTAHILI KUWA RAISI 2015.
SIYO WAPINZANI WOTE NI NYINYI WACHACHE AND YOU ARE NOT ABOVE THE LAW.WAIT AND SEE JUSTICE IS NOT ONLY DONE BUT IT MUST BE SEEN TO BE DONE.TAKE YOU WILL GET TIRED OF FIGHTING THE GVT IN POWER.BE ASURED YOU ARE CONFUSED BE CAREFUL.
lisu wewe unaongelea udiktekta hivi unajua maana yake mimi nilikuwa natamani sana nchi ishikiliwe na jeshi nione hizo pumba zako utamuelezea nani usiwe mdomodomo sana fanya kazi yako pita kushoto duniani mapito tu hapa
Kwani ukitulia kama Mh.John Cheyo(Mzee wa kujaza watu mahela) utakamatwa kwa lipi. Ni vyema Mh. Lissu ungekuwa unashughulika na matatizo ya jimboni kwako kuliko kutengeneza bifu na serikali,umepoteza muda mwingi kwenye kesi zisizokuletea maendeleo,wewe ni mwanasheria mzuri lakini heshima yako na taaluma yako inaonekana haina maana yoyote kwasababu ya kupambana na kesi zisizokuwa na tija
I love you Brother.
Mung yu pamoja naw mh lissu
binafsi huwa nakaa chini nazichambua hoja zako, nakuelewa xnaaa lisu na nakuunga mkono myb kwa sababu ya uwingi au uchache wa akili yang...!! ur right man.
nakulewa sana lisu
Lisu Mungu anakuenda umalize kz yko ndio akuite kk kiukweli an vr goog my brother
pole sana kamanda lissu
unaongea mambo mapana sana kulko akil z baadhi y w Tz ...hatjui uhuru wetu 2nabak kutshwa kila leo
p
i real love you lissu. uko vzur sana. long live sir
Mungu mjalie lisu
Kuna haki ya kuzungumza ila hakuna haki baada ya kuzungumza ...KAMA UMEKUBALIANA NA MIMI PIGA LIKE
Unatisha kamanda lissu
nakielewa sana hiki kichwa kimebarikiwa sana
Tundu mungu akupe maisha marefu kaka yngu
Dah. Baada yasiku hii, skuchache waka kupiga risas ... Pole Sana lisu.....
kichwa hiki jaman hebu kama unakielewa gonga like hapa
Dicho Da plaiza kumbe unaogopa kukamatwa. utakoma. kwanza we mwongo unajihami tu
lissu anajitambuwa ila wabongo elimu habule chitu
Dicho Da plaiza bora wewe unaejua kuandika jina langu
yani nakukubali hadi naumwa
pole sana lissu ni kweli unachokiongea nchi hii niya kidiktekta pole sana hakimu
kumbe unaongopaga mweu wee
ww hata kuandka hujui muache msomi
Hakuna msomi Tanzania. kama tungekuwa na wasomi tusingenunua maji ya drip Uganda.
Renox Tz unampa pole ya nn?
Renox Tz kumbe hata hujui tofauti ya wakili na hakumu ndio maana unamfurahia saaana tundulisu.
Aiseeee wewe ni noma kuliko one love
kumbe unajua kama unakosea,toka nje wewe si jasiri, unaogopa nini?
Shikamoo Lissu
Fresh brain
Uhuru ni mdogo sana tz ndo kinachosumbua
tuko pamoja mh lissu Na Mungu yuko pamoja nawe
Akiri zako ni pevu sana kaka lisu, songs mbele kwa maslahi ya Tanzania Yetu Mungu yupo Brother......!!!!
huu kwa mahakam mtaishia kumkamat tu kisha mnamuachia kwa sabbu vifung vyote vya sheria anavijua
Wakati mwingine ukimfunga mtu mwanasiasa unampa ujiko zaidi,,,,,,
Big up RCO Wambura
mungu yu pamoja nawe lissu
Who else matching this 2020 niyeye
Lissu hakika ww ni mwanashiria mashuhuri na maridadi haswa!!! Big up xana kamanda!!!
Nicko Emanuel pmj kamanda
pengo ksdnali
upnzani ndio ynaishia jamanb
Tundu is the Man of country 💯
nakukubalisana risu daa endelea hivyohivyo usiache
Pole sn kk
wakili msomi
Nzur
nakukubali sana tundu lisu unatutetea Zungumza, ss tunazuiwa kuongea tunaelewa yote yanayoendelea kaza buti hipo siku mungu atasikiliza vilio vyetu,hata Wana wa Israel waliteseka utumwa Misri kwa muda wa miaka 400 lakini ilifika kipindi mungu aliwatoa utumwani Misri.
Nakukubari sana Mzee Lissu. Hakika hoja zako zinaukweli mwingi ndani yake. Nakuombea kila LA kher kwa Mungu. Hoja zako zina mashiko Baba Lissu.
Lissu ni habar ya town
napenda sana mh. tundu lisu aje kua rais wa tanzania mwaka 2020ntafurahi sana sana tena sana hakika mwenyewe mungu ni mwema ipo siku utajua rais mwaka 2020
Anthermy Satriwhy Mwamasika ndoto hizoo za mchana labda awe kiranja Wa mirembe hospital lakini kuwa rais ndotoo
Anthermy Satriwhy Mwamasika upo sahihi. muosha vyombo hawez kukuelewa
awe rais kupitia wapi hafai kabisa hata huo ubuge bas2 hafai kuwa na cheo Chochote anaombea mabaya nchi ye2.
hata kwa tochi haupati
Anthermy Satriwhy Mwamasika hapati ht kwa kupanga bunduki na risasi kila kona ya barabara zote za kwenda mikoani
Mwamba wa Afrika Mungu akulinde na akutunze.
Mungu yuko pamoja naww lisu kama serekari ya tanzania 🇹🇿 ya awam ya 5 kama aitaki hak kwako mungu ana waona apa dunian tuna pita kama awatak hak apa tulipo bc kwa mungu haki ipo______p1 xana mheshimiwa lissu uzma wa milele kwako mpenda haki
Pole sana lisu
Your Excellency.my president. You working hard and proving that you are pracatising DEMOCRACY and this is the reason. Why you have been appointed the SADC Chairperson.tell the police to bring up a report on who attempted to kill t honourable tundulissu.because arresting him will paint a bad picture on you .ccm andopposition parties after he is just coming frm the hospital
True democracy expect opposition parties to console the government. Honourable tundulissu we are praying for your agent recovery. God see you thru
lisu mungu akulinde saana sana
Nimekuelewa sana Lissu, Upo sahihi kabisa
Kiukweli kaongea point mno hadi machozi
Nakukubali sana lisu
Ebu MAGUFULI achana kufuatilia sana Wapinzani..!UNAJIARIBIA..!We piga kazi kama unavyosema,wananchi watakurudisha IKULU kama utatimiza uliyoahidi tu!
Aloyce Kiwia magufuli hajamfuatilia mtu sema lisu hata angetukanwa na Mke wake angesema ni njama za rais ila huku kwetu tushamzoea
+Sagini Aruna polesaaana wewe mtuganithujui hatakuandikajinalako
Sagini Aruna hukusikia Rais akimwagiza Spika kuwashughulikia bungeni na yeye atadili nao wakiwa nje?
Mungu akusimamie
Nimeumia sana ila Sasa Hayo mambo hayapo tena Kiukweli ilkua msoto msoto
pamoja sana
We kiaz2
nani agonge like kwa 0
Rais nampenda anafanya vizur sana. pia namuunga mkono Lisu kwa kuwa watu kama hawa wana faida kubwa kwa kuwa wanawafanya viongozi wasijisahau na kupitiliza
Harold Ukason Kelele zake zitamfanya raisi azidi kuwatumikia wananchi ili asiteleze. Watu kama huyu ni wa muhimu ili serikali isijisahau. Si vema sana kumsifu rais kwa sasa. Tumkosoe pale anapokosea, tusimsifu kwa mazuri maana hayo ndiyo yanayotegemewa na kila mtu, rais hakutuahidi kututendea mabaya bali mazuri, akitenda hatuna haja ya kukaa tukisifu. Kwa Hulka zetu mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Upo wakati ambapo tutamsifu...ni pale amemaliza vema kazi yake. Hata mwenyewe sijawahi kumsikia akiwaomba wananchi wamsifu, anaomba wamwombee. Nadhani hilo ndo la kufanya
Pamoja mkuu
Balaa
yaani we lisu mungu hajakuumba kwa bahati mbaya. yaan unastahili na Tanzania wakiwepo hata watano wa type yako tungekuwa mbali ila kamanda ucjali 2020 kama kawa
Hii nimbaya sana
Kikubwa rafikiang lisu hujui kuongea, ila unajua kutukana na kuchochea, huna adabu kupitia kinywa,
Foolish comments
Nawakumbusha tu wanaomchukia Lissu na kumbeza kwa minaajili ya uccm, au maslahi binafsi wanayoyapata kutoka ccm naomba mjue tu kuwa mnashindana na ile KWELI ambayo mungu katuletea watanzania, ili umwelewe Lissu, weka uccm kando kwa dakika 2 tu umsikilize ukiwa mtanzania asiye na chama cha kisiasa
Aiseee
Kwanini kaka usiachana nahaya mambo ya kutafutwa mapolice tatizo nini
HONGERA TUNDU LISSU kwa ujasiliwako laiti wangekuepo watu majasili kama lissu inchi ingepona
This guy he's so annoying, naomba tu akamatwe na afungwe maisha.
Na nosivyompenda anavyobwata kam halim mdee mhh wakafie huko huko
Simuelewi kabisa hajui Sheria ni porojo tu wakiki gani anamchukia mkuu wa nchi yake
lisu namkubali sana......huu mwamba ni habari nyingine.....ila serikali punguzeni manyanyaso kwa wapinzani
toka wapo nnje
watu kama hawa wangekua kama 10 tz ingepiga hatua sana
nliwahi kuishi na mwasheria yaan kuishi na mwanashelia unaenjoy sana
Ivi unatambua mtu akipata madaraka hubadilika sana
yani tusinge pelekwa pelekwa kiivyo
yea..tru
oü ukamatwe tu kwani Unäsaidia nn ktk Taifa hili....!
natamani xn nngekuwa kma Tundulisu
Tanzania siyo nchi ya kidikteta usianze kuvuruga nchi wote msukumwe ndani
maguful sikumchagua nasita mchagua nakama ntamchagua naomba mungu nife hapo hapo
siasa bongos ukiongea ukweliii
Nyie ndo munazuwia ndege zetu wanafiki
kweli Lussu bongo bahati mbaya tu
Kichwa na akilii ya huyu jamaa computer haioni ndani.
Br unatxh xnaaaaaa i like to be like you
Nchi ya kidikteta
Ila tz ya Leo mungu ndo anae jua ila najiuliza kuna MTU aliye juu ya sheria kweli nawaza tu kwa sauti
Gate well soon Lissu.
Get well,,,,,siyo gate well!!
Halafu anatokea mtu anajiita yeye ndio mzalendo na lissu msaliti. ACHENI KUMUNGUNYA MANENO . TUNDU ANTIPAS LISSU NDIE MZALENDO NA KWA MADHILA ALIYOFANYIWA YEYE NDIE ANAESTAHILI KUWA RAISI 2015.
Kosa la jinai hilo kumwita rais dikteta makufuli oyeeeeeeeer
Acha nikae kimyaaa
Walikua wanakuinda zamani hawa jamaa, Mungu Anakupenda, wana anza tena hao watch out kamanda madictor wapo bado hapo eehh!
mmmh!
hakika lissu ndiye mtanzania wa kweli. Mungu akuponye
Mr. Lissu, if you call President Magufuli dictator, how about Musevi of Uganda? Achana na raisi wetu mpendwa John Pombe Magufuli.
Mwamba tuvusheeee
Hahahaa,,,,, mwamba amepigwa chini!
bro toka nje tuone, basi si hauna kosa??
sasa unagoma kutoka kwan hapo mahakamani ndiyo kwako nakama huna kosa mbona wasiwasi mwingi mzee baba
Sijui alisomea wp uchochezi uyu baba
Wewe sijui umesomea wapi ujinga
Maana umefaulu ujinga kwa stashahada ya uzamivu ya ujinga
wabongo
huyu
lisu
hajui
chochote
anaogopa
wazungu
mwanasheria
gani
duh!
huyu jamaa ni jasiri.
aeroporto Nissan Angetoka kama kweli nijasiri mpuuzi huyu.
John s umenifuraisha sana kwa comment yako ya reply
aeroporto Nissan mwenye akili timamu hawezi mpuuza risu.
kwaiyo Jones hana akili timamu?
nikweli kabisa yani huyu jamaa acha kabisa
penda sana wewe🤗🤗🤗🤗
Waliambiwa haupo nyumbani na ni Dar es Salaam?maana yake hauishi Singida kule jimboni kwako unatatuaje matatizo ya wananchi wako?
george massebu haihusiani kutokuwepo jimbon.kiongoz wa kitaifa huyu
Rukia R Swidu mmeshikiwa akili mpaka nakuhurumieni
george massebu jihurumie mwenyewe na kizaz chako.mpige LISSU kwa hoja.acha porojo.umesikia hoja zake na umezielewa?
Rukia R Swidu siwezi kua na sababu ya kubishana na wewe hata kidogo maana unajionyesha akili yako iko vipi.MUNGU akusaidie sana na uwe na siku njema
george massebu huyu pia ni rais wa mawakili tanzania kwa hyo ofisi zake ziko dar....
ww si jeuli toka njee uwone
uyu mzee simpendi kinoma,anajifanya mjuwaji Adi anaboa
Sheria unazijua ila kwann unapotosha wa Tz maku wewe ucye na uzalendo
lisu nishida kwa ccm lakini wanamuonea yuko sahii
penda sana lisu
SIYO WAPINZANI WOTE NI NYINYI WACHACHE AND YOU ARE NOT ABOVE THE LAW.WAIT AND SEE JUSTICE IS NOT ONLY DONE BUT IT MUST BE SEEN TO BE DONE.TAKE YOU WILL GET TIRED OF FIGHTING THE GVT IN POWER.BE ASURED YOU ARE CONFUSED BE CAREFUL.
lisu wewe unaongelea udiktekta hivi unajua maana yake mimi nilikuwa natamani sana nchi ishikiliwe na jeshi nione hizo pumba zako utamuelezea nani usiwe mdomodomo sana fanya kazi yako pita kushoto duniani mapito tu hapa
Mbona unaongea kama umekatwa kichwa
kamanda ulianza vita kitambo na sasa ushindi unakaribia
hakuna kana Antipas
idad ya kukamatwa kinaendana na makosa
Kwani ukitulia kama Mh.John Cheyo(Mzee wa kujaza watu mahela) utakamatwa kwa lipi. Ni vyema Mh. Lissu ungekuwa unashughulika na matatizo ya jimboni kwako kuliko kutengeneza bifu na serikali,umepoteza muda mwingi kwenye kesi zisizokuletea maendeleo,wewe ni mwanasheria mzuri lakini heshima yako na taaluma yako inaonekana haina maana yoyote kwasababu ya kupambana na kesi zisizokuwa na tija
Acha unafki mbwa weee