Lissu alivyogoma kutoka Mahakamani ili asikamatwe na Polisi Dodoma

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 298

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 7 років тому +22

    I love you Brother.

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 7 років тому +38

    binafsi huwa nakaa chini nazichambua hoja zako, nakuelewa xnaaa lisu na nakuunga mkono myb kwa sababu ya uwingi au uchache wa akili yang...!! ur right man.

  • @fahamyjuma7082
    @fahamyjuma7082 7 років тому +27

    nakulewa sana lisu

  • @meshackswai2843
    @meshackswai2843 4 роки тому +2

    Lisu Mungu anakuenda umalize kz yko ndio akuite kk kiukweli an vr goog my brother

  • @morisbarakah5292
    @morisbarakah5292 7 років тому +17

    pole sana kamanda lissu

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah2094 7 років тому +52

    unaongea mambo mapana sana kulko akil z baadhi y w Tz ...hatjui uhuru wetu 2nabak kutshwa kila leo

  • @edwinsombi175
    @edwinsombi175 7 років тому +7

    i real love you lissu. uko vzur sana. long live sir

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 5 років тому +5

    Mungu mjalie lisu

  • @khalidguffu
    @khalidguffu 7 років тому +5

    Kuna haki ya kuzungumza ila hakuna haki baada ya kuzungumza ...KAMA UMEKUBALIANA NA MIMI PIGA LIKE

  • @jifunzeteknolojia9304
    @jifunzeteknolojia9304 7 років тому +19

    Unatisha kamanda lissu

  • @merrysabina7798
    @merrysabina7798 7 років тому +4

    nakielewa sana hiki kichwa kimebarikiwa sana

  • @meshackswai2843
    @meshackswai2843 4 роки тому +1

    Tundu mungu akupe maisha marefu kaka yngu

  • @kfastak
    @kfastak 6 років тому +2

    Dah. Baada yasiku hii, skuchache waka kupiga risas ... Pole Sana lisu.....

  • @dichodaplaiza
    @dichodaplaiza 7 років тому +210

    kichwa hiki jaman hebu kama unakielewa gonga like hapa

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 років тому +2

      Dicho Da plaiza kumbe unaogopa kukamatwa. utakoma. kwanza we mwongo unajihami tu

    • @mussaleokayombokayombo2063
      @mussaleokayombokayombo2063 7 років тому +11

      lissu anajitambuwa ila wabongo elimu habule chitu

    • @saginiaruna2909
      @saginiaruna2909 7 років тому +3

      Dicho Da plaiza bora wewe unaejua kuandika jina langu

    • @sonbramadhani2822
      @sonbramadhani2822 6 років тому +1

      yani nakukubali hadi naumwa

  • @renoxtz8418
    @renoxtz8418 7 років тому +46

    pole sana lissu ni kweli unachokiongea nchi hii niya kidiktekta pole sana hakimu

    • @meshackymishondo8087
      @meshackymishondo8087 7 років тому

      kumbe unaongopaga mweu wee

    • @petervisent1522
      @petervisent1522 7 років тому +2

      ww hata kuandka hujui muache msomi

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 років тому +1

      Hakuna msomi Tanzania. kama tungekuwa na wasomi tusingenunua maji ya drip Uganda.

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 років тому +3

      Renox Tz unampa pole ya nn?

    • @mtawalanyazirari376
      @mtawalanyazirari376 7 років тому +4

      Renox Tz kumbe hata hujui tofauti ya wakili na hakumu ndio maana unamfurahia saaana tundulisu.

  • @joachimerass389
    @joachimerass389 7 років тому +7

    Aiseeee wewe ni noma kuliko one love

    • @modestuskibwana8996
      @modestuskibwana8996 7 років тому +2

      kumbe unajua kama unakosea,toka nje wewe si jasiri, unaogopa nini?

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 7 років тому +13

    Shikamoo Lissu

  • @ibrahimmzee3237
    @ibrahimmzee3237 7 років тому +6

    Fresh brain

  • @footageguru
    @footageguru 7 років тому +9

    Uhuru ni mdogo sana tz ndo kinachosumbua

  • @SAMSONKITULA77
    @SAMSONKITULA77 7 років тому +2

    tuko pamoja mh lissu Na Mungu yuko pamoja nawe

  • @victormalinga639
    @victormalinga639 5 років тому

    Akiri zako ni pevu sana kaka lisu, songs mbele kwa maslahi ya Tanzania Yetu Mungu yupo Brother......!!!!

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 7 років тому +14

    huu kwa mahakam mtaishia kumkamat tu kisha mnamuachia kwa sabbu vifung vyote vya sheria anavijua

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 роки тому

      Wakati mwingine ukimfunga mtu mwanasiasa unampa ujiko zaidi,,,,,,

  • @laurentmwawende9556
    @laurentmwawende9556 7 років тому

    Big up RCO Wambura

  • @hermankaspar9238
    @hermankaspar9238 7 років тому +3

    mungu yu pamoja nawe lissu

  • @kingdomembassychannel8660
    @kingdomembassychannel8660 4 роки тому +1

    Who else matching this 2020 niyeye

  • @nickoemanuel9213
    @nickoemanuel9213 7 років тому +8

    Lissu hakika ww ni mwanashiria mashuhuri na maridadi haswa!!! Big up xana kamanda!!!

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 2 місяці тому

    Tundu is the Man of country 💯

  • @daudihassan411
    @daudihassan411 7 років тому +18

    nakukubalisana risu daa endelea hivyohivyo usiache

  • @bugombatv2166
    @bugombatv2166 7 років тому +3

    Pole sn kk

  • @allytafu4144
    @allytafu4144 7 років тому +26

    wakili msomi

  • @KelvinLoshiva
    @KelvinLoshiva Місяць тому

    Nzur

  • @janeobure890
    @janeobure890 7 років тому +6

    nakukubali sana tundu lisu unatutetea Zungumza, ss tunazuiwa kuongea tunaelewa yote yanayoendelea kaza buti hipo siku mungu atasikiliza vilio vyetu,hata Wana wa Israel waliteseka utumwa Misri kwa muda wa miaka 400 lakini ilifika kipindi mungu aliwatoa utumwani Misri.

  • @richardkubanda6805
    @richardkubanda6805 4 роки тому

    Nakukubari sana Mzee Lissu. Hakika hoja zako zinaukweli mwingi ndani yake. Nakuombea kila LA kher kwa Mungu. Hoja zako zina mashiko Baba Lissu.

  • @anthermysatriwhymwamasika6550
    @anthermysatriwhymwamasika6550 7 років тому +23

    napenda sana mh. tundu lisu aje kua rais wa tanzania mwaka 2020ntafurahi sana sana tena sana hakika mwenyewe mungu ni mwema ipo siku utajua rais mwaka 2020

    • @luthermkally8142
      @luthermkally8142 7 років тому +4

      Anthermy Satriwhy Mwamasika ndoto hizoo za mchana labda awe kiranja Wa mirembe hospital lakini kuwa rais ndotoo

    • @calvinerasm4426
      @calvinerasm4426 7 років тому +3

      Anthermy Satriwhy Mwamasika upo sahihi. muosha vyombo hawez kukuelewa

    • @piusmarcomakelele2021
      @piusmarcomakelele2021 7 років тому +1

      awe rais kupitia wapi hafai kabisa hata huo ubuge bas2 hafai kuwa na cheo Chochote anaombea mabaya nchi ye2.

    • @jafarihamis3694
      @jafarihamis3694 7 років тому +2

      hata kwa tochi haupati

    • @vailethstanley9214
      @vailethstanley9214 7 років тому

      Anthermy Satriwhy Mwamasika hapati ht kwa kupanga bunduki na risasi kila kona ya barabara zote za kwenda mikoani

  • @MasungaNekwa
    @MasungaNekwa 2 місяці тому

    Mwamba wa Afrika Mungu akulinde na akutunze.

  • @chinaliviga7366
    @chinaliviga7366 5 років тому +3

    Mungu yuko pamoja naww lisu kama serekari ya tanzania 🇹🇿 ya awam ya 5 kama aitaki hak kwako mungu ana waona apa dunian tuna pita kama awatak hak apa tulipo bc kwa mungu haki ipo______p1 xana mheshimiwa lissu uzma wa milele kwako mpenda haki

  • @kombosudy6106
    @kombosudy6106 7 років тому +1

    Pole sana lisu

  • @carodavies3422
    @carodavies3422 5 років тому

    Your Excellency.my president. You working hard and proving that you are pracatising DEMOCRACY and this is the reason. Why you have been appointed the SADC Chairperson.tell the police to bring up a report on who attempted to kill t honourable tundulissu.because arresting him will paint a bad picture on you .ccm andopposition parties after he is just coming frm the hospital

  • @carodavies3422
    @carodavies3422 5 років тому

    True democracy expect opposition parties to console the government. Honourable tundulissu we are praying for your agent recovery. God see you thru

  • @isackigacka9802
    @isackigacka9802 7 років тому

    lisu mungu akulinde saana sana

  • @josephmuya3596
    @josephmuya3596 7 років тому +2

    Nimekuelewa sana Lissu, Upo sahihi kabisa

  • @givenmwikanu5527
    @givenmwikanu5527 7 років тому +8

    Kiukweli kaongea point mno hadi machozi

  • @yohanaadamuyohanaadamu7914
    @yohanaadamuyohanaadamu7914 4 роки тому +3

    Nakukubali sana lisu

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 7 років тому +15

    Ebu MAGUFULI achana kufuatilia sana Wapinzani..!UNAJIARIBIA..!We piga kazi kama unavyosema,wananchi watakurudisha IKULU kama utatimiza uliyoahidi tu!

    • @saginiaruna2909
      @saginiaruna2909 7 років тому +3

      Aloyce Kiwia magufuli hajamfuatilia mtu sema lisu hata angetukanwa na Mke wake angesema ni njama za rais ila huku kwetu tushamzoea

    • @issataslima6280
      @issataslima6280 7 років тому

      +Sagini Aruna polesaaana wewe mtuganithujui hatakuandikajinalako

    • @nicholausrutayuga5865
      @nicholausrutayuga5865 7 років тому +2

      Sagini Aruna hukusikia Rais akimwagiza Spika kuwashughulikia bungeni na yeye atadili nao wakiwa nje?

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 4 роки тому

    Mungu akusimamie

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 Рік тому

    Nimeumia sana ila Sasa Hayo mambo hayapo tena Kiukweli ilkua msoto msoto

  • @jumarajabu2137
    @jumarajabu2137 7 років тому +4

    pamoja sana

  • @elvunielvuni6637
    @elvunielvuni6637 7 років тому +3

    nani agonge like kwa 0

  • @haroldukason4302
    @haroldukason4302 7 років тому +5

    Rais nampenda anafanya vizur sana. pia namuunga mkono Lisu kwa kuwa watu kama hawa wana faida kubwa kwa kuwa wanawafanya viongozi wasijisahau na kupitiliza

    • @nicholausrutayuga5865
      @nicholausrutayuga5865 7 років тому

      Harold Ukason Kelele zake zitamfanya raisi azidi kuwatumikia wananchi ili asiteleze. Watu kama huyu ni wa muhimu ili serikali isijisahau. Si vema sana kumsifu rais kwa sasa. Tumkosoe pale anapokosea, tusimsifu kwa mazuri maana hayo ndiyo yanayotegemewa na kila mtu, rais hakutuahidi kututendea mabaya bali mazuri, akitenda hatuna haja ya kukaa tukisifu. Kwa Hulka zetu mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Upo wakati ambapo tutamsifu...ni pale amemaliza vema kazi yake. Hata mwenyewe sijawahi kumsikia akiwaomba wananchi wamsifu, anaomba wamwombee. Nadhani hilo ndo la kufanya

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani5331 4 роки тому +1

    Pamoja mkuu

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 4 місяці тому

    Balaa

  • @mejatate48
    @mejatate48 6 років тому

    yaani we lisu mungu hajakuumba kwa bahati mbaya. yaan unastahili na Tanzania wakiwepo hata watano wa type yako tungekuwa mbali ila kamanda ucjali 2020 kama kawa

  • @semenimwalongo1841
    @semenimwalongo1841 7 років тому

    Hii nimbaya sana

  • @godfreyappollinary2650
    @godfreyappollinary2650 4 роки тому +1

    Kikubwa rafikiang lisu hujui kuongea, ila unajua kutukana na kuchochea, huna adabu kupitia kinywa,

  • @enriquestephen5323
    @enriquestephen5323 4 роки тому

    Nawakumbusha tu wanaomchukia Lissu na kumbeza kwa minaajili ya uccm, au maslahi binafsi wanayoyapata kutoka ccm naomba mjue tu kuwa mnashindana na ile KWELI ambayo mungu katuletea watanzania, ili umwelewe Lissu, weka uccm kando kwa dakika 2 tu umsikilize ukiwa mtanzania asiye na chama cha kisiasa

  • @farajambela6975
    @farajambela6975 7 років тому +1

    Aiseee

  • @mbiyugobo1031
    @mbiyugobo1031 4 роки тому +1

    Kwanini kaka usiachana nahaya mambo ya kutafutwa mapolice tatizo nini

  • @victorstv255
    @victorstv255 7 років тому

    HONGERA TUNDU LISSU kwa ujasiliwako laiti wangekuepo watu majasili kama lissu inchi ingepona

  • @mboyajackson4574
    @mboyajackson4574 7 років тому +2

    This guy he's so annoying, naomba tu akamatwe na afungwe maisha.

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому

      Na nosivyompenda anavyobwata kam halim mdee mhh wakafie huko huko

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 5 років тому +2

    Simuelewi kabisa hajui Sheria ni porojo tu wakiki gani anamchukia mkuu wa nchi yake

  • @marcodavid4183
    @marcodavid4183 7 років тому

    lisu namkubali sana......huu mwamba ni habari nyingine.....ila serikali punguzeni manyanyaso kwa wapinzani

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya9194 7 років тому +11

    toka wapo nnje

  • @kidangashemaginde6320
    @kidangashemaginde6320 7 років тому +34

    watu kama hawa wangekua kama 10 tz ingepiga hatua sana

  • @eliampagike6262
    @eliampagike6262 7 років тому +2

    natamani xn nngekuwa kma Tundulisu

  • @sulaimanabdallah4088
    @sulaimanabdallah4088 5 років тому +2

    Tanzania siyo nchi ya kidikteta usianze kuvuruga nchi wote msukumwe ndani

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 7 років тому

    maguful sikumchagua nasita mchagua nakama ntamchagua naomba mungu nife hapo hapo

  • @paulmosha6335
    @paulmosha6335 7 років тому +4

    siasa bongos ukiongea ukweliii

  • @devidisaya4346
    @devidisaya4346 5 років тому +1

    Nyie ndo munazuwia ndege zetu wanafiki

  • @brownjob9756
    @brownjob9756 7 років тому

    kweli Lussu bongo bahati mbaya tu

  • @regnaldobadia753
    @regnaldobadia753 5 років тому +1

    Kichwa na akilii ya huyu jamaa computer haioni ndani.

  • @jbmonlinetv257
    @jbmonlinetv257 5 років тому +2

    Br unatxh xnaaaaaa i like to be like you

  • @jifunzeteknolojia9304
    @jifunzeteknolojia9304 7 років тому +12

    Nchi ya kidikteta

  • @benedictmtewele9842
    @benedictmtewele9842 7 років тому

    Ila tz ya Leo mungu ndo anae jua ila najiuliza kuna MTU aliye juu ya sheria kweli nawaza tu kwa sauti

  • @hamisgagala4891
    @hamisgagala4891 6 років тому

    Gate well soon Lissu.

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif5785 4 роки тому

    Halafu anatokea mtu anajiita yeye ndio mzalendo na lissu msaliti. ACHENI KUMUNGUNYA MANENO . TUNDU ANTIPAS LISSU NDIE MZALENDO NA KWA MADHILA ALIYOFANYIWA YEYE NDIE ANAESTAHILI KUWA RAISI 2015.

  • @sulaimanabdallah4088
    @sulaimanabdallah4088 5 років тому +1

    Kosa la jinai hilo kumwita rais dikteta makufuli oyeeeeeeeer

  • @anafihassani8315
    @anafihassani8315 7 років тому +2

    Acha nikae kimyaaa

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 роки тому

    Walikua wanakuinda zamani hawa jamaa, Mungu Anakupenda, wana anza tena hao watch out kamanda madictor wapo bado hapo eehh!

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 7 років тому +1

    mmmh!

  • @josephatjosephbaza2962
    @josephatjosephbaza2962 5 років тому

    hakika lissu ndiye mtanzania wa kweli. Mungu akuponye

  • @faridafaddy427
    @faridafaddy427 7 років тому +1

    Mr. Lissu, if you call President Magufuli dictator, how about Musevi of Uganda? Achana na raisi wetu mpendwa John Pombe Magufuli.

  • @kingdomembassychannel8660
    @kingdomembassychannel8660 4 роки тому +2

    Mwamba tuvusheeee

  • @emmanuelbirage4931
    @emmanuelbirage4931 7 років тому +1

    bro toka nje tuone, basi si hauna kosa??

    • @markomabula3465
      @markomabula3465 5 років тому

      sasa unagoma kutoka kwan hapo mahakamani ndiyo kwako nakama huna kosa mbona wasiwasi mwingi mzee baba

  • @nicethamanonga5855
    @nicethamanonga5855 4 роки тому

    Sijui alisomea wp uchochezi uyu baba

    • @gregoryocalvin9122
      @gregoryocalvin9122 4 роки тому

      Wewe sijui umesomea wapi ujinga
      Maana umefaulu ujinga kwa stashahada ya uzamivu ya ujinga

  • @mchomvuthuma8329
    @mchomvuthuma8329 7 років тому

    wabongo
    huyu
    lisu
    hajui
    chochote
    anaogopa
    wazungu
    mwanasheria
    gani

  • @aeroportonissan8077
    @aeroportonissan8077 7 років тому +22

    duh!
    huyu jamaa ni jasiri.

    • @johns794
      @johns794 7 років тому +3

      aeroporto Nissan Angetoka kama kweli nijasiri mpuuzi huyu.

    • @aeroportonissan8077
      @aeroportonissan8077 7 років тому +1

      John s umenifuraisha sana kwa comment yako ya reply

    • @mrdeniskomba768
      @mrdeniskomba768 7 років тому +9

      aeroporto Nissan mwenye akili timamu hawezi mpuuza risu.

    • @aeroportonissan8077
      @aeroportonissan8077 7 років тому +3

      kwaiyo Jones hana akili timamu?

    • @nyakimadeye6629
      @nyakimadeye6629 7 років тому +3

      nikweli kabisa yani huyu jamaa acha kabisa

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 4 роки тому +1

    penda sana wewe🤗🤗🤗🤗

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 7 років тому +10

    Waliambiwa haupo nyumbani na ni Dar es Salaam?maana yake hauishi Singida kule jimboni kwako unatatuaje matatizo ya wananchi wako?

    • @rukiarswidu834
      @rukiarswidu834 7 років тому

      george massebu haihusiani kutokuwepo jimbon.kiongoz wa kitaifa huyu

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 7 років тому +1

      Rukia R Swidu mmeshikiwa akili mpaka nakuhurumieni

    • @rukiarswidu834
      @rukiarswidu834 7 років тому +2

      george massebu jihurumie mwenyewe na kizaz chako.mpige LISSU kwa hoja.acha porojo.umesikia hoja zake na umezielewa?

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 7 років тому +2

      Rukia R Swidu siwezi kua na sababu ya kubishana na wewe hata kidogo maana unajionyesha akili yako iko vipi.MUNGU akusaidie sana na uwe na siku njema

    • @chrispinkilasi1648
      @chrispinkilasi1648 7 років тому +3

      george massebu huyu pia ni rais wa mawakili tanzania kwa hyo ofisi zake ziko dar....

  • @saidzww
    @saidzww 7 років тому +1

    ww si jeuli toka njee uwone

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 років тому +2

    uyu mzee simpendi kinoma,anajifanya mjuwaji Adi anaboa

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 4 роки тому +1

    Sheria unazijua ila kwann unapotosha wa Tz maku wewe ucye na uzalendo

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 7 років тому +1

    lisu nishida kwa ccm lakini wanamuonea yuko sahii

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 6 років тому

    penda sana lisu

  • @enockfumbuka107
    @enockfumbuka107 4 роки тому

    SIYO WAPINZANI WOTE NI NYINYI WACHACHE AND YOU ARE NOT ABOVE THE LAW.WAIT AND SEE JUSTICE IS NOT ONLY DONE BUT IT MUST BE SEEN TO BE DONE.TAKE YOU WILL GET TIRED OF FIGHTING THE GVT IN POWER.BE ASURED YOU ARE CONFUSED BE CAREFUL.

  • @godfreymlay5106
    @godfreymlay5106 7 років тому +2

    lisu wewe unaongelea udiktekta hivi unajua maana yake mimi nilikuwa natamani sana nchi ishikiliwe na jeshi nione hizo pumba zako utamuelezea nani usiwe mdomodomo sana fanya kazi yako pita kushoto duniani mapito tu hapa

    • @giztony2009
      @giztony2009 5 місяців тому

      Mbona unaongea kama umekatwa kichwa

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 роки тому

    kamanda ulianza vita kitambo na sasa ushindi unakaribia

  • @BARAKABLESSING
    @BARAKABLESSING 7 років тому +1

    hakuna kana Antipas

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 років тому +3

    idad ya kukamatwa kinaendana na makosa

  • @ridhiwaniomari7425
    @ridhiwaniomari7425 5 років тому +1

    Kwani ukitulia kama Mh.John Cheyo(Mzee wa kujaza watu mahela) utakamatwa kwa lipi. Ni vyema Mh. Lissu ungekuwa unashughulika na matatizo ya jimboni kwako kuliko kutengeneza bifu na serikali,umepoteza muda mwingi kwenye kesi zisizokuletea maendeleo,wewe ni mwanasheria mzuri lakini heshima yako na taaluma yako inaonekana haina maana yoyote kwasababu ya kupambana na kesi zisizokuwa na tija

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka1121 4 роки тому

    Acha unafki mbwa weee