WAPE TABASAMU | MC Mboneke, Mr. Mwanya watunishiana misuli kwa maneno
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2024
- Tazama huu ushindani wa maneno kati ya wahamasishaji hawa wawili, MC Mboneka wa Team Dickson Job na Mr. Mwanya wa Team Kibwana Shomari.
Ni kuelekea tamasha la #WapeTabasamu litakalofanyika Juni 22 mjini Morogoro.
Tamasha la Wape tabasamu litafanyika katika dimba la Jamhuri Morogoro, Jumamosi ya Juni 22 kati ya Team Kibwana dhidi ya Team Job.
#WapeTabasamu - Спорт
Tufike kwawingi tumsapoti kibwana
Hivi hao mmewatoa wapi??
Nimecheka sana nani alikandwa 28😂😂😂