MSIKIE ALLY KAMWE AKIZUNGUMZA NDANI YA SERENGETI | UJIO WA ACHRAF HAKIMI | USAJILI MPYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 чер 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #SerengetiNationalPark
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 74

  • @kahwajs
    @kahwajs 5 днів тому +22

    Leo me was kwanza bhn nipen like zangu mwananchi mwenzenu kahwa

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 5 днів тому +17

    Et kombe lipite lisalimie wanyama mbalimbali dahhhh nimecheka sanaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 днів тому +19

    Tanzania bila yanga haiwezekani

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 5 днів тому +15

    Hakuna ushamba ktk maisha, maisha ni mtazamo

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 5 днів тому +11

    Brilliant man

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 5 днів тому +5

    Inshaallah Allah aijaalie timu yetu mafanikio zaidi

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +7

    Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 5 днів тому +13

    Kama nyie mlipeleka kifurushi cha nguo mlima kilmanjaro, mnaona ushamba kupelekwa kombe serengeti?.

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +5

    Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +4

    Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu

  • @Chilowechilowe-ez5mp
    @Chilowechilowe-ez5mp 5 днів тому +5

    sema hilo kombe zuri xan

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +7

    Yanga

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 5 днів тому +9

    We aly kamwe pamela yuko na mavala tv leo anakulilia ulimwahd kwenda nae morogoro alf haujatimiza. Alf huyo simba juu ya mti alipo ona kombe alitabasam et😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +5

    Yanga 🎉🎉🎉

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 5 днів тому +6

    Safi sana

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +4

    Kila la kheri 🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +4

    Yanga 🎉🎉🎉🎉

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 5 днів тому +5

    Ally Pamella analia kwaajili Yako aisee 🤣🤣🤣Fanya mchakato Mkuu 🙏🙏🙏

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 5 днів тому +4

    Utani utani mara hakim anakua mwananchi

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 4 дні тому

    Hongera Sana semaji letu naona unatamba na kombe lako mwenyewe

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 5 днів тому +3

    Well said 🙏🙏🙏

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 4 дні тому

    Umoja wetu nitishio kubwa Sana Yanga oyeeee sema kamwe

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 5 днів тому +4

    Ila kamwe unawakela ww duuuuh

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 5 днів тому +1

    Kilalakheir Viongozi wetu

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 5 днів тому +4

    💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @MirumbeMarwa-eo2yl
    @MirumbeMarwa-eo2yl 4 дні тому +1

    yan ally et my wetu alikua anaogop😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 3 дні тому

    Yanga hoyeeeee

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 5 днів тому +3

    Nimechekaa ahahahahahahah uuuwiiii huyo simba alivopanda kwenye mti 🤣🤣🤣🤣

  • @SiliviaJoshua-gd3xd
    @SiliviaJoshua-gd3xd 4 дні тому

    Mmetisha yanga hamna jambo dogo

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 5 днів тому +3

    Yanga hatuna dogo ss

    • @ameir13mwadini47
      @ameir13mwadini47 4 дні тому

      Hili kombe kweli ni Mali ya Yanga ndio maana lina umbile la Y

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 4 дні тому

    Hatar kweli l kweli hapa msemaji tumepata

  • @EliudJames-s3m
    @EliudJames-s3m 5 днів тому +1

    Msemaji hatar sana

  • @allinoti
    @allinoti 4 дні тому

    Kazi wanayo upande wapili

  • @danielsaninga1787
    @danielsaninga1787 4 дні тому

    Na Bado Bugati ndani,mbona msimu huu kazi wanayo

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 5 днів тому +1

    💛💛💛💚💚💚

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 3 дні тому

    Hauna baya Ally kamwe

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 4 дні тому

    🔥🔥🔥

  • @ramadhanikuchuna5410
    @ramadhanikuchuna5410 4 дні тому

    Kuwakilisha kufanya jambo kwa niaba, kuwasilisha ni kukabidhi iwe ripoti au taarifa

  • @ksjmashairi538
    @ksjmashairi538 5 днів тому

    Inawakilisha sio inawasilisha....Yote kwa yote hongereni kwa ubunifu uliotukuka. (Kwakua tunatangaza utalii basi tujitahidi kiswahili tukifikishe kwa usahihi). Kuwasilisha ni neno sahihi la kiswahili ila maana yake sio hiyo uliyokusudia. Hapo ulitakiwa kusema kuwakilisha....Kuwasilisha maana yake ni kufikisha kitu chochote mahala fulani.

  • @poprehemason5873
    @poprehemason5873 5 днів тому +1

    😂 wakae kwa kujishikilia ..unaelewa hiio kitu ukiwa kwa gari vile itakuwa

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 5 днів тому

    Nawaona makolo wanavyoteseka juu miti baada ya kuliona kombe duhh Ally unajua kuwakera makolo😂😂

  • @ismailkiwawas5982
    @ismailkiwawas5982 4 дні тому

    😂😂😂😂😂hapo kwa mai wetu duuh😂😂😂😂wewe kamwe ww

  • @mansouromary9246
    @mansouromary9246 4 дні тому

    ILA ALI KAMWE😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 5 днів тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁

  • @samsonyuves7923
    @samsonyuves7923 4 дні тому

    Baba Pamela 😂😂😂😂

  • @michaelcretus1490
    @michaelcretus1490 5 днів тому +1

    😂😂😂😅😅

  • @PaulinaKirway
    @PaulinaKirway 5 днів тому

    Ukianza na kubwa usishangae utaishia na dogoooo

  • @everlynkimaro40
    @everlynkimaro40 5 днів тому +1

    Leo nikukosoe semaji, sio kuwasilisha ni kuwakilisha. 😂😂😂

  • @amanizavala
    @amanizavala 5 днів тому +1

    Utopolo washamba sna

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t 5 днів тому +1

      Haha😂😂😂 hapo kwanza nicheke yanga washamba nyie simba wa mjini et?? Vp zile pesa za mchicha na boxer mlishalipa au ndo kwako hakuna furaha unakuja kuitafuta kwa jirani??

    • @kapondadr5840
      @kapondadr5840 5 днів тому

      Kupeleka matambala mlima Kilimanjaro ndo ujanja??? 😂😂

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu 5 днів тому

      😂😂😂😂 washamba waloo peleka matambala mlima Kilimanjaro wao walipeleka matambala wenzao wakapeleka kombe we huwogopi 😂😂😂😂😂

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 5 днів тому

      Tatizo mashabiki wa simba wamekaa kiroho mbaya.Mtu mwenye roho mbaya huwa hafanikiwi hata siku moja

    • @TheGoldmanTz
      @TheGoldmanTz 5 днів тому

      yupi mshamba kati ya aliepeleka furushi la maronya rona mlima kilimanjaro, naaliepeke kombe😂 twende apo

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 5 днів тому

    Kombe la serikali timu ya serikali mpaka league pia ..... Akija mbappe mtamuonesha hadi matako 😂 huyo akim mkamuonesha kombe kama kivutio

    • @hasanimohamedi279
      @hasanimohamedi279 4 дні тому

      😂😂😂😂😂acha wivu www utazeeka vibayaaaaaaa😅

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 5 днів тому

    Huo sio ubunifu NI matumizi mabovu ya rasilimali za klabu

    • @user-to6cg8uf3f
      @user-to6cg8uf3f 5 днів тому

      Wewe jitafakar....kuna game ya charity(kurudisha Kwa jamii) hakimi nae kama Mchezaji mkubwa atahusika siku hiyo kama kivutio pesa itayopatikana itarejeshwa Kwa jamii kosa liko wapi hapo????

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela 5 днів тому +1

    Lakini na wewe alikamwe inabidi upunguze utoto hata Mimi ni yanga lakini umezidi kufanya matumizi yasiyo kuwa rasimi na viongozi WA kuangalie hizo NI ada zetu unafanya utalii kwa kihezo kwamba unazungusha kombe kwa nini hulipeleki hata gombe huko kigoma au mahale punguza utoto

    • @user-nn8yj7fe4n
      @user-nn8yj7fe4n 5 днів тому

      Wewe ndo unaona utoto, fikra zako ndogo.." At first you have to risk "

    • @gabrielnjiapanda3710
      @gabrielnjiapanda3710 5 днів тому

      Hiyo ni biashara wewe na ukae ujijua hapo Crdb wamedhamini hiyo tour ndio maana anawatangaza sana.

    • @TheGoldmanTz
      @TheGoldmanTz 5 днів тому

      mzee hizo gharama zote ziko sponsord na CRDB sio pesa ya club hizo ni offer za Team bingwa hata ingeshinda team nyingine wangefanya hivyo, wewe huwazi kwanin hawajabeba kombe la premear league? (NBC)?

    • @TheGoldmanTz
      @TheGoldmanTz 5 днів тому

      alafu Ally kanwe ni Balozi wa CRDB , naona tatizo sio wewe aoo tatizo ni shule

    • @emmanuelsylvester3190
      @emmanuelsylvester3190 4 дні тому

      Kama unaona anazitumia vibaya usilipie kadi yako 😂

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 5 днів тому

    sijawahi kuona tokea nizaliwe mshamba kama Al kamwe yaan kusemea mpira hajui amekaa mambo yake kama ya mke mwenza,

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 5 днів тому +1

    Yanga 🎉🎉🎉

  • @EliudJames-s3m
    @EliudJames-s3m 5 днів тому

    Msemaji hatar sana

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 5 днів тому

      mnaojua kiswahili sawa ,nafurahi kuwa mmeelewa ali maanisha nini na sio ushamba au uchungu wa matumizi ya ada zao asemao Enock Kombolela na musarama 7692 wanaokalili .maisha.