Naomba unisaidie Na kama kujifunza je manake MN I Mimi natamani kujifunza hata kuingia darasani sawa napenda sana kujuwa zaidi Na hasa kupamba ndo bado sijui vizuri
mashallah maelekezo mazuri,but mm napenda and i wish one day niwe napika keki nzuri but nimejaribu mara kadhaa hazijawa nzuri yaan zinaiva lkn chini zimafanya mafuta😢 please i need your help
Asante mpenzi kwa darasa lako nzur Allah azidi kukupa ujuzi zaid, but changamoto yangu ni moja mpenz tafadhali naomba unisaidie kila nikipika cakes inapasuka niambie shida nini plz 🙏
Hello dada naomba unisaidie jinsi ya kufanya ili keki isishikize kwenye cupcake mm muda mwingine nikitoa keki uwaga inashikiza chini na sometimes inakatika kabisa
Asante kwa somo dada, ubarikiwe Ila da Mziwanda Nina swali, je, ili kupata keki iwe juu flat bila kuwa na crack (kupasuka) unafanyaje?? Maana Mara nyingi nikibake keki inafura Sana juu na inapasuka juu hali inayosababish keki ya kuondoa ili kupata level sawa inakuwa kubwa sana☹️ Nn tatzo hapo na suluhu ni nn??
Umenisaidi sana shukran kipenzi
Asante darasa zuri
Naomba uniunge kwa group
Nashukuru sana dada kwa somo hili zuri la leo yani kwa mafunzo yako mpaka saivi nina bakery yangu na mimi nashukuru sana sana dada ❤️🤍❤️
Karibu sana na hongera kubwa kwa mafanikio Mwenyezi Mungu azidi kuweka baraka.
Ni lazma kutumia sukari nyeupe?
Barikiw sana nmejifunz zaid leo
Asante sana kwa maelezo yako lakini Mimi sijui nakosea wapi keki zinakuwa ngumu haziwi lakini sana kila wakati
Sawa nimempata mwanga Kwa kiasi chake, maana najifunza Bado, lkn nikifikia ile hatua ya kuweka mayai mbona keki inakatika nakosea wapi sijui
Naomba namba
Asante sana dada kwa mafunzo mazuri mie naomba darasa jinsi yakupamba keki kutoa mauwa kwakutumia zile nozzle
Your the best mziwanda bakers🥰
Beautiful mashallah. From instructions to practical. Stay blessed.
Wooow sasa nmeelewa kabsa nashukuru kwa hii video
Asante hivi dada huwa navurugwa na maumbo yakeki utakuta keki ina umbo la kitabu au mdoli hv inakuwaje hapo
Asante jamani oven nayo inanizingua sana Kuna wakati hasomi muda pia Kuna wakati inatoa moto wa juu lkn moto wa chino yaani koil haziwaki
God bless you ♥️
Nawwapongeza Sana muko vzur ktk mapish nimevutika kujiunga na hii chanel
Nafurahia sana masomo yako dada Mungu akubariki
Asante kea somo my wangu
Naomba unisaidie Na kama kujifunza je manake MN I Mimi natamani kujifunza hata kuingia darasani sawa napenda sana kujuwa zaidi Na hasa kupamba ndo bado sijui vizuri
Nafaidika sana na vipindi vyako, ubarikiwe
Asante nimejifunza kuoka keki
Nimeongeza maria mapya asante sana
mashallah nimependezwa sana
Asante nimejifunza
Asante dada nimeelewa somo
Mashallah,,,,ila nahitaj kujua zaid
Allah S W A akubarik inshaAllah
Jazaakillahu khayra that was wonderful
Amiin
Unapatkana wap
Asante kwa darasa zuri
Hongera dada unaelekeza vizur
Dada naomba unisaidie wapi nakosea maana keki inakuwa ngum
😂😂😂ugali tutapkia tembele nishapka sana ugal jaman shukran sister
habari madam naomba msaada aisee mm mchanganyiko wangu wa sukari na blueband nishaweka mayai huwa unakatika sijui kwanini naomba msaada..?
Napenda sana😊❤😍
You are such a blessing
J ko
Asante mpendwa
I love baking
Asante nilikua najiuliza nikwanini kekizangu haziwi nzuri kumbe sababu ndio hiyo yakukoroga sana asante mpenzi nazidi kuelewa
Karibu sana
mashallah maelekezo mazuri,but mm napenda and i wish one day niwe napika keki nzuri but nimejaribu mara kadhaa hazijawa nzuri yaan zinaiva lkn chini zimafanya mafuta😢 please i need your help
Asante sana my Best Teacher
Karibu dear
Ubarikiwe
Jamani mmi keki yangu juu haibonyei hvyo halaf ndio ijae inapasuka why??
Shukran sana najifunza vingi toka kwako Allah akubarikie zaidi
🙏🙏🙏❤
mziwanda nakupenda sn my mafunzo yako ni mazur sn dear ubarikiwe sn dada
🙏🙏❤❤❤😘
MashaAllh🤩
Mashaallah shukran daa kwa somo zury hakika unatupa mafunzo mazury tunafaidika uwe na cku njema kwako pia
Shukran dear
Asante mpenzi kwa darasa lako nzur Allah azidi kukupa ujuzi zaid, but changamoto yangu ni moja mpenz tafadhali naomba unisaidie kila nikipika cakes inapasuka niambie shida nini plz 🙏
Dada Asante ,ila mm sina mnzan wa jikoni,na vikombe vya kupimia
Maashaallah....
Allah akutunze we dada
Ameen jazakal Allah kheri
Sufuria zako nazipataje nimezipenda niko kahama naomba na bei pia🥰🥰
0768859358
Habar dada mm naomb namb
Asante kwa masomo mazuri najifunza vingi sana kwako😍
Karibu dear ❤
Naomba kuuliza mnafundisha siku gani
Hello dada naomba unisaidie jinsi ya kufanya ili keki isishikize kwenye cupcake mm muda mwingine nikitoa keki uwaga inashikiza chini na sometimes inakatika kabisa
Yaani Leo ndo nimeingia darasani. Nimekupenda mwalimu . Je una darasa la online?
Mpenzi mm nikipika keki inaiva vizuri ila kwanza inapasuka sana hadi rojo linatoka kwa pale kati halafu chini inakalina sijuwi kwa nn
Samahn mnapatikan wap
Nashukuli nimepata kufaha kitu
Masomo mazuri Dada asante sana
Karibu sana
dada mm.nataka kujifunza kwako nipe muongozo plz
Mafunzo yako ni mazuri sn but mnapatikan wap mi Niko moro
shukran unatufunza meng lkn changamoto kwangu inakuja kuwa keki inavmba vzur ukitoa inaonekana muonekano mzur na ukiweka kijit kinatoka kikavu lakin ukikata inakuwa haikuwiva .. changamoto yang n hyo
Vipimo vyako sio sahihi pia zingatia moto
Hello my dear,kwanini keki yangu inasumbua sana kuiva kati?
Mm huwa nakosea kwenye moto
Mungu akubariki
🙏🙏
Unachukua wanafunzi
Dada samahn mbn mm cake zangu hazipandi Sana ntakuwa nakosea wap
Ahsante nimejifunza kitu,,Sheria namba 8,,Kama umekoroga unga mwingi na unatumia handmixer,,kutumia spatula ni ngumu,,unashauri nini
Naomba video namna ya kuchanganya,icing ya kufunikia keki sijaelewa wanachanganya na nini ,kuna gell au ni butter
Namba kujua utaratibu wa darasa ni siku gani?
Asante
Safi hadi raha
Mbona cake inapasuka na kuwa ngumu kwa nn?
Asante dada nilijaribu nikabeki unga wa nusu kilo keki ikaiva vizuri na laini but haiwi kubwa sana wakati wewe nusu naona unatoa keki mbili
Inategemea umetumia tin za size gani ,hongera kwa kupika vizuri
Masha allah
Nimeshindwa kujua moto wa oven naset juu chini au chini pekee
Sorry naitwa Rachel, nilikua nauliza kwanini keki inaweka kama unjevu baada ya kuipika
Shukran dear
Karibu dear
Samahani sijaelewa hicho kipengele cha mwisho kabsa hapo kwenye kukoroga unga
Nahitaji vipimo mayai 10
Ahsante sana
Asante Kwa somo nimekuelewa
Nikumiss sana ndugu yangu wa faida jamani sababu nilipoteza cm now nipo hewani halaf nimekutana na Somo zuri sanaaaaa🥰 much love
🤝❤
Naomba kujua kwanini cake inafanya mlima hapo kati
Shukrani udugu WETU 🥰sikuhizi najua kupika kenki mpaka nimetamani niolewe gafula 🤣🤣🤣ishi bebe
Hahhahhaah
🤣🤣🤣🤣
Me naomba kuuliza kwa nn cake inafura juu san na kupasuka
Asante san dada Naomba na mbazakoza whats app
Shukran Sana mamy
Karibu
Mbona keki Wangu unapasuka juu
Asante kwa somo dada, ubarikiwe
Ila da Mziwanda Nina swali, je, ili kupata keki iwe juu flat bila kuwa na crack (kupasuka) unafanyaje??
Maana Mara nyingi nikibake keki inafura Sana juu na inapasuka juu hali inayosababish keki ya kuondoa ili kupata level sawa inakuwa kubwa sana☹️
Nn tatzo hapo na suluhu ni nn??
Nadhani pia chombo unachotumia kubake kikiwa kidgo sana cake ikipanda juu inaenda kuwa overheated inaungua su kupasuka juu
mashaAllah
Keki yangu imeiva ila ina harufu ya mayai shida nini naomba kujua
N vema Kama ungeonyesha jinsi ya kutumia mizani
dada huna darasa online
Nami nahitaji kujifunza
Keki inaweza ikakaa muda gani Bila kuharibika
Kutumia ovena
Tapataje kama izo shelia mwalimuwangu
Yani hayo madurya durya ni mabonge ya unga! Au unamaanisha tusikoroge mpaka unga ukapotelea
Nimejaribu kupika keki inetoka vizuri lakini ndani imekuwa kama imezidi mafuta sijui nimekosea wapi