TETESI MPYA ZA USAJILI SIMBA SC, AZIZ KI, FEISAL, FISTON MAYELE, SADIO KANOUTE, KIBU DENIS, PHIRI,
Вставка
- Опубліковано 28 лип 2024
- Karibu sana Jebison paul Tv sehemu pekee ya kupata Taarifa zote za Wapambanaji wa ukweli Yaani "The Real Fighter" Hapa Utapata Taarifa zote Kila Siku, pindi, Muda, na Saa zinapotokea Tuamini Kwa Kubonyeza Neno Subscribe Ili uwe wa Kwanza kupata Taarifa
Na simba
Zipo HAPA Jebison paul Tv ✅
azizi ki kasajiliwa timu gani
Bado hajasaini TIMU yoyote
Duuuuuihhh simba jaman mangungu na try again waondoke babura arudi tufanye kazi kwa wanasimba
Anarudi 100%
Aziz K anataka kucheza club bingwa , Simba anacheza shiriksho
🤣😂🤣😂😂
Simba hawapo serious unapoanza kuongea ongea ati Aziz Ki, Mayele na Fei Toto. Kama kweli unataka kuwachukua ungeanzisha harakati si kubwabwaja. Sisi Simba tumeshakuzoea tunajua utaishia Kwa akina Sawadogo hao akini Aziz Ki, Fei naMayele hatuwawezi.
😂😂🤣😂😂
Acha uongo wenu hakuna muhindi anae toa pesa zaid ya ujanja ujanja,
😂😂😂😂😂
Simba hawampati Aziz I Nata siku moja😂😂😂😂
Ndio kwasababu Hadi Sasa ana ofaa nyingi na TIMU zenye pesa
Semaji letu la nguvu. Hao utoplo hawana fedha hadi wachangiane wapi na wapi?😁😁😁😁
🤣😂😂😂
Kama ulishindwa wakati yupo 5:38 asec utaweeza sasa hv?acha kuwaongopea wana simba
Nomaa 🔥🔥
2shamzoea huyo azizi huwezi kumssjili ww ahmed ally angalia team yako
Kweli
Mwanangu wadange wajinga hakuna bosi anae kosea mara tatu ukimuona hivyo anafanya ujinga huo bas ujue viongozi na bos wote wamchongo,
🔥🔥🔥🔥