Club Africain 0-1 Yanga SC | Highlights | CAF Confederation Cup 09/11/2022
Вставка
- Опубліковано 8 лис 2022
- Goli pekee la Stephane Aziz Ki limeipeleka Yanga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho barani Afrika #CAFConfederationCup dhidi ya Club Africain ya Tunisia.
Ni mechi ya marudiano iliyopigwa kwenye Dimba la Olympic De Rades Tunis nchini Tunisia baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza kutoka suluhu.... kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. - Спорт
Wala miogo wenzangu like zihusike hapa
Tupooo jamani
Tupoooo 👍🏿👍🏿
Mamaako anaekula muhogo mmoja je n yeye ni mwezetu
Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂
Hahahaaaa
Co kumfunga marumo tu, baada ya YANGA kuingia fainali, maana Safar ilianzia hap na club African alitipa baraka zoooote
Waarabu kwakweri fujo.wanajuwa
😂😂😂
😂😂😂
Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌
Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾
Tar 20 06 2024😂😂😂❤❤
Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH
We support you .. Hilal fan
Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.
No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛
Leo tuko Fainale Babe😂💚🔰🖤
Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki
مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .
Insh allah sudan rafiki
Asanteee saaana
Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa
Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno
llllllllolllllolllllllolllooool
Kweli sema hawa shabiki mihemko wa Bongo ni ngumu
We mnafki cjuzi ulisema hafai
Kabisa sema watu wengi hawawezi
Umenifurahisha sana. Unajua sana ukweli
Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho
Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛
Mke na wanae Nabi kwani ni WA Tunisia 😂😂😂😂
@@bintik2311 Sasa wewe hujui
🤣🤣🤣
Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂
Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.
Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪
Ni furahaaa
Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club
Swadakta
Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥
Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.
Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!
Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa
Wako wp walisema tunapgw goli 7 km kipanga...naon goli Saba imewageukia wao kizungu yaan 7 kizungu inakuw 1 😅😅😅😅yanga tam😘 ...yanga wenzang gonga like hapa
💛💚💛💚💛💚💪💪💪
🙏🙏🙏🙏🙏
Wamelala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ÀNM
YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛
safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.
It was simply fantastic 🥰
No 1 on trending 💚💛
Number 2 on trending 🙌🙌🖤💛💚
This is what we want yanga nmependa sana
Sure Boy
True definition of Football 👍👍👍👍✅
Sure boy
True definition of football
Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job
Hongera sana Yanga, you made it
12/06/2024💛💚🙏
Me nimerudi Tena leo tar 28/02/2024 baada ya kumfunga belouizdad
Aliewadanganya Club africain kuva jezi za makolo ndie kafanya kosa. Sababu wananchi wakionaga tu red and white lazma wampige mtu kama ngoma🤣
Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo
Mipango ya Mungu ni sahihi kuliko ya wanadamu,Makolo mliyoyataka hayakuwa
Wananchiiiiii 💚💛🏆🏅💪👏🔥💯✈️ Unyama mwingiiiiii saaana Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa
Aziz kiiiiiiiiiiiii Yanga tamu bana but Yanga ange kua serious toka mwanzo ange kua club bingwa
Kweli
Tuliovumilia kuipa moyo timu yetu yujuane
Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu
Aliyerudia hii mechi Leo tujuane
Show me the way! Ni vyema sana. Kazi iendelee!!!!!!!!!
This is yanga,I love yanga
Daima mbele nyuma mwiko congrats kwa yanga Africa
YANGA mbele congratulations 🌹🥰💛💚💛💚
Vivaaaa Young Africans.....
Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha
Mpira mwingi na ushindii juu
Ila highligts yao wameonyesha yanga wamezidiwa
Yanga walicheza vizuri aki
Well-done yanga
Walosema yanga itapigwa kama kipangaa waje niwape aftatu wakanywe supu washushiee maumivu😂😂
Wapi like za kibwana aliokoa mipira mingi ya hatari
Muomba mungu achok 🙏🏻🙏🏻
Swadakta
Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍
Muombeni msamaha Azizi kiii na profesa Nabi
Kweli wametukanwa sana yani hadi aibu
Waarabu wana roho mbaya sana 😥Mtume Muhhammad SAW hakuwa na sifa ya kuwa roho mbaya
Asanten watan hapo tumepata heshima huko tunaogopw safisan majeshi yet kwa kutu let's hshm
Shukran sana yanga kiujumla viongozi na wachezaji mmetuheshimisha mola katusikiya dua zetu mana wengi walitukatiyq tamaa yanga mbele nyuma mwiko.
Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko
leo nimerudia tena kuichek hii mech
Hii mechi sichoki kuangalia
Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛
😂😂😂😂😂
diarra anaipambania san tim yak hongr zang zot zmfikie popt pal alipo
James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
yangaaaaa mbele nyuma mwiko daaaa uku Tanzania Kuna kocha watoto wamechana jins ya kocha noma sana
Hili kombe yanga anaweza kubeba akiendelea kuwa serious
Nikumbushe tu kuna mazembe huku, pyramid na wengine 😄😄yani club bingwa kwa moto na shirikisho nako kwa moto👌👌
@@hildajoel5 berkane huyo ulimuweka wewe acha kukariri
@@hildajoel5 in fact Yanga anabeba ubingwa huo
@@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂
@@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze
Tutamfunga mamelodi in nsha Allah
Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga
Beautiful 🇹🇿🇹🇿✔✔💯.
Yanga wapo vizuri
Refa huyu yuko vizur sana hana presha
Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania
sure boy kaupiga mwingi sana...
Yaani kama xavi jamaa anajua hadi anaboa
Hii highlight yenu haijabeba uhalisia
Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa..
Yanga imecheza kwa ustad sana..
Na possesion was fantastik
Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo
Its unfear
sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja
Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video
@samwel kumbe na wewe umeliona hilo.
It's really unfair !!!
@@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD
Ila goli limeoneshwa.
Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆
Hii mechi ilikuwa dume kwel kwel mixer nongwq za waarabu daah, Daima mbele nyuma mwiko
2024🎉
🤷♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele*
*(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
Amen
Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi
Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu
2023 tuko nayo
02 on trending so far
Tending nomber 1
Diaraaaaaaaaaa 🙌
Mashabiki wa makolo njoon niwagaie afutatu mkanywe supu
Pongezi kwa wachezaji wote wa yangaaa god bless us players sasaivi tumeweka heshima
kwer yanga tuko vzul
Sanaa wakikaza twabeba ndoo
moja kati ya mechi yangu bora kwenye kizazi chetu
a battle 🔥
Kwa kweli kazi haikuwa rahisi
OMARI MACHOKOLO wa MANZESE midizini kwa sasa hakuna timu inaweza kushindana na yanga kwa usajiri kwa pesa caf tunaongoza timu bora idara zote
Sikuile nilibety Yanga 1-0 Club kama nilijuaaaa
Hawa waarabu walikuwa wananiudhi tangu mechi ya kwanza leo mbona hawakulalalala kama wamebemendwa yanga tamu
Leo yanga tumelipiz tumelal uwanjan na ushind tumepat
Yanga oyeee
Aziz ki...kama hapigi sana ila huwa ni kamba😂😂😂😂
Tangu sku hyo yanga haimuogop mwarabu
Sikuamini nilikuwa,na presha mungu ni mwema
Ivinyie Anzm kwa nin mumeiyazia kati ananyie makolo ajapenda yanga kufuzu au
Hongereni sana watani Yanga,, mumeendeleza kuiwakilisha tz vyema
Uko vizuri wewe kimchezo!!!
km tuko nyumbani 😂🤣😂🤣💚🔰💚