Sio kudhalilisha tu, wanawatumia hawa wadada kuwapatia pesa kwa lazima, kama sii kweli, kwanini wanapokamatwa wanawaambia watoe hela, tena wanawapangia kiwango, wenyewe wanachofanya, wanawaweka ndani kwakigezo cha umalaya, ili kujipatia pesa.
Huyo wakili anaeongea anaendaga kanisani kweli!. NI kweli Kuna wiziserikalini Kuna ulawti.n.k.lakini hao wauza miili adhabu yao nikali mno HATA kwa MUNGU.hawafai.kama huyo anae wateteana YEYE anaendaga kununua laana ya MUNGU itampata.kifupiacheni kuuza miili yenu Kama hamjaolewa nendeni makanisan mkaombe MUNGU mama Samia mama Samia wa Nini ma.ma
Aliejiuza mama Yako sio Kila aliekamatwa ni anajiuza angekamatwa mama Yako Ambae Hana mambo hayo lkn kasimana stand anasubiri usafiri wewe utamwita Malaya kwa vile kakamatwa?
KINACHO ENDEKEA APO TANZANIA SAMIA ANA KIFAHAMU. UTAWALA HUU WA KIKE UNA UDHAIFU MWINGI. POLENI SANA NDUGU ZETU
Nyie mawakili ndiyo maana wengi vichaa
Sio kudhalilisha tu, wanawatumia hawa wadada kuwapatia pesa kwa lazima, kama sii kweli, kwanini wanapokamatwa wanawaambia watoe hela, tena wanawapangia kiwango, wenyewe wanachofanya, wanawaweka ndani kwakigezo cha umalaya, ili kujipatia pesa.
Kwahiyo upo nao kujiuza
Huyo wakili anaeongea anaendaga kanisani kweli!. NI kweli Kuna wiziserikalini Kuna ulawti.n.k.lakini hao wauza miili adhabu yao nikali mno HATA kwa MUNGU.hawafai.kama huyo anae wateteana YEYE anaendaga kununua laana ya MUNGU itampata.kifupiacheni kuuza miili yenu Kama hamjaolewa nendeni makanisan mkaombe MUNGU mama Samia mama Samia wa Nini ma.ma
Kwani unalazimishwa kulawitiwa
Ujiuze tukuwache tu
Aliejiuza mama Yako sio Kila aliekamatwa ni anajiuza angekamatwa mama Yako Ambae Hana mambo hayo lkn kasimana stand anasubiri usafiri wewe utamwita Malaya kwa vile kakamatwa?