Baba Olivia Episode 05// A single father teach his daughter the POWER of believing on herself
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Tazama jinsi Baba Olivia #GaboziGamba anavyompa binti yake nguvu kwa kumfundisha umuhimu wa kujiamini na kuwa na imani na uwezo wake. Akiwa anakabiliana na changamoto za kulea mtoto pekee Gabo ama Athour, anamfundisha masomo muhimu ya maisha ambayo kila msichana mdogo anapaswa kuyasikia.
Jiunge nasi tunapoona jinsi anavyomhimiza binti yake kukumbatia nguvu na vipaji vyake, na kumkumbusha kwamba anaweza kufanikisha chochote anachokusudia. Moja ya nyakati zenye nguvu zaidi ni pale anapomwambia asiwaogope WAVULANA, akisisitiza kwamba anapaswa kuwaona kama wenzake na asiruhusu yeyote kupunguza thamani au uwezo wake.
Kupitia mazungumzo yao ya wazi na uzoefu waliopitia pamoja, baba huyu na binti yake wanaonyesha maana halisi ya ustahimilivu, upendo, na heshima ya pande zote. Video hii ni ushuhuda wa NGUVU ya kujiamini na uhusiano usiovunjika kati ya mzazi na mtoto.
Usisahau kulike , kutoa maoni, na kusubscribe kwa maudhui zaidi ya kuinua na kuhamasisha! 💪👧❤️
.............................................................................................................
In this heartfelt and inspiring video, watch how a single father #GaboziGamba empowers his daughter by teaching her the importance of self-belief and confidence. As he navigates the challenges of parenting alone, he shares valuable life lessons that every young girl should hear.
Join and see how he encourages his daughter to embrace her strengths and talents, and reminds her that she is capable of achieving anything she sets her mind to. One of the most impactful moments comes when he tells her not to be afraid of boys, emphasizing that she should see them as equals and never let anyone diminish her worth or potential.
Through their candid conversations and shared experiences, this father-daughter duo demonstrates the true meaning of resilience, love, and mutual respect. This video is a testament to the POWER of believing in oneself and the unbreakable bond between a parent and child.
Don't forget to like, comment, and subscribe for more! 💪👧❤️
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba
#SingleFather #Empowerment #BelieveInYourself #Parenting #FatherDaughter #Motivation #SelfConfidence #LifeLessons
Sema Nini Jamani huyu Dude ni The best Actor Of All Time🔥🔥 kwa wanaomjua Toka zamani miaka ya 2008 mtanielewa
Ni kweli hongera kwake
Bongo Dar Es salaam Bongo
Kabsa we jamaa unajua waigizaji
Kabisaa
Watoto wa 2000 hawawez elewa enz za Bongo dar es salaam
Hizi ndo tamthilia tunazo zihitaji kwenye Tv wazazi kujifunza na watoto kujifunza best series every👏🏼👏🏼👏🏼
Exactly 💯
Hii momie ukiitazama unaweza sema hawaingiz bali wapo kwenye maisha halisia yaan kama hakuna kamera naipenda sana team olivia tujuane❤❤❤
❤️❤️
Tupo apa
Ka Olivia hata nje ya movie kanaonekana kana akili sana😊
Saana!💯
True ❤❤❤
Kuanzia episod ya kwanza adi leo episod ya 5 Olivia amekuwa muigizaji bora kwa mtazamo wangu kwenye hii series
Nikubaliana na wew
Kweli kabisa yani ni anaweza adi anaweza tena ongera kwako olivia🎉🎉🎉🎉
Kweli kabisa mimi nakapenda ❤
Na Hana mpinzani 😅
True ❤❤❤❤❤
Sema aka ka Olivia jmni 😊😊katakuwa kaigizaji kazuri, nategemea kukaona kwenye muvi nyingine naomba msikaache,baada ya Jenifer na Patrick hatujapata damu mpya nyingine
🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️ Zinakuja nyingine!
aisee sijawah kuenjoy kuangalia filamu nzuri ya kibongo kama hii , mpangilio mzuri wa story so far na ukiangalia Waigizaji wamefit kwa nafasi zao na kuzitendea haki . Hii ni kazi nzuri sana pongezi sana kwa timu nzima ya Baba Olivia , akhsanteni kwa kutupa burudani yenye fundisho kubwa. I can't wait for the next episode
Asante sana na ubarikiwe sana kwa kutupa Muda wako!❤️🙏🏾
Yaani olivia anavyoigiza utadhani hakuna kamera yani kama ndo maisha yake uhalisia umezidi saafi saana kaka Gabo dogo kaivaa😂😂
Yuko real sana
Yani😂😂😂
Maua yake🎉🎉🎉 Olivia ❤
Sema mashallah❤
Sana yani
Hizi ndio tamthilia za kuangalia na wazazi ❤kazi nzuri
Asante sana!!
Team Olivia ❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
Olivia nfani ya uharisia wake kajua kucheza na akiri za watu wallah tena 🎉🎉
Gabo hii imenigusa sana brother.olivia anajua kuigiza yupo serious.movie ya kijanja na mafunzo ya kimaadili pia Good Life bro
Asante sana!!!
Bonge la surprise aisee sikutarajia kupata hii season kwa wiki mala mbili 💪💪💪
Bro Gabo we ni atari from 🇨🇩 🇨🇩 congo nakukubali sanaaaa
Baba wewe teacher wakucheza filam kabisa,congratulation,more❤❤❤ to youu
❤️❤️
Olivia n baba ake pend San jmn utan km wt maish yaendelee nmewapend sn jmn🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Naona hapa mzee kotongo alishafariki... The man was so talented. His sounding voice was quo...
Huyu ni mfanya kazi au mtoto wa kazi jaman rahaaa sanaa
kwa kwl gabo uko vizur, stori na maudhui nzuri sana bigup sana kaka,
Kiukweli sijawahi kuomba like ila kiukweli nainjoi sana hii movie naupenda sana
❤️
Kazi nzuri sana @@henrymwakajumba
Kazi nzuri sana @@henrymwakajumba
Napenda sana Olivia anavyo zungumuza lugha ya kiswahili iliyo na heshima na ujasiri,napendezwa na tabia yake kutoka 🇰🇪
❤️❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yenyewe hii series act wote sio washamba wa camera wanaigiza maisha halisi kana kwamba hakuna camera 📷.. big up saana
Jmn tin n bab ak nmewapend sn utani wao hd rah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Brother hii movie ipo very emotional asee yani kifupi kila mmoja kafanya ktk usahihi
Asante sana!! ❤️❤️
Nakukbar San kazi yenu hakika pongezi kubwa kwa Director
Tunaburudika na muvi kali ya baba olivia hallaah asanten sana
❤️
Kwakweli baba olivia nakupenda sana wewe nimuigizaji mzuri sana Huwa unakuwa upo siryazi nakazi Yako kabisa move hiyi kwakweli imetuliya kabisa
Movie nzuri ila mnaitoa utamu maana munaileta maramoja kwawiki
Mara mbili kwa week itakua vyema sana
Jamani hamuoni kama sasaivi system imebadilika sehemu ya 4 iliachiwa juma3 ijumaa imeachiwa ya5 atreast tunaenjoy movie Kwa wik mara mbili
Hivi nduvyo inavyotakiwa baba kua karibu na mtoto wake wakike 👏👏👏
Olivia na baba ake wametisha❤❤❤
Huyu Mtoto Olivia huyu, yaan ni bonge la Moja la Talanta❤ Yaan km hayupo mbele ya Camera Asee khaaa!
Best actor in Tanzania gabo as known as baba Olivia munachelewa kuitowa atiii
Na vevo aitwaje
Baba Olivia movie zake n noma sana👏👍
True ❤❤❤❤❤
Movie nzuriii mpaka nzuriii tena🎉🎉❤ nmecheka wanavyofurahia wazungu😂😂
❤️❤️❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Gabo anajuwa sana mungu akulinde 2nawewe pekee
Tuka hogeleye
Jameni❤❤❤
Sema hii kazi ni nzuri sana 🔥 kuanzia casting wahusika walivyoigiza hadi ujumbe unaotolewa hongereni saana
Asante sana shukran!
Wanao mpenda mama Tina tujuane😂😂❤😂😂
❤️❤️😂
Tamthilia nzuri sana mungu awabariki tunajifunza sana
Daaah!!! Katarina,,,, nakupenda sana
Ata jina sijuwii dude bwana
Natamani kujua mama Olivia yupo wapi na kwanini hayupo na baba Olivia ❤🎉
Akii wallah😂
Na wish nimjue mama olivya yuko wp
Muda si mrefu ukweli utaujua!! Endelea kufuatilia na Subscribe!! Episode ziko 17 Safari ndefu bado!❤️❤️❤️
@@henrymwakajumba daaah ref kwel 17, ssa bc mue mnatoa kwa siku kipand kimja pia at least
Nenda kwake
olivia unaweza sana🎉🎉🎉🎉 nawapenda na gabo move zako
Jamn hii movie ni nzuri naomba like usipite tu nawew😢😢
Umejilaiki mwenyewe iyo laik moja😂😂😂😂😂
Hii nzur sana insfundisha
Baba olivia anaulizia habari za mwalimu kwa akili sana 😂
😂😂😂😂
Hahaha ❤️❤️❤️
😅😅ashaanza kuona dalili za kumpoteza 😂😂😂ila sijapenda yule jamaa alipita Naye kwenye swimming pool😂
Ametumia ubaharia mwingi sana kuuliza yaan hata dogo Olivia hajastuka😂😂
Mfugo utaingia kwa bwana shamba siku sio nyingiiii
Kati ya myungu zangu ki cinéma uyu gabo ni wakwanza kabisa, kanumba nyuma❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤
Nzur sana hii jmn hongereni waigizaj wote
Asante!
Wanao mkubali mwakajumbe gonga like twende pamoja wadau wadau wangu
😂😂 ❤️❤️
Olivia 🔥🔥🔥
Olivia ni man of the match
Series naipenda vibaya muno
Gabo anamichezo sana et maji ya bomba la mvua yana cancer Cancer Which What Where Sema Tuh Huna Hela...
😅😅😅😅😅yani nimcheka kusikia bomba la maji ya mvua lina cancer
Jamani kazi nzuri sana mungu awabariki❤🎉
Asante sana nawe pia!🙏🏾🙏🏾
nzuri sana🎉🎉🎉😊
Nampenda Olivia anavyoongea
❤️❤️
Kazi nzuri sana Gabo hongera sana
❤️❤️
Olivia nakupenda sana ❤❤❤ vyenye unaishi na babako vizur
❤️❤️❤️❤️
Daaah sema sawa ila mnatukaba mda jaman 😢😢😢😢 but good work ❤❤❤
❤️❤️❤️
Olivia nimempenda bure jamani
Hongera zake
Kazi nzuri safi Gabo
Gabo kwenye hii movie umeipiga mwingi movie nzuli sana na kingine muoe mwalimu kashakuewa😂
Mwarimu❤❤
Hii iko sponsored au! Iko vizuri, that Olivia❤
Hapana! 😅
Movie ni nzuri cn na ina mauzui mazuri
Yaani Olivia 😂😂 anavyoongea kwa kulalamika fetty wangu namuona kabisa❤❤
😂😂😂❤️❤️
Tunafurahia hii big up sana wahusika wote
Asante sana!!
Kazi nzuri sanA ❤❤. FROM MOZAMBIQUE
❤️❤️
Best series in Africa🎉🎉🎉🎉
Hongeleni sana ote pia mtoto Olivia kongole mwanetu
❤️❤️
Kuna mafunzo humu wacha niendelee kuvuna dhahabu hongera kwake mwakajumba💐💐🔥 akiwepo gabo,dude mambo bulbul
❤️❤️🙏🏾🙏🏾 Asante sana!
Gabo unajua tena unajua pamoja na tim yako nataka kolabo kati yako na clam vevo mahana mi ni shabiki enu na naweka bando kwa jili enu miamba 👀👀👀👀👀👀👀👀👀👀
Asante sana, tuta lifikiria hilo! ❤️
😂😂 MJOMBA dude anamkanyagia semenii kiroho mbaya
daaaaah ila mama Tina yani bomba zaidi .
Kiukweli naenjoy sana sijutii kuweka bando kwa ajili yenu
Olivia namuona mbali sana
Safi sana bro series ya moto perfect
🙏🏾🙏🏾❤️
Aisee huyu ni genius sana mashallah
Gabo unajuwa na unajuwa tena
Yaaan Iko vzr jmn
Nimempenda olivia buleeee
Vizuri vizuri
Ila Olivia daa nakupenda sna ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri MashaAllah❤️❤️❤️❤️
❤️❤️❤️
Napenda sana sana intro ya hii series its fireeeee 🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️ Asante kwa umakini wako!🙏🏾🙏🏾
Mnachelewa sana kutoa movie hii tena kwa week moja tu dah 😭😭
Mda huu atutachelewa
Sawa
Ili bongo dar es salama ilitisha sana
🎉🎉🎉🎉🎉 oliva katish yy na baba yake😮😮😮
❤❤❤
❤️
Olivia baba anakuuliza kuhusu madam Janet we unamjibu kuhusu semeni😂😂😂 aisee huyu mtoto mjanja! Gabo kazi nzuri sana
😂😂😂
Nampenda Olivia jaman ❤❤
❤️❤️🙏🏾
Basi watu wataacha comment zote watasoma yangu pia sitaki like zenu😂😂
Nampenda sana olivia
Nawakubali sana
Asante sana!
Wanafanyavizur sana
Kweli olivia
Anajuwa ❤❤
😂😂😂😂😂 hivi mnamuona dude lakini na mke wake naishiwa nguvu kwa kucheka
Jamani ni nzuri sana nampenda Olivia sana
Asantee!!❤️
Nampenda Olivia jmn ❤❤
Sem mnachukua muda mrefu sana kuachia next episode
Jamani Jitahidi Mwe Mnatoa Hata kila siku, Ni kali Sana ila inatoka Taratibu Sana!