New LOVE💔Old Wounds:A Single Father's Journey // Baba Olivia Episode 11
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Angalia Tamthilia yote hapa. www.pendwa.app...
Katika Kipindi cha 11 cha "Baba Olivia," Athour na binti yake Olivia wako njiani kuelekea kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Janet. Wanapokuwa njiani, wanakutana na wakazi wa kijiji mbalimbali, kila mmoja akiwa na malalamiko na pongezi zao. Miongoni mwao ni mwenyekiti wa kijiji, ambaye anamshauri Athour kwa njia isiyotarajiwa kuhusu siku zake zijazo. Sherehe inachukua mkondo usiotarajiwa pale mgeni wa kushangaza anapowasili, na kusababisha tukio la kusisimua na la hisia kali. Usikose kipindi hiki cha kuvutia kilichojaa hisia na mabadiliko yasiyotarajiwa!
.………………………………………………………………….
In Episode 11 of "Baba Olivia," Athour and his daughter Olivia are en route to Janet's birthday celebration. Along the way, they encounter a variety of villagers, each with their own mix of complaints and compliments. Among them is the village chairman, who offers Athour some unexpected advice about his future. The party takes an unexpected turn when a surprise guest arrives, leading to an intense and dramatic moment. Don't miss this captivating episode filled with emotion and unexpected twists!
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
/ henrymwakajumba
#BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation
Gabo tunakuomba utusikirize watanzania wezako sisi ndo tunakupa sapoti tuomba jambo moja kutoka kwako tunajuwa km hunamambo mengi yakufanya vitu vingi rakini tunamba hii move ya baba oIivia tunaomba ututoree kwa wiki mara2 tunakupenda sana sana km kunawatu wanataman km ninavyotamani mimi nipeni Iike🎉🎉🎉 ata 20 asateni nawapenda
@@DidaAlly-iz1it nikweri tunagombna tusikilizwe nasisi mashabikizako watu wengi wanaomba hilojambo tusikilize nasi 😭😭😭😭 tafadhari
Daaah kweli aloooo plzzzz do it for us
Ume ona
Kama akitoa mbili kwa week ikawa haina ubunifu na isinoge c tutalaum na kuchukia kaz yke?????
Jamani move hiii ninzuri mno tunapendakazi zenu nzuri lakini tunaomba tupochini yamiguu yenu angrau Kwa wiki mtutolee episode mbiriii tafadhari wanaounga mkono gonga like hapa
Yote inapatikana hapa www.pendwa.app
Halifunguki hilo link halifanyi kazi@@henrymwakajumba
Kabisa angalau ata 2 kwa wiki
Haipo mwisho ilikuwa February 2021@@henrymwakajumba
Kunamaelezomengi hatanamna yakujiunga ngumusana
From+254🇰🇪 Nipeni likes zangu Wasee Kutoka Kwa Tamthilia hii pendwa ..... always number one1️⃣
Pokea nimekupa 😂❤
duuuuh wahshen asa nimeona umakin wa gabo zigamba,,,(baba olivia) ok kama mnamkubali gonga like hapa tujuane
Leo nasimama kama kijana wa hovyo 🤣🤣🤣🤣🤣 nilivowaza kwa baba Olivia na madam ni vile vile ilivotokea 👍👍 like 💯💯💯💯
😂😂😂😂😂
Yaani kuekti kugumu kumbato so mchezo😂😂halafu Janet mzur
Gabo upo juuu mtoa burudi hii series dah naipenda kwa uhalisia wake
Best Actors who’s Knows to present Their Talents to Us.That’s why i desire to watch this series Everyday🎉🎉🎉
Thanks ❤️
Nimeipenda sana hii baba orivia kumpiga huyu asiye jua mapenzi
Dakika zibaki hivyo hivyo zisije pungua ahsante kwa kulifanyia Kaz tunapenda Kaz yako na tuko pamoja 🇹🇿
Gabo respect💪🏾💪🏾 Best actor in TZ🇹🇿🇹🇿
Kusubili kwote nimechelewa kuwa wakwanza ila nipen like zangu😊😊
olivia aiseeee.. uwe unapiga hodi... all in all BLOCK BUSTER this play.
😂
Ila uyu mwalimu ananivutia san❤❤
Ukweli hii movie na series za huaga za uhakika na uhakika timu yote inaupiga mwingi xnaaah 🔥🙌 nmetulia huku🇰🇪🇰🇪 nikiitizama pole pole haya Karibuni wenzangu🤝
🙏🏾🙏🏾 Asante sana!
San tena san
jamani baba Olivia hki kipindi kyenu kinaendaswa kwa njia ya kistaharabu sana , kina elimu kuusiana na maisha yote , kutoka utotoni hadi uzeeni, ongereni saaanaaa halafu baba Olivia kwani wewe ni mwana taekwondo? unachapa kijana wa mjini kama stima hatari sana. kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana ♥️♥️♥️♥️ .
Asante sana tuna wapenda Kenya 🇰🇪❤️
Baba olivia nimejifunza kitu kikubwa sna kutoka kwako today mwanzo wa ep mpaka hapa tulipo fika nakukubali sna kaka angu
olivia: dad why are you crying ?
dad: onion my daughter
.. hahahahaha this man dazzling amazing since from Bado natafuta...
Kumbe baba olivia ukija bila gadi anagawa wastan kwa idadi aiseee nomaaaa🔥🔥🔥🔥🙌
😅😂😂
We jamaaaaa nmechek sanaaaaaaa
Leo msiache kunipa likes hata 50 ❤ kutokea south Africa
12 zinatoshaaa😂
Sauziaaa Sauzia nyooookoo😂😂😂
😂😂😂
Weeee mpaka sauz unatufatilia
@@VICTORMTWEVE ilibaki moja tu upate likes 50 nimeona nikuongezee hiyo moja
Bonge la series daadeq hongereni timu nzima
Mama tina ww n kiboko haki nakupenda bure😂😂😂😂❤
😂😂🎉
Yhizi episodi no nzuri xana Ani mungu awabaliki wote pamoja na watazamaji Kama unaamini gonga like ndugu yangu
Gabo upo on time. Uko vzuri sana na unatutendea haki sana
Eeeeeeeeh leo niko kwa wakati 🇨🇩🇨🇩akuna kuchelewa 💥💥💥🇨🇩🇨🇩
❤️❤️
Mapema kabisa naomba likes from tz
Naona mgetoa episode 2 kwa wiki jumatano na ijumaa 🙏kama unakubaliana na mimi gonga like hapa
ni kwely kbx yan tunakaa board sana kuisbr hiii burudani yetu pendw kbx
Kwakweli
Kwel
Kweli kabc tunaomba plzzz
Angalia yote hapa www.pendwa.app
Wakwanza naombeni liké leo 🇫🇷
Mwalimu na baba Olivia nipeni likes zao
Jameni tunawaomba mutowe zingin tum miss sna olivia
Baba orivia nakupenda San mungu akupe afya njema siku zote za maisha yako na madam nyote kwa ujumlaaa🎉🎉🎉🎉
Nipo hapa since day one team Baba Olivia
Uyu olivia anafel amuache baba na me naomben hat like 5❤
❤️❤️❤️
❤❤
Wangapi wanalike kabla hata video haijaanza
Nipe mauwa yangu✍🏿✍🏿
Baba olivia kapiga jebu moja matata inaitwa Kamkune israeli afu kamalizia na Kalia mchanga moja afu. Mbelee hebu ngonga. Like hapa
😂😂😂 atar na nusu aisee
😂😂😂😂😂Baba orivia nakukubali sana wachape hawo watoto wamjini hawana adabu kweri.Burundi bujumbura tupo nanyinyi
Wa Kwanza like zangu😢😢
JAMAN TUNAOMBA MUWE MNAWEKA HATA VIPANDE VIWILI BRO🙌
Angalia yote hapa www.pendwa.app
I do appreciate for what my roll model Gambo zigamba Doing ........ madame ur ur Good actress I real love you ❤
Thanks for watching
Ni me like wote please na mimi😢
mi ndio sijawah pata like hata moja😢
Mh mnamambo jmn haya hyo hapo nimekupa ingawa cjuag maana ya hzo likes
watu hawachelewi kweli na like
Baba Olivia marry mwalimu she loves you and u love her also
❤❤❤
Nimewah leo naomb like 🙈🙈❤❤
Kama una amini mungu mwema gonga like😂😂
😂😂 Baba Olivia ni Nona
Angerudia ngumu ya pili angeua😂😂😂😂
If Janeth couldn't be there then the series wouldn't be as sweet as it is
This is true, very very true
I agreed
This is the best series I've ever seen but plz make it a little bit quick much love from🇪🇸🇰🇪
Gracias amigo 🙏🏾🙏🏾 Asante!
Leo nimeisubiri niwe wa kwanza hadi MB zikaisha jaman 😢
Weka Notifications on huta sumbuka ❤️🙏🏾
Hii series nzuri sana, based on real life situations, kama unanielewa,..umefanya kazi njema sana Mr producer. Ningefurahi sana ufanye kila episode angalau mda mrefu kiasi kama 46-50mins. Naomba urekebishe tu hapo maybe kwa series zijazo .
Brother ww ni bonge la director sema unajificha umejua kutengeneza kazi hii ni nzuri hatari, tunakuomba ikiisha tengeneza story yenye mafunzo komedi drama, love story nzuri zaidi ya hii sisi tupo kwaajili ya kutazama kazi nzuri. Tena kama unaweza kuingiza katika mashindano ya tamthiliya nzuri ya mwaka, we ipeleke tu sisi tutapiga kura itashinda
Dah hamu imekolea na ijumaa ni mbali sana
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🫡 Asante zimefika!
nimeisubiri kwa Ham sana
Ila familia ya luca jamn khaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kazi kula tu kwa watu kupika kwenu aaaaaaah😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
😂😂😂😂
Hivi like waga mnazipelekaga wapi?
Sema madam mzuri kinoma
Wapenzi naomba like zenu ❤❤🎉🎉hata kama 50 ..mm natazama kutoka Kenya ❤nawapenda ❤
sijawai comment lkn hii ya Leo imenigusa.....hii NI muotoo🔥🔥🔥
KAZI nzuri ndugu zangu.
BABA OLIVIA 💯
Asantee🔥🔥🔥
Mwenyekiti yupo sahihiiii sanaaa haiseeeeee
Congratulations muongozaji wa movie hii nataman niangalie kila muda bila kujari bando langu aiseeeh🎉🎉
Asante, ume subscribe lakini??
Makini sana.. hii movie nimeipenda bure..
Asante
Nakubali kazi nzuri
Single father oyeeee🎉🎉
Kuna Siri gani kwenye like namimi naomba
❤❤
Wangapi mmekeleka
Na Olivier kualibu falagha ya babaake na Mwalimu🥱🥱
Weeeeeeeee
Mimi nimekelekwa saana
Si mwenyekit alimwambia basi ,lakin mkubwa ni mkubwa hata shindwa kitu,sikia hayo maneno matamu ya mwalimu haswa ingekuwa mm pangechimbika niokote taulo ama niokote mtoto.
Wewe mke wa dude utanaswa tu nawew utafia kwa muuza supu,chezea mdhungu wewe
@@AthumaniAlly-t7x kaaaah
Leo naomba like MOJA tu
ila jaman mwalimu wa olivia nampenda sana niongee ukweli2
Nimeipenda sana movie hiii ya baba Olivia,ningetamani itoke kila sikuuu
Just wow!
Mwakajumba unajua Sana weka episode 2 Kwa wiki bas jaman Ila daaaa nzur Sana ❤❤❤❤
🙏🏾🙏🏾 asante, angalia zote hapa boss www.pendwa.app
Oliver mbna hivyo unaharibu😢😢😢😢😢
hio alopiga Gabo ndo inaitwa “UBAYA UBWELAAA”
😅😅🥋🥋🥋
Tulikuwa naisubiri kwahamu sana❤❤❤
OLIVIA MJINGA KWELI HUO MUDA WOTE MBONA HAKUTOKEA ATOKEE KWENYE KISS😂😂
Why between the kiss ur passing around😂😂
😅😅😅😅
@@SulemaniMbeduleI hate you 😑 😅
😂😂😂😂😂😂
@@SulemaniMbedule mbona kama inekuuma wewe 😂😂😂😂😂
Mama Tina na kingereza chako me hoiii unanipa raha sana
Aiseee hiii nikali kuzidi zote ninazo zijua kwasasa kama unamini gonga like apa
Naomba likes zanguuuuu Wa MWISHO MIMI 😂😂😂
FANTASTIC MOVIE
Mwenyekiti bana ndege utamkosa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅
Hongereni Kwanza picha IPO Safi Sana
Alaf mi napenda wanaongea taratibu
Asante sana!🙏🏾
Mm nipeni ata like 5
Mbona bongo movie wasiwe na mahudhui kama haya, tungekuwa mbali sana
Leo nipeni likes zangu❤❤ baba Olivia anampenda sana mwanae
Tuna hitaji episode 12 please 🙏🙏
Wewe baba olivia kapiga mtu kaleti😅😂😂woooooo amazing 👏
Kwa kwel hiiiiii move nimekubal kinom yan nimeipnd san ten ssn
, baba Olivia umetisha sana
❤like jamani nawatazama kotoka msumbiji
Wewe olivia unatudonsosha ndugu zako piga hod ndani alaaah.
🎉atlist nimefika nimechoka naomba likes pia
I really really really appriciate this series
can we get more episodes and more series like this
Wenye mnatazama mara tatutatu naombeni like 😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
@@SalmaRandu mpaka saa hiii still natazama
Tupo wengi😂
@@jessicajackson4993 😃😃😃😃
Woow IPO vizuri sana ila kama mwenzangu alivyo sema kwa wiki muwe mukitua vipande viwili angalau
Leo ndio baba Olivia sasa anaanza kuingia kwenye mfumo
Halafu Mzee kasema kweli angalia Olivia kaharibu ila yaleo nikali hakika tumeinjoi
Wa kwanza leopard 🎉🎉🎉 mm sipendi likes sijui zina maana ngani😂😂
Duuh mimi nishakua mtoroo.duh
daaah movie inahaki ya kutumia MB zetu
Daaah maskini mwalim Janet mwishon wamemwaribia birthday yake
Mwalimu upo vixur xnaa
Amejiongeza baba olivia ❤ n mwalimu❤
ila baba olivia nae ananibwaga sana unashindwa ata kumshika kiuno mwalimu apo wewe unzuia bakuli la kachumbari tu🤦
😂😂😂😂😂
😂😂
Yeye nakula2😂
😂😂😂😂😂😂 Aki anafeli pakubwa
Jamani Mwalim Janet unamfundisha tabia mbaya Baba Olivia wetu
Mm pia mnipe like jaman nmewahi
Baba mbona unalia?? Mmmmmhh kitunguuu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ila gabo