Wote mnaombeza mkopaji na kumuona mjinga nyie ndo mataila,kwann niseme hvo mkopaji alichukua mkopo wapesa kwa nia njema ya kukuza biashara yake na alifanya hivo ila kwa bahati mbaya soko likawa baya Leo mnamuona mjinga.Jamaa sio mjinga mjinga ni ww na akili zako za kimama
Kwa kifupi kukopa c kitu kibaya cha msingi ni kurudisha mkopo wa watu kwa taratibu zilowekwa, nawewe unaesema akili za kimama kwa taarifa yako Sisi wamama tuko vizuri kwenye kukopa na kurudisha bila shida yoyote, sisi ni waaminifu nenda kwenye mabenki waulize walipaji wazuri wa madeni yao.
Our president and his administration are working so hard to fight against corruption and some of you are working hard to reverse all the hard work done by current administration.
Mama kazi yako ya kupiga mnada huwezi fananisha na watu wanao risk pesa kwa kukopa kwenye mabenki ili wafanye biashara, acha kuwakashifu wakopaji benki zipo kuwezesha watu financially na utambue ulimwengu wa biashara una mambo mengi, wewe piga mnada upate commission yako waache watu wakope c wakati wote watapata hasara, km wewe ulivyomwamini mzee wa mia 900 ingependeza zaidi ukakwama ndivyo biashara zilivyo.
Fake auctions mart, the sales and deals are already made behind closed doors and now you are coming out to announce the date to close the deals. Corruption all over the place and now headed towards private sector. It’s so sad. Un fair trade.
Aisee hawa watu wa benki ni wapumbavu sana sasa maana yake ni nini jamaani mikopo ya benki zenye riba hakika hazinufaishi watu bali inawafilisi watu huko si kutajirika huko ni kujifilisi
Daaaaa makufuli oyeeeee kiboko yahani awo mafisadi wameacha mpaka magari wanayakimbia dada bei ngani na mimi niko mbari nataka niko hapa south Africa,,tn nomber ninayo nisharipasana ushuru hapo mbongo nitumie bei naitaji moja m south Africa jah
Jah Abdallah unajidanganya rafiki, tafakari. jamaa katengeneza pesa zaidi ya gharama za hizo gari sasa arudishe pesa bank ili aanze upya? nibora bank ichukue magari yao then yeye atafute utaratibu wabiashara ya ndoto zake. watu wanaishi kwa akili rafiki
Mwanahamis Ahmada we dada unaonekana una wivu, naona hata mtaani kwako umenunia majirani wenye maendeleo hata kwenye ukoo wenu kuna watu hupatani nao sbb wana maendeleo pole sana hiyo ni devil spirit
Ndiomana Mimi mambo yamkopo siyataki bora ninyweuji wachuvi nachukuchuku
Doris Mamf ahahahahahah financial management ndo shida ndugu yangu! Mimi naishi marekani na maisha yetu kwa asilimia kubwa ni kukopa ndo maisha!
acha uoga
Wote mnaombeza mkopaji na kumuona mjinga nyie ndo mataila,kwann niseme hvo mkopaji alichukua mkopo wapesa kwa nia njema ya kukuza biashara yake na alifanya hivo ila kwa bahati mbaya soko likawa baya Leo mnamuona mjinga.Jamaa sio mjinga mjinga ni ww na akili zako za kimama
Boniphace Robert,hivi ukisema akili zako km mmama unamaanisha nini? Mpendwa.
Kwa kifupi kukopa c kitu kibaya cha msingi ni kurudisha mkopo wa watu kwa taratibu zilowekwa, nawewe unaesema akili za kimama kwa taarifa yako Sisi wamama tuko vizuri kwenye kukopa na kurudisha bila shida yoyote, sisi ni waaminifu nenda kwenye mabenki waulize walipaji wazuri wa madeni yao.
Kweli kaka uko sahihi
Hawa madalali wana roho mbaya maneno ya kashfa ya nini we mama fanya mnada acha kejeli eti kukopa harusi kulipa matanga!!
Wapi Dr Shika
900 itapendeza
mama kazi yako ni kuuza sio vijembe,
nikimuona tu huyu mama najua kuna mtu analia😁
😀😀😀😀😀😀
Zakia Othuman 🤣🤣🤣🤣🤣
@@ahmadAhmad-zw4ol hatari@Ahmad mambo ya mikopo sitakagi kusikia
Nimecheka kamanda
Huyu hayupo sawa, yeye kazi yake ni kuuza na sio KUKASHIFU WATU eti "kukopa harusi kulipa matanga"!
Haka ka mama kana maneno ya Ajabu ambayo hata mengine hayahusiani na Kazi yake.Katumwa kupiga mnada apige apige aende zakee..
Acha ushamba uzaa usiwakatishe watu tamaa
Hahaaa
Yaani mwenye gari akisikia #Akisikia njoo utajirike Huku inakera kichizi😂😂😂
Huyu mama nikimuonaga tu naogopa kukopa
Hahahaha nooma saana
🤣🤣😂
Naona uyo mama kama kafurahi wakati yy kazi yake ni kupiga mnada mbona anamkashifu mwenzake
ndio maana uislamu unakataza mikopo ya riba
Naam kbs asaiyositama jmn
Hakika
Kama dini inakataza kwanini unakopa
We mama unafurahia watu kufilisiwa una siku yako na ww sijui kama hamdaiwi TRA nyie... Tutaanza kuwafatilia soon
Dada vp ist naweza kuipata kwa bei gani kesho nije kuchukuwa
Wewe unauza magari na kudanganya eti kakopa benk
SAWA
Mwaka huu lazima na Mimi nimiliki IST, eboooooo...nimechoka na mwendokasi
Prof. Kimaro A.M 😂😂😂😂😂
Amen
Njoo nkuhongeee
Hahahahaaa
😹😹😹😹
Mbn doctor shika umemshinda
Nataka Nisan xtral namba zenu jamani
900 itapendeza 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Aliyekwambia kununua gari nikutajirika ...kamuulize vizr
Kashfa sio nzuri Dada hata nyie mnaishi kwa udalali tu... Tumia lugha nzuri kwakuwa hata mimi nategemea nikope ndio nije ninunue......
kakope uone balaa zito
Kitambi mama umeshib hela 😂😂😂
Mungu aku ongeze
Dr shika njoo huku kuna mnada
kukopaga kusikie ila niwakopaji wachache wanaowezaga kurudisha mkopo ila pole naakaribie kwenye historia yakufilisiwa kma wngne
Namuona Class mate wangu WHSS Tumpe ngusa behind Umetisha sana dada mtumishi 🤗🤗🤗
Wazo mwaka gani ndgu
Dada kata rasta. Kama unataka kuwa rasta achana na hiyo kazi unayofanya ya kuhuza vitu vya watu
Yanakuwa kuanzia shingp?
Kukopa ni laana
Imagine magari 50 alafu kashindwa kulipa mkopo?? Me apana this buness mind
Punguza maneno yakutukatisha tamaa dada
jaman nikiona hivi nakumbuka TALA😁😁😁wananitai
benk sio watu acha kabsa
Uwiiiiiiii Murano/alphard
Nikimuona uyu mama Kama namuona Dr shika vile. Lakini Nissan itapendeza.
Naombeni namba zenu
Dr shika ajitokeze hapo
🤔🤔🤔sema ndo hiv bei hatujui😂😂😂😅😅😅😅😅
Mwaka Gani au zishauzwa tayali
du! kumbe ist ni za kimama-mama!
Wanao faidika na hiyo mikopo ni wachache,hata za kwako huwa zina kweda
Kimataifa inamaana kama mtu anadai uko marekani akija kwenu mnaweza msaidia apate pesa zake
Our president and his administration are working so hard to fight against corruption and some of you are working hard to reverse all the hard work done by current administration.
Ikitokea tena .mnada wa magali niambie
kwann wasifungue web site waka weka bidha tuka nunua online kama befoward
Nyie ni wezi sana na mnaonea sana wadaiwa sana
Shida IST zilikwisha alibiwa jina na mkuu wa mkoa huo kuwa ni gari za kuongwa.
Kikubwa niwasihi tu wanaume mkawanunulie tu michepuko gari hizi.
Sebastian Sabe .. Daaah!! BigMan Pambana. Mimi n kijana wa miaka 25 ninamiliki IST na sijaongwa man nmehustle. We unapush nn??
Ongea ulichotumwa sio unajipendekeza au siasa.
aliikopa ilikuasiri sasa mhuuu achaniwe masikini tu
Dr shika anakuja kaipata hyo
Mh watafilisiwa wote matajiri bora nibaki na umasikini wangu
Mama kazi yako ya kupiga mnada huwezi fananisha na watu wanao risk pesa kwa kukopa kwenye mabenki ili wafanye biashara, acha kuwakashifu wakopaji benki zipo kuwezesha watu financially na utambue ulimwengu wa biashara una mambo mengi, wewe piga mnada upate commission yako waache watu wakope c wakati wote watapata hasara, km wewe ulivyomwamini mzee wa mia 900 ingependeza zaidi ukakwama ndivyo biashara zilivyo.
Ama kweli kukopa Harusi kulipa Matanga
Wakinamama watajirike na yonoh au mnawashawishi wafanye utapeli waje kununua Hizo gari,Dr shika upo wapi,kuna mali Huku njoo wakupepee tena aisee
waukweeli nikkon 🙈🙈🙈😁😁😁
Dr shika kapata taari???
mama upo makini na kazi yako😆😀😀😀😆😆
Mia 900 itapendeza
Nataka garii za fiaat
Fake auctions mart, the sales and deals are already made behind closed doors and now you are coming out to announce the date to close the deals. Corruption all over the place and now headed towards private sector. It’s so sad. Un fair trade.
We, mama mi binafsi tuu sikupendaagi, kwa hiyo kazi yako unayofanyaaga, ya kuwadhalilisha watu
Aje atajirike wakati mnawafirisi .Tusiwe na roho mbaya
Aisee hawa watu wa benki ni wapumbavu sana sasa maana yake ni nini jamaani mikopo ya benki zenye riba hakika hazinufaishi watu bali inawafilisi watu huko si kutajirika huko ni kujifilisi
Hiyu mama ametisha,anastahili kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni
Mkopo wa benki usikie tu
Mage Juliani kweli kabisa
900 itapendeza zaidi...
Du!
Hahahahaha ngoja nije
Pole jmn
Shingapi moja
Wewe mama unafura maana unauza tu hata mungu humuogopi
sasa unataka aogope nini wakati ulikopa mwenyewe
sasa unataka aogope nini wakati ulikopa mwenyewe
Anavyochekelea kama mazuri vile.
kidumu chama tawala
Nitakuwepo bila kukosa
Zilikuwa za uber izi duh!
Majali yatazidi duu wengine minaa si mpaka watu wawe na mapeni au watanunulia na macho
Atanunua nani IST Wakati viongozi wanasema ni za kuhongwa?
Tupeni Namba za simu wengi tunaweza kuhitaji lakini tupo mikoani
".....itapendeza"
Bado yapo? Au yameisha?
First
HIZI GARI SI NDIO ZILOKUA ZINAPIGA KAZI NA UBA DARESALAM/
kama m4 no d nzima. naitaj ase
Tunaomba mawasiliano yenu.
Iyo Ist milioni mbili napata jaman
mil 2😳😳😳😳😳kumbe😳😳😳😳hat mim nawez kununua😂😂😂
Pikipiki hupati
Mkopo hapana
Nitakuja kununua, si bahari beach?
Daaaaa makufuli oyeeeee kiboko yahani awo mafisadi wameacha mpaka magari wanayakimbia dada bei ngani na mimi niko mbari nataka niko hapa south Africa,,tn nomber ninayo nisharipasana ushuru hapo mbongo nitumie bei naitaji moja m south Africa jah
Unaacha kwenda kununua yako unataka aliyoshindwa mwenzio..
Fisadi ameshindwa ameyakimbia nawe unataka kujifunzia ufisadi humo
Jah Abdallah unajidanganya rafiki, tafakari.
jamaa katengeneza pesa zaidi ya gharama za hizo gari sasa arudishe pesa bank ili aanze upya? nibora bank ichukue magari yao then yeye atafute utaratibu wabiashara ya ndoto zake.
watu wanaishi kwa akili rafiki
Jah Abdallah leo hautelewa ila ipo siku utaelewa.
watu tunaishi kwa akili
Lita 5 from dar to kigoma is it possible??
Hahahahaha
Akomeee
Mwanahamis Ahmada we dada unaonekana una wivu, naona hata mtaani kwako umenunia majirani wenye maendeleo hata kwenye ukoo wenu kuna watu hupatani nao sbb wana maendeleo pole sana hiyo ni devil spirit