mimi yanga ,, huwa nafurahi kweli simba akifungwa,, lakini napenda sana simba na yanga washinde mechi zao za kimataifa ili ligi yetu ipande hadhi ,, hiyo inarahisisha sana hata wachezaji wakubwa kukubali kuchezea tanzania
Mashabiki kuna mtu anaitwa manara ni kirusi kimoja hatar ndicho kilicho chafua hali ya hewa badala ya kupongezana wao kunununiana hata wote wakishinda mechi zao wao utakuta wana nuniana wajinga kupita maelezo
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿
Nmependa Sana hii kitu mpira sio uadui
Mapacha wasioachana nawapenda Sana muendelee hivyohivyo msigombane kwavitu vyakupita
awesome information!
💪
mimi yanga ,, huwa nafurahi kweli simba akifungwa,, lakini napenda sana simba na yanga washinde mechi zao za kimataifa ili ligi yetu ipande hadhi ,, hiyo inarahisisha sana hata wachezaji wakubwa kukubali kuchezea tanzania
Wewe mzalendo kama mimi
Nice
Yanga nipo
Hahahahaha weekend kila mtu apambane na msiba wakee😂😂😂
😂😂😂😂
Ila kamwe wea
Mashabiki kuna mtu anaitwa manara ni kirusi kimoja hatar ndicho kilicho chafua hali ya hewa badala ya kupongezana wao kunununiana hata wote wakishinda mechi zao wao utakuta wana nuniana wajinga kupita maelezo
Hawa ni wana kabisa na ndo kitu tujifunze mashabiki wa hivi vilabu tuache makasiliko
Kwakweli
Urafiki awezi kufa kwa sababu ya mpira ila Kila mtu anatetea ugali wake 😂
😅😅😅😅