Mavoko.tin.pamoјa na dokiii nikwrl ndugu watu wa morogoro
Shida Yako unaongea mambo mingi mupaka sielewi kitu chochote 😅Sasa Irène Na Elizabeth lulu na wema sepetu wanausikianaje nahilii
Nice
Nikweli kabisa.kusema tin white na mavoko.nakubali sababu wanafanana sana kabisa
Tin White Mavoko Na Dokii Ni Ndugu Wadamu Kabisa
Queen na Mondi
Vanessa na mdogo ake tunajuwa kitambo
Bora umetuambia tucje kuchanganya Damu😅😅
Tini na mavoko nilisoma nao ilala kasulu mama yao ni mwl Martin mwalimu wa stadi za kazi mkali sana alikuwa huyu mwalimu..mavoko ni mother's boy...
Wee na mimi nimesoma ilala kasulu mwalimi martn namjua anapenda kupiga fimbo za kiuno huyoo
He na mie nimesoma ilala kasulu namkumbuka mwalimu kipesile mwalimu buzuka mwalimu faru jmn long time 😂😂
Umesahau mavoko, tin white na dada yao
Dabo ni msanii wa Reggae mzee👊
Lil ommy mdogo wake na dj Kally wa voice of tabora
Mtangazaji unazingua double ni msanii wa lege fuatilia bhana acha use..
🎉Muongo ww unazngua aba na kapipo ni mtoto wa shangaz na mjomba aba ndug yake wa damu ni jaiva au Sebastian tena seba ndo wakwanza kuzaliwa aba wa pili watatu fina bhas familia yao ni yenye watoto watatu2 mmoja mwanamke kama vtu uvijui uliza usitudanganye wakat cc ao tunaish nao mtaani na tunawajua vzli
Ali,Abdul kiba
Sio HABA bro ni ABA..
Kwani tin whit ana semaje
Unaongea sana bana jaribu kufupisha maneno unakera
Tin white hio ni kweli lkn hizi zengine
Basi baadaee
Flora mvungi na Sarah mvungi aka hanny wasanii wa maigizo na mziki
SIO HABA NI ABA
Umeambiwa master ambao hawapendi kujiweka hazalan kama wao ni ndug
Acha uongo lil omy anaitwa Omar tambwe kwao tabora acha uongo
Acha kuongea san bwana mpk tunasahau😏😏
Sawa
Umemsahau baba revo na mwijaku😂😂
Mbona belle 9 na bright ujawataja
Punguza maneno mengi. Taja majina na picha zao. Unakalia story tu.
ndo mnanisanua hivy sijawahi hata kufikiria undugu wa lulu diva
Inafurahisha
Aje kwang
Idirs na Lulu baba zao Ni tumbo moja
Unyama mwingi san
Unyama
Ila hujui bwana mnazingua na mnakurupuka kufanya mavideo yenu, unapomtaja mtu na mwenzake weka picha zao unganisha kwa pamoja halafu uweke Kila mtu akiwa peke yake lkn unaongea mpaka tunasahau nani unamtaja ndio unaleta picha hamueleweki jipangeni hivyo vipengele nilivyovutaja msivione vidogo vina nafasi yake katika kumvutia mtazamaji
Kapipo na Abbah sio baba mmoja wala mama mmoja ni mtoto wa shangaz yke Abbah mdogo ake finnah na kaka ake ni Jaiva real name Seba wakaz wa mburahat barafu mtaa wa mashineni kwa mwarabu muulize Abbah alafu mwambie tana boy ndio kakupa taarifa izi
Tin white na mavoko ni ndugu, ila dokii ni ndugu yake mavoko bhac au vp hapo imekaaje
Kuna wengi hujataja km Ali kiba na Abdul kiba
Fanya malekebisho kisha muhirudie tena hii video kwa sasa Mmezingua..
Picha amjazipangilia vizuri,
Maneno mengi kuliko dhumuni,
Taarifa zako hazipo sahihi kwa baadhi ya ma-star
Hey
Uko vena😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Z Antony na j meledy wanafanana sana
Iddy abdul
Unakurupuka tu
Muongo bana jmelod alisema wala si ndugu
Abbah au haba?😂😂
Nandy na billnass umewasahau
Mmmmh
BADO ALIKEYIOO na ABDUKEY
Duuuh makubwa
Abba na jaiva ni baba na mama mmoja acha ujinga
ALI KIBA NA ABDUL KIBA HUJAWQTAJA
Hello nahitaji namba wa dereva Uganda to Tanzania
rich mavoko na tin white
Oya abbah ni ndg wa jaivah
Ujitaidi kuwa unatajakwaho kwa asili
Makonda na mwijaku ni mtu na mdogo wake 😂
Lilommy na dommy so ndugu bana majina yao tu umekosea
dabo anafanya hiphop_......khaa achen hizooo
Mmmmmmmmmh umetupiga🤨🤨
😢😂😂
Wanafisha kwa nini
ua-cam.com/video/4yY3TT3EVyQ/v-deo.html taarifa iliyotufikia hivi karibuni ni kuhusu msemaji mpya wa yanga sc , Alikamwe
Jide ndugu yake ni wakazi
Unyama #official_tella
ua-cam.com/video/xYrqkerpoOQ/v-deo.html
😂😂😂
Sio kweli zuchu kwao ndio wa mwisho kaka yao wa mwanzo anaitwa ismail wapili prince na watatu zuchu
Utamu utamu. ua-cam.com/video/yrzGiIZOGFo/v-deo.html
Bab junio na bonge la nyau
Z anto umedanganya z anto ni mmakonde wa pwani pale mkindan ndipo kwao nawajuwa vizur famil yao
Tena katupiga haswa huyo z anto walikuwa wanaishi pale kigamboni machava nyuma ya shule ya msingi ya rahaleo asitudanganye hapa
Lady jeydee na wakazi na sio dabo mbuzi wee!
Hpn wakazi Ana undugu na komando jeed, lla ni kweri Dabo na jeed ni ndugu wa dm, mm na bb.
@@maryamtan682wakazi na jdee ni wa baba mkubwa na mdogo
Baba yao mwingine ni mzee wasira
Na lulu diva na idriss baba zao ndugu
Weee kweri kinyesi, kwani mara ngapi db akiulizwa kuhusu dd ake kumsaidia kwenye mziki wk, alafu wee fala kaa ulijua db na jide ni ndugu tn wa dm moja, jd mkubwa db ni mtt wa mwisho, mitandao umeijua Leo wewe sijui umechelewa wp.
J melody ni mtu wa mpwapwa Sasa undugu na z Antonio ukoje
Kwan baba y'ako akizaa mpwapwa na akenda zaa kigoma alio wazaa uko sio ndugu zako?
Alikiba na abdu kiba nao wakonafac ya ngap mbona nao nindugu na nmastaa pia nasjawackia
Unazingua kwa Vanessa wako watatu mbona Nancy ujamtaja??
Nancy hajulikani anazingua nin zaid ya wao kumtaja ndugu zake ungemjua huyo nancy
Haba?🤷🏼♂️
Rich Mavoko na Tin White???🙄
Ni kweli ni ndugu kabisa pamoja na dokii. Me nawafahamu mpaka familia Yao pale kilosa kimamba
@@veronicamangwela9665 Dokii ni binamu yao sio baba mmoja mama mmoja. Mtoto wa Rich Mavoko kapewa jina la baba yake Dokie
ABBA sio HABA
Dokiii c mkenya Uyo
Dokii sio mkenya bali anaigiza kuongea kikenya, kwao Dokii ni kimamba kilosa ,kakake dokii ni msanii anasanii kwenye vichekesho vya kitimtim na wapo 3 kwao wote ni wasanii Dokii ni wa kike kwao pekee yake wawili ni wa kaka.
Anaitwa abbah sio habba
Xaxa kama hawataki kuxema kweli huo niuxhamba
Ni ushamba kama wewe mwanaume mzima badala ya kuandika Sasa unaandika xaxa
Dokii na mavokoo wapiwapina wapi duh miyayusho boya ww dokii kwao morogoro na ndugu zake nafanya nao kazi
Huwezi kumjua mtu kuliko anavyojijua hata siku Moja,ivyo acheni kujifanya mnajua sana family za watu kuliko wanavyojijua wenyewe,kwani wewe kufanya kazi na ndugu zake dokii ndo sababu yakujua kila kitu kuhusu yeye?
Mzee Fanya Research vzuri, D.Ommy ni Daudi Omary na ni mtu wa Arusha then Lil Ommy ni Omary Tambwe na n mtu wa Tabora....siyo ndugu kabisa.
Undugu wa Jaymelody na Z anto ni kiaje?
Baba mmoja au nini?
@@allylingondo2151 sa unabisha kip kwamba wasaniii walishuka toka mbinguni Awana ndugu au ukoo ao ni ndugu toka zamn kagua post za z anto zamn utaona ka j melody alikapost katoto
Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇
ua-cam.com/video/44kFCNMMtj8/v-deo.html