Jmn aliemuua mbaramwezi ana aman kabsa huko aliko Na chakula anakula kutwa Mara tatu??!😫😫kuna watu wanaroho ngumu jmn kuna watu hawamuogopi mungu kabsaaa daaa😭😭pumzika kwa aman mbaramwezi inauma jmn
Daa jamani wanadamu tumegeuka wanyama tunauana kama wanyama huyu marehemu atakuwa ameuliwa na watu ila malipo ni hapa hapa duniani kila auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. Walaaniwe wote waliokatisha maisha ya huyu kaka wasipate amani ktk maisha yao yote. Poleni sana wazazi, ndg na jamaa wote kwa kuondokewa na mpendwa wenu Mungu aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Inaumiza sana kifo kama hiki kikimkuta jamaa yako au mtu wako wa karibu inaumiza saaana, pole kwa familia jamaa na marafiki, R.i.p @mbaramwezi watu hatuna utu jamani
Kikulocho kinguoni mwako mtu asie kujua hawezi kukuzuri bila kupewa njia na anae kujua muhusuka yupo hapo hapo ila dam ya mtu haitoki bure mungu atalipa kwa njia yoyote ile lala mahali pema
malipo ni hapahapa duniani waliofanya mauwaji hayo mungu anawaona. r.i.p mbalamwezi tutakukumba sana inaumaa sana tena sanaa poleen sana ndugu na sote tulioguswa na msiba huu
Ningekuwa polisi ninge suspect vitu viwil management yake ya mwanzo wale waliotimuliwa na mahusiano yake ya kimapenzi movement zake na hao watu ningepata kitu i Think
Polen sanaa wafiwa wote na ndugu jaman aisee binadam tunakuwa wanyama hivyo mmemuwa bd mnamzalilisha innaalillaahi wainnaa lillaah rajiyun allaah ampe nuru ya kabru
@@piusmdoe8112 yes indeed. Ila ukweli ndio huo mtanganyika mtu akipata ajali mwanzo mnakimbilia mifukoni, mkependa msipende, mnatabia ya wizi hamuwezi kuokota kitu mkatangaza,enzi hizo dar walipokuwa wazaramu watupu yes iliwezekana but not these days
@@kaminyogemwachelwa9884 hujanielewa, basic kutoka mwanzo nimesema napata shaka na hii habari kuwa vijana (raia mwema) ameokota simu na guitar akatoa tarifa kwa kuokota vitu vya marehemu. Sasa kwa maZoea ya jamii ya kitanganyika hasa hili jiji la Dar ni vigumu mtu hasa kijana aokote simu then atoetarifa. Ndio nikasema forensic investigation ianzie kwa huyo aliesema kaokota simu ya marehemu. Kama police watataka kuchungua wanaweza kuanzia na hio simu kwa time frame kuanzia last call yake mwenyewe marehemu mpaka mda huo ilipokotwa hio simu
Mmmh wapo wenye roho nzr though n wachache, kumsuspect mtu aliyetoa msaad ndo kitu knachochozea tushndw kusaidia kbs man mtu anahofia akitoa msaad tu ataonekan yy aliyehusika.... Tubadilike jmn
Kwa matukio haya sasa nakubali hatua ya watanganyika wote wawe wameweka fingers print zao kwenye database za nationwide coz itasaidia kwa urahisi kuwakamata wahalifu,
Bc.watanzania bwana yaani mtu kaokota vitu ahojiwe ko kwani kaua yeye ko kama wewe umeokata kitu bac inatakiwa kuhojiwa ndio maana hata kama kuna kitu cha kusaidia watu hawasaidii hivyo mshukuruni huyo aliye okotwa.
Waliomuua siyo majambazi wala vibaka wangekua majambazi wangeondoka na simu na vitu alivyokuwa navyo sasa uchunguzi wa kina unatakiwa na watu wa karibu ikiwemo kundi lake na management yake mpenzi wake wahojiwe kwa undani zaidi. Something is wrong somewhere binafsi siamini kama ni ajali
Jmn aliemuua mbaramwezi ana aman kabsa huko aliko Na chakula anakula kutwa Mara tatu??!😫😫kuna watu wanaroho ngumu jmn kuna watu hawamuogopi mungu kabsaaa daaa😭😭pumzika kwa aman mbaramwezi inauma jmn
hawatafika popote nawatakufa vifo vibaya xana!!! Mwenyez mungu washughulikie hao mafilauni
Daa jamani wanadamu tumegeuka wanyama tunauana kama wanyama huyu marehemu atakuwa ameuliwa na watu ila malipo ni hapa hapa duniani kila auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. Walaaniwe wote waliokatisha maisha ya huyu kaka wasipate amani ktk maisha yao yote. Poleni sana wazazi, ndg na jamaa wote kwa kuondokewa na mpendwa wenu Mungu aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Poleni sana watanzania mwaka huu mmewapoteza sana wasanii na viongozi MUNGU awalaze mahali pema peponi
Rip mbalamwezi wallah alifanya haya mauaji ...malipo ni hapa hapa duniani ukiuaa kwa upanga utakufa kwa upanga
Sure
Kwhy watu wasiojulikana wameludi Tena? Rest in piece kaka#mbalamwezi
Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi Amen
Kuna binadam wana roho ngumuuuuu
Unaua na nguo unachukua tenaaaaa
Eeeeh
Mungu tuteteeee
Pumzika kwa amani babaaa
Lucy Ngambeki DNA labda wameogopa zikipimwa
R.I.P
Inaumiza sana kifo kama hiki kikimkuta jamaa yako au mtu wako wa karibu inaumiza saaana, pole kwa familia jamaa na marafiki, R.i.p @mbaramwezi watu hatuna utu jamani
Kifo kinaumiza ila mazingira ya kifo yanaumiza zaidi.
cm ndio itakayotoa majibu hakika roho ya mtu haitoki bure na malipo hapa hapa Duniani
Hao walio muuwa mungu anawaona na hakuna kitakacho baki Binaadamu ss dah
innallilahi wainna ilayhi rajiun mungu muepushie adhabu na umlaze mahala pema peponi
Kikulocho kinguoni mwako mtu asie kujua hawezi kukuzuri bila kupewa njia na anae kujua muhusuka yupo hapo hapo ila dam ya mtu haitoki bure mungu atalipa kwa njia yoyote ile lala mahali pema
Daaah!! Hapa ndpo nakumbuka useme wa marehemu Babu yangu "Mjukuu wangu agopa sanaa binadamu mwezako kulko Simba"
Ukichunguza sana mmbaya hatoki mbali R.I.P
Ndo binadamu,na itakuwa na aliye muuwa nayeye alikuwa miongoni mwa waliokuwa wakimtafuta,#rohoyakeipumzikekwaamani🙏🏽
R.I.P kaka mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen.
Amiin🙏
My sincere condolences to all his family, loved ones and Tanzania. May his soul rest in peace. Amen
Amen
Hey Doreen kindly check me on my Instagram page @Amherstylist_ug
Poleni sana wanafamilia,ndugu,jamaa na marafiki wote. Kweli kazi ya mungu haina makosa
Pumzika kwa amani naanza kuchukia Tanzania yangu kila cku kuuwana kuwawa watu upumbavu ukatili
So sad jamani, bado kijana mdogo ana ndoto nyingi ila zimezimwa duuuh poleni sana the mafik na ndugu wote
Inauma sana kila aliyemfanyia ivi mwenyezi mungu atamlipia mwenyezi mungu ailaze roho ya marhemu pepon amen
Dah RIP brother mungu ailaze rohoyake peponi na mungu awape nguvu ndugu na jamaa zake kwani kazi ya mungu haina makosa
Daghhhhhh R. I. P MBALAMWEZI MOLA akubariki na Akupokee huko Ulipofika Daghhhhhh inaniuma Sana 😢 😢 😢 😢 😢
Inalillah waiina irayhi rajioun
Sister upo?
Mungu wewe ndie Mwenza wa Yote hao watu wakamatwe wenyewe wajiseme.Mbona watu tumebadilika hivi jamani tunakwenda wapi,Tuombe bila kuchoka.Rip kaka
It's painful....Condolences to the family.
Sijawahi kumuona but nimeumia sana binadamu jamani wana roho mbaya dah so pain
Venisha John nikweer kabisa binadam tumekuw kam simba
Kwan lazima umuone.?
@@rsautoservice984 amemaansha hamfahm kwa sura but ametoa pole
Tz nao daah innalillah wainailah rajiuun poleni sana wafiwa allah awape nguvu in shaa Allah
pole sana direct
nimeanzaa kumpenda juzi tu kwenye #bobo Leo umevuta moyo jamani
Duuh binadamu wabaya
R.I.P brother Malipo Ni Duniani Hakuna Atakaebaki Milele 😭😭
RIP Mbalwezi iliyokata ghafla
Daaaa poleni sana ndugu zangu kwa msiba mnzito
duuuh mbaramwezi weeee mungu akulaze mahalipemapeponi
Mwenyez Mungu amrehemu
malipo ni hapahapa duniani waliofanya mauwaji hayo mungu anawaona. r.i.p mbalamwezi tutakukumba sana inaumaa sana tena sanaa poleen sana ndugu na sote tulioguswa na msiba huu
So sad my homies let God deal with killers, but one day we will meet at natural mystic, rest in peace mbalamwezi
Rest in peace bro Abdallah aka mbalamwezi inalillahi wayna illahi rajuun poleni sana ndugu wa marehem malipo ni hapa duniani.
Ndiyo kwanza nakusikia leo ila inauma sana mtu bora aumwe umuuguze kuliko kuuliwa kinyama hivi R I P Mbalamwezi
Me enyewe ndo kwanza namsikia jmn
@@beatricekingsley5062 Mi pia sijawahi kukuskia.
Mi pia sijawahi kukuskia.
@@freddyferuzi2428 🤣🤣🤣kwani mimi star? Mie Mkulima tu
@@elinahdaudi8195 Mi sio star pia.
R.I.P bro we gonna miss yuw😭
Poleni sana familia
Inauma sana jaman pumzika kwa aman kaka mung atakulipia hapa hapa dunian binadamu wabaya sana eeh mola mpunguzie adhabu ya kaburi
Ningekuwa polisi ninge suspect vitu viwil management yake ya mwanzo wale waliotimuliwa na mahusiano yake ya kimapenzi movement zake na hao watu ningepata kitu i Think
Kweli ckupingi
6
Bashiru,salehe Nandoro naungana nawe kwa point ya mahusiano coz nguo znaingia huko
poleni sana
Daah mbele yake nyuma yetu rest in paradise kaka
Polen sanaa wafiwa wote na ndugu jaman aisee binadam tunakuwa wanyama hivyo mmemuwa bd mnamzalilisha innaalillaahi wainnaa lillaah rajiyun allaah ampe nuru ya kabru
Mungu akuweke mahala panapo stahiki broo daaah
😢😢😢😢😢😢
Mhhh napata shaka, mtanganyika aokote simu na guitar halafu atangaze.wakuanza kuisaidia polisi ni huyo anaeitwa msamaria mwema. Poleni wafiwa
Maalim mombo mwehu
@@piusmdoe8112 yes indeed. Ila ukweli ndio huo mtanganyika mtu akipata ajali mwanzo mnakimbilia mifukoni, mkependa msipende, mnatabia ya wizi hamuwezi kuokota kitu mkatangaza,enzi hizo dar walipokuwa wazaramu watupu yes iliwezekana but not these days
Maalim mombo kwo unataka tuogope kutoa msaada eee
@@kaminyogemwachelwa9884 hujanielewa, basic kutoka mwanzo nimesema napata shaka na hii habari kuwa vijana (raia mwema) ameokota simu na guitar akatoa tarifa kwa kuokota vitu vya marehemu. Sasa kwa maZoea ya jamii ya kitanganyika hasa hili jiji la Dar ni vigumu mtu hasa kijana aokote simu then atoetarifa. Ndio nikasema forensic investigation ianzie kwa huyo aliesema kaokota simu ya marehemu. Kama police watataka kuchungua wanaweza kuanzia na hio simu kwa time frame kuanzia last call yake mwenyewe marehemu mpaka mda huo ilipokotwa hio simu
Mmmh wapo wenye roho nzr though n wachache, kumsuspect mtu aliyetoa msaad ndo kitu knachochozea tushndw kusaidia kbs man mtu anahofia akitoa msaad tu ataonekan yy aliyehusika.... Tubadilike jmn
Dunia aina huruma,, R. I. P mbalamwezi mbele yako nyuma yetu
R.i.p brother daaaa! inaumiza
Mbalamwezi dah inauma sana 🙏🙏🙏 😭😭😭😭
My condolences to the family
brother.na wanandugu mungu anasema ktk mahisha kuna mchanganyiko mambo mengi,na kaur ya mahandiko jisaidie nikusaidie.
Innalillah wainna llilah rajoon
Rip blood daah pengo kubwa
Inna lillahi wainalillahi rajiun inauma poleni familia ndgu na rafiki 😔
Whaaat
Kwa matukio haya sasa nakubali hatua ya watanganyika wote wawe wameweka fingers print zao kwenye database za nationwide coz itasaidia kwa urahisi kuwakamata wahalifu,
Rip bro umeondoka kama utani dah😥😥😥😥
Fredwarzechariah Naaly kwenyeee kifooo kuna utani
Naona polisi hawajasema lolote kuhusu hili au ndio wapo bize na sadc
Inauma jamani
Polen sana.Inauma sana binadam jamanii
Rest easy bro😓
Pengine kapigwa huyo
Dah nmeumiaa sanaa jaman mkaka wa watu
Bc.watanzania bwana yaani mtu kaokota vitu ahojiwe ko kwani kaua yeye ko kama wewe umeokata kitu bac inatakiwa kuhojiwa ndio maana hata kama kuna kitu cha kusaidia watu hawasaidii hivyo mshukuruni huyo aliye okotwa.
Rip
Kweli inasababisha watu wanakuwa waoga kusaidia kwenye shida
Si umeona ety ahojiwe angeviuza jee wangemuhoji nani sasa watu wengine wanaboa
Mbere ye2 nyuma yake 😭😭😭 R I P
Pole sana kwa jamaa lote, R.I.P. BRO✌✌
Pole R I p
Poleni sana ila wabongo wachawi kuuwana
R.i.p mbalamwezi😭😭😭
Huyo ameuwawa..RIP though
Daah soo sad😭 poleen sana
R IP MY BEST hakuna atakae ishi milele
Si triste 😢
Vidoooo Vidooo.....Mambo gani Broo.,.nini lakiniii waaa....Mbalamwezi Ndio hatutamuona tena Mbele yake Nyuma yetu# Ayotv#Vidovidoxx
Cmjui jmn huyu mwanamzik ,, lkn daah kwnn lkn binadamu tupo hiv ,, Mungu mlaze mahali pema
Simfahamu Ila kwann jaman binadam tuna roho za namna hiyo
Jamanii
Waah Rip😭
r.i.p broo
RIP
KUDADADEKI!!!! KUDADADEKI MIMI NASEMA HIVI SERIKALI IKOMAE NA HIYO ISHU MPAKA ISHU IJULIKANE NA NAAGIZA WAKAMATWE MARA MOJA
R.I.P
Daaaah insinua sana pumzk kwa Aman mbalamwez 2takumic😭😭😭
Rest in Silence
R.i.p
Duuuh😭😭😭😭
Waliomuua siyo majambazi wala vibaka wangekua majambazi wangeondoka na simu na vitu alivyokuwa navyo sasa uchunguzi wa kina unatakiwa na watu wa karibu ikiwemo kundi lake na management yake mpenzi wake wahojiwe kwa undani zaidi. Something is wrong somewhere binafsi siamini kama ni ajali
Alikiba
Binadamu hawana huruma 😢😢
Daah r I p mbalmwez
BONYEZA PICHA USIKIE KAULI YAKE YA MWISHO
Yani inauma unamuuwa mwenzako nikama wewe utaishi milele so sad to the family
Daaaaaah Tanzania
Pumzika kwa amani kaka
Innalilah wainnailaih rajiun
R.i.p mbalamwez
Innalillah wainna irrah wajuin kwani kweli kafariki duuu rip
aiseh mbel ake nyuma etu RIP
Bodyguard muhimu...
R.I.P kaka inasikitisha sana, yani ndo kwanza kijana wa watu alikuwa anaanza pata mafanikio duh