Hongera sana Konde boy kwa kuenzi maisha ya kijamaa pia kwa kukumbuka nyumbani uliko toka, Hizo ni baraka brother.
kuonyesha ulimwengu ulikotoka si suala rahisi.........it's grateful to appreciate your background
Nahasa uwe umetokea sehem kama iyo kweli uyukaka kafanya jambo la busara
Nimefurah kuona yupo happy na baba yake km rafiki yake hongera rajabu
Sarah didn't react when Harmonize said I was born here...God bless my brother with a Queen!!!! Melbourne, Australia.
Tokea Seattle, Washington... bado tuko na wwwe kijijini.. like what you doing bruh.. kipeth real forever.. happy birthday!!
Nameipenda sana hiy Bigap sa mr Rajabu A.k.A Conde boy👌👌
Bora anapeleka mpenz wake nyumba kwao sio wengine wanaongopa naomben like zen umefanya kitu kizuri
Kitu ambacho nimekipenda huna fake life una really life, huna maisha ya kuigiza ni mkwel na muaz.
Mastaa kbao wanaficha vijiji vyao,
@@eventelias3566 Dah, hata Mimi bro, nilivyokua namchikulia tofaut. Na naamin kafungua milango Kwa wasanii wanao ona haibu kujiweka wazi,wataona kumbe kawaida tu,wataiga
duuh good sanaaaa kaka harmonize Nimeipenda sanaaaa hiyoooo couple....kma na wewe umeipata hiiii gonga like
2023 watching this I love you harmonize❤❤❤❤
I really love what you did my brother........so sweet
konde boi you are amazing guy, uko real sana Mungu akubarki
duuu uko vizuri km jina lako hongera sana sana
Dogo HARMONIZE upo sawa sana nyumbani ndiko kwenye baraka zote na wasanii wengine waonyeshe nyumba walizozaliwa huko vijijini kwao wengi hawawezi maana wanaogopa kudhalilika big up sana dogo
Congrats and HAPPY BIRTHDAY my favorite artist
HAMORNIZE uwe na moyo huo hup wa kuthamin wazaz wako muache mond alemee upande mmoja big ap sana kaka Allah atakulipa kheri mbona ukijenga hapo kweni hizo vila swawabu nying sana
Baku kubali sana harmonize kama na ww upon miongoni mwa watu mnaomkubali tafdhali naomba LIKE yako
Wow big up hammonize u don’t leave fake life ❤️💕💔💔💔
big up boy, hongera sana kaka, much love for family
we ni star wa kweli unakumbuka palipo kukuza big up chaliii
Konde boy big up I'm one of your supporters from beira mozambique💪💪💪🔥🔥🔥❤❤
Masha shallah rajab ❤👍👍👍
ma sha Allah hongera kaka ang mung akufikishe sana
That's great Harmonize...being proudly of your village.
Yani Harmonize utafika mbali zaidi Mungu hupenda tuwasaidie watu tunapofanikiwa, mpango wa kujenga villa ili ukoo ndugu zako wakae pamoja ni jambo kubwa sana, wasomi wakisoma wanatokomea peke yao ht kwao hawaendi, ninayo mifano take it from me!
Safa wewe mashallah uko na mapenzi ya kweli yani uko unaosha masufuria ya jiko la kuni mmmh honger
Wow kwni tulisherekea pamoja na ww pia mm bathday yangu ilikua jana,nakukubali kaka yani hauringi kama wengine waaah mungu akujalie mafanikio mema am from 🇰🇪🇰🇪
Harmonize may God bless you .
you are a real man
Harmonize Chelsea Fun like me...I love your village big up bro
Konde boi nashukuru unapenda sana baba yako hapo sawa kwa kumjali baba, bosi wako du !
Big up bro..mshauri basi hata na boss wako...we mamako alikosana na babako ukiwa miaka miwili na unamuenzi babako na hizo ndo barraka kakangu vipi mond...mshauri bana aishi Kama wewe
mama nababa kukosana nisiyo wazazi mumusishe mtoto kwenye ugov weni yan ikitokea mzazi mmoja wapo amemusisha mtt kwenye ugovu wawao wazazi bas itakuwa atali mtoto akisha ipokea ile sumu yamaneno yamzazi mmoja wapo ila mama mond amekosea mtoto kumlea kwakisasi chakumlipizia mama yake mzazi mgovi waliokuwa nao wao wawili
Wellington Ndoro bro hilo niwazo nzuri ila inategemeana labda huo mama armo anadini sana nakueshimu allah sana. na yule mama wa mond labda ameshapekekwa na Dunia unakuta c mshauri muzuri kwa mond
Ivi wanaombaga like uwa mnazifanyiaga nini😩😩😩basi na Mimi naombeni like🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nice nimeipenda hy
MashaaAllah. Raji Umefanya Jambo la mana. Allah Azid kukupa kheir zaid
@@mudyiabas4812 labda weye Unajua mana yake. Na ndiye Uliye soma Mpk Ukahitim.
Mashaallah kwa mamb ya kijinga, miziki yao inakufu disha nn Bali inakufundisha kuzini tu na I nashawishi zinas tu
Napenda kiswahili ya konde boy nakupenda....nipee likes Aki leo msininyime
Ni kweli wazungu Wa Realy love haswa na popote wao wataishi Alimradi Anakupenda. Ni kweli Raji Ulichokiongea.
I like this boy harmonise he is very open with his life he does not care keep it up boy ,diamond jifunze kwa hormo
Mmh hukuona diamond kuna siku alienda home akapea watu zawadi mmm shem on you
Allahumma bareek Inshallah
Mkataa kwao mjinga
Home Sweet home
Enjoy 👏👏👏
I very appreciate Harmonize you keep your dad company love you 😘
Daaah harmonize big up sana broo kumbe hata mm nawez fanikiwa kua kama ww kweli maisha ni safari ndefu
Mzungu kwanza anapenda mazingira ya mwitu mwitu Allah awasimamie..nimempenda huyu baba..sara uvaege nguo ukienda kwa wakwe
@@lipymuscat4779 yaani....siku.nyengine avae hata dress ya mikono mirefu angalau
Apo sasa kwani hakuambiwa wa naenda wapi? Ndio avalie nguo unafunia uchi wake
Nice this is documentary
Konde boy I'm appreciate Rajabu and all member from W.C.B ila umenikosha na singenge mzee baba
Very green street pazuri Sana
Nice one
Mungu azidi kukubariki hongera Sana hormo
Konde boy unatisha saana bro I love it unanipa hamasa 💪💪💪💪🙏
Mkalii WAP big up tu xaana brooo
real love forever will stay in hart
Big up Harmonize......
Baba Harmonize anajiskia kwa vyienye ajatolea jasho😢 Harmonize nakupenda bure coz u are not like vijana wengine baba zao wakiwatelekeza hawaezi msaidia baba
Hongera baba kwa kweli umefanya jambo zuri saaana.
Hamonize umefanya nizid kukupenda yaan dah!!! Mungu akupe maisha maref na mafanikio tele inshaallah
I don't understand anymore but just saying i Love them , Harmonize Lavalava, Rayvann, Diamond, Big up bro's
Hii safi sana Rajabu, na hata wazungu uwa wanapenda ile nature yetu.Sarah ana enjoy
Safi sana kukaa ukapatana na wazazi wako, wakafurahi hata kama mzazi alikufnyia sivyo, usiweke bifu bora ukanyamza utaonekan bora
MashaAllah watu tanatoka mbali I say big up Rajab Hammond 🇰🇪❤👆👌
Nimeipenda iyo man upo fresh kabisa
Mashallah safi sana mkataa kwao mtumwa hamonaiz ujakataa kwako very nice ila ujitahisi msaidie uyo mpenzi wako wa zamani
Wekeni crip ndefu bwana wengine tunajifunza mengi kupitia harmoniz
mashallah me nakuombea ujenge hizo nyumba lnshallah kumuezi babu yako
Pongezi Harmonise kukumbuka ulikotoka, big up mdogo wangu na Happy Birthday
Huyo ndio mume jeshii hajasahau mila za kwao mtu mwema 😍 tembo much lv 😍
Sarah ana upendo wa kweli kwa Harmonize na yuko naye kila wakati, hakika ni wife material... 🙌
Home sweet home and home is the best keep it up Harmonize
Big up. Honest artist
Safi sana,Home sweet Home.
Safi Sana Harmonies sio diamond baba yake Amsaidii
Yn huyu kaka jmn yuko vzr hanaga majivuno km wasanii wengine, big up nmekupenda bureee
How are you Harmonize keep the fire burning
How is Da es Salaam today
ila jitahidi uwabadilishie sipendi mutoe misaada kwa watu wakati ndugu zenu wanapata shida
Zumbe Shauri huyu jamaa anasaudia sana ndugu pia tatizo mtwara nyumba zao hawapendi kukarabati nje sababu ya udongo wao na wanapenda still kuwe kam kijijini ile culture isipotee
Kumbuka kasema kuanzia mwakan ataanza kuwajengea ndg zake sa cjui awabadilishe ngoz
Dah Harmonize umetisha sana Big up kwa ulichokifanya.
Umeriturahusha bro love sana nimeipenda hiyo
Nani mwingine alivyoona mzee alivyokuwa anadunda kwa mwendo wa kujivunia...😄😄😄😄😄 naona tu coments ila sijaona mnatakia heri ya kuzaliwa HBH2UUUUU\UU
hmmm mzungu hacoki kutembeya dah!, hivi kwa kweli Mondi akiona haya haoni kuwa Condeboy amemzidi maarifa 😏
Kama haoni bas hana macho kabisaa..dogo anampa ujumbe amsamehe baba yake.
@@nicholausmbilinyi3587 nimeikubali Asili Yako unatakiwa uidumishe Hishima Yako Rajabu
You are a great one, heshima
Harmonize nice my brother
Uyo sara ungempa dera akawa na uwalicya wa nyumbani mashaallah rajab ivyo ndio inatakikana ikujuwa ulikotoka daima utakazana
hongera sana harmonize
Daaaa!!!! Salut bro upo open safi sana
Huyo dadangu anaupendo thabit mana mazngra anayotembezw af haonesh chcht ila mbongo xx nae pangechimbka angeomb kurdshw mjin
Siyo upendo tu,asiri ya wazungu wengi wao wanapenda sana maisha ya uswazi wanakuwa wanajifunza vitu vingi.kwahiyo mm Sara simshangai ndivyo walivyo hawana ubaguzi wa mazingira
Kam umesikia swagger za jonijoo kwa huyu mtangazaji..... Hahahahahaa wahuni si watu wazuri.....
Safiii sana homenize,kwenu ni kwenu tu,safiii sanaaaaa
my bro waaaaaaah dah
Nice Sana broo uko simple like that
Namkubal sana harmonize na ninapenda sana uvaaji wake big up brother
Mm sio shabiki lkn umenifurahisha but ukienda home kama hivyo mwambie Sara avae dera 🤣🤣🤣🤣
Wazungu wana true love, wangekuwa wale dada zangu wenye kidigree kamoja alikokapata duce wangetaka watembezwe na gari,
Hongera cn we ni mwamba,,,kuna wengne hawayakubali maisha yao ya zaman
Kweli watu hutoka mbali na bidii pia konde nakukubali bro from 254
Real men never FAKE life...ako muwazi na familia yake ameweka ustar kando...mahusiano mazuri na wazazi majirani na marafiki...much love harmonize 😍😍😘😘😗😗😗
XXX video