UTAJIRI MKUBWA WA UHAKIKA NDANI YA WIKI MOJA TU KWA YAKINI TUMIA URADI HUU NA DUA HII

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 січ 2023

КОМЕНТАРІ • 206

  • @jamilafuad-5702
    @jamilafuad-5702 Рік тому +49

    Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.

    • @sultanasalim5177
      @sultanasalim5177 11 місяців тому +1

      Mashaallah

    • @rizikially9535
      @rizikially9535 10 місяців тому +2

      Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa

    • @jumaahmadi7909
      @jumaahmadi7909 9 місяців тому +2

      Maashallah

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 9 місяців тому +2

      Maasha Allah

    • @omaramne4465
      @omaramne4465 7 місяців тому

      ​@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa UA-cam Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Рік тому +26

    Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin

    • @mkambaselemani-ej7np
      @mkambaselemani-ej7np Рік тому

      Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue

    • @alyazain290
      @alyazain290 Рік тому

      Allaahumma aamin yaa rabby

    • @bipoposaidmohaa6242
      @bipoposaidmohaa6242 Рік тому

      Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c 4 місяці тому

      Maradhi na shida mara 1000
      Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia​@@mkambaselemani-ej7np

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha8184 Рік тому +9

    Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen

  • @user-rz7ss3ju7j
    @user-rz7ss3ju7j 2 місяці тому +2

    Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu

  • @Capt.A.T
    @Capt.A.T Рік тому +9

    Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi.
    Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 9 місяців тому +1

      ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 Рік тому +23

    Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,

    • @sofiamunga9179
      @sofiamunga9179 Рік тому +1

      Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.

    • @nasreenmohammed9304
      @nasreenmohammed9304 Рік тому

      Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww
      Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw

    • @maimunaabdallah1294
      @maimunaabdallah1294 Рік тому

      😀

    • @geradybahati3127
      @geradybahati3127 Рік тому

      Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya

  • @aminaismailmikina1240
    @aminaismailmikina1240 Рік тому +5

    Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Рік тому +4

    Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen!
    Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Рік тому +5

    Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 Рік тому +9

    Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Рік тому +12

    Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako

    • @salummakame5086
      @salummakame5086 Рік тому +2

      Assalaamu alaikum .
      Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Рік тому +6

    Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Рік тому +13

    Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Рік тому

      Asante Salma alkyumi umepatia

    • @user-zz5ng1yb8d
      @user-zz5ng1yb8d 7 місяців тому +2

      Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?

    • @ElizabethLizzy-pk3zj
      @ElizabethLizzy-pk3zj День тому

      ​@@user-zz5ng1yb8dni hiyo ya salima

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Рік тому +6

    Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m

    • @nuuraalinoor3630
      @nuuraalinoor3630 Рік тому

      mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.

    • @user-ic7iw2dh7o
      @user-ic7iw2dh7o 8 місяців тому

      Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 Рік тому +14

    Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako

  • @abdifarah-yq5tf
    @abdifarah-yq5tf Рік тому +3

    Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers

  • @athmanharubu171
    @athmanharubu171 8 місяців тому +3

    Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,

  • @hafsawambi779
    @hafsawambi779 Рік тому +6

    Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 Рік тому +5

    Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤
    Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Рік тому +2

    Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝

  • @user-oy5gj8fv4b
    @user-oy5gj8fv4b 20 днів тому

    Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Рік тому +2

    Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.

  • @CheiaNdiricho-kn4zb
    @CheiaNdiricho-kn4zb Рік тому +4

    Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Рік тому +5

    Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi

    • @yasmeeenmusajuma6531
      @yasmeeenmusajuma6531 Рік тому

      Swala zausikuu

    • @suweidkhamis722
      @suweidkhamis722 Рік тому

      Kila comment nakuona mashaallah

    • @Samsungjprime-ww9ve
      @Samsungjprime-ww9ve Рік тому

      @@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya

    • @shemmaster7swaleyuun228
      @shemmaster7swaleyuun228 Рік тому

      Aamin yaarabbi

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q Місяць тому

    Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!

  • @bobomuamarg3856
    @bobomuamarg3856 Рік тому +4

    Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh.
    Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "

    • @bobomuamarg3856
      @bobomuamarg3856 Рік тому

      Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "

    • @fatmaameer5333
      @fatmaameer5333 Рік тому

      Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo

  • @roquaal5682
    @roquaal5682 Рік тому +3

    Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus

  • @lawamatu4221
    @lawamatu4221 7 місяців тому

    Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 Рік тому +3

    Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲

  • @zakhealthbeauty1619
    @zakhealthbeauty1619 Рік тому +1

    Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu

  • @fatmamuhammad4772
    @fatmamuhammad4772 Рік тому +1

    MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi

  • @aidhajaafar391
    @aidhajaafar391 Рік тому +3

    Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Рік тому +2

    Masha Allah shukran jazzakallah khairan

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Рік тому +4

    Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna

  • @nassibmalik9934
    @nassibmalik9934 Рік тому +1

    Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏

  • @allynyangehassan5121
    @allynyangehassan5121 Рік тому

    Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Рік тому +1

    Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲

  • @saidira726
    @saidira726 Рік тому +1

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.
    Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako

  • @abelsaranguti8732
    @abelsaranguti8732 11 місяців тому +1

    masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 11 місяців тому

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Рік тому +5

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 9 місяців тому +1

    Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Рік тому +4

    Kwakwel Allah akujaze kheri

  • @jumamohamedi5855
    @jumamohamedi5855 Рік тому +1

    Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Рік тому +3

    MashaAllah. Saw❤

  • @assinaassende7561
    @assinaassende7561 Рік тому +3

    Allah akulipe kila laheli

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Рік тому +17

    Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh

  • @fatumahayani4671
    @fatumahayani4671 Рік тому +1

    Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema

  • @SADIKIMALISAWA-ou8sk
    @SADIKIMALISAWA-ou8sk 2 місяці тому

    Jazaka allah khaira

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Рік тому

    Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah

  • @zowaina9946
    @zowaina9946 Рік тому

    MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH

  • @abdulhafidhelbahassany52
    @abdulhafidhelbahassany52 Рік тому +2

    Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye .
    Allah akubaarik sheikh. Masha Allah

  • @alyazain290
    @alyazain290 Рік тому

    Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 Рік тому

    MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Рік тому +3

    Shekhe umenenepa maa shaa llah

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 Рік тому +1

    Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie

  • @ayoubahmad7107
    @ayoubahmad7107 Рік тому

    Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah

  • @sulekhamohammed5358
    @sulekhamohammed5358 26 днів тому

    Shukran Allah akupe Afya

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 Рік тому

    Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri

  • @user-ce8ew9pc6y
    @user-ce8ew9pc6y Рік тому

    Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Рік тому

    MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke

  • @sofiaomar8939
    @sofiaomar8939 Рік тому +1

    Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen

  • @fatinahasani882
    @fatinahasani882 Рік тому

    Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Рік тому +3

    Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100

  • @ZaiduHashim-ry1zr
    @ZaiduHashim-ry1zr Рік тому +1

    Masha Allah Allah akupe unalo stahili

  • @halimamathew285
    @halimamathew285 Рік тому

    Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Рік тому +2

    mashaallah my shekh

  • @MmMm-hx6ln
    @MmMm-hx6ln Рік тому +2

    ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante

  • @masudimwinyi7301
    @masudimwinyi7301 Рік тому

    Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Рік тому

    mashaalah allah akulipe ishaalah

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Рік тому +2

    alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika

  • @AshuraRamadhan-hm6jc
    @AshuraRamadhan-hm6jc 10 місяців тому +1

    MAA SHAA ALLAHU

  • @mesalimchama1874
    @mesalimchama1874 Рік тому

    Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze

  • @sessekiza2047
    @sessekiza2047 Рік тому

    Shukrani sheikh

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 Рік тому

    Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri

  • @user-fv3ob5ww6w
    @user-fv3ob5ww6w 4 місяці тому +1

    Kila nikisikia hii clip nahisi ipo kwa ajili yangu...huyo msomali hajamuona mimi wallah nimemuona mtume s.a w mara mbili ..mara yakwanza nilikua nimekithirisha sana kuswa usiku saa 9 hadi asbh naswali rakaa 11 kila usiki na kumswalia mtume ..nilimuota mtume akiwa mtu mzima nilifurahi sana ...mara ya pili nilioteshwa nikamuona akuwa mdogo kwenye umri wa miaka km 12 au 14 hv ...na hiyo siku asbh nilikua namkatia mume wangu kachumbri nilivyoikata nyanya huyo nyanya ikawa imeandikwa jina la Allah kwa kiarabu naomba niitume humu muione hadi najiogopa ..subhannah llah ...madarasa yako yatukuzwe Allah akulipe pepo na uwe na mwisho mwema amina

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 Рік тому +1

    Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo

  • @ayoubahmad7107
    @ayoubahmad7107 Рік тому

    بارك الله فيك

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw Рік тому +1

    Mashaallah from Mozambique

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Рік тому

    Allah akupe umri mrefu sh. Uthman .....nimefuatilia sana hii chanel...Nimesoma mengi

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi8079 Рік тому

    Mashaallah tabarak Allah

  • @ummulabduul-je8db
    @ummulabduul-je8db 5 місяців тому

    ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤

  • @bdvx9012
    @bdvx9012 Рік тому

    Shukulani shekhe Inshaallah tutalifayaa kazi Inshaallah Allah Akubaliki sana ,

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 Рік тому

    Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake

  • @manasa2449
    @manasa2449 Рік тому

    Shukran sheikh

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 Рік тому

    Allah akufanyie wepes utufundishe na mengine

  • @Asha-kj6fz
    @Asha-kj6fz Рік тому

    Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Рік тому +1

    Masha Allha

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Рік тому

    MashaaAllah shekh

  • @zwatts38
    @zwatts38 Рік тому +5

    Kwa nini shekhe huwa anasema Mtume bila kumalizia s.a.w?? Sipendezewi kwa kweli

  • @hemedphd8532
    @hemedphd8532 Рік тому +4

    Mashallah shekh wetu shukran shekh

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Рік тому

    Sheikh othman mungu akuzidishie kila la kheri

  • @SifaNibigira
    @SifaNibigira Рік тому

    Shukran san sheikh 🙏

  • @abdijabarkunyo55
    @abdijabarkunyo55 10 місяців тому

    ManshaAllah,Leo naanza inshaAllah❤

  • @joslinoeldoraldo
    @joslinoeldoraldo Рік тому

    Masha'Allah

  • @hadijagere
    @hadijagere Рік тому

    Ma shaa Allah nataka nianze namimi

  • @rukorioyusuf1268
    @rukorioyusuf1268 Рік тому

    mashaallah nimependa mawaidha yako

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 Рік тому

    Mashaa Allah Allah akulipe😥😥

  • @hallyally8861
    @hallyally8861 Рік тому

    Mashaalah

  • @najatmgaja9579
    @najatmgaja9579 7 місяців тому

    Jazakallah