Nchi hii imejaa maovu, imejaa machozi, viongozi wanafeli majukumu yao. Maovu ni mengi. damu nyingi isiyo na hatia inayomwagika, humlilia mungu. Hii huleta laana ktk taifa
Hivi kwanini police wanawaachia hawa waarifu baada ya kuwakamata na wanajua wameshaleta taharuki ktk jamii wananch wakichukua hatua basi wasilaumiwe wawaache wafanye kimachostahili.
Wananchi wema chagueni watu wacha Mungu. Wewe mama unayelia usililie polici akusaidie lia ukimtaja Mungu wa kweli akusaidie. Viongozi tzn yote machawi kwanza ni mauaji. Uongozi wa kuua ndipo utawale matokeo ndiyo hayo. Tumwombi Mungu tu. Make sasa raia tuko matekani babeli
Jamani singd yetu mbona imearibka mimi nipo singd kijji cha itaja nimepotewa na mdgo wangu toka 16 mwezi 6 nahaptikani tumemutafuta sehemu mbali mbali hatumupti na haujui yuko wap mpka Sasa tunaumia sana
KITENDO Cha Serikali kuwapa LESENI hawa Waganga ni jambo baya sana,na hawa Waganga hawana faida futa maleseni Yao yoteeee,Kwa sababu wakati anafanya kazi yake Serikali haipo utajua anachokifanya ???
Naomba kuuliza swali jamani! Hiv nyie mnaowalilia polisi mna akili timamu kweli? Hiv kuna tofauti gan kati ya polis na wahalifu?? Wa kumlilia ni mmoja tu na ndiye alipizaye kisas cha kweli na mtetezi wa kweli aitwaye Mungu Mwenyezi! Polisi+wahalifu= Mwenye jibu anipe.
We jamaa unayeshuhudia upo sahihi li maviongozi baadhi ya serikali kuna muda yanashirikiana na hao wanaharamu wauaj na yenyewe yauwawe maana auwaye kwa upanga naye atauwawa kwa upanga!😢
Askari wameingiaje hapo sasa wewe ukiruhusu kila mtu ajichukulie sheria mkononi kutabaki na mtu nchini hapa!? Taratibu zipo sio kuchoma nyumba au kuua mtu
Uchaguzi ukikaribia kunakuwa vitu vya ajabu ajabu 😢😢😢
Pole kijana
Kweli kabisa, viongozi wachawi tupu
Mliombee sana hili Taifa....kuna namna limewekwa bond kuzimu!!!!
Af umeongea jambo la kwel kabx nadhan mzimu wa nyerere ,magu na mkapa huwa unashangaa sana
Kweli kabisa hili ndio jibu halisikwa haya yanayoendelea, Yesu Aingilie kati
huu ni mwisho wa dunia nawambia kweli kabisa nyakat za mwisho upendo wa watu utapoa nd hivi sasa Mungu atusaidie😢
😢😢😢 mmmh huyo mganga atakua kufukia watu wengi sana hapo
Auliwe tu
Huyo ni Shetan Live 😮😮😮
Wam'binye mpaka aseme. Waganga wote wangepigwa marufuku ni ushetani tupu
Mtuakitekwa Harudi tena😭😭😭tunauliwa kama mbuxi siyobinaadam ilamachoxi yawatu na dam zawatu.zitawajibu.lnshaallah
q
Mama sana
Maadili ya kazi kwa watumishi wa serikali inatia mashaka!
Daah poleni san ndugu zangu
Haya mambo ya kuzimu kabisa,roho ya mauti ndio upo kwenye anga duuuu Yesu Kristo tuokoee
M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahalii pema peponi pole kwa familia ilibidi raia wange wauwa wote wawili hatali sana
Daa! Nyie wanyaturu mama zangu meacha kufuga mbojo sasa mnaua watu nakuwazika
Huyu mganga ni msukuma,muhamiaji,matukio mengine kayafanya kijiji Cha pili na kwetu huko dom
Mungu wangu tunaelekea wapi sasa
Nchi hii imejaa maovu, imejaa machozi, viongozi wanafeli majukumu yao. Maovu ni mengi. damu nyingi isiyo na hatia inayomwagika, humlilia mungu. Hii huleta laana ktk taifa
Hivi kwanini police wanawaachia hawa waarifu baada ya kuwakamata na wanajua wameshaleta taharuki ktk jamii wananch wakichukua hatua basi wasilaumiwe wawaache wafanye kimachostahili.
Sbhanallah inallih wainalahi rajikhun
😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tusaidie🙏🙏🙏🙏
Jamani jamani😢😢😢
Mungu atusamehe sisi waja wake.
Wananchi wema chagueni watu wacha Mungu. Wewe mama unayelia usililie polici akusaidie lia ukimtaja Mungu wa kweli akusaidie. Viongozi tzn yote machawi kwanza ni mauaji. Uongozi wa kuua ndipo utawale matokeo ndiyo hayo. Tumwombi Mungu tu. Make sasa raia tuko matekani babeli
Subhanallah
Innalillah wainaillah rajoon
Hamna askari hapo ndugu zangu ni wahuni watupu
Jamani singd yetu mbona imearibka mimi nipo singd kijji cha itaja nimepotewa na mdgo wangu toka 16 mwezi 6 nahaptikani tumemutafuta sehemu mbali mbali hatumupti na haujui yuko wap mpka Sasa tunaumia sana
😭😭
Eeeh Mungu litazame taifa hili la Tanzania tunaelekea kubaya tusamehe Mungu pale tulipokukosea kama taifa
Kweli tuombe toba Kwa nguvu zote, haiwezekani kila Kona watu wanapotea na wanakufa
Jamani
USHIRIKINA UMEKITHIRI MNO.
Pole
KITENDO Cha Serikali kuwapa LESENI hawa Waganga ni jambo baya sana,na hawa Waganga hawana faida futa maleseni Yao yoteeee,Kwa sababu wakati anafanya kazi yake Serikali haipo utajua anachokifanya ???
Kabisa wapigwe marufuku
Juzi walijazwa kwebye treni wakiebda Dom
Hao ni watu ambao siku zote ni wachawi aliojificha kwenye tiba za asili
Nimeumia sana 😢😢😢
Dunia simama nishuke😢😢
polesana jamani
Tanzania tumezidi tunalaana. Tuna kila kitu lakini tuko maskini. Kwa sababu yakuabudu miungu
Yaani sasa hv unatembea barabarani wenzio wanakupigia hesabu ya tufigo twako jamani.tujifiche wapi sasa?
😂😂😂
😂😂😂 eti tufigo
😅😅😂😂 unasema wana ira wew mutu anaweza kucheka kama mazuli
Kiukweli inaumiza sana Tanzania USHIRIKINA UMEKITHIRI MNO
Muuweni huyo mganga mbona ni rahisi sana tuu
Hv hao waganga wa kienyeji wa kaz gan pigen ua hawafai ndo wanasababisha watu wanapotea ovyo
Irunde maana yke n wingu,yan hio singida,Moja police hawana lolote wapigaji tu mwisawa anyampaa,hao wagaga n noma,
Huyo mganga anatafuta nn polisi akati mlitakiwa kuwamaliza mapema
du mbona twarudi kule tulipotoka jamani haya matukio yalipungua sana
Naomba kuuliza swali jamani!
Hiv nyie mnaowalilia polisi mna akili timamu kweli?
Hiv kuna tofauti gan kati ya polis na wahalifu??
Wa kumlilia ni mmoja tu na ndiye alipizaye kisas cha kweli na mtetezi wa kweli aitwaye Mungu Mwenyezi!
Polisi+wahalifu=
Mwenye jibu anipe.
Waganga wa Iddi Amini mama samia hao kutoka kizimkazi kwao
Waganga wakienyeji selikali kwanini inawakumbatia waganga wakienyeji ndio chanzo cha watu kutekwa na kuuwawa selikari iliangalie sana swala hili
Jamani matukio ya kuuana kutekama yamezid tumechoka jamani
Vita iishe nikachukua mahindi choma 😢😢😢
kweli kabisa jamami poleni
Tusipige kula kwanini tanzania imekua hivi magufuli baba mungu mrudishe tunaisha uku
Magufuli mwemyew alikuwa anapoteza watu
aitakuwa nawatu kweli mwanangu
Jamani Jamani
Hakuna kupatikana Kwa haki hapo wananunua hizo viungo wao Ndiyo wateja
We jamaa unayeshuhudia upo sahihi li maviongozi baadhi ya serikali kuna muda yanashirikiana na hao wanaharamu wauaj na yenyewe yauwawe maana auwaye kwa upanga naye atauwawa kwa upanga!😢
Taarifa zenu hazija kamilika hujasema hili tukio limetokea wp
Sasa we umekamilika nn wakat unaanza c wamesema mtinko makuro ckiliza vzur WEWE uache shobo
Tanzania yetu 😢ht sijui Inaelekea wapi kila kona watu wanapotea
HIYO NI VITA YA KIMAMLAKA... WATU WANATAKA NA WAO WAKALIE KITI KWA KILA AINA YA MBINU...
Duuuh polelen Kwa familia
Eee mwenyezi mungu tusaidie umebaki wewe tu ndio kimbilio letu
Mbn kla kukcha matukio yanazd jmn, mungu tusaidie waja wko
Makuro kwa wajomba zangu jamani kueni makini.naogopa
Ferdinand irunde anafaa kuwa mtangazaji wa BBC
Mmh dunia imefika ukingoni.
Uongozi haupo makini tu
Tuna shida gani sisi wabongo? Uchawi unaabudiwa. Kama hatumjui Mungu. Poleni ndugu na jamaa
Wanya2ru na niny mmeanza ushirikina😢
Tuseme kwamba usalama Kwa sasa ni mdogo, maana matukio yamekua ni Mengi
Kweli kabixa kwa mfano lamad watu wanapotea hafu hawaonekani
Waganga wa kienyeji wapigwe marufuku wasipewe leseni.wanaagua nini na ndio wanaoroga watu
Tanzania tanzania TANZANIA
Wanyaturu mwatendawore jmn, sokontoni jmn😢😢 mnaua Vijaya Taifa la kesho " tuungane kuwaua mi nipo tayar
jamani poleni sana ,ubinadamu kwa sasa hakuna binadamu ndio wapo,serikali ishike mkondo wake ! kaa sivyo twaelekea pabaya Tanzania
Mbona serikali inaachia waharifu Bora wananchi wajichukulie Sheria mkinon serikali imeshindwa kaz
Kumbe waganga ndo wanaua watu afu mnasingizia serikal
Tumekwisha
Huko vijijin watu wanapotea sana kama hiki ni Kijiji kimoja tu watu 6 je mikoa mingine Sehem ambazo hakuna hata mitandao😭😭😭
Tunakoelekea binadam 😢😢😢
mtanikumbuka RIP JPM
Awa askari wanaumiza wananchi sana
Kwa akili za kisoda unataka police wafanye nn😢
Nachoamini polisi wana kazi ngumu sana kuliko jamii inavyowachukulia@@nancolower_8032
Chadema mnakazi Sana
Askari wameingiaje hapo sasa wewe ukiruhusu kila mtu ajichukulie sheria mkononi kutabaki na mtu nchini hapa!? Taratibu zipo sio kuchoma nyumba au kuua mtu
@@nancolower_8032wafanenini wenae kaamjinga kwanini mualifu anakamatwa Kisha wanamuachia ngoja apotee ndugu yako
Huyo mgaga ilikuaje akawa mzima hadi kafika police,anyampaa hp mmejichanganya ilikua n kua tu,mtu amenyofolewa mnaremba mgg aseee utasikia uchunguz bado,unaendelea
Ndo haya ya simiyu
Huyo mkuu wa kituo jina lake nani??
huyo mkuu wa kituo cha polisi kumuachia mhalifu alafu kuanza kutembelea piki piki ya mhalifu ni kitendo cha aibu polisi huyo amepoteza sifa.
Polisi mnatakiwa kujitafakari,naona maadili ya Polisi yamepotea
Jamani askari shida ni nini? Utatumiaje pikipiki ya muhalifu! au ndiyo rushwa yenyewe!
Jeshi la polis limeshindwa kuwakamata watekaji? Mungu tusaidie tukimbilie wapi kwa matukio haya
Apo kwenye uchunguzi sasa
sasa mwili umekutwa kwa mganga lkn alivyopotea watu bado wakasema polisi wamemchukua ni ujinga tuu
washamuuwa jamani
Ni muda wa waganga wa kienyeji kuuwawa
Ila police yani pkpk tena ya uharifu anatembelea
Selikali haijawahi shindwa hili swala nyuma ya pazia mnahusika kila siku watu wanapotea na kuuliwa
Huyo mganga auwawe na yeye!
Ivi awa wachawi wameluhusiwa nini kufanya uganga wao?
Dawa katibatu
Washa moto uwakeeeee
Uyo mganga. Muuweni chap
Yan Tena WATUMISHI wa serikali wanahusishwa?!!! hatar sana!
mbona kama nchi haipo kwenye amani
Mungu tuongezee manabii kama Mwamposa
Uyo.mwamposa sio nabiii.uyo.ni.mwizi tuuu
Nilikuepo pale sio poa
Ee Mungu okoa Nchi yetu Ya Rabbi tunakwisha jaman watoto kwa wakubwa mganga ana cheni huyo sio peke yake ashikiliwe vizuri atoe ushirikiano
Abinywe mpaka awataje wote aliowaua. Kwa nn serikali inakumbatia wachawi? Wapigwe marufuku
Wapo wanachama ambao Wana masrahi na huo utekaji ndiyo maana hawafuatilii,Mungu atusaidie Kuna Siri kubwa sana ya kichawi hapa tz
Things r getting real.nasty
Mh Gondwe unasema timu ya jeshi la polisi ambao uchunguzi huwa haukamiliki
Magufuli ndio aliweza ,saizi wanafanya kma nchi yabibi yao Wapiga ramli wte wakamatwe.Wanga wanaotumia viongo vyawadamu.
Waganga wengine hawana akili afungwe tu sio wote wenye akili hizo
Hv na nyie wananch mtu mnamufahamu alafu mnamuacha hv hv au kawachezea Kijiji kizima