JINSI YA KUPIKA MAINI YA N'GOMBE MALAINI - KISWAHILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • Mahitaji :
    Maini ya n'gombe 1.5 Lb/ 680gms
    Kwa kuroweka
    Unga wa giligilani - kjk 1 cha chai
    Unga wa bizari nzima kjk 1 cha chai
    Pilipili ya unga nyekundu - kjk 1 cha chai
    Pilipili manga ya unga - kjk 1 cha chai
    Chumvi kiasi
    Kitunguu thom na tangawizi mbichi - kjk 1 kikubwa
    Maji ya ndimu au limao
    Mafuta ya hali zetu au yoyote ya kupikia - kjk 1 na nusu
    Mahitaji ya mchu
    Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
    Vitunguu maji vilokatwa kiasi kikombe 1
    Tomato zilokatwa kiasi kikombe 1
    Bizari ya nzima (uzile) ya unga - 1/2 kjk
    Bizari ya unga wa giligilani - 1/2 kjk
    Kitunguu thom na tangawizi mbici - vjk 2 vidogo
    Pili pili boga za rangi - kama utapenda
    Majini ya dhania/kotmiri kwa mapambo kama utapenda
    Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
    Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
    www.instagram....
    Music courtesy / contemplative-middle-e...
    This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world

КОМЕНТАРІ • 522

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar  6 років тому +36

    IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLS FOLLOW THIS LINK ua-cam.com/video/fyxN4P9f7d4/v-deo.html
    JINSI YA KUPIKA MKATE WA KUSUKUMA ( CHAPATI) ua-cam.com/video/ke92xZiScjQ/v-deo.html

  • @princesspriince1376
    @princesspriince1376 5 років тому +11

    MashaAllah Tabarakallah... leo ndo nimejua Mapishi ya Maini yana wenyewe. Miaka yangu yote leo ndo najua Maini yarowekwa na Maziwa Siki ama Ndimu kutoa Uchafu na wa ndani.. shukran sana Allah Akujaze

  • @joykamotho3590
    @joykamotho3590 5 років тому +9

    Hi,i really love watching your cooking your explanations are very clear.

  • @mohammedrashid9606
    @mohammedrashid9606 4 роки тому +1

    Upishi wako ni mzuri sana kwanza unavutia machoni pili bila ya kula unahisi ni chakula kizuri sana ahsante aroma of zanzibar

  • @janetisaac7922
    @janetisaac7922 5 років тому +1

    Nashukuru sana dada kwa recipe hii nzuri sana ya maini, ambayo sikuwahi kuipika, yaani jinsi ulivyoelekeza kwa kweli dada yangu wewe ni mzuri kwenye mapishi, yaani kuloweka maini kwa maziwa nilikuwa sijawahi lakini nilivyopika yalikuwa mazuri yaani yalinukia vizuri kwa viungo maridhawa pia hayakuwa na metalic taste kama hapo zamani nilipokuwa nikiyapika yaani yalikuwa lainiii. Kwa kweli tulifurahia na familia kwa wali wa nazi. Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa kutuelimisha na akutunze kwa afya njema ili uzidi kutuelimisha

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 років тому

      Hongera kwa jitihada zako pia, nimefurahi kuwa umejaribu na umependa na kuona tofauti yake.

  • @halimamshami3279
    @halimamshami3279 5 років тому +1

    MashaaAllah huu ni ujuzi mpya nimejifunzaa Allahibariqfii habibbty

  • @gabbriellaali140
    @gabbriellaali140 5 років тому +3

    Huwa sili maini but I'll definitely try this recipe. Love from 254

  • @Mwonawangu
    @Mwonawangu 6 років тому +4

    Somo yangu mzito mzito..... thanks for coming through with this. Mine were always tough....will try this soon in sha Allah

  • @salihariyaz1273
    @salihariyaz1273 6 років тому +2

    Ma shaa Allah.....lazima nijaribu hii aina ya upishi. Nnavyopenda maini si kwa udenda kunitoka!😚😚😙

  • @Mapishirahisi
    @Mapishirahisi 6 років тому +7

    Masha Allah recipe nzuri😋❤

  • @daiyomuu8445
    @daiyomuu8445 5 років тому +8

    In Shaa Allah nitapika kama wewe ni mapishi mazuri nimependa na ninakubali hayana harufu Allah akupe khair kwani hii ni sadakatul jaria,mtu akifanya biashara ya chakula na akifaidika na wewe unapata thawabu ameen

  • @soniafavoured9464
    @soniafavoured9464 5 років тому

    Wooow very nice I love it!sikujua unaeza osha maini na maziwa evn dimu thanks sana will try this😛😛😝

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 4 роки тому +1

    Pili pili zetu limau yetu hebu tuone maini yetu kama iko tayari nusu haikurudi kwa sufuria yani dada wewe mmmh sawa bana "asante kwa mafunzo mazuri ya upishi"

  • @esterisaya.188
    @esterisaya.188 5 років тому +1

    Waoooooooo Asanteeeeee sanaaaaaaaaaa dadake Tunashukuru sana nimefurahia pish la leo

  • @Lifeisgoodkitty
    @Lifeisgoodkitty 6 років тому +27

    Maini huenda vizuri sana na ugali😀👍🏾!

  • @mamalakia7157
    @mamalakia7157 5 років тому

    asante dada nimepika leo yamekua mazur pianakupenda sana kwakua najua kamasijaelewa nikikuuliza waweza nijibu shukran sana ndugu

  • @okukustephen2985
    @okukustephen2985 5 років тому +1

    Bwana, hongera kwa mapishi matamu

  • @user-ob8yz1dv8h
    @user-ob8yz1dv8h 4 місяці тому

    Mashaallah nimependa

  • @ashasefu8001
    @ashasefu8001 2 роки тому

    Mashallah dear napenda sana kuangali mapishi yako na leo nitapika naamini itakuwa tamu sana allah akuzidishie

  • @faustakimario9555
    @faustakimario9555 5 років тому +2

    uuuuwiii yaani Mimi napenda jama nimependa sana mapishi yako

  • @siriyamwanamkemkakamavu
    @siriyamwanamkemkakamavu 5 років тому +3

    Mremboooo wa mimi, nimerudi, tena kwa main mimi, aaaah umenikunaaa, asante sana Dada. Ubarikiwe.

  • @mimamkassy6563
    @mimamkassy6563 6 років тому +10

    Shukran

  • @nurusaleh7049
    @nurusaleh7049 5 років тому +4

    Asante Masha Allah

  • @beatricemuthoni3312
    @beatricemuthoni3312 6 років тому +3

    Asanti kwa mapishi hayo yamenisaidia sana

  • @Mishwam254
    @Mishwam254 5 років тому +4

    I have become such a fun.my kitchen now is heaven thanks to your recipes.thank mammy

  • @shikokimani3
    @shikokimani3 5 років тому +1

    Yummy yummy Lakini hio kitunguu hujakata kidogo vile waeleza 😀😀😀😀😀

  • @alikhamis4055
    @alikhamis4055 6 років тому

    Video yangu imenipita Leo nimechelewa kuangalia,mashallah Asante Sana nice

  • @maryumahayati3868
    @maryumahayati3868 6 років тому +6

    Yummyy tabarakkallah
    Bismilah 😋

  • @sikujuaibrahim3097
    @sikujuaibrahim3097 3 роки тому +1

    We mdada nakupenda unajua kuelekeza

  • @ireenkin308
    @ireenkin308 4 роки тому +1

    Mashallah I wish ungekua jirani yangu ningekua na enjoy mapishi Bora yenye afya mate yanitoka mwaaah Asante kwakushare

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 роки тому

      Karibu dada it's a very simple meal to prepare

  • @nananajma1330
    @nananajma1330 5 років тому +1

    Ma Shaa Allah,i tried the recipe and it came out perfectly...thank u soo much

  • @fatmaomar5783
    @fatmaomar5783 6 років тому +2

    Mashallah nzuri kweli habibti ntajaribu kupika hivyo shukran

  • @njeerysalum5862
    @njeerysalum5862 5 років тому

    mungu akubarikii dada ukowapi angalauu unifundishee upishi wako naupendaa sana

  • @shnellakate5673
    @shnellakate5673 5 років тому

    woow sikua najua kma waroeka kwa maziwa na hzi method zote shukran

  • @juliethurio6840
    @juliethurio6840 4 роки тому

    Asante sana kwa video yako nzuri mrembo

  • @roseindekhwa7637
    @roseindekhwa7637 5 років тому

    Asante sana somo zuri naomba kujua siki ni nn na kingereza

  • @sitihassan9439
    @sitihassan9439 5 років тому

    MashaAllah mummy Ahsnt my nimepata na ufundi wa maziwa mummy nashkuru bwana Hata akila nyumba kubwa kama hajala kwangu hashibi

  • @lalyshekue6908
    @lalyshekue6908 5 років тому +1

    waoh nice sana dadaangu

  • @rosejoyngari2774
    @rosejoyngari2774 4 роки тому

    Usually I trade cooking liver but I followed this recipe it was mwaa.

  • @dianashija5674
    @dianashija5674 5 років тому

    Yaaani Dada hongera sana Leo nimekula chakula kitamu sana barikiwa sana endelea kutupa maujuzi

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 4 роки тому

    Napenda kupika maini na kula pia , najitahidi yanatoka laini na matamu , lakini tatizo watoto wangu hawapendi kabisa maini , utahangaika kupika utakula mwenyewe , wanasema yanakinaisha .
    Asante kwa recipe nzuri sana .

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 роки тому

      Watoto ndio walivyo wakiwa wadogo rahisi kuwa control chakula lakini wakisha kuwa mambo ndio hayo , sipendi hichi

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 роки тому

      @@aromaofzanzibar
      Please naomba nijibu niliuliza kuhusu viungo ,
      Unaandaa viungo na kuuza ??
      Kama ndivyo vinapatikana wapi ???

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 роки тому

      @@chayogasperi9783 mie nipo marekani dear

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 роки тому

      @@aromaofzanzibar
      Okay , nilidhani upo Znz . Asante .

  • @maashaallahdatuu9823
    @maashaallahdatuu9823 4 роки тому

    Hongera dada kwa kutuelimisha.pia hebu tufundishe jinsi ya kupika dagaa tonge la kupaka. Wengi linatupiga chenga tunalifuruga tu.

  • @kabanzakwilabya6648
    @kabanzakwilabya6648 5 років тому

    Maaaasshaaallaaah.. Chakula kitamu na sauti tamu..ushindwe tu kunenepa

  • @mariyammuhammed8745
    @mariyammuhammed8745 5 років тому

    Masha Allah napenda sana kufatilia mapishi yako hongera sana mamy

  • @gidaninga1740
    @gidaninga1740 5 років тому

    Asallaam alykum. Shukran sana kwa pishi. Nimepika leo alhamdullillaah. Maini yalikuwa Matamu.

  • @rukiahhdbdn4798
    @rukiahhdbdn4798 6 років тому

    Maa shaa Allah habibty najifunza nikiwa lebanon Allah akujaalie umri mrefu Aamiiyn

  • @khamissuleiman2288
    @khamissuleiman2288 6 років тому +1

    Mashallah mashallah nime enjoy kwa kweli

  • @samsal3479
    @samsal3479 5 років тому +1

    Leo nimejua new method ya kusafisha maini ,nilikuwa. Sikujua kama waeza kutumia maziwa 😂 tnx am your fan

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 6 років тому

    Shukran habibty kwa mapishi mazuri maini nilikua siyapendi lakini kwa upishi huu Inshaallah yanaonekana na matam nitajaribu Inshaallah

  • @getrudenyamvula3511
    @getrudenyamvula3511 5 років тому +1

    yummy nitapikia mume wangu inshallah

  • @angelr2165
    @angelr2165 5 років тому

    Your hubby is soo Lucky..

  • @rahimaally6471
    @rahimaally6471 4 роки тому

    Mashallah mie napenda maini lakini nikipika yanakua dry ishallah nitajaribu hivi

  • @boazkamugisha3966
    @boazkamugisha3966 4 роки тому

    Nzr

  • @mariamhezoron6068
    @mariamhezoron6068 4 роки тому

    Nikuerewa nzuri sana

  • @khalayirose633
    @khalayirose633 5 років тому

    Hujambo dadangu?Nashkuru sana kwa mafunzo ya upishi wa maini 👏👏👏👍🙌🙌🙌

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 років тому

      Alhamdulilah , karibu dear

    • @naimamussa9778
      @naimamussa9778 4 роки тому

      Unga wa giligilani unaitwaje kwa kingeleza

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 роки тому

      @@naimamussa9778 cumin powder, samahani ndio kwanza naona hii comment

    • @naimamussa9778
      @naimamussa9778 4 роки тому

      @@aromaofzanzibar shukran dada

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 4 роки тому

    Nimependa sana tena nimepika nimatam jmn dah ahsante

  • @mohammednadeem3479
    @mohammednadeem3479 4 роки тому +1

    I love that👌

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому

    Shukran Allah akulinde na adui wasiokupenda.

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 2 роки тому

    Maa Shaa Allah

  • @christinenkatha1523
    @christinenkatha1523 5 років тому +1

    Good job mama 👏

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 років тому

    Shukran auntie kwa recipe hii Allah akujaze Kheri

  • @marymaiko6605
    @marymaiko6605 5 років тому

    Safi sana maini mi ningekula na mkate wa boflo tamu sana

  • @zahraiddy4213
    @zahraiddy4213 6 років тому

    Mashallah ntapika kwa style hii nimeipenda

  • @dorcasosano8495
    @dorcasosano8495 3 роки тому

    Nilijaribu it was delicious thanks alot madam

  • @sellyj7882
    @sellyj7882 6 років тому +2

    Ahsante Fathiya,sikujua trick ya kuloweka kwa maziwa!!! nenda tafuta maini sasa 😘😘😘

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 років тому +2

      Thats what you get when you deal with a real chef !😂😂

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 6 років тому +2

      Hata miye wallahi, asante mwaya ngoja nikajaribu .

    • @zaitunshahbal585
      @zaitunshahbal585 6 років тому +1

      Mimi pia sikujua trick ya kuloweka kwa maziwa na Kutoa hio ngozi ya juu - shukran

    • @sellyj7882
      @sellyj7882 6 років тому +1

      @@aromaofzanzibar 🤣🤣🤣🤣 sawa bwanaaa. Angalao nilijua hapo kwa kubambua ngozi ya juu hehe.Twashkuru ma 😘

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 років тому +3

      Mimi pia mpka nilivyokwenda kusomea mapishi chuoni ndio nikajua

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 5 років тому

    Safi my, Yaan imenikuna hapa nilipo Full Maudenda kumwagika

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 років тому

      Pole kwa maurenda itabidi uingie yikoni haraka😂

  • @shamsahussen1059
    @shamsahussen1059 5 років тому +2

    Asante Dada angu mashaallah

  • @habibakifura1644
    @habibakifura1644 5 років тому

    Hongereni kwa mapishi aroma mpo juu

  • @moshiibrahim1490
    @moshiibrahim1490 4 роки тому +1

    Masha Allah

  • @cuteisheroman764
    @cuteisheroman764 5 років тому +1

    Assalam alaikum upo sehem gani dd napenda mapish yako mashaAllah upo nchi gan

  • @jacklinechristopher6662
    @jacklinechristopher6662 6 років тому

    Woow na nmeandaa maini this evening nngejua nngeangalia b4 I cook thou sio mwsho I will try next tym
    Thanks sis😍

  • @abigaelomambia5727
    @abigaelomambia5727 4 роки тому

    I will try this soon. Looks yummy

  • @brendakwamboka7584
    @brendakwamboka7584 4 роки тому

    It tried it it was amaizinggg

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 роки тому

      Thanks for your feedback, glad to hear you enjoyed it

  • @naipeter3738
    @naipeter3738 5 років тому

    Jamani Nimependa sana naitaji shule

  • @afiasaid5849
    @afiasaid5849 6 років тому

    Aa mpendwa,so nice mashaAllah naja kuishi kwako mieee😘

  • @zulehakhalfan9464
    @zulehakhalfan9464 6 років тому

    MashaAllah 😘 shukran... tuwekee jinsi ya kupika honey comb bread please

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 років тому

      Inshallah mbona hiyo recipe imejaa kila mahala, nikipata fursa nitaleta

    • @zulehakhalfan9464
      @zulehakhalfan9464 6 років тому

      Aroma of Zanzibar in shaa Allah

  • @worldcuisine9102
    @worldcuisine9102 6 років тому

    Thank you so much Allah akubarik

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 років тому

      Most welcome, you have my mother's full name Munira Mohammed ❤❤

    • @worldcuisine9102
      @worldcuisine9102 6 років тому

      @@aromaofzanzibar hahah wow

  • @fatumakadute7959
    @fatumakadute7959 5 років тому

    Ma shaa Allah nimeipenda sana

  • @khadijakhalif6073
    @khadijakhalif6073 6 років тому

    MashaAllah ukhty looks yummy... Will try this

  • @swtcocao
    @swtcocao 5 років тому

    Nime jaribu very delicious 👌 thank you 😘

  • @felistergaudence8663
    @felistergaudence8663 4 роки тому

    Hongera

  • @hassanjumachipua2836
    @hassanjumachipua2836 5 років тому

    MaashaaAllah kwa chapati

  • @niniarutek7257
    @niniarutek7257 6 років тому

    From your kitchen to my kitchen thank you so much

  • @zaitunizaitunihotti1469
    @zaitunizaitunihotti1469 5 років тому

    Dah hata kama hulagi main kwa mapishi hayo lazma ule hongera sana

  • @chamsiatoyb723
    @chamsiatoyb723 3 роки тому

    Machallh 👍

  • @sylviastevoo2391
    @sylviastevoo2391 5 років тому

    Hii ni nzuri sana hongera dada

  • @mariamissaahmed7675
    @mariamissaahmed7675 6 років тому

    Tamu sana.Tutajaribu upishi wako Shukran.

  • @prenceskahangwa6757
    @prenceskahangwa6757 5 років тому

    Very nice

  • @amalibuni8082
    @amalibuni8082 3 роки тому

    Love you aroma

  • @aishakhalidiaishakhalidi721
    @aishakhalidiaishakhalidi721 6 років тому

    Asantee san kwa mapish yko mazur

  • @dianaalexin2151
    @dianaalexin2151 6 років тому

    Tamu kweli nimeipenda

  • @givenaden4625
    @givenaden4625 3 роки тому

    Nakupenda dada aroma natamn niwe mwanafunzi wako tyuuuh

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  3 роки тому

      Mie nafundisha mapishi yote hapa ukifuata kwa makini itakua tu

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 5 років тому

    Thank you so much God blee u

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 5 років тому

    Ahsante sana

  • @mariamumuyunus4251
    @mariamumuyunus4251 5 років тому

    salam aleykum.shukran dada kwa mafundisho ya upishi.nimejifunza kutoka wako sana👍

  • @anneamor6192
    @anneamor6192 5 років тому

    Waaaaow looking mwaaaah

  • @elizabethwilliam4174
    @elizabethwilliam4174 6 років тому

    Ahsante sana my dear so yamyam

  • @khadijaabdulqadir1662
    @khadijaabdulqadir1662 6 років тому

    Assalamu aleikum. Mashaallah yummy mate yadodoka 😋😋 shukraaan habibty 😍

  • @fetoomibrahim6329
    @fetoomibrahim6329 6 років тому

    Asante saaaaana....😙😙😙😙😙😙

  • @jayratumaulid582
    @jayratumaulid582 5 років тому

    Asante sana mamy nakupenda sana dada