Biriani/Biriyani ya Zanzibar - Kiswahili

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • Ingredients: Kwa kiasi watu 6-8
    For marination
    5 lb vipande vya miguu na mapaja 12 pcs au kuku mzima alokatwa
    Vijiko vikubwa 3 mtindi mzito
    Vijiko vikubwa 4 tomato paste
    Nusu 1/4 kikombe tomato ilosagwa
    Vitunguu vikubwa 4
    Vijiko 3 vikubwa vya thom & tangawizi ilosagwa
    Ndimu/limao 1-2
    1/2 Nusu kifungu majani ya kotmiri/gilgilani
    1/4 kifungu majani ya nanaa
    Pilipili za kijani 2 au zaidi
    Vijiko 3 vikubwa bizari ya biriani ya kinyumbani au 2 garam masala
    Vijiko 2 vikubwa chumvi
    Vikombe 3 mafuta ya kukangia vitunguu
    Nusu 1/2 kikombe mafuta ya ( kwa kuroeka kitoeo)
    Zaafarani kidogo
    Mbatata 2-3 kubwa kama utapenda
    Mataarisho ya wali
    Mchele mrefu wa basmati vikombe 5
    mdalsini mzima vijiti 2
    Hiliki nzima 5 pods
    bay leaves 2
    Karafuu nzima 3
    Star anise 1
    Kijiko 1 kikubwa pilipili manga nzima
    Robo 1/4 kikombe vitunguu vilokaangwa
    Chumvi kiasi
    Zaafarani kiasi
    Robo 1/4 kikombe maji ya mawardi ( sio lazima, kama utapenda)
    Vikombe 7-8 maji ya kuchemshia wali
    mafuta ya moto vijiko vidogo 6-8 kumwagia kwenye wali

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.