JINSI ya kupika SAMAKI Sangara wabichi na kupata mchuzi MZITO na MTAMU | PIKA NA BABYSKY (New)
Вставка
- Опубліковано 23 січ 2020
- Kama wanawake wengi walivyo, Babysky hupenda sana kupika. Kwa muda mrefu amekuwa akitamani kuonesha mapishi yake hapa SnS na mwaka huu ameamua kuanza rasmi kwa kuja na show yake, #PikanaBabysky. Kwenye sehemu hii, anaonesha namna ya kupika samaki wabichi aina ya Sangara ili kupata mchuzi mzito na mtamu na kuifanya familia yako ifurahie chakula.. Fuatana naye
- Навчання та стиль
uwe una2onesha na sura yako tuone unavyo pika unavyo ongea unavyo tabasmu so Amazing samaki
What a great idea Baby Sky! Ahsante kwa kushare ujuzi wako wa kupika na sisi
Mashallah baby sky mchuzi wa samaki wa nazi mambo ya visiwani sio❤❤😘 mpaka na miss Africa 😯
Utuambie pia unajipaka nini uko soft na ngozi yako Ina glow MashaAllah
Mashallah cute
MashaAllah hongera Sana mwanamke jiko, shukran kwa kunimwaya mate
Waoow bby sky mchuz umependeza had raha penda Sana mapishi yko tena kwa kutumia mafuta ya nyumba 👌👌👌
Wooow
Ahsante bby sky
Masha Allah shukran kwa kunifunza pishi la tz maana mwakan naolea tz naona kwa hili sintaaibika
Woooow nimeipenda hio recipe ntajaribu siku moja in shza Allah
Hadi nimekumbuka kwetu Mwanza daah. Ni aina moja ya upishi ninaoupenda mimi safi sana
Asante sana Dada kwa somo zuri ulilotuletea.
Mashaallah 👏👏👏🙌
Masha Allah tabaraka Allah😍😍😍
Asant sana bbysky nimelipenda pishi lako.. asnt kwa kutufundisha
Asante sana nimewai ni mzuri sana
Mansha Allah Bby Sky umehamuwa utitiye uroho
Wooooow. Iyi nomaa wallah 🔥🔥🔥🔥🔥. Hadiiiiii raha😋😋😋😋 si kwamcuzi huwo. Ndomana Sky ana shine ni sababu yamapishi ya BabySky 😍😘
Mashallah so nice
☺☺☺ wife yetu baby sky mashallah 😘
Umeona eeh😂😂😂
Kikwaruzo
hiyo siyo mboga ni kitoweo cha samaki ukisema mboga ni jamii ya mboga za majani mchicha kebichi kisamvu nimefurahi kuona mapishi ya pwani
Unapenda kupika kama mimi.. Mashallah nice food😘
Kweli mbonga moja mapishi mbali mbali Asante
So amazing mrembo
Asante sana my dear kwa pishi zuri
Asant sana. May mashaa Allah
Lovely 👍👍👍
Masha Allah uko sawa baby sika..
Tamu mashaallah 😍👌👍✌
Maashallah 👌
Mashallah, nice
Eeeeee asante mama nimefurai saaana jamani 👏👏👏👏
Thank you
Mashaa Allah nimependa saana upishi wako baby sky.
Wow na mm nitampikia mume wangu in shaa allha nimeandika vyote
Mashaallah mapishi 😋👌👌💥💥💥
Tamu sana
Yumyum nice food
Mashaa Allah yummy yummy
Wow.nimependa
Baby punguza kuongea bhana your cooking is so amaizing
From🇰🇪 nimependa upishi wako😍
🇫🇮🇫🇮🇫🇮❤️👀 Africa SAMAKI zuri, Europe daaaaaah akuna
Norwegian ww unakula lax sana 🇸🇪
ali yh ni kweli
Hakuna, tuna kula mabuzi sio samaki hata laza hamna
Micheline Mapendo wapo ukiwa napesa ...sema bei mbaya tu
MaashaAllah
mashaallah
Yummy food. Endelea kutuwekea video zama pishi tume enjoy. Nakula kwa macho 🤪🤪
Hongera msingida mwenzangu
Woow
I love it😋😋😋😋
Urakoze cyane Baby Sky
Woow Super baby Sky
Yummy😃 but i ll opt coconut only without using milk
Nakumbuka afrika jamani kunaiyo Pili pili zuri 🤒🤒🤗🤗
I like this upishi
Bajeti hiyo uko vizuri
Maa shaa Allah
Uko vizuri sana ila maongezi punguza ili uende moja kwa moja kwenye point
Unajua mamy umenifundisha asante sana
Wooow bby sky leo umeamua kututamanisha jmn duh
Good idea
Mwanamke jiko😋😋😋👌👌
Ahsante my dear
Hongera sanaaaa
Mashallah
Kumbe jamani limao na ndim nivitu mbiwili tafauti ambao tunajuwa kama nikitu kimoja tujuwane
Kweli namie ndokwaza najua leo limao na ndim kitu tofaut hahaha jiko linawenyew
Jamani...tofautiii
Mimi mwenyewe nilizani ni kitu kimoja tu
eee hata me ckuwah jua
Kama ni kitu kimoja mbona kiwe na majina mawili???
nice sana
Asante mama
Do this more baby. Maybe fanya channel pekee it will be so nice thanks.
Yam yam
Napenda sana unavyoongea baby😘😘
Aslm alkm manshallah mapishi mazuri.
Hongera
Mmmmh baby sky jamani maashallah
Leo ningependeleya niwe mgeni wako daaah 👁 una pilipili apo? 🤗🤗🤗
Nyanya jitahidi zingine ziwe za kukatakata na kiasi ziwe za kusaga ,kwasababu zikiwa zote za kusaga lost ya mchuzi haiwi nzito
Samaki bila spice kweli kitoweo kimoja mapishi mbalimbali
Napika kesho asante sanaaaa
Kipindi Cha gwajima uliwahi kuulizwa nyie ni mnajua kazi kama gwajima ukajibu unajua said kumbe hata jikoni upo vizuri hongera mwaya nakupenda bure 😘😘
@@redempthatheobard6763 ulitaka nicomment nini ?
🥰👌
Yamy 😋
Manshaallah ndio maana munang’aa
😂😂😂😂
Yummy yummy 😋😋
Yummy nice. ♥️
👏👏
Mmh! Mambo ni moto!
Asante, hadi nahisi njaa
Msingida mwenzangu uko vzr sana jikoni
👏👏
Me nataka mikate president 😋😋
Next pishi tuwekee all ingredients na vipimo kwenye description box 🙏
Hayo maziwa fresh au
Mapishi mazuri sana, samaki anavutia👌
Asante sana, channel yako imejidhatiti kwa mapishi kwakweli, hongera. Babysky atajifunza mengi toka kwako
@@SimuliziNaSauti Asante sana hun hata yako pia nimeipenda sana😘
Salam alekum mashallaah chakula kizuri napenda sàna samaki
Ongera mama
Nice
I like your cooking pot
Nimependa sana. Yaan hata mm sipendagi km ww kusaga nyanya kwa plender kuna harufu naisikia pia
Ukitaka kumjua mwanamke anaependa kupka tazama kucha zake baby nimependa kucha zako nifup hazilet kinyaa pia asante kwakutufundisha mapish usiishie kwenye samak uendelee
Umeona eee, kuna wanawake wanamakucha marefu yamejaza mavi
Hata kucha zenye rangi hazifai kwa mwanamke anaepika mara kwa mara.
Masha ALLAH, mwanamke jiko uko vizuri dada baby sky
Sio mboga sema samaki au kitoweo! Mboga ni mchicha!matembele!chunga!kisamcu!
Nomaaa tamuu sanaaa 😋😋
🥰🥰🥰🥰❤❤❤
Sawa mama
asaante mama sky
Mmm!! Uyo mzee atajinoma hatar
Nimependa mapishi yako yapo ya kawaida sana hayana maviungo vingi.mpaka unajisikia kichefuchefu nipenda.
Hadi Raha kabis😋😋😋