MWANAMKE MWENYE AFYA YA AKILI ANAMIPAKA - NAVAA BIKINI- ACHA ULOKOLE KITANDANI- PASTOR ROSE SHABOKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 бер 2021

КОМЕНТАРІ • 289

  • @BernadethaBuha-os7tt
    @BernadethaBuha-os7tt Рік тому +7

    Mungu aendelee kukuweka duniani unaponya mionyo ya watu

  • @2poandrew298
    @2poandrew298 3 роки тому +16

    NAKUPENDA PASTOR ROSE. MUNGU AKUTUNZE KWAAJILI YANGU.

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya1286 Рік тому +11

    Acheni kuchochea Zinaa, Wambieni watu waache zambi wampokee Yesu waende mbinguni sio vinginevyo.

  • @immaculatajacob3677
    @immaculatajacob3677 2 роки тому +5

    Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi

  • @ummyghabbash2619
    @ummyghabbash2619 3 роки тому +12

    Nimempenda huyu Dada jamani anajua nampa max zote

  • @charlesjoseph6847
    @charlesjoseph6847 3 роки тому +8

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa big up mtumishi

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Рік тому +3

    Mama umesema vizuri, mwanamke hata usipowezeshwa unaweza vizuri, ukiwezeshwa napo umshukuru mungu pia.

  • @shestiverwakatale7478
    @shestiverwakatale7478 3 роки тому +5

    Ubarikiwe na YESU KWA ujumbe mzur sana pastor Rose

  • @pendomangalili7501
    @pendomangalili7501 3 роки тому +8

    Hallo 👋 Pastor Rose 🌹 Shaboka, naguswa sana na mafundisho yako hasa sisi walokole Mungu akubariki sana mafundisho yako Ni Master Key 🔑.

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 2 роки тому +6

    Amen kipenz changu pastor 🌹 nakupenda mno jamani

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 3 роки тому +7

    Ameni nime barikiwa Sana na nime jifunza kitu hapa

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 3 роки тому +16

    A man will treat you according to the way you allow him to do🔥🔥🔥🔥. I like that. Ubarikiwe.

  • @elizabethgati8549
    @elizabethgati8549 4 місяці тому +1

    Napenda mafundisho yako pstr.Rose mungu azidi kumimina upako ndani yako

  • @siporaleonard6532
    @siporaleonard6532 3 роки тому +12

    Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana

  • @jacklinesamatwa3146
    @jacklinesamatwa3146 3 роки тому +11

    Asant mtumishi wa mungu,ni ndoto yangu kufikia viwango vyako

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 3 роки тому +10

    Pastor Rose she's my role model😍😍

  • @esaumahundi5647
    @esaumahundi5647 2 роки тому +9

    Mafundishi manyonge yesu anaweza yote yesu in zaidi ya hospitali

  • @mwanalyimo2432
    @mwanalyimo2432 2 роки тому +1

    Nimekupenda dada , duuu hii Kali, kweli hakuna uchungu unaozidi wa kuzaa, ikiwa Mungu mwenyewe alisema ni uchungu, kweli ni uchungu

  • @nelibaba
    @nelibaba 3 роки тому +9

    Mambo mazuri...ntakuletea zawadi

  • @siphanestarichad6275
    @siphanestarichad6275 3 роки тому +5

    Nimeipenda hiyo nakufaje kizembe jamani wanawake tunaweza hakuna kufa mtu.

  • @icecream2684
    @icecream2684 3 роки тому +14

    Rose mushi classmate morogoro secondary school
    Form 5 to six HGE
    She has this since then

    • @florachrist9602
      @florachrist9602 3 роки тому +1

      Mmh mbon yey alisom ashira

    • @elizabethmlay2047
      @elizabethmlay2047 3 роки тому +2

      @@florachrist9602 yes fom 1 to fom 4 alisoma ashira......vip nawewe mwana ashira??

    • @icecream2684
      @icecream2684 3 роки тому +1

      @@florachrist9602 mh hapana advance tulikua nae necta yeye mbele mimi nyuma yake

    • @ikundamarealle9129
      @ikundamarealle9129 2 роки тому +2

      Acheni kuleta private information za mtu public sio ustaarabu acha ajiseme mwenyewe Hata kama unamjua.binafsi sipendi

  • @Freench20204
    @Freench20204 3 місяці тому

    ❤mimi ni 🇧🇮leo umenifunza prophète nakupenda sana ubalikiwe sana

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 2 місяці тому

    Ni ya siku nyingi lakini maneno yanaishi. Aliyemwelewa Rose say hallelujah 🎉

  • @abyssiniaseif1703
    @abyssiniaseif1703 3 роки тому +8

    That’s how you know she was made for what she does👌🏽👏🏽❤️🔥

  • @rechomwaisaka5173
    @rechomwaisaka5173 3 місяці тому

    Mungu akutuze. Postor Rose me nabarikiwa sana na mahubiri yako bwana yesu akutuze nakupenda sana dada angu mtumishi wa mungu

  • @naahjay7900
    @naahjay7900 3 роки тому +4

    Nimejifunza kitu jaman 'a man will treat you as you allow him to treat you' dah ni kweli

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Рік тому +2

    Mungu hajari nini ulifanya, ukitubu na kufuata njia zake anakubariki sana

  • @josephanyaki8478
    @josephanyaki8478 3 роки тому +3

    Pastor Rose unanibariki sana

  • @motherteresa8469
    @motherteresa8469 3 роки тому +7

    Dear mchungaji ongera Kwa mawaidha mazuri Kwa wadada,God bless you.

  • @magesasilimba9169
    @magesasilimba9169 3 роки тому +6

    Maneno mazuri mama

  • @ceciliakasula4367
    @ceciliakasula4367 2 роки тому +1

    God bless you Woman of God, so blessed

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 3 роки тому +19

    Mtumishi wa Mungu akiwa ameenda shule anakuwa na weredi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 роки тому

      Lakin bado ndoa Tanzania shida saana

    • @williammasatu1488
      @williammasatu1488 3 роки тому

      Hao watu unaongea nao kweli wote wanajua Kiingereza kwanini usitumie kiswahiki tu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 роки тому

      @@williammasatu1488 tunakitaka sisi huku ambao tuko nje Marafiki zetu wapokee ujumbe pia,Usihofu ndugu yuko sahihi kabisa

    • @merryangle9842
      @merryangle9842 3 роки тому +1

      Asant dada yangu mpendwa nimekupenda bure na nimekuelewa sana

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 роки тому

      @@merryangle9842 nawe barikiwa Ujumbe ni kwa watu wote

  • @Stopperkbsa
    @Stopperkbsa 3 роки тому +4

    Nakupenda mama ,,, Catherine yussuph

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 2 роки тому +1

    Una huduma nzuri, hila unahitaji kusoma Biblia sanaaa

  • @ellakaisi7488
    @ellakaisi7488 3 роки тому +8

    Akili yangu silaha yangu 👌

  • @NestorMAKI
    @NestorMAKI 15 днів тому

    Merci pour cet enseignement

  • @Elizabethmbithe-br7yk
    @Elizabethmbithe-br7yk 3 місяці тому +1

    congrats pastor rose

  • @gentrinemukosero-zk6wc
    @gentrinemukosero-zk6wc 11 місяців тому +2

    Amen.

  • @jimmykampate78
    @jimmykampate78 3 роки тому +3

    Ubarikiwe mchungaji nakupata vizur

  • @jasperjackson8871
    @jasperjackson8871 3 роки тому +3

    Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp 7 місяців тому +1

    AMEEN NIMEBARIKIWA SANA❤

  • @faiyamulishidi9224
    @faiyamulishidi9224 3 роки тому +4

    Ubarikiwe mumy nimebarikiwa sanaaa naafundisho ni kweli watu wanajidharau. Hakika mmi cio binti wa kawaidaa

  • @siphanestarichad6275
    @siphanestarichad6275 3 роки тому +6

    Oh this message is so powerfully God bless you mama.

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 роки тому +3

    Ndo Tushafungaga Wengine Mom Nimelock Kabisaaaaa

  • @mbivumedia
    @mbivumedia 2 роки тому +3

    Amazing!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому +2

    This lady is very wise

  • @RichMotherr
    @RichMotherr 2 роки тому +7

    I love pastor Rose 🌹 🍒🍒🍒🍒🍒

  • @rithamathias2944
    @rithamathias2944 2 роки тому

    Lov u pastor Rose 😍

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Рік тому +2

    There some people can not be in my life, because we don’t have things in common.umesema ukweli kuhusu limitations. Ni vizuri to set a boundaries

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 роки тому +9

    Wawoo I wish nimsikie huyu dada kila week she made my day Walahi🥺🥺

  • @reinfridamhagama802
    @reinfridamhagama802 3 роки тому

    Amina..Ubarikiwe

  • @nzaiwavinya7984
    @nzaiwavinya7984 Рік тому +1

    Am so blessed today

  • @user-xl9vi5vq8d
    @user-xl9vi5vq8d 4 місяці тому

    Nakupenda sana mtumishi ninapona.Mungu akubariki sana

  • @user-hv8to1wf4h
    @user-hv8to1wf4h 11 місяців тому +1

    Amen past ❤

  • @estermjenga682
    @estermjenga682 3 роки тому +5

    Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alexalexander3027
    @alexalexander3027 2 роки тому +1

    Wamama wabarikiwe na Mungu

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 3 роки тому +5

    Nankumbuka ile kauli yake ya kutowa mzigo wa kutosha kitandani 💪💪💪

  • @deborahmbondo
    @deborahmbondo 3 місяці тому

    Be blessed my lovely mommy

  • @gladnessanoldhiindyotanzan7983
    @gladnessanoldhiindyotanzan7983 2 роки тому +2

    Umenibariki 🙏

  • @neemanswima1254
    @neemanswima1254 3 роки тому

    Najuta kuchelewa kukufahamu mch.nakuelewa sana,ubarikiwa

  • @MalakiShauri
    @MalakiShauri 10 місяців тому

    Ilove yu proster rose is good woman ilove

  • @AaaAaa-pc3uq
    @AaaAaa-pc3uq 3 роки тому +3

    asant dada umenigusa ubarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-pz4np8vy3j
    @user-pz4np8vy3j 2 місяці тому

    Nakupata vizuri Pastor ubarikiwe

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Рік тому

    Nimekupenda bure mungu azidi kukulinda

  • @ashuramustafa7459
    @ashuramustafa7459 3 роки тому +2

    💪🏿💪🏿💪🏿mwanamke wa shoka

  • @modestaulambale606
    @modestaulambale606 Рік тому +1

    Amen

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 3 роки тому

    Asante sana my

  • @binthawa2973
    @binthawa2973 3 роки тому +1

    pastor rose nimekupend na umenifunza kit

  • @winifridakibona5936
    @winifridakibona5936 3 роки тому +4

    Aisee this word is very powerful.
    💃💃💃💃

  • @Kidotii
    @Kidotii 3 роки тому +10

    Rose you are anointed woman of God!

  • @hesbonwataka2809
    @hesbonwataka2809 3 місяці тому

    Ujumbe mzuri kweli👍👏

  • @mariammhagwa1412
    @mariammhagwa1412 3 роки тому

    Ameen

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 3 роки тому +2

    Kweli Wanawake wengi wanajidhalilisha sana kinyume na maumbile Mungu aingilie kati tu asante somo zuri

    • @siahmunissi6333
      @siahmunissi6333 3 роки тому +1

      Wao wafanye maamuzi ya kukataa na sio Mungu aingilie kati,iko wapi afya ya akili kama hawatajisimamia wenyewe.

    • @georginajohn8456
      @georginajohn8456 3 роки тому

      @@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear

  • @priscajustine2183
    @priscajustine2183 3 роки тому +8

    Amen nimependa ilo somo

  • @josephmalema7782
    @josephmalema7782 3 роки тому

    Nimekuelewa sana

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 3 роки тому

    Kweli kabisa mchungaji

  • @mlagz8032
    @mlagz8032 2 місяці тому

    I wish i met you earlier Asante mchungaji

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 роки тому +2

    Shaboka i get it.

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 5 місяців тому

    Ameeen.

  • @user-xl9vi5vq8d
    @user-xl9vi5vq8d 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana

  • @lifeeternal4553
    @lifeeternal4553 2 роки тому +1

    Amen.Powerful message for women to know where to stand and to move on on God promises.🙏

  • @saidakessy3175
    @saidakessy3175 3 роки тому

    👌

  • @etomere3716
    @etomere3716 3 роки тому +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 3 роки тому +4

    Mambo 🔥🔥🔥

  • @martinajames4956
    @martinajames4956 3 роки тому +1

    Saf Sana paster

  • @modestaulambale606
    @modestaulambale606 Рік тому

    Aminaaa

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 3 роки тому +16

    Bibilia anasema
    Usiyachochee mapenzi
    Kuna wanawake wakitoka
    Hapo ndoa zinaenda kuvunjika
    Akili ya kuambiwa Changanya
    Na yako.
    Kila ndoa inategemea mumeo
    Yukoje kila mtu ana tabia
    Yake.

    • @regnethmtemanyongo2237
      @regnethmtemanyongo2237 3 роки тому

      Asante ni kweli

    • @trixiecyja2513
      @trixiecyja2513 3 роки тому

      Well said..

    • @bellatrixblack4491
      @bellatrixblack4491 3 роки тому

      Kweli kabisa

    • @amanimanase1591
      @amanimanase1591 3 роки тому

      Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo

    • @jumamohamedi5044
      @jumamohamedi5044 3 роки тому

      @@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya

  • @user-jj5ps4hy4l
    @user-jj5ps4hy4l 3 місяці тому

    Safi sana Dada yangu

  • @marthajoseph6902
    @marthajoseph6902 3 роки тому +2

    Safi sana Da nimeipenda kweli m'barikiwe sana

  • @lusulusu4921
    @lusulusu4921 3 роки тому +7

    A powerful message God bless the Woman of God

  • @susanshikuku1567
    @susanshikuku1567 7 місяців тому

    Amen 🙏

  • @SIKURICHAShop
    @SIKURICHAShop 7 місяців тому

    Ameee 🙏🙏🙏

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 3 роки тому +2

    Thnk you tamari😂😂😂😂

  • @RichMotherr
    @RichMotherr 2 роки тому

    nakupenda

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid1764 3 роки тому +4

    Thanks mom

    • @matildajackson1535
      @matildajackson1535 3 роки тому

      Kujitambua ni silaha kubwa Sana kwa mwanamke

    • @isackakyoo6446
      @isackakyoo6446 2 роки тому

      Pat hongera VIWANGO NA UWIANO, kuna sehemu ya kuaply Elimu,Pesa na kuna sehemu ya kuaply Nguvu za Mungu, Pst Rose hongera

  • @MunezeroDianne-zi7uj
    @MunezeroDianne-zi7uj 2 місяці тому

    Wow

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 роки тому +1

    Mmm kusalitiwa inaumiza kuliko kuzaa dada weee acha tu

  • @betinabahati3431
    @betinabahati3431 Рік тому

    Nime kupenda sana

  • @gamabadia7318
    @gamabadia7318 Місяць тому

    Rose siyo mchungaji, ni mwanasarakasi. The Bible expressly forbids women from preaching to mixed congregation with men.

  • @hamisdefestor9964
    @hamisdefestor9964 2 роки тому +1

    Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari
    Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli
    Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho
    Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri