Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi
Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana
Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.
@@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear
Bibilia anasema Usiyachochee mapenzi Kuna wanawake wakitoka Hapo ndoa zinaenda kuvunjika Akili ya kuambiwa Changanya Na yako. Kila ndoa inategemea mumeo Yukoje kila mtu ana tabia Yake.
Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo
@@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya
Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri
Mungu aendelee kukuweka duniani unaponya mionyo ya watu
NAKUPENDA PASTOR ROSE. MUNGU AKUTUNZE KWAAJILI YANGU.
Acheni kuchochea Zinaa, Wambieni watu waache zambi wampokee Yesu waende mbinguni sio vinginevyo.
Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi
Nimempenda huyu Dada jamani anajua nampa max zote
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa big up mtumishi
Mama umesema vizuri, mwanamke hata usipowezeshwa unaweza vizuri, ukiwezeshwa napo umshukuru mungu pia.
Ubarikiwe na YESU KWA ujumbe mzur sana pastor Rose
Hallo 👋 Pastor Rose 🌹 Shaboka, naguswa sana na mafundisho yako hasa sisi walokole Mungu akubariki sana mafundisho yako Ni Master Key 🔑.
Amen kipenz changu pastor 🌹 nakupenda mno jamani
Ameni nime barikiwa Sana na nime jifunza kitu hapa
A man will treat you according to the way you allow him to do🔥🔥🔥🔥. I like that. Ubarikiwe.
Salome
Not true
Napenda mafundisho yako pstr.Rose mungu azidi kumimina upako ndani yako
Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana
Asant mtumishi wa mungu,ni ndoto yangu kufikia viwango vyako
Pastor Rose she's my role model😍😍
Mafundishi manyonge yesu anaweza yote yesu in zaidi ya hospitali
😅 TUKUTANE MBINGUNI KAKA 😁
Usiandike jina la YESU Kwa herufi ndogo.
@aaapaqaaaaah290
Nimekupenda dada , duuu hii Kali, kweli hakuna uchungu unaozidi wa kuzaa, ikiwa Mungu mwenyewe alisema ni uchungu, kweli ni uchungu
Mambo mazuri...ntakuletea zawadi
Nimeipenda hiyo nakufaje kizembe jamani wanawake tunaweza hakuna kufa mtu.
Rose mushi classmate morogoro secondary school
Form 5 to six HGE
She has this since then
Mmh mbon yey alisom ashira
@@florachrist9602 yes fom 1 to fom 4 alisoma ashira......vip nawewe mwana ashira??
@@florachrist9602 mh hapana advance tulikua nae necta yeye mbele mimi nyuma yake
Acheni kuleta private information za mtu public sio ustaarabu acha ajiseme mwenyewe Hata kama unamjua.binafsi sipendi
❤mimi ni 🇧🇮leo umenifunza prophète nakupenda sana ubalikiwe sana
Ni ya siku nyingi lakini maneno yanaishi. Aliyemwelewa Rose say hallelujah 🎉
That’s how you know she was made for what she does👌🏽👏🏽❤️🔥
Mungu akutuze. Postor Rose me nabarikiwa sana na mahubiri yako bwana yesu akutuze nakupenda sana dada angu mtumishi wa mungu
Nimejifunza kitu jaman 'a man will treat you as you allow him to treat you' dah ni kweli
Mungu hajari nini ulifanya, ukitubu na kufuata njia zake anakubariki sana
Pastor Rose unanibariki sana
Dear mchungaji ongera Kwa mawaidha mazuri Kwa wadada,God bless you.
Maneno mazuri mama
God bless you Woman of God, so blessed
Mtumishi wa Mungu akiwa ameenda shule anakuwa na weredi
Lakin bado ndoa Tanzania shida saana
Hao watu unaongea nao kweli wote wanajua Kiingereza kwanini usitumie kiswahiki tu
@@williammasatu1488 tunakitaka sisi huku ambao tuko nje Marafiki zetu wapokee ujumbe pia,Usihofu ndugu yuko sahihi kabisa
Asant dada yangu mpendwa nimekupenda bure na nimekuelewa sana
@@merryangle9842 nawe barikiwa Ujumbe ni kwa watu wote
Nakupenda mama ,,, Catherine yussuph
Una huduma nzuri, hila unahitaji kusoma Biblia sanaaa
Akili yangu silaha yangu 👌
Merci pour cet enseignement
congrats pastor rose
Amen.
Ubarikiwe mchungaji nakupata vizur
Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.
amina
AMEEN NIMEBARIKIWA SANA❤
Ubarikiwe mumy nimebarikiwa sanaaa naafundisho ni kweli watu wanajidharau. Hakika mmi cio binti wa kawaidaa
Oh this message is so powerfully God bless you mama.
Wow
Ndo Tushafungaga Wengine Mom Nimelock Kabisaaaaa
Amazing!!
This lady is very wise
I love pastor Rose 🌹 🍒🍒🍒🍒🍒
Lov u pastor Rose 😍
There some people can not be in my life, because we don’t have things in common.umesema ukweli kuhusu limitations. Ni vizuri to set a boundaries
Wawoo I wish nimsikie huyu dada kila week she made my day Walahi🥺🥺
Amen dada
Mtumishi maneno yako ni mazuri, ubarikiwe.
Amina..Ubarikiwe
Am so blessed today
Nakupenda sana mtumishi ninapona.Mungu akubariki sana
Amen past ❤
Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥
Wamama wabarikiwe na Mungu
Nankumbuka ile kauli yake ya kutowa mzigo wa kutosha kitandani 💪💪💪
Be blessed my lovely mommy
Umenibariki 🙏
Najuta kuchelewa kukufahamu mch.nakuelewa sana,ubarikiwa
Ilove yu proster rose is good woman ilove
asant dada umenigusa ubarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakupata vizuri Pastor ubarikiwe
Nimekupenda bure mungu azidi kukulinda
💪🏿💪🏿💪🏿mwanamke wa shoka
Amen
Asante sana my
pastor rose nimekupend na umenifunza kit
Aisee this word is very powerful.
💃💃💃💃
Rose you are anointed woman of God!
Hiyo nikweli kabisa
Ujumbe mzuri kweli👍👏
Ameen
Kweli Wanawake wengi wanajidhalilisha sana kinyume na maumbile Mungu aingilie kati tu asante somo zuri
Wao wafanye maamuzi ya kukataa na sio Mungu aingilie kati,iko wapi afya ya akili kama hawatajisimamia wenyewe.
@@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear
Amen nimependa ilo somo
Nimekuelewa sana
Kweli kabisa mchungaji
I wish i met you earlier Asante mchungaji
Shaboka i get it.
Ameeen.
Mungu akubariki sana
Amen.Powerful message for women to know where to stand and to move on on God promises.🙏
Kwakweli pastaaa🙏🙏🙏
No matter who's going their that true
👌
🙏🙏🙏🙏
Mambo 🔥🔥🔥
Saf Sana paster
Aminaaa
Bibilia anasema
Usiyachochee mapenzi
Kuna wanawake wakitoka
Hapo ndoa zinaenda kuvunjika
Akili ya kuambiwa Changanya
Na yako.
Kila ndoa inategemea mumeo
Yukoje kila mtu ana tabia
Yake.
Asante ni kweli
Well said..
Kweli kabisa
Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo
@@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya
Safi sana Dada yangu
Safi sana Da nimeipenda kweli m'barikiwe sana
A powerful message God bless the Woman of God
Amen 🙏
Ameee 🙏🙏🙏
Thnk you tamari😂😂😂😂
nakupenda
Thanks mom
Kujitambua ni silaha kubwa Sana kwa mwanamke
Pat hongera VIWANGO NA UWIANO, kuna sehemu ya kuaply Elimu,Pesa na kuna sehemu ya kuaply Nguvu za Mungu, Pst Rose hongera
Wow
Mmm kusalitiwa inaumiza kuliko kuzaa dada weee acha tu
Nime kupenda sana
Rose siyo mchungaji, ni mwanasarakasi. The Bible expressly forbids women from preaching to mixed congregation with men.
Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari
Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli
Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho
Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri
According to ur thinking capacity🚶