MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie
Fisadi au jambazi yote mazuri
Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉
Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo
Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu
Mungu awabariki nyote
Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako
Mungu akutunze Makonda
Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz
Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah
waziri mkuu mtarajiwa ....Amin
MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku
Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda
Nice 👍👍👍
MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.
Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao
Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno
Makonda oyee
Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤
Huu upendo umaanza lini?
Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!
Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya
Wapi huko?
@@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe
Sio siri@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.
Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo
Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika
wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.
wapeni hongera zao
Kichwa Cha habari🙆
Makonda makonda
Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI
Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu
Watanzania hawaombi mengi.
Afy km ip Kaka samahn
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA
Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.
Bangi nyingi😂😂😂
Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.
Mmmmm labda
Kabisa
Ukifa wewe nitalia mpaka nife
Najegaram
Garama ni bure
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
Ww si kichwa kama andazi tu😢
@@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊
😢😢😢
Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui
Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi