HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 50

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 6 днів тому +8

    Daah,makonda we jamaa sijui nichague neno gani zuri,itoshe kusema mungu akutangulie

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 6 днів тому +5

    Hongera raisi mtarajiwa🎉🎉🎉🎉

  • @maduhuelias9813
    @maduhuelias9813 6 днів тому +4

    Daaaah arusha kuna inchi nyingine tofauti na tz❤❤❤❤. Hongera Paul makonda kwa upendo mkubwa huo

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary2936 6 днів тому +3

    Wewe tunamuomba mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele brooh wangu

  • @allybora4021
    @allybora4021 3 дні тому

    Mungu awabariki nyote

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary2936 6 днів тому +2

    Kaka makonda sina mengi zaidi ya kusema mungu akutunze daima pamoja na familia yako

  • @JimmyCosmas-cl2kh
    @JimmyCosmas-cl2kh 7 днів тому +3

    Mungu akutunze Makonda

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 6 днів тому +4

    Aende Bungeni. Msukuma anatutia aibu wa Tz

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062 7 днів тому +2

    Makonda ni zaid ya mkuu wa mkoa Mashaallah

  • @fatmamussa2927
    @fatmamussa2927 6 днів тому +2

    waziri mkuu mtarajiwa ....Amin

  • @JeremiaMnanka
    @JeremiaMnanka 6 днів тому +3

    MAKONDA mungu akurinde nakumbuka siku umekuja TARIME nilifrai sana ilasiku MWIGURU arikuja SIRARI nililia nakusema JPM angekuwepo vijana wa SIRARI na NYAMONGO wasingekufa kama kuku

  • @AsilaKagambo-uv2ff
    @AsilaKagambo-uv2ff 6 днів тому +1

    Hello my Malinda wangepatikana wawili Kama wewe nchi hii ingekuwa Kasi mpya mungu akubariki na kukulinda

  • @barakajonas3209
    @barakajonas3209 6 днів тому +2

    Nice 👍👍👍

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 6 днів тому +1

    MH.. MAKONDA,,ulikaaa dar ukbuni,ulikuwa ccm KIONGOZI ukabuni na UPO arusha we MBUNIFU.... Allah AKUPE makubwa Zaid Ili utumikie WATANZANIA WOTE.

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel 6 днів тому +3

    Sidhani kama wafanyabiashara Arusha watagoma kama wenzao,dar, mwanza,mbeya nk.nahis kesho mikoa nyingine itagoma kufunga biashara zao

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 7 днів тому +3

    Ujio wa makonda Arusha, Umeifanya Arusha kuchangamka mno

  • @mwinyichinchibera4875
    @mwinyichinchibera4875 6 днів тому +2

    Makonda oyee

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 5 днів тому

    Mungu mwema akulinde wewe na familia yako.❤

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 4 дні тому

    Huu upendo umaanza lini?
    Huyu sio ndio wale wanaoitwa wasiojulikana😮😮!!!!!

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 7 днів тому +4

    Wallah wenzetu Arusha mmepata mkuu wa mkoa Huku kwetu wamelala tu hawana jipya

    • @IssaAbushehe
      @IssaAbushehe 7 днів тому

      Wapi huko?

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g 7 днів тому

      @@IssaAbushehe Tz nzima ww unaona wakuu wa mikoa wanafanya kazi km Mh Makonda?? Sasahiv mkoa wa moto ni Arusha tu mikoa mingine tunavumilia tu nakuknja joto la jiwe

    • @lutegomakoyeluhahula361
      @lutegomakoyeluhahula361 6 днів тому

      ​Sio siri​@@IssaAbushehemwanza ni ovyo.kuna jitu limelalamika.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 днів тому

    Hata miifanyaje makonda anaweza ndivyo alivyo

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 6 днів тому

    Mwanangu Mungu akubariki.saaaana Hakika
    wewe ni mtu wa Mungu na Mungu akuwekee mkono wake wajinga wasikuweze..Mungu akubariki sana.

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 5 днів тому

    wapeni hongera zao

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 7 днів тому +1

    Kichwa Cha habari🙆

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 7 днів тому +2

    Makonda makonda

  • @ChivwadiMahumba
    @ChivwadiMahumba 6 днів тому

    Bro MUNGU AKULINDE,TANZANIA TUNAKUITAJI,MUNGU AKUPANDISHE ZAIDI

  • @dorinmichael2186
    @dorinmichael2186 5 днів тому

    Tanzania Kuna wagonjwa wangapi kama huyo fanyeni ata kwa wagonjwa kumi ni Kiki tuu akuna chochote saidieni wengi acheni umakonda wenu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 6 днів тому

    Watanzania hawaombi mengi.

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h 6 днів тому

    Afy km ip Kaka samahn

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 днів тому

    KUNA WAKAT UNAWEZA UKAWA UNAUMWA LAKIN HUSIKII MAUMIV 😂😂 NDO STUATION KAMA HIZ MUNGU AKUBALIK SANA

  • @user-pd9xu8qg9x
    @user-pd9xu8qg9x 6 днів тому

    Ushamba tu mbona hamuonyeshi usafiri wa aina nyingine.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 7 днів тому +1

    Haya ndo maisha mama yangu Mh Rais anataka viongozianaowateua wawe hivi kama Mh MAKONDA.

  • @RehemaNgongomto
    @RehemaNgongomto 6 днів тому

    Ukifa wewe nitalia mpaka nife

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h 6 днів тому

    Najegaram

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 6 днів тому

    Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi

    • @nicodemashaggite8429
      @nicodemashaggite8429 6 днів тому

      Ww si kichwa kama andazi tu😢

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j 6 днів тому

      @@nicodemashaggite8429 Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 5 днів тому

      Wewe umefanya nn kusaidia au hizo comment za kejeli zimeponya wagonjwa wangapi ovyo😢😢😢😊

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 5 днів тому

      😢😢😢

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 6 днів тому

    Uchaguzi tena umekaribia ndio wakat wanasiasa kujifanya wema au kujivesha ngozi ya kondoo kumbe chui

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 5 днів тому +1

      Wewe ndio umegundua kuwa tunapelekwa Kama maduanzi