MNYUKANO MKALI; MPINA,MDEE WAMVURUGA MWIGULU BUNGENI SPIKA DKT. TULIA AINGILIA KATI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 93

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 місяці тому +14

    Mwigulu; 'taarifa siipokei kwa vile Mhe. Mpina anachanganya mambo' MAKOFI...KWA KWA KWA! Hata bila ya kuelezea amechanganya vipi. Kuna bunge hapo?

    • @ishmaelsimon6617
      @ishmaelsimon6617 4 місяці тому

      Yes, its because everybody know kwamba anachanganya. So, makofi si ni sawa kwa kuwa alitakiwa aambiwe atofautishe the whole project na sub project

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 місяці тому

      Bunge la hovyo sanaa hili

  • @OscarKasalile-u4k
    @OscarKasalile-u4k 4 місяці тому +12

    Mbarawa,mbarawa, mbarawa nimekuita mara tatu, kwann wewe unatuumiza hivyo kila mahali wewe ndio unatuharibia?

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 4 місяці тому +6

    Huyu mwigulu kila Wakati anajitahidi kuwapotosha wananchi haya mambo anayoyaita yapo technical ni ya kitapeli tu, amsikilize Mpina

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 3 місяці тому

      Anakwambia ni Vitu Technical na Kuna Technically 🤣😂

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 4 місяці тому +5

    Huyu spika ndiye problem na anayeilea serikali kiasi cha kufanya madudu na udanganyifu kwa wananchi. Ishu sensitive na muhimu kama hii, atumie busara kuwaacha wabunge wawe na muda wa kutosha na huru kujadili hadi kupata suluhu ya jambo.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 місяці тому +5

    Mbarawa hakumbuki utekelezaji wa mikataba ni lini! Kuna mtu hapo? Wee wamwachia mkandarasi akakope mabilioni, yalipwe na walalahoi, hukumbuki hata lini inabidi ulipe. Na nadhani hukumbuki hata ni kiasi gani? Maana ushachukua chako umetia mfukoni. Logical conclusion!
    Na huyu Mwigu eti 'serikali inahakikisha hicho kilichokopwa (na mkandarasi) hakileti mzigo kwa raia'. Hii ni joke ya Aprili!

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 4 місяці тому +1

    Inanipa wasiwasi km mtanzania uteuzi wa Mwiguru unakitu nyuma yake, kwanza ni mtu anajeuri ya waziwazi, pili anaujasiri uliopitiliza akijua wazi hakuna anaeweza kumtoa pale ndyo maana anajibu chchte bila kuangalia audience. Hii inanipa kujiuliza kwann mama SSH amekuwa akibadilisha baadhi ya viongoz kwenye wizara kadhaa lakin wizara ya fedha hathubutu hata kukemea wala kunyoshea kidole pamoja na makelele tunayopiga juu ya huyu waziri. Hakuna kilichojificha Mwiguru ni mpgaji wa kutupwa lakin amefumbiwa macho hadi kesho hakuna cha kumfanya.

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 4 місяці тому +4

    Mbarawa, Mbarawa, Mbarawa unampango gani na Tanganyika? Ni kipindi chako bandari ziliuzwa. Sasa naamini kila aliyetumbuliwa na Magufuli kweli hafai.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 4 місяці тому

      Kwel kabisa magufuli alienda mbal

  • @raphaelmrisho1520
    @raphaelmrisho1520 4 місяці тому +4

    Pamoja na michamgo yote na taarifa nyingi.
    Tulia anauwezo mkubwa sana tena uliojificha. Kwa kuangalia juujuu yawezakana watz tusijue ila tuna Spika Jembe sana jamani

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 4 місяці тому

      how huyu spikà huwa anaikingia kifua serikali hakuna spikà hapo, hii nnchi ilikuwa na spikà mmoja tu samweli sita Hawa wengine Hawa hamnaa kitu

    • @stevenmwasomola2417
      @stevenmwasomola2417 4 місяці тому

      Big point📍

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 4 місяці тому +1

    Namuona Job Ndugai kama nabii, hii nchi itapigwa mnada na serikali ya huyu mama. Mbona kipindi cha Uncle Magu hizi mikopo haikuwepo??? 😮

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 3 місяці тому

    Hongerenibunge la kupangamadili ya faidazeniu na koozenu,hakuna bunge mbunge ni mmojatu nae ni mpina

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 4 місяці тому +2

    Mpina😂😂😂 Mtu kapigwa taarifa kakimbilia Duniani kote, Jibu nchini kwetu ukoje Huo utaratibu

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 4 місяці тому

    Seriously Mbalawa Professor hukumbukii mkatabaa ..Daaaaahhh!!!!!

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 4 місяці тому

      Ingekuwa enzi za Magu hao wangetangazwa kutumbulia hapo hapo ndani ya bunge. Wasingetoka leo.

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 4 місяці тому +3

    Tatizo mnaiba pakubwa tamaa zitawaua shaurizenu ma ccm ya hovyo yote dawa yenu inachemka jikon

  • @geey7893
    @geey7893 4 місяці тому +3

    Mbarawa ni Kilaza Promax. Anabebwa na uzanzibar tu

  • @RehemaKisunga
    @RehemaKisunga 3 місяці тому

    Wewe ndo unachanganya mambo sio,na wabunge mbona mnapiga makofi hivi mnaelewe kweli

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 3 місяці тому +1

    Huyu mbalawa ni kilaza zaidi hata ya babu tale😂😂

  • @ManenoMwankusye-y7d
    @ManenoMwankusye-y7d 3 місяці тому

    Hivi hii nchi imekosa kabisa mtu wa kuchukua nafasi ya waziri wa fedha tofauti na huyu Mwigulu?

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому +3

    Huyu mbarawa hana uchungu na nchi ,

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 4 місяці тому +1

    Mawaziri hamko serious kusaidia nchi na watanzania na hizi hasara na upotevu na matrilioni ni kwa sababu hamtaki kutunga sheria zinazoeleweka za kubana wezi, majambazi, waporaji wezi na wanyanganyi kwa sababu mnafaidika wenyewe badala ya kuwakomboa wananchi mnatuongezea umaskini

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 4 місяці тому +2

    Du!!! Mambo mazito!! Haya!!

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 4 місяці тому +1

    Mwigulu anaigizaga hekima ya mchongo,huyu haaminiki hata kidogo,yaani anaonekana ni bure kabisa

  • @SaidiSheria
    @SaidiSheria 4 місяці тому +1

    Ccm itatumaliza kwakweli

  • @RehemaKisunga
    @RehemaKisunga 3 місяці тому

    Mbona Kyela ulikuja kusaini mkataba wa Bara Bara umeshindwa kujenga mbalawa acha kujikanyaga wewe sitafu kazi

  • @johniejohnas4690
    @johniejohnas4690 4 місяці тому +1

    Ukiwa na viongozi wanaoamini katika dharau,ujuaji na Ubinafsi,haya ndio matokeo yake

  • @khalidmohamed454
    @khalidmohamed454 3 місяці тому

    Yaaniiiiii

  • @dominickkachallahnsumbanta7560
    @dominickkachallahnsumbanta7560 4 місяці тому +1

    mnaichukulia nchi kama nyumbani kwenu
    mjue mnaumiza vizazi na vizazi

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 4 місяці тому +1

    Aisee Spika Kwann Unacheka Sana Wakati Wa Hoja Muhimu Kama Hizo

  • @ndaimtambo8845
    @ndaimtambo8845 4 місяці тому +1

    Wezi wa taifa na bunge la mchongo

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 4 місяці тому +1

    Nafikili ifike mahali Mawaziri wawekwe kwa uwezo WA mtu, Nchemba hakustahili kuwa kwenye hyo nafasi at all, Hakuna Waziri hapo

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 4 місяці тому +1

    Mtu anaitwa Professor halafu ni kama hajielewi

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 4 місяці тому

    Sawa endeleeni sana ila uchaguzi s bado kidogo yani sjui

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 3 місяці тому

    Sisiem wakitaka wajichangaye wampe mwinguli Mana kina kivumbi jamaangu Kyle lisu uku mwinguli wacha ncheke Yani nisa ya kwanza tuu paaa mambo yame isha

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 місяці тому

    Mbarawa hukumbuki yaliyokwenye mkataba,unchokumbuka nini? Hufai Mbarawa,mnaiba mpaka mnapata kigugumizi kueleza watanzania kilichofanyika.

  • @stevenmwasomola2417
    @stevenmwasomola2417 4 місяці тому

    Mwigulu hakika sijawahi kukupenda

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 4 місяці тому +1

    Sasa Spika kwenye agenda seriously kama hyo anacheka Tena nn hii

  • @omarybakari2532
    @omarybakari2532 4 місяці тому +1

    Mbalawa hasitahili hata chembe

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 місяці тому +1

    Mwiguru mungu anakuona.

  • @judithmwamukinga4448
    @judithmwamukinga4448 3 місяці тому

    Mwigulu wewe nikilaza

  • @luluchisanga1764
    @luluchisanga1764 4 місяці тому

    Mwigulu acha kujifanya kila kitu unajua sana wewe na sisi wanachi hatuwezi elewa ni Technical sana! Hivi unatuonaje lakini??!! Cha

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 місяці тому

    Huyu Mbarawa yuko kufanya hii Inchi masikini kabisa. Ameletwa na raisi wa hii Inchi ili wapate kufanya ufisadi. Kwa nini Harbours uwalibifu ni wewe uliyeuza bandari zetu.

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x 4 місяці тому

    Tatizo ni bunge letu haliko huru na hawataki kuwa huru kwasababu zao. Wanapitisha Mambo mengi ambayo hayana faida kwa watanzania. Mfano tozo, Bei ya umeme, maji, afya na elimu.

  • @SaidiSheria
    @SaidiSheria 4 місяці тому

    Kwani jenesta muhagama kazi yake nani,tumbueni Hao Jamani

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 місяці тому

    Wewe Mwigulu wewe uko kwa kusaidia mafisadi. Wewe hutapata shida na watoto wako. Umeisha iba vya kutosha umeweka miradi ya kutosha wewe na kwa familia wako. Ujuwe kuna siku tutandika KATIBA yenye kupigania wanainchi tutawapeleka mahakamani na mtazitapika.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 3 місяці тому

    Anakwambia hivi vitu ni Technical na kuna Technically 🤣🤣! Huyu mwamba sijawahi kumwelewaga..

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751 3 місяці тому

    Jifunzeni Toka kwa Falme ya kiaraabu.. Dubai..imeendelea kwa miaka 50 tu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 місяці тому +2

    Tuambieni wazi tu: Tanzania imefilisika! Mme-mismanage uchumi na sasa mwakopa kila kona. Sisi tunaosoma ripoti za nje hamtudanganyi. Ukiwa na Waziri wa Fedha incompetent kama Mwigulu, watarajia nini? Huyu hawezi ku manage hata his personal finances. Mtu yeyote mwenye kazi, halafu akaona ni muhimu kuiba au kukopa, huyo hana weledi wa kusimamia uchumi wake mwenyewe.

    • @MjuniLaulian
      @MjuniLaulian 4 місяці тому

      Kinacho leta mtifuano bungeni ni maswala ya kutokua na uaminifu mbona amujichanganyi kwenye miladi yenu mala uyu Esta bus uko shwali

    • @mussaananiasmyonga727
      @mussaananiasmyonga727 4 місяці тому

      Kabisa. Yaani wanatuona watanzania ni vilaza. Incompetent leaders of Tz

    • @MmbagaMmbaga
      @MmbagaMmbaga 4 місяці тому

      Mwizi ni mwizi tu, angalia hata hajumbuki mkataba unasemaje Kuna siku, utatia saini ya kuuza family yako, alafu usikumbuke

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 4 місяці тому

    Baba wa Taifa aliwahi kusema ccm ni kama dodoki au kokolo ndiyo maana tunapata watu kama mbarawa.Hajui kulia wala kushoto.Hana kosa,lkn hayo ni matokeo ya uzanzibar.Acha tubaguane tu tumewachoka na udhaifu wao hovyo.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 місяці тому

    Huwa hamsomi? Wabunge mnalalamika nini? Mlitakiwa kuhakikisha yote hayo.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 4 місяці тому +1

    Weakness alot of.

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 3 місяці тому

    Kabla jambi kuwika _____,mjiangalie wabunge,mawaziri.

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 4 місяці тому

    Shida, taarifa nyingi hata hatuelewi kitu! Mtu hamalizi tayari taarifa.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Oooh yarabi na utujaalie wale wenye mikopo tuweze kulipa na tuepukane na riba tena

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 4 місяці тому

    Shd nyingine kubwa ni ccm kuwa na watu wanaopachiwa vyeo hata elimu yao ni ya kuungaunga,mara unasikia docter,prophesa, enginer,kumbe ni vyeti vya kununua

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Oooh yarabi mola ulie mtukufu yupe twaha❤❤❤❤❤ ambayo yenye kuleta amani chini tujaze fanaka tuweze kusikizana

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 4 місяці тому

    Napataga uvivu kuwasikiliza hawa wabunge maana napataga hasira.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 місяці тому

    Huyu Mbarawa simuelewi yeye mama yake anamuweka ili apige za kutosha ili Tanganyika inapokuwa inarudi kwetu iwe imekufa kabisa Mbarawa atakuwa amebeba kila kitu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Na allah ajaalie kila mwenye uwezo aweze kutoa msaada kwa wale wasio jiweza na tupate fazila kwa mola wetu mtukufu

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 4 місяці тому

    Mbarawa sijawahi kumwelewa hata kdg katika nafasi yake tangu aanze kuhudumu kama waziri

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому

    YAANI MNASAINI MIKATABA MIBOVU KAMA HII BILA KUIPITIA? 😢 EEE MUNGU TUSAIDIE

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 4 місяці тому

    Shd ya spika ni kubwa sana,hivi ni kwa nini hawa watu wanacheza na akili zetu wananchi wa tanganyika!!!!!

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому

    Huyu mbarawa alianza na bandari sasa na huku tena ?

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому

    HAWA WABUNGE KWELI WALICHAGULIWA KWELI NA WANANCHI ?

  • @dominickkachallahnsumbanta7560
    @dominickkachallahnsumbanta7560 4 місяці тому

    ovyoooo tu

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 4 місяці тому

    Ivi uyu mwigulu ameingiaje kwenye uwaziri

  • @Anithawilielemi-uh3ww
    @Anithawilielemi-uh3ww 4 місяці тому +4

    Pole sana Mbarawa,Tanzania imetoboka

    • @jdanny497
      @jdanny497 4 місяці тому

      Pole ya nini wakati yeye ndio mpigaji

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 4 місяці тому

      Huyu mbarawa alitumuliwa na JPM sababu ya incompetence.Inasikitisha Eti kapewa uwaziri tena daaaah.Kuna umuhimu kuiga WA Afrika kusini kuweka pembeni chama tawala

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 4 місяці тому

    Hivi hili bunge au?

  • @ManenoMwankusye-y7d
    @ManenoMwankusye-y7d 3 місяці тому

    Halima Mdee asante sanaaaa

  • @JUSTINPiniel
    @JUSTINPiniel 4 місяці тому

    Ili bunge makofi for nonses

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 4 місяці тому +1

    YAANI,SIJUI....KWA NINI MH .MBARAWA....SINAGA IMANI NAYE KABISA....ANISAMEHE SANA KWA UJUMBE ..HUU ..HAELEWEKI

    • @geey7893
      @geey7893 4 місяці тому

      Ni kilaza mkubwa

    • @ProsistaTarimo
      @ProsistaTarimo 4 місяці тому

      Woonsocket wapumzike wapiahe vijana wamejaa mtaani hawana kazi kisa wameacha hayo mazee yanakula hii serikali pesa za Wananchi za kosi tu. Majizi makubwa haya . Sorry to Sai that

    • @ProsistaTarimo
      @ProsistaTarimo 4 місяці тому

      Wamechoka wapishe vijana

    • @ProsistaTarimo
      @ProsistaTarimo 4 місяці тому

      Wamezeeka wanawaza ya Enzi za Tanu

  • @jdanny497
    @jdanny497 4 місяці тому

    Time frame Acha ujinga

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому

    MASLAHI YA NCHI YANACHEZEWA SANA

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 4 місяці тому

    Spika mwenyewe ni ovyoooooooo

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 4 місяці тому

    Tuna tatizo apa tz mwiguru na mbarawa ni waongo sana ni watu wa mipango ikiwa mwongo jitaidi usiwe msaaurifu na mwiguru ni mtu wa kujiona msomi kuliko wote kumbe ni kanjanja