MTITI MKALI; MWANANCHI ACHARUKA, "MAKONDA UONDOKE HAPA, UTAKUJA KUTATUA MGOGORO MWINGINE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 359

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Місяць тому

    Makonda tunakupenda sana mwenyezi mungu akulinde uko vizuri kaka kwa kazi , tatizo vizuri hafidumu

  • @michaelnjunwa9270
    @michaelnjunwa9270 7 місяців тому +23

    Brother Makonda yupo vizuri... Sijawai kuona effort za namna hii

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 6 місяців тому +2

      hana lolote unafiki tu anatak kujifanya JP;na hii sio kasi yake

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 місяців тому +2

      Mtu utamjuwa kama ni mzuri akianza kazi maana wakati wakuomba kazi lazima awe mwema na hawa wenyesiasa usiwaamini sana wakati huu uwaamini wakishi chaguliwa ukiwaona wakitimiza yale waliokua wanayasema

    • @allanmtumbuka3100
      @allanmtumbuka3100 2 місяці тому

      Hv inakuaje wanapewa.leseni ya kuongoza kwaa ongopea wananch.

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 7 місяців тому +10

    Tumshukuruh Allaah na mama Sameeha kumletaa makonda kuwatatuliyaaa shidaa zenuuu nendeeeni naeee poleee poleee. Walowekwaaa ndio wenyeee shidaaa kuwaendeshaaaa mbio maraiyaaaaa kuweniii na subrah mutatuliweeee shidaa zenuuuu Allaah na nyiyeee kWa ummojaaaaaaa. Wenuuuu.

    • @danstanmushobozi-bu7ru
      @danstanmushobozi-bu7ru 7 місяців тому +7

      Makonda Hana uwezo kutatua matatizo yaliyosababishwa na serikali yake, huu ni usanii tu.

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 7 місяців тому +3

      ​@@danstanmushobozi-bu7ru kweli kabisa, yaani wanataraji bashite awatatulie shida zao, kituko!

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 7 місяців тому

      @@danstanmushobozi-bu7ruAlimaliza USHOGA NA SASA ATAWAMALIZA MAJIZI YOTE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥳

    • @vicentnyanda828
      @vicentnyanda828 7 місяців тому +3

      ​@@danstanmushobozi-bu7ru unàjua kuna wajinga hawaelewi kama hapa ni siasa tuuu😂

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 7 місяців тому

      ​@@jesaminzokabisaa

  • @bosramwank2373
    @bosramwank2373 6 місяців тому +4

    Nakuelewa vizur mh. Makonda

  • @YudaKabogo
    @YudaKabogo 7 місяців тому +13

    Makonda upo vzr sana

  • @fattymusa4857
    @fattymusa4857 7 місяців тому +17

    Mwandishi, kichwa cha. habari tofauti na maelezo.

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 7 місяців тому +2

      Yani huyu muandishi ovyo kbsa

    • @user-fw3db3om1s
      @user-fw3db3om1s 7 місяців тому +2

      Mwandishi ni mchonganishi

    • @elizalutiga6287
      @elizalutiga6287 7 місяців тому +1

      Watu wa wanajibu tu bila kusikiliza

    • @faisalanuary7033
      @faisalanuary7033 7 місяців тому +1

      ​@@user-fw3db3om1sclick bait 😂yani kichwa cha habari ni chambo, lazima unase😅

    • @flycobensony9680
      @flycobensony9680 7 місяців тому +1

      Anazingua huyu

  • @user-hp4pf9cm4s
    @user-hp4pf9cm4s 6 місяців тому

    Fanya kazi baba mama tunakupnda kwa kumchanguwa huyu mtu ktk maisha yetu na mungu awasimamie kila iitwayo leo na family zenu

  • @isacktemba551
    @isacktemba551 7 місяців тому +20

    Ivi kweli hii nchi tumekubali bodaboda ndio kazi ya msingi kweli na nchi yenye neema yote hii na utajiri

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 7 місяців тому +1

      Unataka tufanye nn ss

    • @user-dk5kk4rf3v
      @user-dk5kk4rf3v 7 місяців тому +1

      Aibu kubwa

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 7 місяців тому +1

      Tatizo ni kutawaliwa na chama hicho kwa hicho na fikra finyu za Viongozi kama Makonda. Fikra mbadala ni lazima.

    • @user-qp5vi9yt6m
      @user-qp5vi9yt6m 7 місяців тому

      inawezekana kipato cha bodaboda wew ukifikii mpka unakufa wew

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 7 місяців тому +1

      UNAFANYA KAZI GANI. WEWE AMBAYO. NAMZIDI BODA BODA

  • @Aamours
    @Aamours 7 місяців тому +58

    Hii kazi ya Makonda mimi naitafsi kama ni kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu 2025.

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 7 місяців тому +17

    Ila makonda namuona magufuli kabisa ,p

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 7 місяців тому +12

    Hii nchi imewashinda

  • @user-hl8oo1ih5s
    @user-hl8oo1ih5s 7 місяців тому +22

    Hii si kazi ya katibu mwenezi kwenye mkutano wa hadhara.
    Hujasoma sheria bora ukasome uongozi

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 7 місяців тому +5

      Katumwa huyo unafikiri anaanza tu shauri yako

    • @mallowmduhu4933
      @mallowmduhu4933 7 місяців тому +2

      Mwenezi ni moja ya majukumu yake, huyo ndiye mtunga sera na msimamizi wa sera hivyo anachokifanya wala hakuna kosa😂😂😂

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 7 місяців тому

      ​@@mallowmduhu4933KWA chama chake sio kwa Taifa na itikadi tofauti ndio maana hata sikukuu ya kuzaliwa ccm haipo ki Taifa kwa watu wote Bali ipo ki ccm tu Wala sio kiserikali japo ccm ndio tawala

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 7 місяців тому +1

      Unafikiria kazi yake ni nini ? Yeye ndio anafuatilia kama iILANI ya chama inafuatwa.....sasa ulifikir nini kazi yake ...?

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 7 місяців тому +1

      Wewe Ndio ulewi kazi yake

  • @jeanmarieirankunda-ww4bn
    @jeanmarieirankunda-ww4bn 2 місяці тому

    Makonda hatakama Mimi si mtanzania ninakubali kazi yako pia Mungu akujalie mema

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 7 місяців тому +13

    Hii ndio maana ya kusomea unachokiamini hapo makonda ume qualify kuwa nwenezi kweli kweli ❤

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs Місяць тому +1

    Hii ya kuandikwa kichwa cha habari tofauti watu wa habari waingilie kati huyu ujinga uishe

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 7 місяців тому +9

    Hivi haya maigizo yanayofanywa kipindi hichi kabla ya uchaguzi ,yangefanywa kila mwaka mara moja tuu na wangeunda kamati nchi nzima ya kushughulikia kero na madai ya wananchi na wangezishughulikia ingependeza sana.

    • @Wami-Sababisho
      @Wami-Sababisho 7 місяців тому

      Nchi yetu haitaki mtu mwenye maamuzi magumu maana hata aliyepita alikuwa na mambo zaidi ya mazuri lakini mwisho wa siku alionekana ana mambo ya kinyama baadae watu wanaanza kumkumbuka wakati ameshatangulia mbele ya haki. Sisi ni watu wa kulalamika tu hatuna jema

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 7 місяців тому

      Tukae kimya mana tukisema Sana wanatuona tunaikosoa serikali kumbe hizi hojandio zilitakiwa kilamwishoni MWA. Mwaka wangekua wanatembelea wananchi

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 7 місяців тому +4

    kuna vile sijaelewa huu mzunguko wa makonda kwa gharama za serikali .ukisikia kero za wananchi ndio mbinu ya kutafuta kuura?

  • @user-pq4nt2vq4g
    @user-pq4nt2vq4g 7 місяців тому +6

    Makifuli," haaa ,nani atafikia Ile hekima ya hayati Makifuli ?nonono,you are trying but aujamfikia , keep it up and more effort.

  • @user-yt9ly5bn4o
    @user-yt9ly5bn4o 6 місяців тому +3

    Watanzania mnapigwa hakuna mambo ya maana hapo wanapiga kampeni ccm imechoka kuongoza nchi

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 7 місяців тому +6

    HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIJIBU

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 7 місяців тому

      Anawa enjoy wapumbavu ambao anajua wamejaa nchi hii

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491 7 місяців тому +6

    Makonda siyo kazi yake

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 7 місяців тому +5

    Ccm kama jumba la kale.jipya wakati wote na kila kizazi litatembelea jengo hilo.

  • @UshuziwaSerikali
    @UshuziwaSerikali 7 місяців тому +9

    UJINGA NI HUU HUU, WE MAKONDA NI TAIRA KAMA HUYO BIBI YAKO SAMIA, MNAFIKIRI MTAENDELEA KUWADANGANYA WATANZANIA, TUMEWACHOKA NA USHUZI WENU MNAOUFANYA NA KODI NA MALI ASILI ZA WANANCHI

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d 7 місяців тому +1

    Mwenezi wa chama hii ni kazi yako kweli!!!

    • @BJ-qi6rp
      @BJ-qi6rp 7 місяців тому

      Siyo kazi yake!

  • @LalasalamaBB
    @LalasalamaBB 2 місяці тому

    Makonda kongole mungu akulinde bro

  • @yasinta2342
    @yasinta2342 6 місяців тому +21

    Acheni ujinga wa kuandikika vichwa vya habari vya kitapeli tapeli na kijinga jinga vya kuwavuta watu ili wasome habari ! HAKUNA ALIYESEMA MAKONDA UONDOKE

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni4964 7 місяців тому +5

    Hao ulio sema wakakae waelewane. Mm ninamashaka ubabe utafanyika hapo

  • @user-fw1rf6be1z
    @user-fw1rf6be1z 7 місяців тому +1

    Vzr

  • @RAMADHANIMWERA
    @RAMADHANIMWERA 3 місяці тому

    Makonda saidia wananchi wewe ni magufuri ulie Baki big up

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 7 місяців тому +6

    Kwaza tunakushukulu mamaetu kipezi samia. Kutuletea makonda ushauli kwa viongo ivoizikero za. Muwemnaweka kila mwaka mwezi wa 12. Mnawasikiluza shidazoa sio adi kampeni za uchaguzi samahani kama nimewakera🙏🙏

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 7 місяців тому +4

    Sheria za Tanzania huwa zina mganganyiko...

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 7 місяців тому +9

    Sisisem nchi imewashinda kila konamalalamiko achieni ngazi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Kwel kabisa

    • @user-uh9xg1pn6i
      @user-uh9xg1pn6i 7 місяців тому

      Unadhani wataachia kwa hiki ki sms chako ..em be serious mkiambiwa tuandamaneni kudai haki zetu uko zako busy na utafutajiii

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 7 місяців тому

      KWA TAARIFA YAKO UNAEMFIKIRIA KUSHIKA NCHI ZAIDI YA CCM HAJAZALIWA BADO HAWA WENGINE WOTE VYAMA VYOTE NI WAPIGAJI TU HIVYO BORA NA CCM.

    • @mbarakajummadindamadinda491
      @mbarakajummadindamadinda491 7 місяців тому

      Mungu futa liccm

    • @adamdango
      @adamdango 7 місяців тому

      Mbinguni tu ndio hakuna malalamiko. Kazi ya CCM ndio maana unasikia boda boda wanaongelea millioni 400 na millioni 120. Hiyo ndio kazi ya CCM.

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 7 місяців тому +9

    Pumbavuuuu upuuzi tu .

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 7 місяців тому +3

    boda boda ndo wanaongoza kulalamika kila siku lakin ndo hao hao wepesi kununuliwa na kutumika kisiasa

  • @WilliamSosiende
    @WilliamSosiende 2 місяці тому

    Nikweli kabisa

  • @CyrilleLopez-qo8rm
    @CyrilleLopez-qo8rm 2 місяці тому

    Kweli Makonda ni marehemu magufuli minimrundi inanamfatasana

  • @crispinankya3843
    @crispinankya3843 7 місяців тому +2

    Kazi ya Public transport ni serikali.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 7 місяців тому

      Usipoenda na upepo utachelewa kufika... Be flexible kikubwa mambo yaende🚶

  • @mosessheella894
    @mosessheella894 3 місяці тому +1

    Kesi ya nyani kuipeleka Kwa nyani,

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 6 місяців тому

    Uhondo Tv Mwe ni mbwaaaaaaaaaaaaa😢 kichwa cha habari sio yaliomo

  • @rahmambugi2322
    @rahmambugi2322 2 місяці тому

    Makonda naomba uje kua Rais ccm oyeee💪🏾

  • @IreneMalley
    @IreneMalley 3 місяці тому

    Mkome makonda kiboko yenu Arusha mmezoea uwizi makonda Mungu ampe ulinzi nakufuatilia sana

  • @user-kv5ql3xj6b
    @user-kv5ql3xj6b 6 місяців тому

    Daa tunakupendaa sana

  • @YasiniMomboka
    @YasiniMomboka 7 місяців тому +3

    Kwani makonda cheo chake kipo upande gan ccm au selikalini

  • @Dogochao
    @Dogochao 7 місяців тому +4

    Makonda bado uwezo mdogo. Sana. Bora ally happi. Yupo vizuri Mara 100

    • @Boaz22
      @Boaz22 7 місяців тому

      Ally hapi ana skendo ya kufira mashoga, kwani hujamsikia yule shoga dayon aliehojiwa na mange kimambi? Ally hapi hawez kua kiongoz tena, ana skendo mbaya sana

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 7 місяців тому

      ​@@Boaz22😢😢😢

    • @user-ge3cg4ct9z
      @user-ge3cg4ct9z 7 місяців тому

      Mtie moyo hata kwakidogo

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 7 місяців тому +1

      Makonda oyeeeeeeee CCM oyeeeeee mama Samia oyeeeeeeee

  • @WilliamSosiende
    @WilliamSosiende 2 місяці тому

    ATA ukienda Kenya Mombasa bajaji zinabeba Abirja

  • @ElizaZabron
    @ElizaZabron 2 місяці тому

    Kusema kweri makonda yupo sawa nivizuli sana angekuwa raisi wa jamhili ya muungano wa 🇹🇿

  • @userwalterreal
    @userwalterreal 7 місяців тому +2

    Of course 😊 ninapenda utatuzi wa kero hizi Sasa mm kinacho nifikirisha kwann Hawa watu uwa wapo tu apo kwambele kwann asiwe Ana chukuwa nawatu kutoka nyuma kabisa

  • @Msemaukwelitanzania
    @Msemaukwelitanzania 3 місяці тому +1

    Ndugu mwandishi ieshimu kazi yako acha kuandika Taito ya uongo katika hii video nimwananchi Gani aliemwambia mweshimiwa makonda atoke nakuonya ifute hii video au badirisha taito cheza na wengine sio mweshimiwa makonda kaka utaitia pilipili hii kazi yako sasaivi

  • @anjelomsafi7133
    @anjelomsafi7133 7 місяців тому +1

    DAHHHH YANI MTU KAJIELEZEZA MATATIZI YAKE YAKE LAKINI KAPUUZIWA KESI IMEISHA JUU JUU APO ANGEKUWA MAGU KESI INGEISHA MBELE Y WANANCHII😢😢

    • @shamsuddin4582
      @shamsuddin4582 7 місяців тому

      Huyu ni vilee hana power, angekuwa rais ungeona

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 7 місяців тому +19

    Tatizo Makonda Una Act kama Rais au Kiongozi Mwenye Ngazi nyuma ya Rais wakati wewe ni Katibu Mwenezi tu.. Wakati Mwingine mihemko yako Angalia isikugharimu, naona kama Unajaribu Kuiga Moyo wa Magufuli unasahau yule alikuwa Rais sio Katibu Mwenezi wa Chama cha Matapeli.

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 7 місяців тому +4

      Nyie ccm wajanja sana kura zipo kwa wananchi Wewe unadhani kaamuwa tu kufanya hivyo nchi ni ya ccm na itaendelea kuwa hivyo vizazi vizazi

    • @IdrisaAbdallah-pf4mw
      @IdrisaAbdallah-pf4mw 7 місяців тому +2

      Upo sahihi kabisa yn nashangaa sana

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 7 місяців тому +3

      ni muenezi ana haki zote ndo anashikilia chama na ni wajibu wachama kutatua matatizo ili raisi na serikali waendelee kuwepo,bila ccm Samia atakuwa rais?yuko sawa,sio katibu mwenezi tu,sio cheo kidogo hivyo unavyo dhani,practically ni mkuu sana na hayo ni sawa

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 7 місяців тому +2

      Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 7 місяців тому +2

      Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii

  • @azizially557
    @azizially557 7 місяців тому +4

    Sisi tunataka katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndo mjue ccm ni chama Cha maigizo miaka 64 ya uhuru umeme hauna uhakika

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Kwel kabisa wiki mtupu mpaka sasahivi umeme nishida

  • @Alimasibahati
    @Alimasibahati 2 місяці тому

    hii channel inapenda kuandika vichwa vya habari vya uongo sana andika vitu vyaukweli watu wataona kazi yako tu!

  • @mbarakajummadindamadinda491
    @mbarakajummadindamadinda491 7 місяців тому +2

    Mungu futa liccm

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 7 місяців тому +6

    Maigizo.a.k.a
    Futuhi.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 7 місяців тому +2

    Kodi za rtr na zingine ziondolewa kila mtu awe huru kama ilivyo Uganda kwa mzee mseveni

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 4 місяці тому

    Kazi ipo hiiiii

  • @priscasway3492
    @priscasway3492 6 місяців тому +1

    Jamani wanabambikiza watu bili

  • @ElitulizaMinja
    @ElitulizaMinja 2 місяці тому

    Makonda mtu wa maana kabisa,,, Kuna watu wanatamani ardhi ipasuke waingie uko

  • @user-kz5pw2sl6i
    @user-kz5pw2sl6i 7 місяців тому +1

    Hii tatizo

  • @ValerioKiputa-be6vt
    @ValerioKiputa-be6vt 7 місяців тому +2

    Mshenzi tu

  • @cheedyboy
    @cheedyboy 6 місяців тому

    Jamani...viongozi...tendeni...haki...kwa...wananchi...wenu..

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 3 місяці тому

    Hovyoo

  • @LomnyakiSanare
    @LomnyakiSanare 7 місяців тому +2

    Huyu ndo anaomba mdahalo kweli?????puu mbaka!!!!!!!!!

  • @user-fw6xd1te2s
    @user-fw6xd1te2s 7 місяців тому +1

    Mmh

  • @sabiilassalaf
    @sabiilassalaf 7 місяців тому +3

    Noma iyoo

  • @samniza1763
    @samniza1763 7 місяців тому +2

    Ovyo!

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 7 місяців тому +2

    Kosa kubwa ni kumpa Mchaga au Mmeru MiC 😅

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 7 місяців тому +2

    Hii migogoro inatakiwa itatuliwe KISERIKARI na wala sio KICHAMA watanzania tusiwe mazwazwa... yaan mnakaa na kumsikiliza mtu aliyevaa nguo ya chama si UJINGA HUOO..!! Mambo ya chama yanamalizwa kichama ndani ya chama.. Shituken nyinyi.. msipelekwe pelekwe tu

  • @Pentecost598
    @Pentecost598 3 місяці тому

    Hamna hata aibu kujiita uhondo TV. Sasa hapa Pana uhondo au vichwa vya habari vya uongo ?

  • @LivinTarimo-f6i
    @LivinTarimo-f6i Місяць тому

    Mwache ajichanganye anafikiri uongozi ni kitu kidogo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 місяців тому +2

    ASANTE SANA MAMA SAMIA KWAKUMCHAGUA MAKONDA. ANAFAA SANA KUWA KIONGOZI. ALIUNYOOSHA SANA MKOA WA DAR. PALE ALIPOKUWA MKUU MKOA

    • @AIKABAHATI
      @AIKABAHATI 7 місяців тому

      Ni mkuu wa mkoa wa wapi..

  • @sekelambena6751
    @sekelambena6751 7 місяців тому +1

    Makonda mbona hutatui tatizo la umeme

  • @DuniaAlly-oz4ur
    @DuniaAlly-oz4ur 3 місяці тому

    Mtu mjinga yoyote razima asimuelewe makonda

  • @mudykaila7437
    @mudykaila7437 Місяць тому

    Acheni upmbavu munawekaje vichwa vya habar

  • @user-sn7dw2vt3c
    @user-sn7dw2vt3c 7 місяців тому +2

    Sukari kg 5000

  • @AnnaAthumani
    @AnnaAthumani 8 днів тому

    Kigoma MAkoNDa

  • @xembogasd1725
    @xembogasd1725 7 місяців тому +1

    Siasa bwana.

  • @EmanuelSaleh
    @EmanuelSaleh Місяць тому

    Huyu mwandishi inavo onesha happening kazi anayoifanya makonda ashindwe na akafie mbali huko

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 7 місяців тому +2

    Kwani rais ana kazi gani

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 7 місяців тому +1

    Kwaiyo boda nabajaji ndio ajira kwa vijana

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 3 місяці тому

    Wajifanya Magufuli Makonda kick za hovyo acha kujitia vyeo vikubwa ww sio rahisi wa nchi ..bado sana

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 7 місяців тому +12

    Ni aibu kwa n'nchi iliyopata uhuru miaka zaidi 60 na kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Boda'boda ni kazi hatari sana, na inatuletea vilema vingi siku zijazo.

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 7 місяців тому +2

      Serikali inatengeneza mazingira bora miundombinu ili tujiajiri.HAKUNA SERIKALI INAYO TOA AJIRA

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 7 місяців тому +3

      SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI KILA KIJANA

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 7 місяців тому

      @@othmanjumankwabi4150peekaboo ujinga wako uko mshamba wewe

    • @ebenezerchurchsupremetv9490
      @ebenezerchurchsupremetv9490 7 місяців тому

      Watu wote muajiriwe😅😅😅 Iko nchi gani umewahi kuona hilo 😂😂😂

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 7 місяців тому

      Tumia akil wew serkal haiwwz ajir watu wote

  • @songeza
    @songeza Місяць тому

    Jamani ebu msitufanye tuwe wendawazimu mazuri yalipita je kuna baya gani hadi mnamkamata na kufanya tusimuone ebu mpelekeni kwao mwachisheni kazi au mnataka uchaguzi uishe ndio mtangaze,?

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 7 місяців тому +1

    Haya ni matokeo ya ukosefu wa ajira nchini

  • @EastAfricanFreemason
    @EastAfricanFreemason 6 місяців тому

    😮😮😮

  • @Moosamly
    @Moosamly 7 місяців тому +3

    MAKONDA umevaa CHENI shingoni 🤣😁🤣

  • @gaspernsanye1343
    @gaspernsanye1343 3 місяці тому

    Makonda !!!UUUUUUUUUU

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni6801 7 місяців тому +1

    Ukweli hilotatizo kwangulipo maji wamekata mweziwakuminamoja January unaletewa.bil ya sh,280,000 namajihayatoki ukienda ofisinikwao majibuyao hayarizishi unaambiwa lazima ulipe deni kwamisingi ipi huu niwizi nauonevu

    • @feezdidthis2220
      @feezdidthis2220 7 місяців тому

      Hahaha nyinyi tunawajua, lipa bili urudishiwe maji.. Tena mnavyopendwa kama una nia ya kulipa ukienda ofisi za dawasa utaundiwa mpk mkataba wa kulipa na utaambiwa ulipe kiasi kidogo kwanza ili maji yarudishwe.. Sasa ww unalalamika kwa makonda 🤣

  • @user-wi2yk2qv4v
    @user-wi2yk2qv4v 3 місяці тому

    Jembe la chama hilo

  • @Izonecommunity
    @Izonecommunity 4 місяці тому

    Kichwa cha habar , hakiendani na alichosema

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 3 місяці тому

    Tusemeni ukweli Mh Makonda Madini anayoo ya kutoshaa alifanya kosa kubwa mno Mh marehem Rais magufuli kuendelea kumuacha kipindi kile chote cz jamaa anamadini adimu ata tukimpa miaka 10 bado ata Roho hajayatumia

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 3 місяці тому

    Kwa makonda musilete za ovyo. Huyu mkuu ni mwamba. Hakuna masihara hapa ni kazi tuu

  • @franciskabete
    @franciskabete Місяць тому

    Makonda ni mbabaishaji tu

  • @Enerygozbet
    @Enerygozbet 7 місяців тому

    Kijana unafaa kuwa mtu muhimu sana kwenye serikali yetu agalau mkuu wa wilaya

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 7 місяців тому

      Amefafanua kwa uweledi wa hali ya juu

  • @kennedymalya
    @kennedymalya 7 місяців тому +1

    Bei ya màji haieleweki

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 7 місяців тому +1

    Mifumo unayoendelea ni ya kugandamizana tuu

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 7 місяців тому +1

    Haya maigizo hatuyataki tunataka maendeleo halisi tengenezeni viwanda muwezeshe wakulima pamoja na kutafuta masoko ya uhakika ndio suluhisho la ajira siyo bodaboda siyo kuleta maigizo na mkumbuke kila mnavyozalisha wananchi wasiokua na ajila ndoo mnavyozalisha mnatengeneza bomu litalolipua nchi mjitafakali mapema

  • @Prax1
    @Prax1 6 місяців тому +1

    Makonda ni mwigizaji

  • @abdirahmanmahamudmuhumedka6713
    @abdirahmanmahamudmuhumedka6713 3 місяці тому

    Tatizo kubwa ni kukosa mahakama huru nchini tz

  • @abdalamwendi3133
    @abdalamwendi3133 7 місяців тому +5

    Waziri mkuu kama mtendaji mkuu wa shughuli za serikali ana kazi Gani!? Majukumu yake ni yapi!? Na katibu mwenezi CCM ana kazi Gani na majukumu yake ni yapi!? Yani mwenezi wa chama CCM anatoa maagizo Kwa watendaji wa serikali ambapo kimsingi ama kidemocrasia anaowapa maagizo sio kwamba wote ni CCM pamoja na ukweli kwamba watumishi na watendaji wote wanatekeleza ilani ya chama kilichopo madarakani. Kwa Nini mwenezi anatoa magizo ambayo kimsingi yalitakiwa yatolewe na mtendaji mkuu wa shughuli za serikali ambae ni waziri mkuu? Mambo ya ajabu eti katibu mwenezi CCM anajua Kila kitu?? Amemfunika adi Bosi wake Mwenyekiti wa chama CCM na makamo Wake 😂😂.