WEMA ATAJA MWANAUME ALIYEMSUUZA MOYO KULIKO WOTE KABLA YA CHIBABA- MANARA HOUR PART 2 WEMA NA HAJI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 275

  • @ivannelson6847
    @ivannelson6847 Рік тому +20

    Ila tuache masiara huyu dad ni bonge Moja la mrembo M/Mungu awalinde wale wooooooooote walio jaliwa kumleta Dunia

  • @shikoshania953
    @shikoshania953 Рік тому +36

    Wema hachoshi,yaani kama vile naangalia movie😍😍😍😍😍😍😍🔥

  • @AthumanAlfan-vb8mn
    @AthumanAlfan-vb8mn Рік тому +47

    WEMA usipende kusema huna mtoto !!!mtoto unaye sema foleni yako haijafika utapata mtoto mungu niwetu wote tumaini one day yes

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому +36

    Wema Wema..anaonekana mkweli kwa maisha... nimempenda Wema..

  • @EmmanuelKunzugala
    @EmmanuelKunzugala Рік тому +17

    ukweli kwamba mondi aliwaka baada ya kutoka na Wema a alimfundisha....... wengi wakipita kwa Wema wanang'ara kinomaaaaaaaaaaaaa 😉😉🙌🙌🙌🙌 Wema najua kutunza mambo hatoi hovyo hovyo🤝🤝🤝

  • @esaukalanje5378
    @esaukalanje5378 Рік тому +12

    Huyu Dada Yupo real sana she's not acting in her life, namfahamu sababu namtibu Mbwa wake(Manunu) till today

  • @ruthamoit657
    @ruthamoit657 Рік тому +23

    Nmependa ii interview,for sure Wema is real

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Рік тому +25

    WEMA KWA MARA YA KWANZA KACHEKA KICHEKO CHAKE CHA ASILI CHEZEA HAJJI WEWE😂😂😂😂😂

  • @jacklinemhagama5372
    @jacklinemhagama5372 Рік тому +9

    Wema mama angu c mtu wa wasanii ila anakupenda sana aise kweli wewe ni Tanzania sweetheart nyota yako Kali❤️

  • @annarulanyaga
    @annarulanyaga Рік тому +12

    Ila Wema Mungu atakulipa leo uko na Wozu watu wanaanza kuona kama uko na mtu mdogo sana ki level ila wakumbuke Diamond ukianza naye akiwa level ya chini sana kwako tulia mtainuka tu na Mungu awafikishe mbali huyu awe mpenzi wako sasa wa maisha yote

  • @saidsultan1927
    @saidsultan1927 Рік тому +4

    Wema umezungumza kitu Cha kweli wewe humpendi mtu kwa pesa zake ila ulimpenda Idris kwa vile alivyo Idris na SIO pesa Hongera sanaaaaaa wema

  • @gatimarwa7525
    @gatimarwa7525 Рік тому +35

    Moja ya kipind Bora Sana cha Manara......Wema is Soo real hata akiongopa unajua tu anaepusha jambo fulan😝😝

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 3 місяці тому +3

    Bugati mm ni shabiki yako napenda kazi zako nakuombea ufanisi katika kazi zako.Nasaha yangu kama shabiki yako : Jitambue ww ni mtu maarufu mnoo na hadhi yako iko juu. Unapokua katika mahojiano kua imara katika kuliza maswali yako na pia ondoa umaskani kazini.Uimara nizungumziyao ni uwe na kumbukumbu zote za maswali unayo uliza. Isifike mahali wauliza kitu ambacho mwenyewe hukikumbuki.Job well done kip it up.

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Рік тому +15

    Ila diamond alikuw anataka kula ujana tu ndo maan anaachana na wengi na ukiangalia alikuw anagrow ktk mziki basi alikuw na hekaheka za kutaka kuona dunia zaid so ndo maan anaachana na wanawake kila mara coz si mwanaminifu. Angalia hata wengn amewaacha kwa kuwacheat na mwingn yaan ujana ulimvaa na jini la mapenz lilikuw mkonon mwake na aliendekeza ujana zaid, so amelost waliokuw na kheri na yeye ndo maan saiv haelewk yupo na zuchu mara nn na saiv star hawez pata mwenye mapenz ya kweli wataangalia zaid pesa kuliko alivyoangalia wema kipind hana hata pesa yupo rafu hata kuongea mbele za watu alikuwa hajiamini so ni funzo by the way.

  • @asshfaynahassan4942
    @asshfaynahassan4942 Рік тому +11

    Nampenda huyu mdada jmn uwiiiiii m/mungu akupe hitaji la moyo wako mumy

  • @miriamchirwa7659
    @miriamchirwa7659 Місяць тому +1

    Mimi Miriam yaan nampenda aunt Wema jins alivyo na kasaut kake kazuri na hasa akicheka.
    Nataman kuskia akiimba nifrahi. ❤️❤️

  • @marciawambui1965
    @marciawambui1965 Рік тому +17

    Wema is being honest. Diamond clearly his true self is coming out. He is unbearably annoying. He treats women as objects. Sweetheart, wema keep shining gal. You are a lovely woman. Much love❤

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Місяць тому +2

    Mwanangu Wema, unajibu maswali vizuri na kwa busara kubwa.Hata U-DC unauweza, natamani mama angekuona.

  • @erlindabernard9878
    @erlindabernard9878 Рік тому +14

    Kuna watu wana nyota jamani 🙌🏽🙌🏽

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Рік тому +23

    Wemaaa jamani hakuna asiyejua umempaiza Diamond! I love your humbleness hapo angekuwa mwanamke mwingineeee lol. Diamond huyu dada naomba umuangalie kwa jicho la 6 na la 7 na la 10 na la 200 na la 1000 na la million moja, na mara laki 1. Alikupenda kwa dhati na uliumiza moyo wake! But anyway ya zamani hayo nawatakia maisha mema nyote wawili katika current r/ship zenu

    • @salmaqueen4382
      @salmaqueen4382 Рік тому +2

      Yani umeongea ukweli ambao watu hawapend kuusikia,yani wakati mwingine mpaka namwonea huruma Wema natamani apate mume bora na mwenye mahela kuliko hao wote waliopita mana wamemfanya anakejeliwa na watu halafu sioni chochote walichomuongeza kwenye maisha yake zaidi ya kumvuruga😢nampenda huyu dada jaman

    • @hopefully7090
      @hopefully7090 Рік тому +3

      @@salmaqueen4382 diamond hana shukrani Yule.

    • @stamelistameli8461
      @stamelistameli8461 Рік тому

      😅😅

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 Рік тому

      Mond ni mond tu jaman

    • @hopefully7090
      @hopefully7090 Рік тому

      @@malianonicass7029 kwahiyo?

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Рік тому +14

    Na Kupenda sana wema.hajj uge fanya siku uwaalike wote ki baba na chi mama.

  • @chinischinis6371
    @chinischinis6371 Рік тому +2

    Daah nimeinjoy sana kwa skia zile slengs za wema hakika kwa upande wa wanawake wema ndo rolmodel wangu bigup wema,
    Ila haji uko vizur sana kumbe haji unajuaga kuchokonoa namna iyo das gud kumbe ata ukiacha mpira haji hukosi kazi wewe tukikuleta kwenye udaku na ubuyu uku aaaaaah tunakusaha uwanjani kwa baraka mpenja😂😂😂hongera haji

  • @sandyk4966
    @sandyk4966 Рік тому +15

    Penda sana wew Wema Sepetu ❤🫶

  • @njuka3515
    @njuka3515 Рік тому +6

    Ila wema yaani bado ni mzuri na mrembo kweli yaani sauti pia tishio

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Рік тому +10

    Wema walipendana sana Kanumba..nakupenda Wema

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Рік тому +6

    Nimependa sana mahojiano yk,zaidi nimefarijika KUACHA KILEVI na kukemea MAADILI MACHAFU/POTOFU ktk maadili ya Dini/kiafrika.
    M'Mungu azidi kukuongoza njia sahihi.

  • @chiconinde8135
    @chiconinde8135 Рік тому +5

    Sema katika yooooote,, napenda Haji anavyosema "ukaweka hapa ukashusha chini..".😀🙂😀

  • @yusuphmakhahala6570
    @yusuphmakhahala6570 Рік тому +10

    Brother hiki kipindi ni kizuri sana tunafurahi sana watazamaji wako .mbaya zaidi una hoji watu mashuhuri sana.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Рік тому +12

    Wema waTanzania tunakupenda sana

  • @mvanomtangazaji2205
    @mvanomtangazaji2205 Рік тому +6

    Idris Sultan ameshazungumzia kuhusiana na hii inshu ya Pesa kwenye kipindi cha SNS. Wema Sepetu hahusiki na chochote. Kwa ufupi Idris aliwekeza kwenye biashara ya Dhahabu ila alipa hasara.

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Рік тому +5

    Ni manara pekee ambae anaweza fanya intavyu na maselebriti wengi kasoro konde boy hapa tanzania

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Рік тому +6

    Hata mm nampenda saana Kemmy jamani.i miss her soo much.huyo dada alienda wapi?Manara ikibidi tutafutie huyo dasa.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Рік тому +12

    Idrissa mbona alisha jibu saaana kuhusu pesa zake kwenye interview ya SNS alisema alitapeliwaga kwenye bisshara ya Madini

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому +4

    NA KUNA MAJAHILI WENGINE ATI MASHAAALAH WAAALANIF WAKUBWA WASHENZI LAANATU LAH

    • @mussamgonela
      @mussamgonela Рік тому

      Umeona ee ndugu yangu khaki imekuwa batili na batili imekuwa khaki ( Inna Lillah wa inna illah rajuon)

  • @lwengephillip7516
    @lwengephillip7516 25 днів тому

    Manara anahoji vizuri sana yaan kama watu mnapiga story kijiweni safi kabisa

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Рік тому +15

    Manara mbona unaguna baada ya Wema kusema hakuanza kucheat bali yeye ndo alisalitiwa

  • @chiconinde8135
    @chiconinde8135 Рік тому +5

    Manara hichi kipindi kimekuzidi uwezo, yani una kifua chepesi kiasi kwamba hichi kipindi kinahitaji mtu fulani awe mvumilivu na amtege mgeni ili aingie kwenye mtego mwenyewe.
    Kaka wewe unabutua tu😀😀😀,, by the way safi sana. Kipindi kizuri, inabidi ubutue tupate faida.

  • @marymolel616
    @marymolel616 Рік тому +6

    Hapo kwa wema kusema hajakula pesa ya Idrisa mimi ninaweza nikaamini japo kwa 50 pacent maana kuna muda wanawake unakuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye pesa lkn hata hutaiona ilienda wapi kitakachobaki ni watu wapembeni wanakutupia lawama nakumbuka hata mimi imenitokea inakera sana

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w 2 місяці тому +1

    Nakupenda sana wema ❤❤❤mungu akupe hitaji la moyo wako

  • @priscargodwel3794
    @priscargodwel3794 Рік тому +6

    Manara unauliza maswali mazuri

  • @SamyRanyKadokihe-sj8zt
    @SamyRanyKadokihe-sj8zt Рік тому +40

    Ila huyu dada ni mrembo sana si utani hachoshi kumtazama♥️

  • @4hestatecompany20
    @4hestatecompany20 Рік тому +4

    Wema n mke mwny cfa ya kua mke tatz hajagundua aina ya mme anaemfaa

  • @mwajumamohamed6426
    @mwajumamohamed6426 Рік тому +4

    Ila wema alimsumbua sana dai nakumbuka timu wema wakina matikibokoyao walivyokuwa wanamtukana dai na mama wema kwenye kipindi cha take one cha zamaradi alikuwa anamsema vibaya dai

  • @MrsgloryPacian-yl2qr
    @MrsgloryPacian-yl2qr Рік тому +10

    Jamani wema nampenda

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 Місяць тому

    Benjamin Franklin once said, "Honesty is the best policy". Honestly speaking, I appreciate Wema's acknowledgement to the late Steven Kanumba for the role he played to make her who she is today. #ToGodbetheglory#

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Рік тому +12

    Manara anamlazimisha ili amtaje diamond 😢😢😂😂

    • @reginamluviji9405
      @reginamluviji9405 Місяць тому

      😆😅😅😅😅😅😅😅na mimi nimeona maan s n rafiki ake

  • @agnesschaote5583
    @agnesschaote5583 Рік тому +6

    Idris mbona alisha sema alipoteza pesa zote kwenye madini

  • @annarulanyaga
    @annarulanyaga Рік тому +6

    Wema leo ndio nimegundua uko kitu kikubwa sana sana

  • @PhacmGhalib-om4ux
    @PhacmGhalib-om4ux Рік тому +6

    Daaah Ila Manara kakaangu ktk vipindi vimewah kutokea ama intavyuu nzuri wewe unaongoz una maswal mazur in short kipindi kina mvuto saaan hakichosh

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 27 днів тому

    Hajj Wakati unamhoji kuhusu wasanii anaowakubari ni vizuri ukaweka picha zao watu wawafahamu ingependeza zaidi....

  • @perpsgiovanna1933
    @perpsgiovanna1933 Рік тому +20

    Her name should be East African sweetheart

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Рік тому +1

    Wema ni mtu mmoja makin sana, anaishi maisha yote ni mtu mmoja Safi sana.

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Рік тому +9

    Kipindi kizuli manala Tv napenda wema

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Рік тому +4

    👊👊👊 manara kipindi kijacho mlete chibu

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 9 місяців тому +1

    Alimpenda sana Mondi ,
    Asidanganye watu Eti Kanumba ndo mwanaume Alie mpenda zahidi kwa sababu hayupo hai.

    • @abigailkimanzi4655
      @abigailkimanzi4655 7 місяців тому

      Nakubaliana na wema penzi lao na kanumba ilikuwa life ila.... Rip kanumba wetu

    • @ireenramsey951
      @ireenramsey951 2 місяці тому

      Unamsemea na moyo wake

  • @SaitotiAlaisMollel-ou6nb
    @SaitotiAlaisMollel-ou6nb Рік тому +1

    Pole sana wema kwa hilo hata na mimi niliwhy jiulza hivyo unavyoo sema

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 Рік тому +4

    For sure wema upo very content!

  • @octaviantito
    @octaviantito Рік тому +20

    Wema kwa kiasi kikubwa sana amefunguka ukweli. Juu ya Idriss nakumbuka Idriss mwenyewe amewahi hojiwa na kukiri Wema hajala hela zake ila alipigwa kibiashara. Mambo ni mengi sana, tujifunze kupitia hawa wasanii kwenye kupanda na kushuka kwao.
    NB: Marafiki zako wanaweza vuta bangi mara nyingi sana, wewe ukavuta mara moja ukachanganyikiwa. Wenzako wanaweza toa mimba mingi sana na wewe ukatoa moja ikawa ndio mwisho. Tusipende kufanya vitu kwa mkumbo na pili tusijaribu vitu ambavyo ni dhambi kisa kuna wengine wamefanya. Maumivu ya matokeo anayajua aliyeumizwa pekee yake.

    • @elishajailosy4916
      @elishajailosy4916 Рік тому

      Wachache watakuelewa

    • @elishajailosy4916
      @elishajailosy4916 Рік тому

      Wachache watakuelewa

    • @khalidabdulaziz8735
      @khalidabdulaziz8735 Рік тому

      Uko vizuri ndugu yangu umeongea kwa fikra Pana sana ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hydo8027
    @hydo8027 Рік тому +10

    Wabongo kwa kupenda umbea ,, hapa wanainjoi kipindi kwa ajili ya umbea😆😆😆 Ata Mimi hivyo hivyo

  • @gracemwaura18
    @gracemwaura18 Рік тому +4

    Wema don't stop drinking because of a man the day he takes off you will be so diverstated do it for you!

  • @joycemollel7698
    @joycemollel7698 Рік тому +6

    ❤❤❤❤wema sepetu

  • @edenilyimoedenilyimo-we6dg
    @edenilyimoedenilyimo-we6dg Рік тому +8

    Moja kipind Bora Tanzania manara tv

  • @purityelias4825
    @purityelias4825 Місяць тому

    Wema I love you my sister, wewe ni mrembo Sanaaaa.

  • @Jehufamily
    @Jehufamily 2 місяці тому +1

    Haji kazi nzuri brother

  • @user-mu9uf5le6j
    @user-mu9uf5le6j 3 місяці тому

    Wema nakukubali sana ipo cku ntafanya moves nawewe mungu akupe umlifu

  • @FatmaSalim-hn1hv
    @FatmaSalim-hn1hv 18 днів тому

    Sio wema kila mtu anajua kuwa wema hakuna mtu anampnda zaid ya diamond na pia kila mtu anatman wema na diamond warudian ever !

  • @hamidawamba
    @hamidawamba Рік тому +8

    Nmetafta weee sehem ya pili kumb ilikuwa bado

  • @justiceshelukindo
    @justiceshelukindo Рік тому +8

    Nice interview

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 Рік тому +9

    Nice interview ❤❤

  • @KaresmaAyubu
    @KaresmaAyubu Рік тому +4

    Mbona issue ya hela kupotea za Idris alishaelezea ukweli kwenye kipindi cha salama na

  • @javierbosman5919
    @javierbosman5919 Рік тому +3

    Manara mi mkenya shabiki wako mkuu mi upenda sana jinsi unavyo hojii 😂😂

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому +7

    Daaah mkiachana na demu anakuita “Yule Kijana”😜 Leo Wema anamuita yule kijaana 😜

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Рік тому +5

    Ukikaangalia kabugati kana meza mate daah 😂😂😂😂

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 Рік тому +15

    Kama kweli Wema unataka kupata mtoto omba uolewe upate kwa halali mngu pia atakuwa radhi na wewe

  • @norahprotas1769
    @norahprotas1769 Рік тому +3

    Love you my Sis Wema

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому +2

    Eti mbona unafanya vituko❤❤❤❤👍👍

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 Рік тому +1

    I like wema, she'd very matured

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Рік тому +1

    M nnacomment wapi? Bt wema she is so smart.

  • @linahkweka5492
    @linahkweka5492 Рік тому +9

    Wemaa❤

  • @catherincharles345
    @catherincharles345 Рік тому +4

    Ndiomaana tunaambiwaga hakuna ulafiki kati ymwanaume namwanamke jmn

  • @zakiaibrahim8338
    @zakiaibrahim8338 Рік тому +4

    Safi sana mlete diamond ❤

  • @naimamarijani5332
    @naimamarijani5332 Рік тому +2

    Manara hujui jinsi ya kuhoji......unalazimisha mtu ajibu maswali kwa vile unavyotaka wewe......acha mtu aseme vile anajiskia yeye.....then subiri mtu amalize kuongea then ndo uulize swali.

  • @allymansur8845
    @allymansur8845 Рік тому +2

    Nakupenda sana dada yangu

  • @TresorZakwani
    @TresorZakwani Місяць тому

    Unaroho nzuri ijapokuwa sijaishi nawewe

  • @zamzamhaji1229
    @zamzamhaji1229 Рік тому +5

    Kwanza acha nicheke mie 😂😂😂

  • @rashidywandwi1543
    @rashidywandwi1543 Рік тому

    Manara umekera unauliza swali unalitega vizuri alafu unabadirisha politician quation unetubania

  • @WitinessJoseph
    @WitinessJoseph Місяць тому

    Naomba mungu amkumbuke a pate watoto

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 Рік тому +1

    Natamani siku moja atokee mtu wakumuhoji wema katika nyanja za siasa uchumi mambo ya Elimu kijamii na mengine mengi yaliyo nje ya mahusiano yake binafsi ya kimapenzi.Naamini huyu dada ni kipaji ambacho hakijatumika.anaupeo mkubwa sana wakuona mambo kiasi anaweza kua mwanasiasa mzuri mkweli na mwenye ufanisi.

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Рік тому +2

    Yn wema akuna nguo avae alafu isimpendeze jmn afamu yangu uyu dada

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Рік тому +3

    Mrudiane na Diamond

  • @noellahappy512
    @noellahappy512 Рік тому +7

    Nilitamani sanaa kuona interview hii na maswali nilio tamani kupatajibu kwa wema

  • @alimanana7564
    @alimanana7564 Рік тому +5

    Manara bhana😅we unajuwa kufufuwa mambo

  • @cizasharif6225
    @cizasharif6225 Рік тому +10

  • @Mutesujeanne-hd5nm
    @Mutesujeanne-hd5nm 4 місяці тому

    Wema nakupenda saaaaana unasema ukweli kbx ❤❤❤😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Рік тому

    Mungu atakupa mtt kwake akuna linalo shindikana endelea kumuamini tu

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo Рік тому +3

    Sipendi manara unamgasi wema Kwa maswali tata

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 Рік тому

    Wema nakupenda sana na ninakuelewa sana ❤

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 Рік тому +7

    I like you wema sepetu this hajj umeweza maswali yake ,hujakua km lukamba na fesa kesi 🇬🇧

  • @naufalmustafa565
    @naufalmustafa565 Рік тому +6

    😁😁😁😁manara chokoz

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Рік тому +2

    Pretty humble