Simba walikuwa wanatengeneza team kumzunguka Chama. Hili ndo lilikuwa tatizo kubwa na lilikuwa linaathiri sana saikolojia ya wachezaji wengine. Team kama Yanga zimefanikiwa zaidi kwa sababu wanacheza ki team zaidi. Kumruhusu Chama kuondoka ni moja ya Gharama tulizoingia kwa manufaa mazuri zaidi ya Simba siku za usoni
Kaka kuanzaa leo mm ni jean charse bonge la fund hh-h- ushasikia wap mtu anaitwa jean alaf anakuwa mbovuu we tafuta mtu yoyote anae itwaa jean anakuwa mbovu
Hiyo map word mdeizingushia Tanzania rangi yake pekee then mgeweka logo ya CROWN FM nashauri ingekaa unyama ila mpaka hapo kiba ushauaaaa👍💪💪💪💪💪
au sio
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉@@zombiiUpdates
Nmepata sehem sahihi ya michezo Congole crown mmewezaaaa
Congo mon bon pay🔥🔥
Mambo mazuri sana kila tukiamka tunaamka na crown hahah crown nipatam sana kwa vipengele vyote 🇧🇮
Simba walikuwa wanatengeneza team kumzunguka Chama. Hili ndo lilikuwa tatizo kubwa na lilikuwa linaathiri sana saikolojia ya wachezaji wengine. Team kama Yanga zimefanikiwa zaidi kwa sababu wanacheza ki team zaidi. Kumruhusu Chama kuondoka ni moja ya Gharama tulizoingia kwa manufaa mazuri zaidi ya Simba siku za usoni
Simba msimu ujao itakua yamoto sn mana sio kwa usajil huu tulioufanya ❤❤kata funua iyoooooh 🔥🔥🔥 Crown juuuuuuh
Tupo pamoja sana crown fm❤
Jeff now anachambua mpira
Crown ndio habari yamjin 🎉🎉🎉
Hongeren sana wachambuzi wetu kwauchambuzi wenu 🎉
Crowi nawakubali sana
Wooow crowmis my choice so msisahau kua mtaani Kuna mashabiki wenu wengi San hvyo tunaomba mtuandalie matamasha yatakayo watangaza zaidi.
nawapenda sana
Jemedari na oruma nusra wamuharibu geof lea😂😂😂
Hiii nistudio au chumba cha mseleee
Geff mwanetu delight anatua united au co
Kazi nzuri sana
Msimu ujao simba sc inatakiwa ifanye kweli kikubwa apo ni kocha kuwa na mfumo ambao wachezaji wataweza kutumia vzr
Hamna camera
Simba nguvu moja❤❤
Mpe salam Diara😂😂😂😂😂
Vp kuusu mpanzu hansi
Kwa sasa Azizi atabaki kuwa Azizi huyo mwingine tumsubili uwanjani ligi yetu tunaijua wenyewe kaka
Kwel mposawa ila maik mziweke lebo maana mpogood
Kaka kuanzaa leo mm ni jean charse bonge la fund hh-h- ushasikia wap mtu anaitwa jean alaf anakuwa mbovuu we tafuta mtu yoyote anae itwaa jean anakuwa mbovu
Jengen hao player wakikomaa tunatua tunabeba 😂😂😂
Jitahidini kuitumia KISWAHILI bora msichanganye changanye
Jitahidi kuelewa kingereza, kuna vitu ni rahisi na inakuwa vizuri zaidi vikitajwa kwa majina ya Kingereza.
Tumehaza pamoja
Vipi mbona hii mumeiweka Lisa limoja wakati tushaona nimasa mawili
Nice
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
Mko vizuri sana
❤❤❤nice uchambuzi
Walete na mwalimu ambaye ataendana na hao wachezaji
Kazi nzuri
Tupo pamoja
Moja na mbili ndani ya crown fm
Hapa ni nyumbani pamenoga sana
Kiukweli crown mnatisha
Hapa ni home
Hansi lafaeli noma unawajua wachezeji wote wa Simba walio sajili a upewa maua yako umepoa kaka😂😂😂😂😂
Usifurahishwe na usajili tusubili ligi ianze tutajua mbivu na mbichi
Jof lea unachambu vili sana
💪💪
🎉🎉🎉🎉🎉
❤
Naam
Tafadhali usiwape siri hiyo ya huyo forward nataka waumie
Awadhihno here
Noma
Wadau wanasema Jeff wa clouds amerudi
Kamela ipo mbali
❤❤
Jefu asaiv kabadilika sana yuko vzr