KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 657

  • @HassaniBakari-qj7ft
    @HassaniBakari-qj7ft 26 днів тому +139

    KAMA UNAAMINI HANCY YUPO RIGHT NIPENI LIKE ZANGU 100😂

    • @joachimligwa5424
      @joachimligwa5424 26 днів тому +2

      Hayuko sawa

    • @noelkaniki4334
      @noelkaniki4334 26 днів тому +4

      hayuko sawa 100% you can play na double pivot with 4-3-3 jemedari anaiweka simple kabisa pivote inayo angalia chini like a triangle hans anacheka cheka tuuuu,' kuna siku aliingiza chaka watu na inverted full back ana mix na overlaps ma host nao wamekaa kindezi hawaelewiii

    • @user-xg9ix9ex9h
      @user-xg9ix9ex9h 25 днів тому

      ​@@noelkaniki4334huelewi wewe hansi rafaeli yuko sawa

    • @joachimligwa5424
      @joachimligwa5424 25 днів тому +1

      @@noelkaniki4334 nikiona hawa ndio wachambuzi hua nasema mimi sijapata nafasi tu
      Very poor na mbaya zaidi hajui kuhusu tactics na anajiweka anajua

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 25 днів тому

      Nancy ni pundit

  • @saidkasonta3174
    @saidkasonta3174 26 днів тому +40

    Vijana wa sasa wanaelewa mambo kwa haraka, na uwezo wao wakupambanua mambo ni mkubwa tofauti na wazee wa zamani!!

    • @Kajokashemmela-uu5vh
      @Kajokashemmela-uu5vh 21 день тому

      Hans mtupu kabisa Real mad wakati del bisqat walicheza kama anavyosema jemadal Salgado calros heaven w Samuel guty bekam Zidane Raul Di rima Figo kiungo mkabaji ni nani

    • @Kajokashemmela-uu5vh
      @Kajokashemmela-uu5vh 21 день тому

      Mkiwa na mpira hamna chep na ndiyo maana mabeki wana panda mbona Hans hajasema yao kaongezeka kwenye kushambulia?

  • @EkkyMedia
    @EkkyMedia 24 дні тому +8

    Hans Rafael ni mbishi na jinsi alivyo vizuri kwenye kuji express ila tactically hayuko vizuri. kusema kweli point zake za mifumo zinakasoro nyingi. kwanza number 6,8 ni defined na role za mchezaji na wala si directly na position. mbili kuna aina tofauti za 433 kuna yenye 6 wawili na 8 mmoja, kuna yenye 8 wawili na 6 mmoja, kununa yenye 6,8,10. na ma kocha wengi wana epuka kutumia hizi majina ya formation kwenye huu mpira wakisasa. point nyingine formation ina elezea position ya wachezaji wakiwa hawana mpira na zone wanazotakiwa ku cover especially wakati wa kukaba. in transition shape inaweza kuonekana lakini wakocha wanawapa uhuru wachezaji kuji position namna ambayo italeta zaidi faida kwa team kutegemea game situation. kuna mengi yakusema, nikipata feedback nzuri nitatengeneza video ya kiswahili juu ya formation na roles za wachezaji

  • @kibwanasenza6904
    @kibwanasenza6904 26 днів тому +31

    Hans nakuona kwa sasa wewe ni bora kuliko wachambuzi wote uchwara

  • @josephsanga1709
    @josephsanga1709 26 днів тому +49

    Hansi ❤️❤️ fundi sana

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah 26 днів тому +27

    Mimi ninachoona uyu jemedari na hansi wapangiwe mda tofauti akiwepo mmoja mmoja asiwepo

    • @user-ee8xb1tl5n
      @user-ee8xb1tl5n 25 днів тому +1

      😂😂😂😂😂 nimecheka san

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 24 дні тому +3

      Hapana ,ni vizuri wawepo wawili ili jemadari awe exposed live

    • @hassanmickdady1687
      @hassanmickdady1687 21 день тому

      Kabisa maana hapo mmoja kwanza anaamini kwa simba na mwingine yanga

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 26 днів тому +16

    Messages nyingi zakupongeza hans husomi. Tunaziona wapenzi wa CROWN

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 26 днів тому +8

    Jemedari kakaaa Tanga wiki mbili kwenye mafunzo ya ukocha lakini anazidiwa kwa mbali Sana na Hans Raphael ambae ni mzuri sana kwenye kuelekeza.

  • @protasnyoni3801
    @protasnyoni3801 26 днів тому +47

    Chinga ni Shabiki wa Mpira Sio Mchambuzi. Hans yupo Vizuri Chinga Hawezi Kukubali Kwa Sababu ya Sifa yake ya kuwa Shabiki na Sio Mchambuzi.

    • @manjolehamisi8167
      @manjolehamisi8167 24 дні тому +1

      Kumbuka Chinga kacheza Mpira tena kwenye kiwango kikubwa so anajua anachoongea

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 23 дні тому +2

      ​@@manjolehamisi8167kacheza lkn ni bonge la mchambuzi mpuuzi na mwenye roho mbaya

    • @manjolehamisi8167
      @manjolehamisi8167 23 дні тому +1

      @@sadathboutique6253 hapo point ni Uchambuzi hayo ya Roho mbaya siyajui broo

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 23 дні тому

      @@manjolehamisi8167 sasa uwa anachambua nini zaidi ya kujua uwa ni shabiki wa tim gani?anaponda tim inayofanya vizuri anasifia inayoboronga,ki ufupi unamsifia coze na wewe ni shabiki wa iyo tim anayosifia

    • @BongoCryptos
      @BongoCryptos 22 дні тому +1

      ​@@manjolehamisi8167 Kiwango kikubwa alisaidia timu yake kuchukua kombe gani?

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 26 днів тому +17

    Kwa bahati mbaya mtaalam Ambangile hawezi kuwa fasi moja na mjinga kama Jemedar
    Najuwa angekuwa sambamba na Hans

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa 26 днів тому +44

    Jemedariiii tupoo na wewe mpka ufukuzwe uko Jk Tanzania 😂😂😂

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 26 днів тому +53

    Uchambuzi wa Hans nauelewa sana, maana uchambuzi wake wamaana kabisa

    • @noelkaniki4334
      @noelkaniki4334 26 днів тому +1

      ana google sana na ku krem kama huelewii uwezi juaa na wwe unachotwa tu

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 26 днів тому +21

    Huyu babu bora angebaki efm, huku crown huyu hans atamtoa nishai😂

  • @SudiFredrickStar
    @SudiFredrickStar 26 днів тому +33

    Hansi anasema ukweli hio ni 4231,hio ingine ni 433 diamond shape...

    • @mlugekarol2688
      @mlugekarol2688 26 днів тому

      Hicho ni kitu kimoja. Hawana tofauti. Mid wakiwa watatu hawakai kama visikki. Hao watatu wanabadilika kutokana na kkushambuliia au kujilinda

    • @mlugekarol2688
      @mlugekarol2688 26 днів тому

      Hans anaiongellea Yanga na si mfumo. Hapo ni 433 ndiyo 4231.

    • @georgeedwardmwakyembe6969
      @georgeedwardmwakyembe6969 25 днів тому

      Kuna 433 ambayo ni offensive ambayo ina attacking midfielder na two central midfielders

    • @WaltorTarimo
      @WaltorTarimo 23 дні тому

      ​@@mlugekarol2688point

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 25 днів тому +4

    Uchambuzi wa Hans umenyooka zaidi ya huyu mshabiki wa kolo fc🎉🎉🎉

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 26 днів тому +17

    Jemedari unazidiwa na watoto wadogo live hadi unatia aibu....kubali kujifunza ili timu utakayoifundisha ifanye vizuri kama kweli umeshaweza kufauru mitihani maana una rekodi ya kufeli mitihani mara kwa mara

    • @RoseKipimo
      @RoseKipimo 26 днів тому

      😂😂😂😂

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso 26 днів тому +1

      Siyo kweli Jemedari yuko sahihi Hans anachanganya vitu viwili tofauti.
      Mfumo huonekana wakati timuhaina mpira

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 26 днів тому

      Siyo kweli labda kama unaongelea wakati mechi haijaanza ambapo pia huwa wanaonesha teams na formations zao lakini mpira ukishaanza kwanza ukiwa sio mzoefu ama huna abc za mpira unaweza usitambue formation ya timu iwe wakati wana mpira au hawana mpira lakini kwa wataalamu au watu wenye abc za mpira wana uwezo wa kujua formation ya timu husika kwa kuangalia namna wachezaji wanavyojipanga mara kwa mara kuucheza mpira yaani kumiliki au kushambulia au wanavyojipanga kuutafuta mpira yaani kukaba. Muda mwingi wa mchezo utaona shape ya timu inakuwa vilevile kulingana na formation na huweza kubadirika kulingana na ama matukio uwanjani ama maelekezo ya kocha. Sasa ukiulizwa ni nini kinachozuia formation ya timu isionekane wakati timu inamiliki mpira utajibu nini??? Mpira hauchezwi gizani hata kama ni usiku. Hakuna uchawi hapo labda kama hujui mpira. @@JumbeOjaso

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 26 днів тому +34

    Uchambuzi wa hans nimeuelewa sana

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 26 днів тому +2

      Tatzo jemedati mbishi balaa huyo mzee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 днів тому +3

      @@ananiamwatebela3159 ao hawampend uyo dogo ... Kila atakachofaya wanatengenez mazingira ionekane anapotosha 🤣🤣🤣

    • @albertisrael5879
      @albertisrael5879 26 днів тому

      Kwa nn hyo isiwe 4 1 2 3

    • @allyngoda761
      @allyngoda761 26 днів тому +1

      Kwakua ni yanga mwenzako

    • @amina-we6vo
      @amina-we6vo 25 днів тому +1

      Hans achambui Ila anatumia mfumo jinsi Yanga inavyocheza

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 26 днів тому +14

    Nakuelewa Hans asante,

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 26 днів тому +9

    Hawa watu wote wanaenda kariakoo lkn njia gani anapita kufika kariakoo utajua mwenyewe

  • @allyfuad
    @allyfuad 26 днів тому +14

    Hans yuko sawa sana

  • @jamesmassimo9326
    @jamesmassimo9326 26 днів тому +13

    Sidhani km Jemedari ni mchambuzi… anaongea km shabiki tu. Mimi km mtazamaji au shabiki sipati nachokihitaji kwake. Bro ajitahidi kuboresha huduma yake👏

    • @mahamudmbukuchu5946
      @mahamudmbukuchu5946 26 днів тому

      Ni kweli mkuu

    • @jassontv5366
      @jassontv5366 26 днів тому

      Kazumari hata lugha ya mpira in professional hana hata yaa kama anafanya fasihi simulizi

  • @raymondedson2488
    @raymondedson2488 26 днів тому +15

    Babacar alikua anatumika kama cdm lakini kiuhalisia babacar ni box to box

  • @user-eq5gd7oq4y
    @user-eq5gd7oq4y 26 днів тому +5

    Uchambuzi waa jemedali mi sijekuelewa, mi nimeiona jemedali anakusanya kusanya kete, Kama mtu aliyefungwa supa drafti

  • @LucasDando-ru8lg
    @LucasDando-ru8lg 26 днів тому +9

    Moja ya tatizo ni kushindana kwenye kipindi Yani ni vyema kila mtu atoe maoni yake watu wasikilize sio kushindana ila wamenikumnusha mbali nimewahi kufanya kipindi na mtu wa aina Yao kila kitu anatanga kupinga maoni ya mwingine uchambuzi ni kutoa maoni tu sio kushindana

  • @gidionsheiza
    @gidionsheiza 25 днів тому +4

    Hancy yuko vizuri. Nimemuelewa zaidi "mchambuzi" kuliko "mwalimu". Nadhani "mwalimu" akaongeze ujuzi zaidi mahali

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo4302 25 днів тому +6

    Crown Media hapa ni nyumbaniiiiii

  • @fortunatusyuli4421
    @fortunatusyuli4421 26 днів тому +5

    Hans amekariri,Jemedari anaelewa kile anaongea ndo maana maswali yake hayajibiki kirahisi.

  • @jonijoo23
    @jonijoo23 26 днів тому +7

    Huyu jemedari ni usajili mbovu sana hapa crown,much know halafu hajui vingi+uzamani mwingi

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 22 дні тому

      Jemedari is the best

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 22 дні тому

      Mpira hauchezwi unavyoongwwa ubaoni

    • @chriskudilla5355
      @chriskudilla5355 22 дні тому

      Double Pivot ipoje?

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 4 дні тому

      huyo hansi ndo jau jau wengi wetu hatujui hzo formation

    • @jonijoo23
      @jonijoo23 4 дні тому

      @@keystonetv7357 hans ni jau ila sio kwa aliyoyaeleza hapa,huyo jemedari ndomaana kila mwaka anafeli mitihani TFF,much know halafu kichwani ni empty box..mfumo wa timu unakua applied during offensive tu wakat wa kuzuia wanakua na shape nyingine kabsa sasa yeye anasema 4-3-3 inaonekana wakat wa kuzuia🚮 ko yanga wanavozuia maxi anavyorud mpka kwa kibabage au yao ni 4-3-3 gani iyo?

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn 26 днів тому +10

    Jemedar ulizoea kuwadanganta walee umekamatika

  • @SalumuKorofi-hl9os
    @SalumuKorofi-hl9os 24 дні тому +3

    Crown wamechemka kwahuyu mzee jemedari usajir mbovu sana.

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 4 дні тому

      hata hakosei kaka yupo sahihi sana sema hans nu mbishani

  • @hajirama4270
    @hajirama4270 24 дні тому +2

    wote hamna kitu hao cjui wanasoma nn asa 4:3:3 zipo za aina mbili deffensive na attakking, defensive unacheza na two defensive mildfild one attaking na attaking unacheza na one deffensive mildfild na two defensive mildfild .

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 4 дні тому

      upo sahihi sana hansi mbishani sana ananiuz kumshusha jemedar

  • @anniebenoh9837
    @anniebenoh9837 24 дні тому +1

    Perfect HANS RAFAEL🎉🎉🎉🎉 Jamaa anajua sana. Hata ambae hajui kabisa mpira akimsiliza Hans anaelewa 100%

  • @gabrielmponji4598
    @gabrielmponji4598 26 днів тому +3

    Hansi yuko vizuri sana kwenye uchambuzi , huyo Jemedali hapana kwa kweli sijui anachambua nini.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 25 днів тому +2

    Hans yuko right ---- Hicho anachokisema JEMEDARI,kupora mpira na kukimbia nao na kufunga,hiyo ni moment tu,lakini timu lazima iwe na mfumo inapojenga shamnulizi,na kisha lazima iwe na mfumo,inapokuwa imepoteza mpira kwa ajili ya kujilinda -- " Huyo Jemedari akipewa timu,ataishusha daraja "

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 25 днів тому +2

    Jemedari hawezi kukubali kwasababu anamuona hans dogo na yeye ni father lakini soka haiendi hivo yeye akubali soka na mifumo hbadilika kutokana mechi husika finish big up hans unaonesha ulomavu siyo chinga akimaliza hans anaanza kwa kucheka hii ni dharahu badilika

  • @petersamwelm7279
    @petersamwelm7279 25 днів тому +1

    Yaani hapo Tatizo ni Moja…. DOGO KAMEZA FORMATION KAMA ZILIVYO NA KAKUTANA NA KAKA KISHOKA AMBAYE ANAAMINI ANAISHI YEYE NI ROLE MODEL WA SOCCER NCHINI

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 26 днів тому +21

    Tatizo mmakonde mjanja ataki kukubali kushindwa kisa kocha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 днів тому +2

      😂😂😂 we unajua ukweli ulivyooo

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 26 днів тому

      Lakini kitaalamu anaonekana anajua kabisa kwa anavyojieleza

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 днів тому +1

      @@petermwacha9909 ana tengeneza mazingira. Ili Uone hivyo ...

    • @user-ct3kz3rq1q
      @user-ct3kz3rq1q 24 дні тому

      Radio crown ina vyombo vipya safi sauti ipo sawa kabisa

    • @user-ct3kz3rq1q
      @user-ct3kz3rq1q 24 дні тому

      Crown Tv

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq 26 днів тому +5

    Yaan mmemleta huyu nyau kazi mnayo hapo yaan anataman abaki peke yake studio kila kitu anajua yey😂😂😂😂😂

  • @erickganira6324
    @erickganira6324 26 днів тому +3

    433...wakabaji wanne viungo wawtatu apo kiungo mmoja wakubaki wawili washambuliaji japo na majukumu tofouti mmoja creator mwengine box to box aidha kuzuia counter ama kujenga counter ...mbele winger wawili na striker mmoja ....cha msingi triangle huangalia chini ama juu kulingana na matukiu

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 25 днів тому +2

    Huyu dogo yuko vizuri sana, ila ni lazima akubali kukua, hata kama una uhakika point yako iko sawa, ni lazima ukubali kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama maoni yao ni tofauti na yakwako, toa nafasi ya maoni ya watu wengine kusikilizwa, na pia ajifunze kukubali kuto kukubaliana, thats how it works.
    Halafu mwisho wa siku siyo kwamba hizi timu zina endeshwaga na maoni ya hawa wachambuzi wa kwenye media, timu zinaendeshwa na falsafa zao kiufundi walizo jiwekea, pia na tamaduni na desturi zao za nje ya uwanja.

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 26 днів тому +4

    Eti mfumo unaoneka timu ikiwa haina mpira😅😅😅. Yaani ukiwa kocha utashusha timu daraja.Mfumo wa timu unaonekana wakati timu inaposses na inapokuwa imepoteza mpira full stop.

  • @EnockSalapion
    @EnockSalapion 26 днів тому +10

    Jemedari kuna point namuelewa kwa sababu sasa hivi pamoja na mifumo unakuta wachezaji wanachukua majukumu tofauti tofauti uwanjani, especially watu wa katikati na wing backs. Mfano, unaweza kuta namba sita anapanda sana lkn akipanda kuna mtu anamreplace, au ukikuta Barça au Spain inacheza kati unaweza usijue mfumo wao kiwepesi kwa sababu ya rotations zao kwa ajili ya kutafuta space. Lkn pia kwenye kushambulia nikichukua mfano wa shabalala; Jamaa wakati mwingine amekuwa akiingia ndani kama namba kumi then chini anabaki kiungo wa kumsaidia kuziba pengo langu au namba kumi na moja apande zaidi aongeze namba na kutanua uwanja zaidi au arudi nyuma kidogo kureplace shabalala. Mimi naamini wakati team haina mpira ndio vyepesi kuzungumzia mfumo.
    Wakati mwingine huwezi zungumzia mfumo au shape wakati wa counter attack, ni tu namba ya watu itakayoweza kukimbia mbele kwa ufanisi wa kufunga its a win out of the shape. Nafikiri modern football kwa sasa ni zaidi ya hizo shape, ndio maana sasa hivi makocha wengi sasa hivi wanapenda wachezaji ambao ni dynamic na sio static.

    • @bkkomesho9272
      @bkkomesho9272 26 днів тому

      Upo sawa

    • @jemaarsen6996
      @jemaarsen6996 21 день тому +1

      Mimi sijaona point hapo unacho paswa kujua ni kua mfumo hubadilika lazima uwe na mifumo Mili ili kuweza kubalance mechi mifumo wa kwanza ni pale unapo kuwa na mpira upande wako lkn pia ukiwa unashambuliwa lazima ubadili mifumo ili ukusaidie kupunguza au kuzui mashambuli hapo ndio utaona hata wacheza mara nyinnafasi zao hubadili lkn watakapo bahatika kurudisha mpira upande wao wanaendelea na mfumo wao wa kwanza na kila mtu anarudi kwenye nafasi yake

  • @WaltorTarimo
    @WaltorTarimo 23 дні тому +1

    Bahati mby sana alieongea point ndo anaonekana kaongea utumbo me coach na npo uk naendlea na masomo namawazo yangu kwenye jambo lenu.
    Modern football imebdlisha idea ya mfumo na namna tmu znavyocheza kila kocha ana idea ya namna anayotak wachezaj wachez kweny mfumo flan tuangalie how city play taften game ambzo rodri ajacheza utaelew how they play kweny 433.
    Nachopinga nikusema 2mid lazm wawe juu na ndo ni attacking izo ni idea za mda now days 433 mid wanafany rotation ya nafas inaamaana sio lazm 2mid wakiwa chni mfumo ndo umebdlika haipo ivo 433 inawez kuwa na triangle za viungo kwa namna zozote

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 11 днів тому

    Tumewapata wataalam wanaoujuwa mpira! Crown is the best❤❤❤

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 26 днів тому +8

    Hance Yuko sahihi

  • @edwardpeter5163
    @edwardpeter5163 25 днів тому +1

    Yaaani nilichoona hapo kuna Kuonyeshana u mwamba kati ya JEMEDARI na HANS 😂😂😂 na kuna shida hapa kabisaaa mmoja apndoke

  • @sezarymasansa
    @sezarymasansa 26 днів тому +2

    shida ya huyu jmd ni kujiona anajua sana na ufadha ,hans yuko light sana huyo mchizi amekuja kuhalibu kipind kbsaa

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 26 днів тому +6

    Mbona mnatuchanganya kama hamna uhakika muende darasani kwnz

  • @mrbasit4718
    @mrbasit4718 26 днів тому +7

    Hans kuwa makini unaenda kupotea mana ulionao watataka kuzuwia uwezo wa upeo wako.
    Kuwa makini fanya maamuzi mapema sana

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 26 днів тому +2

    Hans yupo sahihi, ila Jemedari anajifanya kujua kumbe ni mbwembwe tu

  • @nizobeatz90
    @nizobeatz90 26 днів тому +2

    Mbna akiongea jemidari amuoneshi ubAO ILA JEMEDARI NMEMUELEWA

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 26 днів тому +2

    Hii ndio maaana makocha wengi wa Tanzania akiwemo jemedari huwa wanafeli na hawataki kujifunza Kwa kujifungia ndani ya box. Hatutakujakupata makocha wa kufundisha nje kama wanakariri bila kujiongeza kuelewa na kuwa wabunifu.

  • @georgeedwardmwakyembe6969
    @georgeedwardmwakyembe6969 25 днів тому +1

    433 inategemea unataka icheze vipi ipo triangle ya unayoangalia juu na inayoangalia chini lakini 433 mama ni ina kiungo mkabaji na Central midfielders wawili inategemea unataka mfumo ucheze vipi. Hata 433 ina box to box

  • @chatnami
    @chatnami 25 днів тому

    The 4-2-3-1 is a commonly used formation with a back four, five midfielders, and a center forward. The advantage of this formation lies in its flexibility: it can easily be changed into a 4-4-2 or a 4-3-3. In addition, defensive stability and offensive firepower are balanced well.

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 25 днів тому +1

    Hans anajua lakini alipoulizwa "tunauonaje mfumo kwenye tukio la Kona" aliyumba kidogo
    Formation Zina structure zinabadilika kwenye Kila tukio
    Sio lazima ubadili formation

  • @Officalshakespeare
    @Officalshakespeare 26 днів тому +2

    hansii uko vzurii sana💯

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 26 днів тому +2

    Nimeangalia Comments kuna usimba na uyanga Simba kwa jemedari Yanga kwa Hans kwahiyo mjadala Always hauwezi kufika mwisho

  • @user-lx7lb7sn8k
    @user-lx7lb7sn8k 26 днів тому +5

    Yaap ❤

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 26 днів тому +3

    Ma mdogo kutoka planet fm umekuja crown hongera sana

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 23 дні тому +2

    kiukweli jemedali ajui mpira labda akaifundieshe makolo

  • @cardoalbert1366
    @cardoalbert1366 26 днів тому +3

    Hans ndio kanyoosha ww jemedari hadi mimi nakushinda uchambuzi 4.3.3 ni kiungo mkabaji mmoja na viungo wa shambuliaji wawili acha ukenge 😂

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 26 днів тому +1

    Chuki tuache kwa jemedari, yuko sahihi, ila simaanishi hans ni mbaya

  • @erickpaschal1639
    @erickpaschal1639 25 днів тому +1

    Hans kwenye 4-3-3 hapo upande viungo mimi nimeungana na Jemadari kwenye io 3 ya kati triangle inaweza kuelekea juu na inaweza kuelekea chini inategemea na nini kocha anahitaji kwenye game husika.

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya 26 днів тому +2

    Wawekewe touch screens kwa meza hawa, ndo wahanze kupanga hizo formation zao 😂

  • @deodatuskalekona5911
    @deodatuskalekona5911 26 днів тому +3

    Yanga wamecheza na Aucho na Bangala Azizi mbele Yao wote Bangala na Aucho walifanya majukum sawa Kwa wakat tofaut

    • @user-zw9oj6ej9v
      @user-zw9oj6ej9v 26 днів тому

      Hapana Aucho alifanya majukum ya kiungo kama box to box na bangala alikuwa mzuiaji hakuwa anasogea juu.

  • @chatnami
    @chatnami 25 днів тому +1

    Jemedari amecheza, amefundisha na ni practical oriented. Hans ni mtu wa nadharia. Kwa waliocheza mpira wanaelewa. Tunahitaji akina Jemedary wengi sana.

    • @NaseebLugusha
      @NaseebLugusha 24 дні тому

      kaka unajua boli maana hapo anachoshindwa kuelewa Hans ni kuwa anaongea na kocha wa mpira ambae kaucheza mpira pia

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu 24 дні тому +2

    Hans anasem ukweli kabisa ni fundi sana uyu jamaa

  • @Malepotinhompalala
    @Malepotinhompalala 26 днів тому +1

    Hancy Yuko vizuri kwenye mmuchaambuzi

  • @gospelman3720
    @gospelman3720 26 днів тому +1

    Kuna 433 Attacking na 433 defending. Jemedari yuko sahihi.

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 24 дні тому +2

    Huyu jemedal hajui mpira

  • @user-fx7yu6no4g
    @user-fx7yu6no4g 23 дні тому +1

    Hans❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmyJr-hw2nk
    @OmyJr-hw2nk 25 днів тому +1

    Wote wako right sema jemedali ni bright afu hans ni average so lazima hans atumie nguvu kubwa

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 26 днів тому +4

    Hans anaeleweka Jemedar n janja janja ana akti anajua sana huku mitihan anaferi ovyo ovyo kwaiy n muongo muongo😅

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 днів тому +1

      😂😂😂😂 kwaiyo alipata 0 %

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 24 дні тому +1

    Huyu jemedari kalazimishwa leo kuchambua mpira na sio timu alipo kuwepo kule alikua anachambua timu ... Hakubali kushindwa huyo ....😅

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko1941 26 днів тому +1

    Hans anachokosea ni kuweka hizo number modern football hakuna mambo ya namba 6 Wala namba 8 mpira cku izi hauna mambo ya namba cjui 10

  • @MethodKilowa-r2i
    @MethodKilowa-r2i 26 днів тому +3

    Naitwa METHOD, Kwa kweli hans ni mchambuzi wa mpira unajua sana kaka, huyo jemedar hajui mpira, kazi ya uchambuzi hajui labda akafundishe ndondo huko, mpira ni mfumo na upo kwenye vitabu, timu zinazuia kwa mifumo na zinashambulia kwa mifumo.

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 24 дні тому +1

    Kazi kweli kweli

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 26 днів тому +2

    Wrown ni nyumbani na E.fm ni redio ya kupata burudani zote ila huko mwingine ni machawa tyu

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw 26 днів тому +3

    Pamoja

  • @JophreyMbilinyi
    @JophreyMbilinyi 26 днів тому +1

    Noma sana naona wasaf ime hamia humu unyama sana

  • @TimFilms255
    @TimFilms255 26 днів тому +1

    433 zipo za aina Nyingi Sio Tu Hiyo pembe Tatu inyo angalia chini au Angalia Juu Pia kuna 433 iliyo FLAT kabisa Viungo wote wanakaa Kwenye Msitari mmoja so HANS aache Kukalili Aseee
    Sema Hans anafanya vitu kwa kukaili na sio kwa weredi

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 21 день тому +1

    Ukimtoa ambangile anayefuatia ni Hans lafael mwombek 🔥🔥

  • @maulidnjokamtaly5184
    @maulidnjokamtaly5184 25 днів тому +2

    Jemedal hamna anacho jua Zaid ya ushabik ndo unampa shida bwege uyooo

  • @NaseebLugusha
    @NaseebLugusha 24 дні тому +1

    mfumo mara zote unaonekana wakati wakuzuia muda ule mnaweka mistari ya ulinzi ndo maana nawaambia Hans anachambua mpira ila Jemedari anafundisha mpira ndo maana hamumuelewi Jemedari

  • @FrankSylvester-eo7zf
    @FrankSylvester-eo7zf 25 днів тому +1

    Hans bado mchanga sana kwenye formation

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 25 днів тому +1

    Jemedari anaongelea majukum kitu ambacho ni sahihi kbsaa viuongo wanasifa tofauti kabisa

  • @mahamudmbukuchu5946
    @mahamudmbukuchu5946 26 днів тому +5

    Hansi wewe unajua mpira
    Unaeleza fact hasa za mpira, lakini huyo mwingine sijui Jemedari hamna kitu kabisa hapo
    Anataka kuaminisha watazamaji kitu ambacho akili yake yeye tu anahisi na si uhalisia wa mpira
    Hongera sana Hansi Rafael

  • @GazahBoy
    @GazahBoy 25 днів тому +2

    Crown walichokosea ni kumleta jemedar

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 26 днів тому +2

    Crown, nawaomba msajilin Mwamnyan wa u fm,ili kipindi kiwe namba moja apo tanzania ila mkitegemea Hans ndo awe mchambuz mtafel anajitaidi ila anaendekeza uchawa na Jemedari ni wachambuz mzuri ila mashabiki wa yanga hawana iman nae kwaiyo inatakiwa mpate Mwamnyan ili tuamishe kijiji chote cha wasafi maana uyo nizaid ya Ambangile

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 днів тому +1

      😂😂😂😂 jemedariiii hamana tusemee ukwelii

  • @pinomjata678
    @pinomjata678 26 днів тому

    Mifumo ni kwenye set up ya timu lakini execution mifumo huwa inabadilika mfano Man City na Liverpool mpira wanacheza 4-3-3 lakini wana execute tofauti. City wanatumia sana little triangles kuwachosha wapinzani na kunakuwa na exchanges ya positions kati ya wachezaji. Liverpool under Klopp front players wana counter press, full backs na wingers wanatanua uwanja overload wide areas na watumia sana crosses, pia force 9 ana-drop deep ku-open up spaces kwa wachezaji wengine.

  • @Igauf3
    @Igauf3 17 днів тому

    Fellas bring the blackboard on the show.

  • @Fahadlikote-tq5gh
    @Fahadlikote-tq5gh 8 днів тому

    Hapo wameshindwa kuelewana tu ila Kwa upande mmoja jemedari yupo sahihi na hans yupo sahihi
    4-3-3 inaweza kuwa na viungo wawili wakabaji na mmoja mshambuliaji au viungo wawili washambuliaji na kiungo mmoja mkabaji tofaut ya 4-3-3 na 4-2-3-1 ni kwenye side players kwenye 4-3-3 kuna wingers(LW na RW) while kwenye 4-2-3-1 kuna either Center attacking midfielders wote au kuna kuwa na left midfielder na right midfielder with a CAM kwenye Ile 3

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 26 днів тому +7

    Jemedari ni much know

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 26 днів тому

      Jemedari akimaliza hiyo Leseni A Nataka nije kumuona akifundisha nchi za watu la sivyo atabaki kuwa ni kiburi na hataki kujifunza. Mi namuelewa zaidi hans kuliko jemedali naona anapigwa upper Cut za kutosha.

  • @user-mc7du2pe4d
    @user-mc7du2pe4d 23 дні тому +1

    Mkichukulia Simba na uyanga hamtomuelewa jemedari said sawa tufanye yupo Simba lakini hua anabalance tofauti nahuyo hansi yeye nikusifia tu yanga biala kujali Aya haya hana jemedali yupo sahihi

  • @steven.munisi
    @steven.munisi 26 днів тому +2

    Hans ni balaaa😂😂😂❤❤

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 4 дні тому

    Uyuuuu jemedariii mbishiii atariii tokaaa zamaniii rohooo mbayaaa tuuuuu

  • @jescamariki8498
    @jescamariki8498 21 день тому

    Ni fire crown media

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j 25 днів тому +2

    Simba nguvu moja

  • @ndelechetv3362
    @ndelechetv3362 24 дні тому +1

    jemedari yuko sahihi kuna attacking , holding kwenye 4-3-3 lazma itofautiane namna ya matumizi

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 22 дні тому +1

    Anachoongea jemedari kimpira yupo sahihi sana