Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa
Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
@@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu, Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari
Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee
@@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar
@@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno
Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂
Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa
😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana
Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod
Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE
😂😂😂
Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo
Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu
😅😅😅😅😅😅😂
Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,
Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi
Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake
Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe
Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣
Alikuwa anatita wap😂😂
Alikuwa anatita wap😂😂
Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢
😂
😂😂
Wehuna mototo mkubwa kiasi hiko😂😂😂😂
Binti yako atamwaga😅
😂😂😂😂😂😂
Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa
Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂
Geita😂🙌
Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂
Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage
Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .
😂😂
Daaaa
Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee
Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂
Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣
Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅
Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA
Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh
Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂
Meamba anaona uvivu 😃
Hata asubuh kumwaga awezi
@@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu,
Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
Ayooooo laizer 😂😂😂
sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii
Tumuone jamani 😂😂😂😂
Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok
Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....
Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..
Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂
🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂
Living in nature, acha awe kwenye sehemu ya Ekolojia.
😂
Mtihani kwakweli hata kama mvivu huwenda anakichaa dah😮duniani kuna vituko 😮😮
Hii nilishaonaga😂😂
Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂
😅😅
😅😅😅😅😅kula chuma
Lizer mfanabiashara wa mkojo UTI sugu
Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee
Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni
😂
😂
Atashtakiwa Kwa kosa gani?😅😅
Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮
Hata kuangalia siezi mimi😂
Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo
Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣
Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ss siakamwage😂😂
@@mariamjuma5957 😂😂😂 au Kuna sehem anauza nini?
@@HusseinAlly-fq9ilnimecheka vile ulikata 🤣🤣🤣🤣
Kama ameshindwa kulipa Kodi Kwa chumba hicho je self container ataweza?
Ngoja nitoe yangu mapema maana ndo miezi
Bangi ya majani ya mpapai na gundi avijawai mwacha Mtu salama
Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂
Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari
Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee
@@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar
@@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo
Hy ni mmasai laiza
Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂
Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok
Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi
Allen ni mbwa umempeleka Polisi mhuni!?
Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa
Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu
Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani
Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga
Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo
Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn
Mashart ya mganga
😂😂😂 dah hatar 🤣
Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂
😂😂 kwa kweli
Hahaa
Aisee yaani kanya hadi kajaza beseni😮😮😮
😂😂
@@spreadlove5300😂😂
Mama anamdomo sana kijana wa kimasai kaamua kuweka choo cha mobile😂
Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake
Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂
Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅
Mmmmm hii kali 😂
Ukute hadeki choon na ukute wapangaji wenzie wanamfungia choo ili asiingie.na yy kaona isiwe tabu ngoja amplifier ndani kl kt
😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂
Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!
😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣
@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂
Huyo disi limeyumba sio bure😂😂😂😂
Kijana wa hovyo kabisa
Hannah designed hapo
Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish
Linayumba ama😅
Kosa liko wapi?
Sasa kosa nn kulipa Kodi au kukaa na mikojo ndani?
Usiku kunatisha ndio huwa anajisaidia ndani
😂😂😂😂😂dah
Laiza mwenyewe yuko wapi jamani?
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
Mmh hata kama hilo ndogeto is mhuni lkn Hapana kwakweliiii😅😅😅huyo sio mhuni labda anashida kichwani jmn.
Sijui twende wapi jmn
kosa likowapi sasa😂😂😂
Chumba choo ajenge chake km rahisi
Udharirishaji tuu 😢😢😢
,😂😂😂😂masai au😂😂
Laizar ndyo
Sasa swala la mokojo si lake mwenyewe jaman au.
Mboni maelezo ya upande mmoja tu.. na kosa lake nn?
😮😮😮😮
Mpeni maua yake mwamba uyo😂
Mmmm😮😮
Huyo ana afya ya akili sio bure
Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂
Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini
hayo ni mashaliti ya mganga msi mshagae anataka utajili huyo🤣🤣🤣
😂akakae msituni tu
😂😂😂 jaman dunia ina watu
Kuna tofauti Gani na vyumba vya self?
Sidhan kama atapata mke Mme mharibia
Wakampime hakiri 😂😂😂😂😂😂
Mmmmmh😢
Mpen mauwa yake