KIJANA AKUTWA NA CHUPA ZA MKOJO CHUMBANI KWAKE, MWENYE NYUMBA, MAJIRANI WAELEZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 328

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 12 днів тому +11

    Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 13 днів тому +4

    Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 13 днів тому +5

    Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 12 днів тому +11

    Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 12 днів тому +1

      😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana

  • @YustaMlilile
    @YustaMlilile 7 днів тому +2

    Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 11 днів тому +3

    Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 11 днів тому +4

    😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 8 днів тому +5

    ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 12 днів тому +4

    Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 10 днів тому +5

    Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 13 днів тому +4

    Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 12 днів тому +2

    Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 2 дні тому

    Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn 4 дні тому

    Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe

  • @godfreykameme6644
    @godfreykameme6644 13 днів тому +17

    Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 12 днів тому

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 12 днів тому

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @humphreyfungo7669
      @humphreyfungo7669 9 днів тому

      Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 7 днів тому

      Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 13 днів тому +27

    Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢

  • @kephafrancis7177
    @kephafrancis7177 2 дні тому +1

    Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 13 днів тому +3

    Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 12 днів тому +1

    Geita😂🙌

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 12 днів тому +2

    Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 12 днів тому +2

    Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage

  • @humphreyfungo7669
    @humphreyfungo7669 9 днів тому +3

    Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 13 днів тому +1

    Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee

  • @jackiekimario9324
    @jackiekimario9324 10 днів тому

    Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 13 днів тому +1

    Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl 12 днів тому +1

    Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅

  • @arthurherman-rn8ko
    @arthurherman-rn8ko 12 днів тому +1

    Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA

  • @shakilarajabu8059
    @shakilarajabu8059 11 днів тому +1

    Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh

  • @user-qw3yi6hy6d
    @user-qw3yi6hy6d 13 днів тому +10

    Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂

    • @StanleyJ214
      @StanleyJ214 13 днів тому

      Meamba anaona uvivu 😃

    • @salomethomas6469
      @salomethomas6469 13 днів тому +1

      Hata asubuh kumwaga awezi

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 13 днів тому

      @@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 13 днів тому +1

      ​@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 13 днів тому

      @@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu,
      Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 6 днів тому +1

    Ayooooo laizer 😂😂😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 13 днів тому +1

    sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii

  • @bina2557
    @bina2557 12 днів тому +1

    Tumuone jamani 😂😂😂😂

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 13 днів тому

    Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 12 днів тому

    Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c 9 днів тому +1

    Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 13 днів тому +3

    Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂

    • @gidammatagi2723
      @gidammatagi2723 12 днів тому

      🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 2 дні тому

    Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂

  • @ussiussi3413
    @ussiussi3413 13 днів тому

    Living in nature, acha awe kwenye sehemu ya Ekolojia.

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 10 днів тому

    Mtihani kwakweli hata kama mvivu huwenda anakichaa dah😮duniani kuna vituko 😮😮

  • @Jonsking
    @Jonsking 13 днів тому +1

    Hii nilishaonaga😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 13 днів тому +3

    Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂

  • @calvinmaro6445
    @calvinmaro6445 2 дні тому

    Lizer mfanabiashara wa mkojo UTI sugu

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 12 днів тому +1

    Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 13 днів тому +4

    Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni

  • @AlindaJoel-xy4vz
    @AlindaJoel-xy4vz 13 днів тому +1

    Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 13 днів тому

    Hata kuangalia siezi mimi😂

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 12 днів тому

    Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 12 днів тому

    Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣

  • @HusseinAlly-fq9il
    @HusseinAlly-fq9il 13 днів тому +16

    Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick1614 13 днів тому

    Ngoja nitoe yangu mapema maana ndo miezi

  • @fanboy.1-tz
    @fanboy.1-tz 13 днів тому

    Bangi ya majani ya mpapai na gundi avijawai mwacha Mtu salama

  • @user-po2ho6iv8p
    @user-po2ho6iv8p 8 днів тому

    Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 13 днів тому +2

    Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 13 днів тому

      Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 13 днів тому

      @@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 13 днів тому

      @@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 13 днів тому

    Hy ni mmasai laiza

  • @RahimaIdd-yf9jo
    @RahimaIdd-yf9jo 13 днів тому +1

    Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂

    • @BatazalNdifwa-nk2hl
      @BatazalNdifwa-nk2hl 13 днів тому

      Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 8 днів тому

    Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 12 днів тому

    Allen ni mbwa umempeleka Polisi mhuni!?

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 8 днів тому

    Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa

  • @redtk2971
    @redtk2971 13 днів тому +4

    Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 13 днів тому +3

      Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 13 днів тому +2

      Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 13 днів тому

      Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine

    • @mariamjuma5957
      @mariamjuma5957 13 днів тому

      ​@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 12 днів тому

      Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo

  • @Enjoy-ge5cy
    @Enjoy-ge5cy 8 днів тому

    Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn

  • @user-zn6pq4su6b
    @user-zn6pq4su6b 13 днів тому

    Mashart ya mganga

  • @SakinaSakinat-qd9rs
    @SakinaSakinat-qd9rs 13 днів тому

    😂😂😂 dah hatar 🤣

  • @gcrack067
    @gcrack067 13 днів тому +13

    Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 13 днів тому

    Mama anamdomo sana kijana wa kimasai kaamua kuweka choo cha mobile😂

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 11 днів тому +2

    Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake

    • @user-qg9nj2yw7e
      @user-qg9nj2yw7e 8 днів тому

      Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 11 днів тому

    Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅

  • @nasrahozza9231
    @nasrahozza9231 13 днів тому

    Mmmmm hii kali 😂

  • @ashurakiaga7812
    @ashurakiaga7812 12 днів тому

    Ukute hadeki choon na ukute wapangaji wenzie wanamfungia choo ili asiingie.na yy kaona isiwe tabu ngoja amplifier ndani kl kt

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 7 днів тому

    😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 13 днів тому +4

    Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 13 днів тому +1

      😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado

    • @irhamseif
      @irhamseif 13 днів тому +2

      😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 12 днів тому

      ​@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 8 днів тому

      ​@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 11 днів тому

    Huyo disi limeyumba sio bure😂😂😂😂

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 13 днів тому

    Kijana wa hovyo kabisa

  • @josephpeter2343
    @josephpeter2343 13 днів тому

    Hannah designed hapo

  • @vero57
    @vero57 12 днів тому +1

    Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 11 днів тому

    Kosa liko wapi?

  • @BalksGitya
    @BalksGitya 13 днів тому +1

    Sasa kosa nn kulipa Kodi au kukaa na mikojo ndani?

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 3 дні тому

    Usiku kunatisha ndio huwa anajisaidia ndani

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk 13 днів тому +2

    😂😂😂😂😂dah

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we 13 днів тому

    Laiza mwenyewe yuko wapi jamani?

  • @user-rk3fn9we8x
    @user-rk3fn9we8x 11 днів тому

    Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 13 днів тому +2

    Mmh hata kama hilo ndogeto is mhuni lkn Hapana kwakweliiii😅😅😅huyo sio mhuni labda anashida kichwani jmn.

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur 13 днів тому

    Sijui twende wapi jmn

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 11 днів тому

    kosa likowapi sasa😂😂😂

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 13 днів тому

    Chumba choo ajenge chake km rahisi

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 12 днів тому

    Udharirishaji tuu 😢😢😢

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 13 днів тому +1

    ,😂😂😂😂masai au😂😂

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 12 днів тому

    Sasa swala la mokojo si lake mwenyewe jaman au.

  • @rmars333
    @rmars333 13 днів тому

    Mboni maelezo ya upande mmoja tu.. na kosa lake nn?

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 28 хвилин тому

    😮😮😮😮

  • @yunisimaiko
    @yunisimaiko 13 днів тому

    Mpeni maua yake mwamba uyo😂

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f 13 днів тому

    Mmmm😮😮

  • @SitiboWilson
    @SitiboWilson 7 днів тому

    Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂

  • @samwelikmollel
    @samwelikmollel 11 днів тому

    Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini

  • @Nashoora8
    @Nashoora8 13 днів тому

    hayo ni mashaliti ya mganga msi mshagae anataka utajili huyo🤣🤣🤣

  • @RachelNathan-yv5zc
    @RachelNathan-yv5zc 12 днів тому

    😂😂😂 jaman dunia ina watu

  • @SamwelomariOmari
    @SamwelomariOmari 13 днів тому

    Kuna tofauti Gani na vyumba vya self?

  • @MassunzuMashaka
    @MassunzuMashaka 13 днів тому

    Sidhan kama atapata mke Mme mharibia

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 13 днів тому

    Wakampime hakiri 😂😂😂😂😂😂

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 днів тому

    Mmmmmh😢

  • @EgibathDastani
    @EgibathDastani 11 днів тому +1

    Mpen mauwa yake