AIC Shinyanga Choir - Nalilia uzima (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 січ 2020
  • Nalilia uzima, ni moja kati ya nyimbo inayogusa moyo na kutukumbusha kuwa uzima wa mwanadamu uko mikononi na Mungu, shetani akijaribu kutuagusha tusikate tamaa, tuendelee kumtengemea Mungu katika kila hali.
    Albam; Mbeleko Umeichana
    Facebook: Aict ShinyangaChoir
    Instagram: Aic_shy_choir_official

КОМЕНТАРІ • 264

  • @nefrodimponzi5156
    @nefrodimponzi5156 Рік тому +103

    Nimependa sana kama upo pamoja na mm gonga like 👍😭😭😭😭😭😭

  • @annazephania7463
    @annazephania7463 5 місяців тому +22

    Nyimbo nzr hakika 2024 kma umeimbwa leo mbarikiwe sana

  • @amosbosire6715
    @amosbosire6715 5 місяців тому +8

    Kila nikaingia u tube huu ndio wimbo wa kwanza kuucheza....thanks be to you Ooh Lord 🙏

  • @kokimusic
    @kokimusic 4 місяці тому +7

    2024 Na bado nabarikiwa.

  • @kennedymaithya3584
    @kennedymaithya3584 10 місяців тому +14

    This song deserves more than a million views by now.

  • @deboraelias3333
    @deboraelias3333 Рік тому +5

    Kanitisha ili nisikuone Bwana,,
    Lakini nimejitoa kwa Moyo wang wote liwalo na liwe.
    Huu msitari huwa unanitoa machozi maana shetani amenitisha kwa mengi sana kiac cha kufa,
    Ila namshukru Mungu kwa kunipigania.
    Hii ni 2023 najua siko peke angu kweny kusikiliza huu wimbo

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 4 місяці тому +5

    Namkumbuka sana marehemu JOSEPHAT akiwa anabubujika na sauti nyororo hapo..
    Mungu amuangazie mwanga wa milele...AMINA

  • @4kafricanwildlifescenes428
    @4kafricanwildlifescenes428 8 місяців тому +4

    I like this sweet, beautiful song ..well done AIC Shinganya..May the LORD bless you Abundantly 🙏🙏 watching from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l Місяць тому +1

    Naipenda xana uu wimbo ,nalilia uzima ❤❤barikiweni xana

  • @cardiana_
    @cardiana_ 2 місяці тому +2

    2024-2030 am still blessed with the song 🎉

  • @user-hl3zk7xn3s
    @user-hl3zk7xn3s Місяць тому +1

    Mbarikiwe watumishi wamungu kwawimbo wenu mzuri

  • @giftedgiftchannel6553
    @giftedgiftchannel6553 3 роки тому +12

    Napenda sana huu wimbo.i watch every time

  • @josephkisaro1377
    @josephkisaro1377 Рік тому +17

    Wimbo mzuri, na wenye kutuimarisha Kiroho..Mbarikiwe sana waimbaji wetu...

  • @MariamSalehe-kk9lj
    @MariamSalehe-kk9lj 3 місяці тому +2

    Mungu azid kuwatumia aic shinyanga nawapenda sana

  • @AmosPastorykachely
    @AmosPastorykachely 28 днів тому +1

    Napokea upako ninapokuwa nasikiliza nyimbo hizi

  • @kennedykondowe4604
    @kennedykondowe4604 Рік тому +5

    Wimbo unangusa sana, mungu awabariki naangaria kutoka capetown, south africa

  • @user-iz9dr6fp9z
    @user-iz9dr6fp9z 11 місяців тому +1

    napenda sana wimbo huu kwa kwel mngu awabaliki 🎉🎉🎉🎉

  • @abrahamjesse4800
    @abrahamjesse4800 2 роки тому +20

    Wiki nzima hii kila nikiingia mtandaoni lazima nisikilize huu wimbo,narudia na kurudia kila wakati,natafakari na kutafakari....

  • @japhetmasai9954
    @japhetmasai9954 Рік тому +4

    Huu wimbo umeifanya siku yangu inaenda vizuri sana mungu awabariki aic shinyanga choir amen 🙏

  • @js5abooki855
    @js5abooki855 Місяць тому +1

    Nishaa sema choir ndo zilikua naimba gospel zakubariki sio hao wafanya biashara na injili 😊

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 10 місяців тому +2

    Mungu awabariki sana ninyi nyote muliohusika katika wimbo huu Yesu Kristo wakumbuke watumishi wako Bwana Amen.

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe742 Рік тому +3

    Wanawake jitakaseni mnailba vizuri sana lakizi Mwokozi Yesu hapenendezwi na mawigi na manywele ya Bandia ya kishetani. Na tatizo Hilo hata afufuke mtu kutoka Kwa wafu awaelezee haWawezi kuelewa Hadi watakatupwa jehannamu.

  • @VeronicaWasai
    @VeronicaWasai 10 днів тому

    Ameni nimebarikiwa na hu Wimbo sana mawaompea mwendele na hiyo Neema❤

  • @sophiamwaipopo3072
    @sophiamwaipopo3072 6 місяців тому +2

    Naomba mmuweke na wimbo wa achana na uovu

  • @CyrilloMabula
    @CyrilloMabula 2 місяці тому +1

    Nawapenda AIC shy,huu wimbo unanibariki sana,

  • @ariseandshine
    @ariseandshine 22 дні тому

    This song right here, , , it is spiritual warfare! Grateful to have you Holy Spirit ❤

  • @user-yb6yu8ve8v
    @user-yb6yu8ve8v 7 місяців тому +2

    Very nice

  • @diocleskishambaa
    @diocleskishambaa 2 місяці тому +1

    Nimependa wimbo pamoja na staili yao.mbalikiwe

  • @hiltrudaqamunga7379
    @hiltrudaqamunga7379 Рік тому +4

    Haleluyaa,wimbo huu napousikiliza natafakari sana maisha yangu ya wengine.Mungu tusaidie

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 9 місяців тому +1

    Nami nawapongeza kwa nyimbo zenyu mzuri kweli kweli, najiishi mbinguni kwa Mungu wetu!.

  • @levisninkunda4152
    @levisninkunda4152 2 роки тому +8

    Uwimbo huu ninaupenda sana

  • @EverineMushobozi
    @EverineMushobozi 2 місяці тому +1

    Amina nabarikiwa sana Kwa wimbo huu

  • @MARTHASENDE
    @MARTHASENDE 6 місяців тому +2

    Asanteni kwa nyimbo nzuri

  • @MetrineNekesa-gv9el
    @MetrineNekesa-gv9el Місяць тому +1

    Amen mzuri sana nimependa

  • @simpassagrace6907
    @simpassagrace6907 10 місяців тому +1

    Hallelujah sitothubutu kumwacha Mungu wangu maana Mungu ni uzima wangu.i real enjoying the life with my Jesus

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa 3 місяці тому +2

    Siku moja Natamani nmpe Magreth Magenda zawadi. Hongera for 1M

  • @vivianaroni9395
    @vivianaroni9395 16 днів тому

    Nalilia uzima kutoka kwa Bwana ili nikaishi naye katika uzima, uzima wa milele. Amina.

  • @fridajohnjohntibo4761
    @fridajohnjohntibo4761 Рік тому +8

    Ni wimbo mzuri unaokonga nyoyo za watu na kuturejesha kwa mwenyezi mungu.mungu awabariki sans wapendwa katika mungu

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u 11 місяців тому +1

    Ameniii kila aliyeshiri kwenye hii kazi mungu wetu wambinguni amkumbuke amuongezee miaka yakuishi

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 Рік тому +3

    Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏

  • @andersonkorir
    @andersonkorir 8 місяців тому +2

    This is what my heart needs❤❤ love from kenya 🇰🇪 🇰🇪

  • @RaphaelMulei-ev7qy
    @RaphaelMulei-ev7qy 10 місяців тому +1

    Kwa sauti zenu wengi naamini wameweza kuokolewa kutokana na nyimbo zenu nzuri

  • @yusnafimbo7384
    @yusnafimbo7384 3 роки тому +7

    Poleni sana kwa msiba wa mtumishi mwenzenu

  • @bethuelkiberen3751
    @bethuelkiberen3751 Рік тому +7

    Wimbo mzuri unaoguza kabisaa...Ahsanteni wanakwaya.mungu awabariki Sana.

  • @SarahLameck-sy9yq
    @SarahLameck-sy9yq Рік тому +2

    Xan yaan nabarikiwa cn

  • @Cecilkeytnyoh
    @Cecilkeytnyoh 15 днів тому +1

    Nalilia uzima wa milele🙏🤗

  • @joshuajeremia3045
    @joshuajeremia3045 7 місяців тому +3

    nalilia uzima saa 8 usiku huu dec 23

  • @jonathansenkondo8093
    @jonathansenkondo8093 3 місяці тому +1

    Kati ya nyimbo bora zilizowahi kuimbwa🙏

  • @jons9618
    @jons9618 5 днів тому

    Moja ya nyimbo ninazo zipenda sana mbarikiwe sana

  • @danielmathengeofficialpage4058
    @danielmathengeofficialpage4058 2 роки тому +11

    Brothers and sisters in Christ you've always been inspiration whenever I listen to your music 🎼. High high !

  • @user-ye5wi2wl4o
    @user-ye5wi2wl4o 2 місяці тому +1

    WADAU,GOD BLESS YOU ALL ❤❤❤

  • @neemamatayomasanyiwa1658
    @neemamatayomasanyiwa1658 11 місяців тому +1

    Nyimbo tamu sana ameeen😊

  • @wagrandykez4570
    @wagrandykez4570 10 місяців тому +3

    2023...october 1..

  • @teresiayohana1330
    @teresiayohana1330 Рік тому +1

    Yesu ni ushindi namtegemea yeye katika Kila jambo

  • @rodahnanyama7493
    @rodahnanyama7493 Рік тому +3

    Nice songs

  • @AlexNyanga-wz4ob
    @AlexNyanga-wz4ob Рік тому +1

    Yani haitachuja hii mpaka ajapo bw yesu

  • @amirilupembe2164
    @amirilupembe2164 2 роки тому +3

    Asante yesu kwa kila anaye fanya kazi yako

  • @kapsabet3
    @kapsabet3 Місяць тому

    So powerful always wants me to cry each time I listen to this song. So so Powerful.

  • @rehemaagrey8038
    @rehemaagrey8038 2 роки тому +3

    Jamani Mungu awabariki sana nabarikiwa sana na huku wimbo

  • @annmtaua1910
    @annmtaua1910 Рік тому +3

    Amen nabarikiwa sana na wimbo huu nalilia uzima🙏

  • @dushagarimanaemmanuel35
    @dushagarimanaemmanuel35 2 роки тому +3

    Wimbo mzuri kabisa.Mwenyezi Mungu awaendelezee kipawa cha kumwimbia.

  • @boyochu1308
    @boyochu1308 2 роки тому +2

    Nalilia uzima kutoka kwa bwana

  • @reubenmasseri6763
    @reubenmasseri6763 2 роки тому +4

    Mungu akubarik Sana .. nyimbo yenu Mimi naipenda Sana na sichoki kuirudiaa Mara kwa Mara .... Mbarikiwe .. ...

  • @collinsmaundu687
    @collinsmaundu687 3 роки тому +15

    Sincerely, this song makes my mornings very bright and joyful.

  • @dennismwilu7667
    @dennismwilu7667 Рік тому +6

    The song is such a blessing...keep up the work of God.

  • @mgalamavenance-ss6lf
    @mgalamavenance-ss6lf 5 місяців тому +3

    Hawa jamaa wanaimba bass ni hatarii

  • @hilarikway4552
    @hilarikway4552 8 місяців тому +2

    Sana tu

  • @belykasasa8477
    @belykasasa8477 3 роки тому +3

    Bwana awabariki hakika wimbo huu umenibariki ameni

  • @danielntabaungu9206
    @danielntabaungu9206 2 роки тому +2

    Huu wimbo unanibaliki sana

  • @fidelismutune3596
    @fidelismutune3596 Рік тому +3

    Wimbo mzuri sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏

  • @SteveJuma-j7p
    @SteveJuma-j7p 27 днів тому

    Nivizuri Sana kumulilia mungu❤❤❤❤❤❤

  • @user-ok3yu3lx2n
    @user-ok3yu3lx2n 3 дні тому

    Wimbo mzuri sana

  • @alfredkabuty9468
    @alfredkabuty9468 2 роки тому +5

    Great sounds full of Blessings.
    I am just crying because of the message ..
    I can always listen to the song again and again. God Bless you singers.

  • @muokidaniel6596
    @muokidaniel6596 23 дні тому

    Wimbo huu utabakia kuwa wa vizazi

  • @abelijacob6218
    @abelijacob6218 2 роки тому +1

    Nyimbo rozi muhando mpya

  • @venaszablon5764
    @venaszablon5764 3 роки тому +4

    Huwa unanifaliji wimbo huu,,mubalikiwe

  • @user-ix6fy5jn6g
    @user-ix6fy5jn6g 26 днів тому

    Mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @eliudwamamily5772
    @eliudwamamily5772 Рік тому +2

    Wonderful ministry,this song blesses my soul

  • @felixmasae
    @felixmasae Рік тому +1

    I don't know whether you guys know what type of song you released uplifting ,teaching, inspirational a blessing song Mungu awabariki zaidi

  • @metrinenorega8317
    @metrinenorega8317 7 місяців тому +1

    2023 still watching 😊

  • @YusuphYonna
    @YusuphYonna Рік тому

    glory to god 🙏🙏🙏ni muda wakutengeneza njia zetyu japo kutakuwa na vikwazo ila yesu ni Nuru pia njia ya uzimaa daima tumtegemee yeye☝️☝️☝️

  • @rasianbenjamin959
    @rasianbenjamin959 8 днів тому

    Good song🎉

  • @Domiciangenand
    @Domiciangenand Місяць тому

    Hata Mimi nipenda

  • @carlontaiya9167
    @carlontaiya9167 3 роки тому +8

    Lovely song cant stop listening to it everyday.

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 4 роки тому +4

    Nyimbo bora sana

  • @lenonleyian2354
    @lenonleyian2354 3 роки тому +4

    Good work may the Lord bless you people

  • @enockmokaya564
    @enockmokaya564 3 роки тому +5

    This song always touches my heart and soul till I shed tears??? God bless u all abundantly

  • @MusaaJohn
    @MusaaJohn 2 місяці тому

    Barikiwa sana

  • @ruthlaizer8874
    @ruthlaizer8874 2 роки тому +4

    Soo touching.I listen it often.Nice msg.The song make me shading tears whenever i listen.Be blessed

  • @elviskoech6271
    @elviskoech6271 5 місяців тому

    My heart always yearns for the love of God ....Thanks A .i.c shinyanga for such a great song

  • @edwinfelix6298
    @edwinfelix6298 Рік тому

    Akika bwana ndio mtuliza moyo wangu akuna mwingine kama bwana yesu yesu ndio mwanga katika Dunia wa milele na milele yesu kanifanha niwe na uruma niwe mvumilivu kwake mimi na ishi amee

  • @eunicenyenge5177
    @eunicenyenge5177 10 місяців тому

    Watumishi wa Mungu mbarikiwe Sana napata faraja Sana Kila ninaposikiliza wimbo huu

  • @kimutaichelule6700
    @kimutaichelule6700 2 роки тому +2

    Amen. Mbarikiwe sana

  • @happylonhambi861
    @happylonhambi861 Рік тому

    Nimshnd cku zote kwangu sitaogopa chochote bwana you pamoja Nam mubarikiwe wa kwetu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @IshmaelKimutai
    @IshmaelKimutai 4 місяці тому

    love the song

  • @emmanuelmbola5246
    @emmanuelmbola5246 8 місяців тому

    Sure this songs is more powerful,,,May God bless this servants of God ..Glory to God!

  • @omondiguya9977
    @omondiguya9977 2 роки тому +2

    Yesu ni Nuru moyoni mwangu, Yesu ni uzima wangu......

  • @marthalemgoha9966
    @marthalemgoha9966 Рік тому +1

    Aic shinyanga nalilia uzima

  • @mwaminiemmanuel4338
    @mwaminiemmanuel4338 Рік тому

    N bora kubaki na huyu yesu kwasabbu ukiwa nae unakua salama

  • @user-uy2fz8gv1n
    @user-uy2fz8gv1n Рік тому +1

    Wimbo mzuri unaoguza,mungu awabariki sana wanachoir😊keep up🙏