AIC Shinyanga Choir - Nalilia uzima (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 6 січ 2020
- Nalilia uzima, ni moja kati ya nyimbo inayogusa moyo na kutukumbusha kuwa uzima wa mwanadamu uko mikononi na Mungu, shetani akijaribu kutuagusha tusikate tamaa, tuendelee kumtengemea Mungu katika kila hali.
Albam; Mbeleko Umeichana
Facebook: Aict ShinyangaChoir
Instagram: Aic_shy_choir_official
Nimependa sana kama upo pamoja na mm gonga like 👍😭😭😭😭😭😭
Congratulation
Like
😊😅😅😊@@thomasyothamu-xo4hy
Nyimbo nzr hakika 2024 kma umeimbwa leo mbarikiwe sana
❤
Kila nikaingia u tube huu ndio wimbo wa kwanza kuucheza....thanks be to you Ooh Lord 🙏
2024 Na bado nabarikiwa.
This song deserves more than a million views by now.
Kanitisha ili nisikuone Bwana,,
Lakini nimejitoa kwa Moyo wang wote liwalo na liwe.
Huu msitari huwa unanitoa machozi maana shetani amenitisha kwa mengi sana kiac cha kufa,
Ila namshukru Mungu kwa kunipigania.
Hii ni 2023 najua siko peke angu kweny kusikiliza huu wimbo
Namkumbuka sana marehemu JOSEPHAT akiwa anabubujika na sauti nyororo hapo..
Mungu amuangazie mwanga wa milele...AMINA
👍
I like this sweet, beautiful song ..well done AIC Shinganya..May the LORD bless you Abundantly 🙏🙏 watching from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖
Naipenda xana uu wimbo ,nalilia uzima ❤❤barikiweni xana
2024-2030 am still blessed with the song 🎉
Mbarikiwe watumishi wamungu kwawimbo wenu mzuri
Napenda sana huu wimbo.i watch every time
Wimbo mzuri, na wenye kutuimarisha Kiroho..Mbarikiwe sana waimbaji wetu...
Mungu azid kuwatumia aic shinyanga nawapenda sana
Napokea upako ninapokuwa nasikiliza nyimbo hizi
Wimbo unangusa sana, mungu awabariki naangaria kutoka capetown, south africa
napenda sana wimbo huu kwa kwel mngu awabaliki 🎉🎉🎉🎉
Wiki nzima hii kila nikiingia mtandaoni lazima nisikilize huu wimbo,narudia na kurudia kila wakati,natafakari na kutafakari....
Pp
Wimbo unaobariki
Pamoja
Huu wimbo umeifanya siku yangu inaenda vizuri sana mungu awabariki aic shinyanga choir amen 🙏
Nishaa sema choir ndo zilikua naimba gospel zakubariki sio hao wafanya biashara na injili 😊
Mungu awabariki sana ninyi nyote muliohusika katika wimbo huu Yesu Kristo wakumbuke watumishi wako Bwana Amen.
Wanawake jitakaseni mnailba vizuri sana lakizi Mwokozi Yesu hapenendezwi na mawigi na manywele ya Bandia ya kishetani. Na tatizo Hilo hata afufuke mtu kutoka Kwa wafu awaelezee haWawezi kuelewa Hadi watakatupwa jehannamu.
Ameni nimebarikiwa na hu Wimbo sana mawaompea mwendele na hiyo Neema❤
Naomba mmuweke na wimbo wa achana na uovu
Nawapenda AIC shy,huu wimbo unanibariki sana,
This song right here, , , it is spiritual warfare! Grateful to have you Holy Spirit ❤
Very nice
Nimependa wimbo pamoja na staili yao.mbalikiwe
Haleluyaa,wimbo huu napousikiliza natafakari sana maisha yangu ya wengine.Mungu tusaidie
Nami nawapongeza kwa nyimbo zenyu mzuri kweli kweli, najiishi mbinguni kwa Mungu wetu!.
Uwimbo huu ninaupenda sana
Amina nabarikiwa sana Kwa wimbo huu
Asanteni kwa nyimbo nzuri
Amen mzuri sana nimependa
Hallelujah sitothubutu kumwacha Mungu wangu maana Mungu ni uzima wangu.i real enjoying the life with my Jesus
Siku moja Natamani nmpe Magreth Magenda zawadi. Hongera for 1M
She deserves
Nalilia uzima kutoka kwa Bwana ili nikaishi naye katika uzima, uzima wa milele. Amina.
Ni wimbo mzuri unaokonga nyoyo za watu na kuturejesha kwa mwenyezi mungu.mungu awabariki sans wapendwa katika mungu
Ameniii kila aliyeshiri kwenye hii kazi mungu wetu wambinguni amkumbuke amuongezee miaka yakuishi
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏
This is what my heart needs❤❤ love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
Kwa sauti zenu wengi naamini wameweza kuokolewa kutokana na nyimbo zenu nzuri
Poleni sana kwa msiba wa mtumishi mwenzenu
Jmn kumbe walifiwa😭😭
Wimbo mzuri unaoguza kabisaa...Ahsanteni wanakwaya.mungu awabariki Sana.
Xan yaan nabarikiwa cn
Nalilia uzima wa milele🙏🤗
nalilia uzima saa 8 usiku huu dec 23
Kati ya nyimbo bora zilizowahi kuimbwa🙏
Moja ya nyimbo ninazo zipenda sana mbarikiwe sana
Brothers and sisters in Christ you've always been inspiration whenever I listen to your music 🎼. High high !
WADAU,GOD BLESS YOU ALL ❤❤❤
Nyimbo tamu sana ameeen😊
2023...october 1..
Yesu ni ushindi namtegemea yeye katika Kila jambo
Nice songs
Yani haitachuja hii mpaka ajapo bw yesu
Asante yesu kwa kila anaye fanya kazi yako
So powerful always wants me to cry each time I listen to this song. So so Powerful.
Jamani Mungu awabariki sana nabarikiwa sana na huku wimbo
Amen nabarikiwa sana na wimbo huu nalilia uzima🙏
Wimbo mzuri kabisa.Mwenyezi Mungu awaendelezee kipawa cha kumwimbia.
Nalilia uzima kutoka kwa bwana
Mungu akubarik Sana .. nyimbo yenu Mimi naipenda Sana na sichoki kuirudiaa Mara kwa Mara .... Mbarikiwe .. ...
nyimbo hii imenibariki sana
Sincerely, this song makes my mornings very bright and joyful.
The song is such a blessing...keep up the work of God.
Hawa jamaa wanaimba bass ni hatarii
Sana tu
Bwana awabariki hakika wimbo huu umenibariki ameni
Huu wimbo unanibaliki sana
Wimbo mzuri sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
Nivizuri Sana kumulilia mungu❤❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana
Great sounds full of Blessings.
I am just crying because of the message ..
I can always listen to the song again and again. God Bless you singers.
Wimbo huu utabakia kuwa wa vizazi
Nyimbo rozi muhando mpya
Huwa unanifaliji wimbo huu,,mubalikiwe
Mage au
Mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Wonderful ministry,this song blesses my soul
I don't know whether you guys know what type of song you released uplifting ,teaching, inspirational a blessing song Mungu awabariki zaidi
2023 still watching 😊
glory to god 🙏🙏🙏ni muda wakutengeneza njia zetyu japo kutakuwa na vikwazo ila yesu ni Nuru pia njia ya uzimaa daima tumtegemee yeye☝️☝️☝️
Good song🎉
Hata Mimi nipenda
Lovely song cant stop listening to it everyday.
Nyimbo bora sana
Good work may the Lord bless you people
This song always touches my heart and soul till I shed tears??? God bless u all abundantly
Barikiwa sana
Soo touching.I listen it often.Nice msg.The song make me shading tears whenever i listen.Be blessed
My heart always yearns for the love of God ....Thanks A .i.c shinyanga for such a great song
Akika bwana ndio mtuliza moyo wangu akuna mwingine kama bwana yesu yesu ndio mwanga katika Dunia wa milele na milele yesu kanifanha niwe na uruma niwe mvumilivu kwake mimi na ishi amee
Watumishi wa Mungu mbarikiwe Sana napata faraja Sana Kila ninaposikiliza wimbo huu
Amen. Mbarikiwe sana
MUNGU AZID KUWATIA NGUVU NIKICIKILIZA HUU WIMBO HUWA NAFARIJIKA SANA
Nimshnd cku zote kwangu sitaogopa chochote bwana you pamoja Nam mubarikiwe wa kwetu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
love the song
Sure this songs is more powerful,,,May God bless this servants of God ..Glory to God!
Yesu ni Nuru moyoni mwangu, Yesu ni uzima wangu......
Kwa kweli Kwa yesu ni raha
Aic shinyanga nalilia uzima
N bora kubaki na huyu yesu kwasabbu ukiwa nae unakua salama
Wimbo mzuri unaoguza,mungu awabariki sana wanachoir😊keep up🙏