Hivi ni kweli kabisa.miezi miwili iliyopita Mungu ametuma watumishi kutoka nje ya nchi kulio nya kanisa la Tz na hasa wachungaji.na Mungu ameahidi kuwaadhibu vikali kuanzia mwakani
Sio wote wengine huingia upadri kwa maslahi yao wakifika kule wanakuta mpaka uhitimu ili upate upadrisho mitigani unayopitishwa wengi wanakwama njiani na wanaaacha upadri kufuzu sio mchezo dadaa huyo siopadri pole uliza wenye familia za mapadri og au masister og upate ukweli .
Jmn wa Kristo wakatoliki kwanza mapendo najua mkatoliki anajua kwann kanisa katoliki linapingwa vita na mathehebu mengine cha msingi simamia imani yako kama katka sala ya nasadiki na wakatoliki hatupigani ss bal Mungu anapigana nao hao imani ipo katka kanisa katoliki msitikisike tusome Neno tulijue Neno makanisa hayakupeleki mbinguni
Nikuambie tu ndugu ukatoliki haukufikishi mbinguni wala dini yeyote ile,,,,bali ni wokovu wa kweli tu yaani kuokoka ktk kweli,,karibu kanisa la Yesu ni Bwana na Mwokozi wa mataifa yote utafundishwa bure bila ubaguzi asante
Siangalii tena! Hiki kitu, ninachukia sana shuhuda za kitapeli, wengine mnakuwa na matatizo ya Familia zenu genetic hamtaki kukubali. Hata mikosi huwa inarithiwa kizazi na kizazi. Pia Padre huwa hawaoi, usituchabganyie mafaili.
Thank jesus cause you know how i love you waache waafiki waendelee kuponda lkn siwezi kukuacha najua uliponitoa leo hii nisingekuwa hai lkn ni hai na nguvu tele
niupumbavu wa hali yajuu kuhusisha anguko la dhambi ya mtu na anisa.komaeni akili.hata mashehe wanafanya mambo yaajabu tu tena wanafanyia sehem za msikiti. dhambi yamtu binafsi isichafue sehem ambazo watu wanaabudu mtalaaniwa msipokuwa makini. wala sitétei kanisa hilo la katoliki lakini naaribu kuwarekebisha
huyo roho aliyekuwa anamwonesha alimpokea wap na nan alimfanyia ujazo wa roho mtakatifu?iwen macho wateule unaweza ukajua unamsikiliza roho kumbe adui hayumo yesu humu ndan kwa hakika kabisa.ujumbe haujashiba neno moja,pil mtu huyu ni mchanga kiroho ukimsikiliza kwa makin hajui vitu vingi ndio maana anapwaya hana neno.tatu kashindwa kuzipambanua roho ,hakika yangu Yehova aishie hajamwonesha mambo haya .pole na kwa watumish walomsikiliza wakajua ni Yesu kasema .kuna mahala Yesu anapatikana si kila mahal mbona .alisema na roho ni madhabahu ipi alimpokea huyo roho.imeandikwa malaika wa giza hujigeuza na kujifanya malaika wa nuru .ukitazama kwa mbal ushuhuda huu utaona kama ni nuru ila si nuru kamili iwaangaziao watu.mwulizen mungu atawafundisha amen
@@PromovertvTz bado hata mimi namshangaa na pia najiuliza kwani Mungu anamipaka ktk kufanya kazi yake Mungu anaweza akakufunulia jambo (akaruhusu jambo litikeee ulifahamu) Ili uweze kupata kujua mambo flani ambayo yatakusaidia au yatafanya Mungu atukuzwe pale tuu utakapoyaeleza kwa watu; Mungu yeye hana mipaka kama ya wanadamu yeye kama aliweza kumshika kuzimu na kumnyang'anya funguo za mamlaka anashindwaje na mwanadamu anawezaje kuweka mipaka juu ya utendaji wake Mungu??
Huseni Mareja wewe wasema, kuokoka ni hapahapa duniani, baada ya kufa ni hukumu. Wapo watu kama wewe walisema hakuna kuokoka hapa duniani. Walipokufa wakajikuta hawana nafasi tena ya kuokoka walishachelewa. Walikuta walichokikataa duniani kwamba hakuna kuokoka ndvyo kilivyo. Wakabaki wanajuta kilio na kusaga meno, wanatamani warudi tena duniani waokoke nafasi hiyo haipo tena!
Ashukuriwe Mungu wa Abrahamu, isaaka na Yakobo.
Napendaga sana simulizi zako jactan msafiri uzidi kubarikiwa,napia usii badilishe uwoo wimbo wako,iyoo tune uwaa yanikumbusha mbali,BARAKA
Ameen
Mwili na Urembo hudanganya Lakini Mungu Yahweh habadiliki.
Kaka unaitua mioyo ya watu wengi sana kwa kiwango cha juu Bwana akupe kushinda katika mapambano yako ya kazi yako
Ameen
Amen
Mmmmmn hakika mbinguni kuingia ni kazi c lelemama
Duh! Hatareee
Pole sana.01.04.19.
Mung u akubariki kwa mafunzo yako ya kutufungua macho
Pole sana,23.02.20.
Bado nahusikiliza huu hushuhuda
Bibilia inasema wazi kua nyakati ya mwisho watu watakua na sikio na hawataona watakua na sikio hawatasikia,GOD blues you all Jesus is coming back!!
Hivi ni kweli kabisa.miezi miwili iliyopita Mungu ametuma watumishi kutoka nje ya nchi kulio nya kanisa la Tz na hasa wachungaji.na Mungu ameahidi kuwaadhibu vikali kuanzia mwakani
Madhabahu uliyoenda Ni ya mashetani
Daaa ushuhuda mzuri sana pia tunaomba usichelewe muendelezo
Mungu atusaidie
mambo haya ni kweli kabisa yanaendelea makanisani
Dah wachugaji acheni hayo mambo
Mungu mueza wayote
Sio wote wengine huingia upadri kwa maslahi yao wakifika kule wanakuta mpaka uhitimu ili upate upadrisho mitigani unayopitishwa wengi wanakwama njiani na wanaaacha upadri kufuzu sio mchezo dadaa huyo siopadri pole uliza wenye familia za mapadri og au masister og upate ukweli .
Wazazi wazuri Sana walirudisha mali
Hizo shuhuda sinanijenga sana kiiroho
Susan Njambi amen
Jesus you are good all the time
I need u GOD
Jmn wa Kristo wakatoliki kwanza mapendo najua mkatoliki anajua kwann kanisa katoliki linapingwa vita na mathehebu mengine cha msingi simamia imani yako kama katka sala ya nasadiki na wakatoliki hatupigani ss bal Mungu anapigana nao hao imani ipo katka kanisa katoliki msitikisike tusome Neno tulijue Neno makanisa hayakupeleki mbinguni
Lemina Kasindi s
Hata mm nilikuwa kama ww lkn leo hii tiar nimeokoka baada ya kuitambua kweli
Daimaa
Nikuambie tu ndugu ukatoliki haukufikishi mbinguni wala dini yeyote ile,,,,bali ni wokovu wa kweli tu yaani kuokoka ktk kweli,,karibu kanisa la Yesu ni Bwana na Mwokozi wa mataifa yote utafundishwa bure bila ubaguzi asante
@@jakelema6325 Amen
Aisee, nzuri ila usicheleweshe sana
Ndah. Tunaobeni. Mwendelezo
Siangalii tena! Hiki kitu, ninachukia sana shuhuda za kitapeli, wengine mnakuwa na matatizo ya Familia zenu genetic hamtaki kukubali. Hata mikosi huwa inarithiwa kizazi na kizazi. Pia Padre huwa hawaoi, usituchabganyie mafaili.
+Leopold Tibyehabwa si umeambiwa ameacha u-padre usichoelewa kipi?
Jaman nzur usichelewe tafadhari ku upload nyingine
Frida Mbilinyi Sawa.tafadhali Subscrib
Watumishi ambao wanavaa mikufu kacha makacha mapete ya ajabu huwa siwaamini
nothing
Wewe acha!!!
Mmmh
Nyie ajalazimisha kusikiliza yawezekana na nyiye nimawakala washetani mua che ashudiye alicho kiona
Sio padre bhana Huyo alikuwa na mambo yake ndo maana hata upadre ulimshinda
Thank jesus cause you know how i love you waache waafiki waendelee kuponda lkn siwezi kukuacha najua uliponitoa leo hii nisingekuwa hai lkn ni hai na nguvu tele
YESU anaweza kabisa
swali hili ni kwa watumish.anaeleza alikuwa anaoneshwa na roho mtakatifu /Mungu,ni katika huduma gan alifanyiwA maombi ya ujazo wa roho mtakatifu
du!
niupumbavu wa hali yajuu kuhusisha anguko la dhambi ya mtu na anisa.komaeni akili.hata mashehe wanafanya mambo yaajabu tu tena wanafanyia sehem za msikiti.
dhambi yamtu binafsi isichafue sehem ambazo watu wanaabudu mtalaaniwa msipokuwa makini.
wala sitétei kanisa hilo la katoliki lakini naaribu kuwarekebisha
Kama hujui makanisa mengi sasa yamechacha,,,na mengine si ya Mungu kabisa,,,karibu kanisa la Yesu ni Bwana na Mwokozi wa mataifa yote
Asate. Kwakutuletea. Ushuhunda. Huoo
Bible reference
Josiah Kabirigi h
e
page
Ukweli.ni.kwamba.tuache.mzaha.na.wokovu.nyakati.hizi.ni.za.hatari.wakristo.tuwe.makini
huyo roho aliyekuwa anamwonesha alimpokea wap na nan alimfanyia ujazo wa roho mtakatifu?iwen macho wateule unaweza ukajua unamsikiliza roho kumbe adui hayumo yesu humu ndan kwa hakika kabisa.ujumbe haujashiba neno moja,pil mtu huyu ni mchanga kiroho ukimsikiliza kwa makin hajui vitu vingi ndio maana anapwaya hana neno.tatu kashindwa kuzipambanua roho ,hakika yangu Yehova aishie hajamwonesha mambo haya .pole na kwa watumish walomsikiliza wakajua ni Yesu kasema .kuna mahala Yesu anapatikana si kila mahal mbona .alisema na roho ni madhabahu ipi alimpokea huyo roho.imeandikwa malaika wa giza hujigeuza na kujifanya malaika wa nuru .ukitazama kwa mbal ushuhuda huu utaona kama ni nuru ila si nuru kamili iwaangaziao watu.mwulizen mungu atawafundisha amen
Kwani roho mtakatifu huwa anapatikana wapi mpendwa!?maana unaeleza kanakwamba kuna mahali maalum pa kumpata
@@PromovertvTz bado hata mimi namshangaa na pia najiuliza kwani Mungu anamipaka ktk kufanya kazi yake Mungu anaweza akakufunulia jambo (akaruhusu jambo litikeee ulifahamu) Ili uweze kupata kujua mambo flani ambayo yatakusaidia au yatafanya Mungu atukuzwe pale tuu utakapoyaeleza kwa watu;
Mungu yeye hana mipaka kama ya wanadamu yeye kama aliweza kumshika kuzimu na kumnyang'anya funguo za mamlaka anashindwaje na mwanadamu anawezaje kuweka mipaka juu ya utendaji wake Mungu??
Ee Mungu wetu tusaidie watoto wako peke yetu hatuwez kbx dunian inamakubwa
Huyo siyo padri alikuwa mwanafunzi wa upadri
N
huyo alikuwa siyo padri
Hawa wakristo hawataki kuamin sababu washazoea kudanganywa kuabudu masanam n binadam
Kwahiyo wewe Ndiye uaminiye vitu vya ukweli?
Tangu lini uislam una ukweli ndani yake?
ww unayo muabudu jini amina
Ww ulivyomuamini mohhammed jambazi mbakaji wa vitoto tuliza domo na ufuate ya kwako huko misikitini hapa sio kwa waislamu ,,,ala!!!
Pole usilo lijua sawasawa na usiku wa giza upo gizani wewe
Huezi kuokoka dunian
Huseni Mareja wewe wasema, kuokoka ni hapahapa duniani, baada ya kufa ni hukumu. Wapo watu kama wewe walisema hakuna kuokoka hapa duniani. Walipokufa wakajikuta hawana nafasi tena ya kuokoka walishachelewa. Walikuta walichokikataa duniani kwamba hakuna kuokoka ndvyo kilivyo. Wakabaki wanajuta kilio na kusaga meno, wanatamani warudi tena duniani waokoke nafasi hiyo haipo tena!
Hongera kwani hujui ulinenalo vizuri utaokoka peponi hongeraaa
wewe weee usidanganye wenzio haya wataokoka wap ebu tuambie
Wewe unamsubiria Al Jasasa akuokoe?
Kwa hiyo utamkiri Yesu ukiwa mfu