Ushuhuda wa Mganga aliyeokoka | Part-1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Tunakukaribisha kwenye ushuhuda mpya,simulizi ya kweli ya kijana ambaye alikuwa mganga wa kienyeji lakinia baadaye akaokoka,katika ushuhuda huu atatueleza mapito yake yote kabla,wakati na baada ya kuokoa.Twende wote

КОМЕНТАРІ • 24

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 роки тому +2

    Asante Yesu kwa kuwaita watoto wako hata ambao hawakukujua

  • @rajabshaban4985
    @rajabshaban4985 5 років тому +4

    Asante Baba kwakuiokoa Nafsi hii

  • @thxzbst49cnh80
    @thxzbst49cnh80 5 років тому +3

    Amen,Mungu akubariki

  • @graceshayo5763
    @graceshayo5763 5 років тому +4

    Mungu ni Mungu tuu

  • @Elly112m
    @Elly112m 5 років тому +2

    Okay, okay... Sasa mizimu inataka tufuge kondoo... I'm subscribing for the next episode

  • @luckylucas2125
    @luckylucas2125 5 років тому +3

    Polee

  • @eliaslazaro2809
    @eliaslazaro2809 5 років тому +2

    Bitare ninoma.Ila Mungu nmwema.

  • @julianlukindo6148
    @julianlukindo6148 4 роки тому +2

    Jamani Waganga niwaongo mungu pekeyake nimwema

  • @enelisamwatujobe4700
    @enelisamwatujobe4700 5 років тому +4

    Naamin najifunza vingi

  • @macklinanicolaus5110
    @macklinanicolaus5110 5 років тому +8

    Kwa Bwana kila goti litapigwa

    • @bradleydax8237
      @bradleydax8237 3 роки тому

      I guess Im pretty off topic but do anyone know of a good website to stream newly released series online?

    • @mauriciomarvin9738
      @mauriciomarvin9738 3 роки тому

      @Bradley Dax lately I have been using Flixzone. Just search on google for it :)

    • @jordanwillie6726
      @jordanwillie6726 3 роки тому

      @Mauricio Marvin yup, I have been watching on flixzone for since march myself =)

    • @atticusbrentley8694
      @atticusbrentley8694 3 роки тому

      @Mauricio Marvin Thank you, I signed up and it seems to work :) I really appreciate it !

    • @walterandy7050
      @walterandy7050 3 роки тому

      @Bradley Dax you are welcome :D

  • @makilema8733
    @makilema8733 5 років тому +4

    Kweli huu ni ushuhuda

  • @karembo100
    @karembo100 3 роки тому +1

    Inakaa ushuhuda zimeisha tzd hamieni Kenya huku ni nyingi Sana maana huu ushuda nimeusikia toka 2018 hivyo ushauri wacheni kujirudia

  • @sisisisilia4898
    @sisisisilia4898 5 років тому +2

    Mhh jaman tiba nyingine yaani kama adhabu vile khaa eti ununue sanda mara kunywa damu mbichi uwii nyie waganga mtasema vizuri siku ya mwisho

  • @meshackeliah2328
    @meshackeliah2328 4 роки тому

    Hivi wewe jamaa hao waganga na wachawi mbna ni wa kigoma tu 🤔🤔🤔🤔

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 роки тому

      Ndo office yke ilipo kwaiyo ata ww kama una story atakufata

  • @enelisamwatujobe4700
    @enelisamwatujobe4700 5 років тому +2

    Naamin najifunza vingi

  • @anziberthenry6298
    @anziberthenry6298 5 років тому +2

    amepitia mapito mengi dunia hii ni hatari