MKE WA DEREVA BODA BODA 'MIMI KUACHA KUCHEZA CHURA BORA NDOA IFE,HII NDIO KAZI YANGU NAKODIWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • MKE WA DEREVA BODA BODA 'MIMI KUACHA KUACHA KUCHEZA CHURA BORA NDOA IFE,HII NDIO KAZI YANGU NAKODIWA

КОМЕНТАРІ • 1,3 тис.

  • @hellenshayo3454
    @hellenshayo3454 6 місяців тому +18

    Mungu naomba uwape wanangu wake wenye hofu ya Mungu

  • @sein.208
    @sein.208 6 місяців тому +3

    Subhana Allah
    Wee dada mwogope Mola wako na mweshimu mume wako ..Huna haya kabisa Astaghafirullah

  • @SaidSaid-nr2xe
    @SaidSaid-nr2xe 7 місяців тому +8

    Yani kaka upewe mauwa yako katika watu wanao ongea ukweli na wanao eleweka niwewe kaka munguakupe wepesi katika ndoa yako

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 7 місяців тому +9

    Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake 😊

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha 6 місяців тому +10

    Mkaka wa watu mpole, Daah! Mungu akuongoze

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 7 місяців тому +41

    Huyu dada hana akili. Hivi huyu mwanamke akiachwa atapata mume kama huyu.

    • @fifo262
      @fifo262 6 місяців тому +1

      Ana hamu akutwe ni shida itakua hazijawahi kumkuta izo shida kwaio anataka zimkute

    • @MohamedKinega-jt4vi
      @MohamedKinega-jt4vi 6 місяців тому +1

      Tena sana na anajibu bila woga wowote hata kama amekukuta na hiyo kazi yako lakini alitakiwa abadilike kwa kuwa sasa ni mke wa mtu kama wale madada poa wanapopata mtu wa kutulia nae utulia kama sio wao, na huyo ajua radhi mume

    • @JumaSuleiman-np3eb
      @JumaSuleiman-np3eb 6 місяців тому +1

      Mtihani kwakweli huyu Binti Hana akili

    • @maryamtassama494
      @maryamtassama494 6 місяців тому +1

      Hampati......

    • @mwashamleo9996
      @mwashamleo9996 6 місяців тому +1

      Hajielew

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 7 місяців тому +20

    Mtihani mkubwa,pole bro

  • @AnethMakao
    @AnethMakao 7 місяців тому +4

    Aisee mungu amsaidie huyu kaka mungu akujalie make mwema dadaangu hapo inaonekana kapata mwingine

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 4 місяці тому

      Hana mwingine tatizo mashoga wanaharibu hizo pesa unazo tuzwa ukikosa hao mashoga watakupenda chezea ndoa japo hizo ndoa zenu zipo nyingi tofauti na zetu kupata ndoa hadi uingie kwenye maombi 😢

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 7 місяців тому +8

    Wewe umeshakua mkubwa kwake uyo bonti awez kukuelewa maisha labda aamue mwenyew kutulia la sivyo utaita media zote mashekhe wote duniani na awez kuluelwa labda aamue mwenyewe kutulia

  • @dab8859
    @dab8859 7 місяців тому +20

    Mm nlikua n tabia ykuchza chura ila sio sna kivile lkn sijaolewa ila nko n mpenzi wngu alikua akichekwa n wtu ananuna n kunikemea mpka huwalia n kusma namuibisha mna lkua akiniapiza ivi niwambiavyo ata kusimma chandaruani kuchza naona haya wallah n nikiona wenzngu naona kma niupumbv Asante kw mume wngu mtarajiwa kw kunibdlsha uyu dda hjampnda uyu mume angempnda angejitahidi mpka akaacha nisme Asante mungu kwkuniltea mtu wkunibadili😢

    • @TrustnoLife
      @TrustnoLife 6 місяців тому +1

      Nna zawad yako

    • @MohamedKinega-jt4vi
      @MohamedKinega-jt4vi 6 місяців тому +2

      Analitia aibu kabila la kizaramo

    • @dab8859
      @dab8859 6 місяців тому

      @@TrustnoLife nipee 😁😁😁

    • @TrustnoLife
      @TrustnoLife 6 місяців тому

      @@dab8859 njoo nbox Dab

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 місяців тому

      @@dab8859
      Hizo ngoma wachezeeni waume zenu wari wangu huku ikiwa taa inawaka mapenzi yatakuwa bree

  • @MwafrikaHalisi
    @MwafrikaHalisi 7 місяців тому +51

    Kwenye hiko kichwa Cha mwanamke hakuna kitu kabisaaaa! 😂😂😂😂

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 6 місяців тому +2

    Huyo mdada yuko vizuri mimi sioni nene hapo enjoy life while you are still young. Angelikua yuafanya mambo hayo huzeeni ndio vibaya

  • @harunirashid
    @harunirashid 7 місяців тому +32

    Tuwe tunaangalia watu wakuoa, dar ukijichanganya kuangalia suratuu utajikuta unaoa mwajuma ndalandefu wa mtaa

  • @SleepyFountain-is9zt
    @SleepyFountain-is9zt 7 місяців тому +7

    Sio mwanamke huyo achananae ..alivyo mzuri tabia mbaya sana sijapenda kama mama

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 5 місяців тому

      Kabisa mshenzi mungu atakupa mwanamke mwenye heri na wewe, huyo hata akipewa mali ataenda kusaulia uko,

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee 7 місяців тому +50

    Ww dada maisha sio hivyo msikirize mmeo

    • @fifo262
      @fifo262 6 місяців тому

      Apo hamna kitu kichwani akishakutwa na shida atajua kilichomtoa kanga manyoya

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 6 місяців тому

    Hii interview nimeipenda sana mtangazaji uko makini hongeraaaa

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 7 місяців тому +15

    😮! unampenda Lakini unaenda kuwafunulia chupi wapiga Ngoma yani kama kweli hayo unayoyazungumza ni kweli na huwo uzuri wako mpenzi mtihani bora iwe kiki

    • @MozesPaul-h6i
      @MozesPaul-h6i 7 місяців тому

      Huyo jamaa ana wakati mgumu Sana itabidi ajielewe

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 7 місяців тому +8

    Utazunguka na hizo ngoma mpaka utajutaa dada kuwa mstarabu hicho kiuno cha mumeo ndani tu utajuta dada.kweli dada kichwa chako kibovu

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali 7 місяців тому +12

    Mie nasoma comment tu...😂😂😂 sina la kusema, nisije nikaharibu ndoa ya watu.....😂😅😅

  • @SaidFaki-ov5li
    @SaidFaki-ov5li 5 місяців тому +1

    Msilaumu jaamaa mapenzi upofu mwalimu wake kiziwi

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 7 місяців тому +9

    Mimi naushauri kaka wacha kuendesha bodaboda anza kupiga ngoma ndani atatulia asaule mpaka akusaule na wewe mwenyewe kama utakuwa huna ngoma ndani itakula kwako wenzio nje wanasaulana huko maana mauno yale lazima wapiga ngoma wanadindisha wakimaliza ngoma wanasaulana😢

    • @SATZ-news
      @SATZ-news 7 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 6 місяців тому

      😂😂😂

    • @SATZ-news
      @SATZ-news 6 місяців тому

      @@FatimaAli-of4gh 😁😁😁😁

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 місяців тому

      @@SATZ-news
      Munanicheka kwa kuwa ushauri wangu mbovu au🤣🤣🤣

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 5 місяців тому

      @@SATZ-news
      Watu wanataka wasauliwe yy kutwa anatafuta abiria akirudi nyumbani hata nguvu za kusaula hana

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 2 місяці тому

    Mmmh 🙄🙄 kaka pole sana...kwa kweli huyu mwanamke ni mtihan sana... hana hofu ya Mungu hata kdg .. Subhana Allah 😭😭😭

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 7 місяців тому +3

    Mwanamke Mpumbavu sana.Ila kifo chake kitakuwa kibaya.

  • @MnyamisiAlly
    @MnyamisiAlly 6 місяців тому +1

    Hapo akishaachwa maisha yakimpiga ndo atamkumbuka mume wake

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 7 місяців тому +7

    mke mzuri wa sura kapata mme mzuri tu lkn Basi,pole kaka

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 7 місяців тому +42

    Wadada wapole hatupati wanaume kama hao ila vicheche mungu anavipatia eeh mungu nipe mume kama uyo jamani

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 7 місяців тому +43

    Umeowa ibilisi umeweka dani kaka pole

    • @umaima1178
      @umaima1178 7 місяців тому +1

      😂😂😂

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 7 місяців тому

      Pumbavu kuanzia mume mke simbiliz na huyo muandishi uchwara

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 7 місяців тому

      HUYU MWANAMKE HAFAI ILA MUNGU AMUONGOE NAONA YUKO MBALI

    • @zahrahusain7203
      @zahrahusain7203 7 місяців тому

      Laana tullah

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 7 місяців тому +3

    kitu kidogo tu dada utengeneze ndoa yako unashindwa,ila Duniani duara bahati haiji mara mbili

  • @MwafrikaHalisi
    @MwafrikaHalisi 7 місяців тому +17

    Hawa ndo wale mkiwa Bado hamjaoana anajifanya anakupenda baada ya kumweka ndani anaanza ugomvi Ili mwaachane akaendelee kuuza kuma

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 7 місяців тому +1

      aenderee kuuza kuma daaa

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 7 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂 bwana e umenivunja mbavu huko kwenu tz kuna mambo

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 7 місяців тому +1

      sema huyu mume nae duh kama hana rirote nikama uwa anakanyagwa

    • @MwafrikaHalisi
      @MwafrikaHalisi 7 місяців тому

      @@ntakirutimanaetienne592 hana maamuzi yakueleweka inaonekana Bado anampenda sana mke wake ila mke wake hana mpango nae ndo tatizo linaanzia hapo

    • @elishaworkout6116
      @elishaworkout6116 7 місяців тому

      Mule mule mwanangu usenge huo blood tuwachape tu waende

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be 5 місяців тому

    Yesu watu wanajuwa owa chiziaachecheza kitu nafanyakwetu sifanyekwamume❤😢

  • @noorischmutisch5321
    @noorischmutisch5321 7 місяців тому +18

    Wanapendezana mashaallah Allah awaongoe kwenye ndoa yao!

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 7 місяців тому +2

      Afu wanaendana kweri hata mim nimeona

    • @Baddie-p3b
      @Baddie-p3b 6 місяців тому

      Amiin

    • @sadikiel255
      @sadikiel255 7 днів тому

      Sema akivunja hii ndoa atapata tabu sana

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj 7 місяців тому +1

    Dah kuwa uyaone somagorofa niuwo upuuzi subhanallah

  • @faustinirichard8645
    @faustinirichard8645 7 місяців тому +4

    Babu mwanamke hamna hapo utakufa presha bure mke hamna hapo,😂😂😂😂😂babuu hamna kituuuu.

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 6 місяців тому

    Amina amuogope Allah kwanz mtoto w kislamu unacheza chura huna akili wew mjinga sana wew

  • @JakoboKazilo
    @JakoboKazilo 7 місяців тому +37

    Kaka hapo mke Huna tafuta mwingne kaka😢😢

  • @aishaissa2724
    @aishaissa2724 6 місяців тому +1

    Kaka anatia huruma maskini Allah akupe mke mwema mwenyew hekima kama ww😢😢😢

  • @sarahchikoleka1438
    @sarahchikoleka1438 7 місяців тому +26

    Huyu kaka naona anangangania maradhi kuletewa ndani mm na shauri achane

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 6 місяців тому

    VINGUNGUTI😂😂😂😂😂
    Aiseee huko mpaka vi Bibi vinadanga
    Mitaaaa naijua vizuri mnooo
    Wengi Shule hamna,Mdada kichwani kuna Shida kubwa mnooo tena mnooo

  • @MaryvianeryPeter-ne7xi
    @MaryvianeryPeter-ne7xi 6 місяців тому +3

    Mwanaume yuko vzr, ila huyu mwanamke ni shida anafundisha nini sasa kwa jamii

  • @KafilaBulimwengu
    @KafilaBulimwengu 7 місяців тому

    Poleni sana kwa ndoa hiyo.
    Mwachiye Mungu tu.

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 7 місяців тому +4

    Nyieee kumbe wanaume wa hivi wapooo😂😂😂😂 khaaaaaa mimi ngekua shampigaaaaaa memjeruhiiiii sio kwa majibu hayaaa

  • @goodluckmambosho-nd7cx
    @goodluckmambosho-nd7cx 7 місяців тому +1

    Mithali 19 mstari 14 Nyumba na Mali niurithi mtuhupata kwa babaye ila Mkemwenye busara mtu hupewa na MUNGU rudi kwa Mungu brother

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 7 місяців тому +26

    Katafute mke kaka. Umejaa hekima lakini mke kikopo huyoo.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 7 місяців тому

      ASALAM ALEY KUM KAKA KIUKELI MWENYE MACHO HAAMBIWA TAZAMA MKE HUYU SIO HALALI YAKO ANGALIA ANAVYOJIBU MBELE YAKO MUACHE HUYO AENDE KWA MASHOGA ZAKE KAKA KWANZA NI MUISILAMU HALAFU ANAKAIDI AMRI YAKO MBELE YA MTANGAZAJI KWELI HANA ADABU HUYU DADA ACHANA NAYE AMESHAKWAMBIA HAWEZI KUACHA NA WEWE HUTAKI USILAZIMIAHE MAPENZI.HESHIMA NIKUACHA KUFANYA KILE AMBACHO WEWE HUKITAKI HAKUESHIMU KAKA YANGU .AMESHAKUONA WEWE NI MZAIFU YAANI HAOGPI ETI MM SIACHI.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 7 місяців тому +1

      NAMUONEA HURUMA HUYU DADA MASKINI PUMZI INAMDANGANYA AKILALA KITANDANI NDIO ATAJUA YAANI HAOGOPI KABISA. ILA MUONGO DADA ETI NAMPENDA KUMTII HATAKI .

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 7 місяців тому

      Hawezi kumwacha yeye huyo, anachezewa chura huko ndani,

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 7 місяців тому +1

    Duuuh kuna wengine tunatamani wanaume ambaye hata anaacha pesa ya matumizi hatupati wewe unachezea hiyo bahat😢😢😢 duuh mtihani

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 7 місяців тому +14

    HUYO BODA BODA AMEROGWA, YAANI JICHANGU DOA LINAMPELEKESHA KAMA MSUKULE👁️👁️🤣🤣!

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 6 місяців тому

    My dear sister good advice forget about the stay in your marriage🇿🇦🇧🇮

  • @kenmwanamume5972
    @kenmwanamume5972 7 місяців тому +11

    kaka mke ni tabia si urembo

  • @JabirKabalo
    @JabirKabalo 6 місяців тому

    Brother...achananae uyo atakupa shidaa tu 😢 cha muhimu muombe mungu upate mke mwengine wanawake wapo wengi mno

  • @FatmaHassan-t4q
    @FatmaHassan-t4q 7 місяців тому +6

    Funza zinamzunguka kwenye ubongo lakini na heshima haipo mwanamke mshupavu..Hana ata haya macho makavu hajui ata umuhimu wa mume. .mtovu wa nidhamu jeuri hapo namzabua kibao kimoja..mjinga Sana huyu mwanamke ..kaka muache aende kwenye hivyo vikundu vyake anavyoona muhimu.kaka muache akafunzwe na ulimwengu.huyo C mke ni JINI MAHEPE.

    • @malitomalito
      @malitomalito 7 місяців тому

      Kuna kitu anampa hawezi kumuacha

  • @zahrahusain7203
    @zahrahusain7203 7 місяців тому +1

    Aibu nimewona mimi jaman wanawake subhanallah nimtihan

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 7 місяців тому +8

    We mwanaume fala tu wewe unampeleka kwenye vyombo vya habari ulitegemea nini

  • @EuniceWai-cq3gi
    @EuniceWai-cq3gi 6 місяців тому

    Njoo kaka nakupenda ❤ niko kenya 🇰🇪 natamani kua na mwanaume mwenye subira kama wwe😢

  • @MajutoShishwa
    @MajutoShishwa 6 місяців тому +2

    Acha usenge ww kidume unatudhalilisha piga chini haraka zuzu wee😂😂😂😂😂

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 7 місяців тому +1

    Huo mtihani wallah mwanamke anajibu kwa kujiamini sana ila kaka pole hapo bado

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 7 місяців тому +5

    Jamani watu tunataka kupata wanaume wa kuishi nao ili tutengeneze maisha hatupati halafu ninyi mnachezea ndoa naba mke huna jipange mbona huchanganui mambo kaka

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 6 місяців тому

      Huyo bint Bado mdogo akili haijatulia Bado....akikua ndio atamkumbuka huyo mwanaume

    • @upendompinga1488
      @upendompinga1488 4 місяці тому

      Mungu atakupaa mwanaume dear..mambo yataenda sawaaa

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 5 місяців тому

    Mungu amuongoze huyu dada 🤲

  • @DaheerK
    @DaheerK 7 місяців тому +6

    Kaka muache uyo kaka siyo mwanamke utapiga utauwa utaingia jela nausimpe chochote mshenz uyo

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 7 місяців тому

    Pole bro!
    Kaka Kumbuka umeunganishwa naye ili umbadilishe. Mungu hawezi kukupa mwenza mkamilifu. Mimi mwanaume na najua lazima tukimbizane na hawa viumbe katika udhaifu wao.

  • @DeboraCalton
    @DeboraCalton 7 місяців тому +35

    Wanawake wa shughuli si wanawake wa kuoa... Ehee

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 7 місяців тому +3

      Huu ni msiba' mkubwa sana'

    • @beccakhalfa5636
      @beccakhalfa5636 7 місяців тому

      Kwel

    • @sonilyemily523
      @sonilyemily523 7 місяців тому

      duuuh kaz hii

    • @Niika870
      @Niika870 7 місяців тому +1

      Utaoaje janamuke kama Hilo la kusaura?😂😂 Kwani tambiko lako?? achana nalo wewe usjekuugua sukari bure,litakuuua hili halina akili timamu

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 6 місяців тому

      @@Niika870 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @OmanState-e6p
    @OmanState-e6p 7 місяців тому

    Huna mke kaka innallillah wainnallillah rajuun 😭😭😭😭llaana tunllah mke hakupendi hana tafuta mke mwengine

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db 7 місяців тому +5

    Duh bro hapo hamna mke kuna matatizo😂

  • @abishaikibona-dk4rg
    @abishaikibona-dk4rg 5 місяців тому

    Mku pole uyo mwanamke ni pasu kichwa,Tena uyo ni jini,Tena inabidi ukoo wako waandamane,Tena umezeshwe dawa ya kumsahau uyu,-Ila mwombe mungu akupe mke Mwema,Ila atakukumbuka,Kwamaana umli unaenda na kunakuchoka,Na mbaya zaidi emejidhalilisha watu wengi awatamweshimu Tena,Kwaiyo atabinuka mpaka uzeeni,

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 7 місяців тому +4

    Hata asikutie pressure huyu kakangu

  • @SalmaKenyatta-cn8tg
    @SalmaKenyatta-cn8tg 7 місяців тому +1

    lahaulaa😮😮😮😮hutapendwa ukiw kwa mmeo
    toka nje madanga yte kwa mpalangeee😂😂😂😂

  • @umaima1178
    @umaima1178 7 місяців тому +6

    Kaka umekalia chuma cha chapati kilicho pata moto pole weeee😂😂

    • @rahmarr2160
      @rahmarr2160 7 місяців тому

      😅😅😅❤❤❤

  • @SharoComedy-vt5nf
    @SharoComedy-vt5nf 7 місяців тому

    Hahahaha 🤣 mme ingiza vizuri sana kama mke na mume kweli 🎉

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 7 місяців тому +3

    Kuna watu wavumilivu jaman yaani hapo ningehojiwa napingu miguu na mikono huku napigwa niseme ilikuwaje nikaua😮

    • @btylove1870
      @btylove1870 6 місяців тому +1

      Nimecheka sana eti pingu😂😂😂

  • @EverMassawe-o9c
    @EverMassawe-o9c 7 місяців тому +1

    Nataman angekuwa karibu nimpige vibao viwili tu..aamke huko alipo lala😢😢😢

  • @SamiraseifAlfan-ph4ke
    @SamiraseifAlfan-ph4ke 6 місяців тому +3

    Nimechekaa km mazuri hapo mwisho 😂😂

  • @aysherkhamis3338
    @aysherkhamis3338 6 місяців тому +1

    @Dulla makabila hajakosea kuimba haoi mpaka ajue kabila😂😂😂Mzaramo na vigodorooooo😂😂😂😂

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 7 місяців тому +7

    Kwani ukienda shuulini paka ukose adabu, mi mwenyewe sipendi uwa naona aibu mmi, muache akafunzwe na ulimwengu..

  • @Hlatsikhulu
    @Hlatsikhulu 7 місяців тому

    Mzalamo uyo bro🤣🤣🤣🎉🎉make una bro🌹🌹🌹sema unamoyo km wachuma duu salute 🤔🤫

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 7 місяців тому +4

    Kaka umekaliwa chapati 👌👌

  • @AugustinoKanga
    @AugustinoKanga 7 місяців тому +1

    Duh pole kaka angalia ustarabu mwingine tu hmna mke hpo

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 7 місяців тому +4

    Bro mpandishe cheo owa mke wa pili

  • @assaasharif963
    @assaasharif963 5 місяців тому

    Pole brother atakupa tabu sana huyo hana woga na wewe hata kidogo

  • @fatimaharoun-np8uv
    @fatimaharoun-np8uv 7 місяців тому +5

    Huyu dem akili yake inapelekwa na rimoti ya meli😂😂😂loooh akili ya mtu iyo inasema ivo😅

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 7 місяців тому

      Wajina ikoje hiyo remot ya meli waja mna mambo waja mna mamboooo 😅😅😅

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 7 місяців тому

      😂😂😂😂

  • @maernov4257
    @maernov4257 7 місяців тому +1

    Jamani uyu kaka anaonekana mpole ila mke ni mtihani 😢

  • @MO12-b1q
    @MO12-b1q 7 місяців тому +25

    Uyu Dada anamatatizo sio Bure

  • @AmaniChalale
    @AmaniChalale 5 місяців тому

    Huyo mwanamke aliingia .kwenye ndoa ili achume tu.wala hajui kabisa ndoa Nini? Huyo kashaota masikio ya mbuzi. Hata kuonyeka hawezi kuonyeka. Huyo ni malayatu. Pole sana kaka

  • @haimasophia
    @haimasophia 7 місяців тому +7

    kaka pole sana Allah akufanyie wepesi lkn ni unamtihn sio mdogo

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 5 місяців тому

    Mungu amsaidie huyu kaka apate mwanamke anaejielewa, pole sana kaka una malezi na akili timamu ila mkeo ana shida ya akili

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 7 місяців тому +7

    Wewe dada jiangalia. Ama una ukando ukando?

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 6 місяців тому +1

    Huyu binti ni mkorofi huyu kijana hatomuweza anahofia
    Marafiki kuliko mume... kajinga kweli haka kadada

  • @hakeemjr8881
    @hakeemjr8881 7 місяців тому +15

    Mwanamke hampendi huyo jamaa ila jamaa ndio amezimika kinona haambiwi kitu hapo😅😅

    • @Baddie-p3b
      @Baddie-p3b 6 місяців тому

      😂😂😂😂 si uongo

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 7 місяців тому

    Kwenye miti hakuna wajenzi
    Aendee tuu utapata mwenza mwenye Heshima anae jua thamani ya mume na Ndoa

  • @DorathEdward
    @DorathEdward 7 місяців тому +4

    Huy mwanamke ni mpumbavu t kweli mwanamke huvunja ndoa Kwa mikono yako mwenyew hat mshipa wa aibu huna, duuh puuuh nimekuzarau hata Kwa kurumagia hufai.

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 7 місяців тому

    Hii dunia nayo cjui inaelekea wapi jaman sasa mambo ya ndoa nayo niyakupeleka Kwa wandishi wahabar jaman🙌🙌🙌🙌aiseee mm naona uyo dada ana anavojibu jeur yupo sawa2 atakama n mm nimekosea ndo unipeleke Kwa wandishi wahabar😂😂😂😂😂aiseee

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 7 місяців тому +39

    Huyu msichana hana ubongo ana matope haaaaa 😮😮

  • @calvin6445
    @calvin6445 7 місяців тому

    Kaka yupo sawa sanaaa anampenda mke wake pamoja na kwamba anayo madhaifu ..ongea nae taratibu atabadilika tuu mwanamke kiumbe dhaifu

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 7 місяців тому +5

    Dada " Msikilize mumeo ".

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 7 місяців тому +1

    Ahaaa Eheee heee.Mke wa chura tena 😂😂😂😂

  • @ZaiduZaidu-f1j
    @ZaiduZaidu-f1j 7 місяців тому +4

    Huyu Dada Aombewe na Apigwe Nyunguu

  • @WaziriJuma-m2p
    @WaziriJuma-m2p 7 місяців тому +1

    😂😂😂 chura mzuri sana 😂😂😂 kazi unayo kaka

  • @AbbasMosi-g4s
    @AbbasMosi-g4s 7 місяців тому +7

    "Mbele ntaacha" jee ukifa na hiyo hali??

  • @SIKUDHANISHIRINITZ
    @SIKUDHANISHIRINITZ 7 місяців тому +1

    Duh! Huyu mwanamke nimtihani kwakweli dada usiangalie leo2 iyangalie nakesho yakopia.😢

  • @ZulekhaAbdallah-e1r
    @ZulekhaAbdallah-e1r 7 місяців тому +14

    Mpe mimba za mfululizo hadi azeeke kabla hajafika miaka 30😂😂😂ataacha vigodoro

  • @VicentGilbertHajiHaji
    @VicentGilbertHajiHaji 7 місяців тому

    Aisee huyo sio mke hata mke gani hajui maana ya heshima kwa mume wake yani anaongea anajiamini mh kuowa niwachie kwanza 2000 imenishida kam d 2 unazo Usha nielewa like ap

  • @MussaTabora
    @MussaTabora 7 місяців тому +5

    Hiii ndo Kaz ya kuowa watt wa 2000

  • @richardmwaijulu999
    @richardmwaijulu999 6 місяців тому

    Pole sana brother sisi wanaume tunapitia mengi sana