😅😅 huyu alimuweza salehe ajaulizwa kitu kashaoneshwa 😂😂😂safi ila kajitahidi kimaisha pia ni msafi sana then anajikubali na kidogo kitu chake ana enjoy wala afake life❤❤
mashaAllah upo simple sana umetoka mbali Mngu mkubwa. Ila shoga angu Nguo chafu nunua Tunga lile la plastic lenye mashimo shimo, usunguo kuchanganya nguo safi na chafu.
Mzee wa ngenga 🙏🙏👏👏❤❤❤❤❤he's always so funny I like how he makes people laugh and happy with his words a.k.a michambo but always he's telling people the truth ❤❤❤❤❤
🤣😂🤣Huyu jamaa kibokoooo lakini 🤔🤔Wifi yetu nae mbona hatuona make cup zakeeee🤔🫣Toka kabatini Shostiiii na kwa kweli ni muigizaji mzuri na muimbaji mzuri Sauti nzuri namependa Hafake maisha 💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌.
Jamani naomba mnisaidie Natafuta taarabu aliimba Mzee wa ngenga inamistari hii "Kama ni uhuni walianza bibi na babu zako vipi la ajabu uloliona kwa wana wa wenzako" hiyo aliyoimba hapo INAITWAJE NAOMBA MNITAJIE WIMBO WA HIYO TAARABU
❤❤❤mzee ngenga safi sana nimepata elimu kutoka kwako👍👍👍👍👍
His true, his handsome, simple and himself....
I really enjoyed his simple life style❤❤❤
Mashaa allah napenda ❤❤❤❤❤vile unasoma Quran kaka mungu akupe kila lakher kuondoshee la shari 🙏
Kaimba vizuri Mzee wa ngenga masha'allah...mngu atuongoze ktk. Kheri hakuna mkamilifu📌🙏
MashaaAllah kitu ambamcho usikose ndani ni masihafu
Mzee wa ngenga mtunzi mzuri sana MashaAllah
Wallah umenifurahisha iyo nyimbo udugu wangu pambeeeee aswaaaaaaaaaa
Mtangazaji leo yupo likizo.kakutana na wall master. 😂😂😂😂.
Leo saleh kapatikana kakutana na mtu anaongea kama charahan Hajaulizwa kashajibu 😂😂😂 safi sana mzee wa ngenga
Ngenga ni msafi jmn anajipenda mashaallah na hafeki maisha
Leo salehe umepatikana🤣🤣🤣chezea mzee wa ngenga😂
MashaAllah tabarakallah, napenda sana unaendana na Mungu ❤ aisee nakukubali sana natamani nikutane nawewe Dini yako usiiyache endelea nayo..
Mzee Wa ngenga kachangamka kwel Yan mchachuuu😂😂😂🥰🙌
😅😅 huyu alimuweza salehe ajaulizwa kitu kashaoneshwa 😂😂😂safi ila kajitahidi kimaisha pia ni msafi sana then anajikubali na kidogo kitu chake ana enjoy wala afake life❤❤
Uko vzr mzee wa ngenga weye ni msafi asa waonekana kaka ang
mashaAllah upo simple sana umetoka mbali Mngu mkubwa. Ila shoga angu Nguo chafu nunua Tunga lile la plastic lenye mashimo shimo, usunguo kuchanganya nguo safi na chafu.
Kweli mtangazaji umedakwa hata hupati nafasi kwa mzee wa Ngenga.....utanyooshwa 😂
Since start watching your show Saleh today you made my day 😂😂😂
😂 hata au shetani wanqongozana
Mzee wa ngenga 🙏🙏👏👏❤❤❤❤❤he's always so funny I like how he makes people laugh and happy with his words a.k.a michambo but always he's telling people the truth ❤❤❤❤❤
Una nyumba kubwa usiweke nguo chafu chumbani weka kule kwenye chumba cha makorokoro kwenye tenga ushauri tu bimependa kwako kuzuri mashallah
Nimependa hio sehemu imetulia vizuri
Utaniweza wapi umalaya nimeanza zamani mwenzakoooo👌👌👌👌❤️❤️❤️❤️😀😀😀😀😀jmn hebu endelea kupiga
Hongera njoo kwetu burundi
Mashallah ❤🎉 Hassan Ally Allah akupe mwisho mwema
Mzee ngenga ni msafi mashallah
Mzee wa ngenga una bayaaa❤❤
ahahahahaha wachamba kinomaaa mzee wa Ngenga akeee😂😂😂
Uko vizuri mzee wa nenga
Hapo mondi umenikoxha kujipendekeza sio kwa huyo anaemiliki kope😂😂😂
Salehe kwisha hbr yako,maneno kushney huna lolote apeche alolo😂😂😂😂nakuchamba saleh Leo huna neno mzee wangenga ndokawa mtanfazaji 😂😂😂
Hassan ally umkute anaimba qaswida utalia mashallah mashallah❤❤❤
Uduguu,Asante Hassan love your songs penda sanaa,keep it up uko juu kaka.
Masha Allah tabaraq Allah mzee wangenga kusoma quran pia uko Sawa
Mzee wa ngenga umejuwa kumuweza bwana swarehe ,,umechangamka Sana Mzee wa ngenga ,,nimekupenda bure
😂😂😂😂😂 salehe leo kapatikana yeye ndio anahojiwa namzeee wa ngenga
😂😂😂😂
😂😂😂😂cheza na Mzee wa Ngenga nn😂
MashaAllah Asani Ally nakupenda mnoo❤❤❤❤
Kaka Hassan mcheshi na ongera umempokea kaka salehe vizuri sana
Anajua sana
Mashallah.😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤namupendauyukaka.anafanyamamboyake.ilaanamuku.mbukamungu..napendaanavyoongea😅😅😅😅😅😅
Kaka salehe mungu akuweke
Hahahaaa Mzee wa ngenga umenifurahisha
🤣😂🤣Huyu jamaa kibokoooo lakini 🤔🤔Wifi yetu nae mbona hatuona make cup zakeeee🤔🫣Toka kabatini Shostiiii na kwa kweli ni muigizaji mzuri na muimbaji mzuri Sauti nzuri namependa Hafake maisha 💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌.
Kijora chake anatudanganya 😂😂 ATI cha baby 😂😂😂
@@Mina.15 😂🤣😂🤣
Nimependa jikoni anapaelezea bila kuulizwa mambo yangu nimemuelewa mzee wa ngenga ❤😂
Leo upele umepata mkunaji😂😂😂
Leo saleh umepatikna hahhhhh
😅😅😅😅😅😅😅
Dah mi siwez det na mwanaume wa ivi yupo ujiuji subhanallah
Ongea yake anavyo tembea anavyo rusha mikono eee mungu nisitr na zana mbaya
Hata yeye hapendi mwanamke kama weye umekakamaa kama gogo la mnazi pia hakupendi. Ngoma drown
😅😅😅😅😅@@MwanaishaShattry
@@MwanaishaShattry umeniona kama nimekakamaa
@@MwanaishaShattry😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@MonaAlmona-c1nAchana nae hao c wanapenda kutetea ujinga
I love it. Feni naitaka😂😂😂
Saleh kapatikana leo
Mzee WA ngenga ni NOMA❤❤❤❤😂😂😂😂ANAJUA KUIMBA
Mashallah 🥰
Kaimba vizuri sana
Mzee ngeee mamboo bulbuliiii tenaaa❤
Wanaume wanazidi kuisha dar😢😢 Allah tunusuru ss na vizazi vyetu
Weeee hatuishi hata iweje wanapambana kutumaliza lakini haiwezekani kwa uwezo wa Mungu
Kwani wakike uyo
@@nassercurtis9579 good man leo nimepata jibu zuri co wote,na hamtoisha insha allah mmbakie mtabaki na wanawake wapate stara
Nice view, kama uko Spain vile kulivyo tengezwa nje
Ila huyu kaka huyu hawezi kuishi na mwanamke msafi sana
Kwanini😂😂😂
Waukae napenda maisha yako uko vzr san ❤❤❤
Follow you calling and you shall reach.
Find out who you are, very true❤❤
Muandishi wa habari amefanyiwa interview yeye😅😅
😅😅😅😅 kwakweli
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Jamani kanifurahisha Mzee wa ngenga yupo vizuri daaa jaman yupo vizuri ajarogwa😅😅
Halafu utasikia wanawake ni wengi duniani kuliko wanaume, sio kweli kabisa. Wote tupo sawa sema tu wanaume wengi sio riziki.🙃
Mzee wa ng'eng'a❤❤❤❤❤
Yaani sio mchezo masha Allah
Wasema ukwl broo
Mzee wa ngenga halafu ni kaka mzur anafanaba na kaka mmoja mwarabu mpemba wanafanana
Nakupenda haswaaa😅😅
Kwenye zoezi la tumbo hapo mwamba kajamba😂😂😂😂 nina wasiwasi na malinda km yapo yote😂😂😂😂😂😂
Aaaah nkweli kajamba tena mara mbili😅😅
Jamani nimecheka kwa nguvu 😂😂😂😂
Dah hiibdunia we acha tu
"Wigi linawasha" naupenda huu wimbo kufaa❤❤
Leo umekutanizaa nduguu mpka unaitwa dada😂😂😂
Mashallah Mashallah HASBUNALLAH ❤
Mashaallh❤
Tunasubiria kwao paula na kajala
Akome sio kazi rahis ataukimaliza kuangalia uhoi kucheka😂
Msipende kuhuku hamjui keshoyenu wala vizazi vyenu
Kaimba vizur mashallah
😂😂😂❤❤❤❤nimeipendaa🎉
Bado nipo Kwenye Zoezi La Tumbo Mbona Kama Nimesikia Pekeyangu Au 🤔 Nati Hazijakazaa!!! Twi Twi Mbili hzo kwemaa 😂😂 Keeper
Mluzi aloonaaa doto magari watu wa dizaini hii Huwa hawezi mchura Wala kata tumbo ni mwendo wa mlozi tuuu
Yn jmn 😢😢
Leo kazi ipo 😂😂😂😂❤❤❤
Safi sana mungu kwanza
Sijui nawaza nn Mungu anisamehe 😢😅😅😅😅
Nakupenda atali kaka
Jamani naomba mnisaidie
Natafuta taarabu aliimba Mzee wa ngenga inamistari hii "Kama ni uhuni walianza bibi na babu zako vipi la ajabu uloliona kwa wana wa wenzako" hiyo aliyoimba hapo INAITWAJE NAOMBA MNITAJIE WIMBO WA HIYO TAARABU
😂😂😂😂pole sele 😂😂 huyu ndio mzee wa ngenga aishiwi maneno
Yani salehe leo huna kazi m kaka kajieleza kamaliza yan ukitaka kuleta swali anakudaka😂😂😂😂
Sijalogwa sio shida zangu nshavuka 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa Ngenga
Yupo naishi vizuri jamani
Ha po kwenye kope❤
Kitugani sarehe unataka kukuwa uhwiii😅😅😅
Ana saut mpaka raha
Nipeni namba ya iyo boda boda
Mekupendaaa
Mashallah nimeipenda taa naitaka
Maashallah
😂😂😂Watu wajue nna boxer nyingi
Swalehe Leo umepatikana mtu anaongea kama cherehani ya umeme 😂😂😂😂😂
Kwakweli😂😂😂😂😂
Duh mzee wa ngenga unapakaa ct
Yaan anajchubua dah aiseee
Mupitie na kwangu wapenzi watazamaji❤❤
😂😂😂 mzee wa ngenga ❤
Mwafura mwenye uso mfupi hahahahaaaaa😅😅😂😂 penda wewweee
Mwanang Saleh baada ya kua star umeanza kuvaa heren😂
Salehe leo anataman iishe hii show
😂😂😂😂 leo saleh kapatikana
Swaleh mara hii umekwisha huulizi unajibiwa na ukiuliza pia wajibiwa maneno yote kwishinee
Mwafula mwenye uso mfupi Kama saa ya ukutani 😅😅😂😂aii nmecheka