Tunda Man & Spack X Asala - Maisha Safari (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Watch now Music Video "Maisha Safari" Collaboration By Tunda Man & Spack and Asala,The Music Video was shot in Dar es salaam Tanzania, Directed by Pablo and Audio Produced by Debee (Mixing and Mastering By Manecky).
Follow Asala on:
/ officialasala
/ asala.kipengele
Follow Tunda Man on:
/ tundamantz
#TundaMan #Spack #Asala
Dah!!! Hii ngoma Kali Kali Sana spack vs tunda camputen hawajawah kukosea kwenye ngoma nipen like jaman
Huu wimbo kiukweli umenigusa sana maisha ninayopitia ni sawa kinachoelezwa kwenye hii nyimbo ila kama nguvu ninazo sikati tamaa
Tulikosa hizi sauti kitambo spack tunda 🔥🔥🔥🔥🔥
Dahhh mamaee hii Ngoma nakubalii kinyamaaa Kam na wewe unanikubali like bss apo ata moja
Wajubha tulio rudia zaidi ya mara3 tuguse like 👍 kwaapo FYADE🎶
jaman tunda ajua kama unakubali like jaman namileo nifurah
Mamaake iyoo Ngoma imenifanyaa Nikaee kwakutulia Mwananguu Asala ,,Spark Tundaa asantee kwakumrudisha Spark
Daaah hawajamaaa sio poa....cjui wap walikwama
Nifikishieni salamu kwa spark nampendaaa😭😭😭😭❤️❤️
Mwana Hamis toa namba
Amekuskia subir jibu
Wawe ela kwene shutingi tu miziki ya kuimba wamekaa sikuizi aipo jamaa wanaweza sana
Poleni sana Tunda & Spack mmeimba kwa hisia sana
Msani wangu kupenzi✌️✌️✌️
mkono juuu kwa combination kali ..tunda tumemiss hii version ya track
nimeeiskizaa marambili ngomaaa imekaapoaaa baba
Habari samahan kwa usumbufu naomba support yako kwa ku-subscribe account, pia ukiwa mdau wa bongo fleva unaweza kuusikiza wimbo wangu ni mzuri sana naamini utaupenda ua-cam.com/video/warvygzMyt8/v-deo.html
Rudi kwenye game spack tumekumbuka kazi zako
Machozi yananitoka ukimsikiliza vzr spark duu haya maisha yanaumiza Sana kweli binadamu ndo tulimfundisha Simba kula nyama
Daaaaah inaumiza sana,walichoongea ni zaidi ya wimbo,ujumbe umefka
Nakubari pack
Jamani Hawa waimbaji wako wapi wenye maneno yakueleweka???
Kali sana jamaa🔥🔥
Nilimiss sana Muziki huu aiseeh hii ni kubwa sana kaka Zangu ngoma fulani inaweza kukutoa machozi
Nyimbo nzuri sana yenye ujumbe mzito kabisa
Tulikumis bro
Daaaaaa wamenikumbusha mbaliii sana
Tunda man noma sana
We really need such songs....I can feel it madze
Spark namkubali sanaa anajuwa anacho kifanya akiwa na wamanzesee
Nipo hapa kwa ajili ya spack 🔥🔥
Please please please tafadhal rudini na muendelee kupiga kaza spack& tunda kama anapenda spack na tunda wawe pamoja gonga like
Nazijuaaa shida zakoo spackiiiiiii Mimi mwenyeweeee mguuu nje mguu ndan,siunamkumbukaa abdu bonge wazaman chifu kiumbeee karudiiiiiiiiiiiiiiii mzki autakiiiii
Daaaaah Kwanzaa nimefrahi tena kuwaona pamoja safi sanaaaa kikbwa kpambanaaa
bado mko sawa kukosea sio kosa kosa kurudia kosa....bado bongo fleva mnayo nafasi....
Tunawataka tena mu gem Nyimbo nzuri utuntunzi mzuri na kuelimisha Jamii
Goma Kali sana!!!!!
Hatimaye spack karudi tena @
Wapi likes zao???????@
Dah! Mmejua kunitoa machozi wallah
Daaah hii ndiyo ngoma sasa. Nadhani ni muda muafaka wa hawa jamaa kurudi kuliteka soko la mziki
Dah kwel alie juu ndotumuombe binadam hawana jema❤❤❤
Nimefurah sana kumwona kwa nyingine spark ,like hata moja tu jamaniii
Daaaaaaah
Big hit here in kenya,,,wellcome back bro spak,,,tunda yu always kill may God bless yu
06787672229 check now
Vipaji bila kulazimisha ...... Diamond alikuja kuua sanaa
Dudubaya my brother, sauti yako ninaiona kwenye huu wimbo. Wewe ni mwanaharakati imara
Nimekumbuka mbali sanaa tena munavipaji jamaa mwaeza kurudi spack tunda mumetoka mbali
Sana, spack ft tundamani mnawezana
mambo
Nawakubali sana nimemiss san ladha hii
🙏 tunda man mola akuzidishie zaid yahapo ulipo fika 🙏🤝🔥🔥🔥
Maisha safari ndefuu
Jamaa tunda respect sanaa unajua kwenda na kiii za mziki yaan unaendana sanaa unatambua unacho fanya
bonge la nyimbo anae kubali like nione tupo wangapi tunao wakubali
Mnajua wazee.hii Ngoma mliua💯💯💯💯
Wazee wa kulialia wamekutana! Hatari sanaa
Nkwambia balaaa mpka nomaaa ndio mna huwa nmskiliza p mawenge au Nick mbishi mambo ya uzuni sitaki sikia
Aaaah mungu anakuona wewe
@@LeeUfudu hahahaa haha
Hhhh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kaz Kaz riziki bado ipo na mungu bado yupo
I don't think anyone can match Spack's tone in Tz. What a voice!
Waooooooooooooo kumbe bado ngoma zipo bola mulivo rudi tulikua hatusikilizi mziki bali makelele sasa mumerud inapendeza sana 🎤🎤🎤🎤
Daaah ongeza like bonge la ngoma
Hizi ndizinyimbo zakusikiliza hata mbeleya watoto inapendeza 🔥🔥🔥🔥
mambo
Wamekuta mafundi kwa mara nyingne tena asee Spack fundi ila sema tu now mziki pesa
Spack fund kinyama natunda tena
@@godfreymwita6148 jamaa nawakubari sana
Hongereni wanangu mmerudi tena kazin spack nakukubali sana usipotee tena bro kwenye gemu
Kama unakubal hawa jamaa wana sauti kushinda masha love wa kibao kata nipe like
😂😂😂
Sauti zao zinafanana sana kasanduku nipo kamanga chemagati
Daah. Vichwa hivi kwamda vilitutenga amahakika nivichwa.kaziiiii. sio tumeachiwa kunavigagula wanatutesa namziki wakihunitu
Congo Kinshasa napenda tanzania lakini swahile kidogo sana
Tunakupenda pia
Daaah tunda spack asala miaka 💯💯 💯💯 💯💯 💯 kwenu
Ntumie namba ya what's
Kweli wazee mziki ni kisasa ukizubaa umeixhaaa
Karibu tena Spack 🚶🚶🚶
Spack back gain mkali wa melodies,,,,, safiii mkikutana hamuhalibu,,,,,, ASALA USIWATUPE WASHIKE MKONO MSONGE MBELE
💘❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤penda sana tunda na spaki
Bonge la ngoma tunda& spark vipaji halisi fanyeni kazi tuko pamoja
I love this music, I wish Tunda, Madee and Spark would once again come together to give us more..... I remember them in Tip Top Connection.
Daaah saf saan tulimic saaan mziki wenu nice brothers
Tnao amin spark bado hajachuja tuache like zake hapa 😋😋😋😋😋😋
safi sana nimependa sana kuona hawa jamaa wameludi tena kuwa pamoja walikua wanafanya kazi nzuri sana na wameludi na sauti zao ziko vilevile
hatari
Asaaaaaanteeeeeeee yaaaan mmetiiishaaaaa
Nani amerudia kusikiza hii goma zaidi ya mara 6tujuwane kwa Like hapo chini nime misss nyumbani kwentu tz jemeni frmo use
Mkuuu hiii ni mara ya kumi bado nasikiliza
@@emmanuelbenson6330 Atari sana
Mimi
Mimi zaidi yamara Kami
Poa
Nakubali. Rudini tip top bado mnaweza fanya vizuri
Ngoma kali mno yani naludia mala mbili mbili mungu abarik music wenu
kaliiiii,imetisha zaid ya kutishaaa
Mmetisha ngoma tamu kinoma
Waaaaa haki umeenda haki tundaman kumrudishe spack
My guy *SPACK* is back again in the game....Welcome back my bro.
Nimeogopa sana haya maisha sio ya kulingia
spack game bado lakuhitaji, nafasi yako bado ipo kaka, come back strong
Aisee nimekubali uwezo ni uwezo tuu ngoma kali vipaji hatali tunda spak asala mmeutendea haki mziki ujumbe umejaa ngomaa kali saana
Spack na tunda. Love sana💕❤❤❤❤❤❤❤
Bado tunda unaweza tunakuitaji spark big up sana bro
Khalid mwanao huyo spack mmekuja sana mombasa home nikikumbuka pamoja daaah mmetoka mbali rudini kwenye game pamoja mtoke kimtindo wenu mnatisha wana
Tunda kuweni pamoja na spack wazanzibar tuna wakubali
Alieirudia zaidi ya mara mbili like
Namkumbukaaaaaa abdu bonge jamaaaaaaan pole sana tunda man hakika mkubwa bonge kaondoka na tip top organization yake
Tunda nakuelewa sana mshike mkono spack kajikwaa
Siwapingi wanangu sanah #Tunda_Man #Spark pamoja na #Asala mme uwa song iii
Welcome back spark like zenu
Wawoooo spack and tunda nawakubali Sanaa spack Yan mi ndio nilikua naumia Sana kutokuwepo kwako Yani nyinyi mukiwa pamoja nawapendaga kwanza munaweza nilikua nakukumbuka Sana du mungu yu pamoja nanyi musijali washabiki wenu bado tupo na tunawapenda Yani nipoisikia nyimbo du nimefurai mno na nimefurai kuwaona Tena mpo pamoja na ndio kitu nikichotaka mshabiki wenu .nipo lipot .bado inang'aa kwangu ndio Kama imetoka Jana na Sasa maisha safari mambo mi fire bado nasubili mambo mazur Tena kutoka kwenu da Sasa moyo wangu hautaumia Tena moyo tulia wapenzi wako wamerejea mungu azidi kuwapa wepes
You guys deserves more ,
Happy seeing you together again we are hoping for more !!!
Daaah mmeua aise , Kali kinoma
Spark in the game so plz like zenu jaman
Waoooo nimefurahi sana kwa kuwaona pamoja mungu nimwema
Habari samahan kwa usumbufu naomba support yako kwa ku-subscribe account, pia ukiwa ni mdau wa bongo fleva unaweza kuusikiza wimbo wangu ni mzuri sana ua-cam.com/video/warvygzMyt8/v-deo.html
Spark ndo nani tena?
@@lumierembilizi966 wewe mtoto wa magufuli MRUDISHIE MWENYE simu simu yake unaangalia na kukoment vilivyo nje ya UMRI wako HUMJUI spack afu UNAJIITA Shabiki wa MUSIC
vipi
Hii miziku tulishaanza kuisahsu ndio tunayo ipenda safi sana mumerudi spark daaah
Spack welcome back your collaboration always bears fruit but you need to be up to date with on going generation ili kuendana na mashabiki but i much more appreciate on you.
Duuu spark jamani inauma Sana ya watu sio mara niteja kumbe mzima kabisa kaza bro mungu anakuona
#spackisback gonga like kama ulimmisi ❣❣❣❣❣🇹🇿
Big up sana sana tu, mnanikumbusha tiptop
nawapenda sanaa mashaili yenu daa!pakinational
Iko safi ,karibuni tena tunawakubari sana msizingue ss
Halaf chukulia halo ingeingia vocal la madee,ingekuwa fire ile
Kweli hii wimbo kanigusa kwele....asala na tunda nmewashukuru kwakumleta spack back tenah.....spack nataka nikukutane
I had miss that voice of Tunda man and spack🔥🔥🔥
Hexhima kwenu wakubwa goma kalii saaan🔥🔥🔥🔥🇹🇿👏👏
Anae mkubali tunda mani tujuwane jmn like
Spak njoo kwenye gem kaka daaah uko vzr sana nilikuwa napenda Kuku ita wa kulialia uko vzr broo
Dogo Asala sijui Unaferi wap ww Aslay c jamaa ako mbona kimya sana ujioni unamerod kali sana
Asala nawe uko vizur apo ni mbele kwa mbele hakuna kuludia nyuma Tena nawapenda bureee mko vizuri Sanaa jamani tuongee ukweli ulio moyon kwa kumuogopa mungu jamani wanawezaaa
madee $ spark in the game!!!!!! like zenu jmn
Nakukumbuka vyema sana tunda big up ma bro