Mbosso Alipotembelea Kiwanda Cha Diamond Karanga

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 138

  • @sallygoldwawatu4372
    @sallygoldwawatu4372 6 років тому

    Mm nilikukubali kwanzia 2008...Wenye roho zao chafu wakule karanga na macho..Cmba ndio maanake naishi kukupenda bure....💃🙏👄❤#Cmba

  • @furahayamoyo9193
    @furahayamoyo9193 5 років тому

    Mbosso ako na energy nzuri ndiyo mana napenda akiwa presenter. Napiya songs zake powa sana.

  • @fababindawood5842
    @fababindawood5842 6 років тому +15

    Izi karanga cku nikisahau kununua bx wananangu wanagoma kwenda shule ha ha ha simba mungu anakuona.hongera xana.

  • @ahadiesube7919
    @ahadiesube7919 6 років тому +7

    Mbosso mwenye tabasamu

  • @silasomolo3095
    @silasomolo3095 6 років тому +5

    Vijana wapate ajira kupitia wasanii. # Diamond Karanga

  • @remanansubuga7106
    @remanansubuga7106 2 роки тому

    Wow👍👍👍❤

  • @wangeuye6015
    @wangeuye6015 6 років тому +25

    #Mofaya mnasema ya Alikiba naomba nionyesheni kiwanda chenu plz

    • @theonlydayonicedionis3294
      @theonlydayonicedionis3294 6 років тому +2

      wange uye Fuatilia mambo,simu unayo unataka nn mbona lishawekwa wazii,,hahaaa

    • @vascogomano8089
      @vascogomano8089 6 років тому +1

      wange uye 😂😂

    • @wangeuye6015
      @wangeuye6015 6 років тому +1

      Bado mashabiki wa bishi mimi najua #Mofaya ipo South Africa tangu 2014

    • @againstallodds8548
      @againstallodds8548 6 років тому

      wange uye nikweli usemayo lkn Alikiba ameingia hapo na yy kama business partner so naye anamiliki kiwanda hicho kwa sasa coz ana shares zake,tunakula karanga za diamond twateremsha na mofaya ya Alikiba hawa wote ni ndugu zetu lazma tuwasupport

    • @theonlydayonicedionis3294
      @theonlydayonicedionis3294 6 років тому

      ABCD 000007 Ndo maana nimemwambia simu anayo hafuatilii mambo anakulupukaa,,nafikr ameelewa

  • @fatihiaanwar8879
    @fatihiaanwar8879 6 років тому

    we mboso usile hizo karanga mana una hatari wazalisha wawili kwa mwezi mmoja hatari sana

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 років тому +5

    Iki kiswahili cha mfanyakazi wa kiwandani vipi.....?

  • @jeanmalilo6128
    @jeanmalilo6128 6 років тому +4

    Diamond Karanga

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 6 років тому +2

    mmmmh namm nangoja siku yangu ya kupewa ifike

  • @jessicamm3171
    @jessicamm3171 5 років тому +1

    Great

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому

    Mashallah, kila la khery Baba Dylan

  • @dianaclara1413
    @dianaclara1413 5 років тому

    Wow they look so sweet I wish to eat

  • @hassanissah7064
    @hassanissah7064 6 років тому

    msijipee sifaa mond yeye ni balozi uo uomladi ni wa clouds clouds media

  • @esposwit5213
    @esposwit5213 6 років тому +7

    ##karanga it moja tamu....mungu tu....##jamani onja.....

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael2501 6 років тому +1

    Nogewa jirambe peace and love

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 5 років тому

    Mimi nnaushauri mkiwa kiwandani funikeni vichwa vyenu. Maana nywele mbaya katika chakula

  • @qemueliemanueli5747
    @qemueliemanueli5747 6 років тому

    simbaaaaaaa big up brooooooo

  • @josephcharles6443
    @josephcharles6443 6 років тому

    Duu kwahiyo m nimekua wa mwixho kukoment

  • @5starsmoviecenter714
    @5starsmoviecenter714 6 років тому

    Mbosso nywele hamjaweka chochote

  • @jifunzetv5041
    @jifunzetv5041 6 років тому

    Congratulations diamond on your Business @Jinfunze TV 📺. This natural food

  • @zaynabaly7319
    @zaynabaly7319 5 років тому

    ngoja nikanunue kwanz saiv izo karanga nakujaaaa

  • @hassansalehe2383
    @hassansalehe2383 6 років тому +1

    Kuma wew kiwanda siyo chenu icho

    • @bonydimoso4781
      @bonydimoso4781 6 років тому

      hassan salehe punguzamatusi. ndugukiba. namondi. oteewadogozakotu. ivomsiwagombanishee

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 6 років тому

      hassan salehe mama yako ana nini mpaka utukane hivyo?????

  • @dullahkitabu8939
    @dullahkitabu8939 6 років тому +1

    Nawe mshikaji wangu mbosso unapenda kula Hahahahhaha duuu kila unachokiona unataka kula haaaa ndio maana ile siku ulipofika nangurukuru ukala ngisi mix samaki mwishowe ukawa unahalisha

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 років тому +3

    Hicho kiwanda kina wafanyakazi wangapi

  • @ezapesambili2902
    @ezapesambili2902 6 років тому +8

    Nime amin Cjui Diamond uwafanyie nn ili wakukuBali kwel kalanga zako kabisa

  • @perpsgiovanna1933
    @perpsgiovanna1933 6 років тому

    Jamani hizi karanga zauzwa wapi Nairobi? Zimenipendeza sana

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 років тому +1

    Sehemu inayotengenezwa chakula km hvo kiwandani nguo zenu mlovurugia nje huko wee mnaingia nazo.

  • @latifamtanda6312
    @latifamtanda6312 6 років тому

    Nice

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 6 років тому

    Natafuta job diamod nisaidie kwenye kiwanda chako pliz

  • @fatihiaanwar8879
    @fatihiaanwar8879 6 років тому

    nimechelewa kucomment lakini sikitu siku ni siku muhimu ujumbe ufike tu

  • @Wastara001
    @Wastara001 4 роки тому

    Mpiga picha arudi kujifunza. Wewe mboso wapewa maelezo au ni wewe utowae maelezo. Maana naona wajipendekeza kwa boss wako.

  • @ramacomedsaid1903
    @ramacomedsaid1903 6 років тому +3

    aminia

  • @rahmatumam357
    @rahmatumam357 6 років тому

    Mtabishana ooh diamond anaviwanda ooh kiba hna kitu at the end of the day they're moving forward ww unabaki kununua voucher daily kuingia u tube kuangalia mond kafanya nn kiba kafanya nn they even hv houses for their families maybe ww inabishana Huna hta kibanda cha kuku instead of kubishana take a step do something altleast even u anza kuuza karanga slowly by slowly and gradually u will find yourself unamiliki kiwanda kma him

    • @rahmatumam357
      @rahmatumam357 6 років тому

      Even mond alipoanza hakutegemea kma atafika pale alipo watu walimcheka buh Allah kamjalia instead of kubishana mitandaoni try to get what u want with what u hv anything even if is kuchonga vichago kuuza mihogo

  • @kingbarostz3420
    @kingbarostz3420 6 років тому

    Hi mbosso

  • @ChristianOzil
    @ChristianOzil 6 років тому

    1

  • @hamzaseifrwambo5657
    @hamzaseifrwambo5657 6 років тому

    Mwanzo mgumu mtafika tu ........hongereni sana

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba9813 6 років тому +1

    Ivi amna wa Tanzania wa kufanya kazi iyo had wageni

  • @Noname-gg6bx
    @Noname-gg6bx 6 років тому +3

    Mbona kama mazingira machafu hivi

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 6 років тому +1

    Waambie watumie disposable hair net kufunika nywele. Mutalisha watu nywele.

  • @gloryanney5801
    @gloryanney5801 6 років тому +1

    kazi Veep jmn

  • @elizabethpaul5551
    @elizabethpaul5551 6 років тому +1

    sili tena kalanga zenu kiwanda kichafu sana duuuuh

    • @jumashedafa5945
      @jumashedafa5945 5 років тому

      elizabeth paul wewe mwenyewe mchafu uktaka uamn jitie kidole alafu nusa

  • @AloisNashali
    @AloisNashali 6 років тому +1

    Tour guide mbona kama ngarenaro arifuu

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 6 років тому

    Anaejua hiki kiwanda kipo maeneo gan kwa Dar anjulishe

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 6 років тому +1

    yani star anaenda kiwandani na ist wakati kuna bmw x6 haina kazi yeyote ile halafu kaongozana na meneja wake ricardo momo , mnaishuxha brand

  • @sylviaogolla4335
    @sylviaogolla4335 6 років тому

    Twende kiwanda cha juice ya Mofaya ya kiba mwelekezi kwenye kiwanda hicho sikosei huenda Ni Hamorapa

  • @khalifajuma5569
    @khalifajuma5569 6 років тому

    heee!! hongera diamond kwa kumiliki kiwanda kikubwa hivi... na umeajili sijui mkongo uyoooo.... hongera sana.

  • @Millidady
    @Millidady 6 років тому +1

    mbn local san

  • @Swahiliplay
    @Swahiliplay 6 років тому +4

    first comment first viewer

  • @ShosiRashford10
    @ShosiRashford10 6 років тому

    Nogewa jirambe🔥🔥🔥💯

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 6 років тому +1

    ninacho kijua mimi Kiwanda cha Diamond karanga ni cha mr Hassan mlebanoni miliki wa chipssi Snaks Zile chama na Kiwanda kinaitwa Smart Indastrt kipo mwenge Diamond Plutonium ni balozi Sio mmiliki Wa Kiwanda cha Smart Na kuusu Ally na kiwanda cha mo faya kipo South na video za kiwanda you tobe zipo na mimi ninazo ally akiwa kiwanda
    fala uwezi Elewa

  • @hayatmohammed388
    @hayatmohammed388 6 років тому +2

    Mboso umetia kampuni asara mana umetembea ukila karanga umo ndani😅

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 років тому +1

    Nogewa jirambe😋😋😋😋👍

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 років тому +1

    mbona hamvai kofia nawakati mwatengeneza chakula,manywele sasa kwenye karanga

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 6 років тому

    Safiii diamond platinum

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele5589 6 років тому +4

    Hicho Kiwanda ni cha huyo mzungu alievaa koti jeupe diamond hatoe wapi pesa ya kuanzisha Hicho Kiwanda? Diamond ni jina tu kwenye hiyo product Kiwanda kina wenyewe

    • @inocentmwalongo5320
      @inocentmwalongo5320 6 років тому

      christmas machele wefala umekariri sokilamzunga mmiriki w kiwanda

    • @matesokamonga8101
      @matesokamonga8101 6 років тому

      Kwan hicho kiwanda kinaizidi tv mbona Cha kawaida Kwa simba

    • @dianaclara1413
      @dianaclara1413 5 років тому

      The way you are talking to me its like you are jealous

    • @mzungualex3373
      @mzungualex3373 5 років тому

      Illiteracy no doubt

  • @beatricemassawe601
    @beatricemassawe601 6 років тому

    Mofayàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwanda gan kichafu kama mmiliki

  • @mdl6463
    @mdl6463 6 років тому +2

    samahani lakini pachafu sana !!!!!

  • @godsonshoot7438
    @godsonshoot7438 6 років тому +1

    Tucheki kuwa wa kwanza kutazama videoMOVIES zote Mpya za Bongo!!!!

  • @sisihaogroup1538
    @sisihaogroup1538 6 років тому

    mbona viroba vya azam

  • @godgreyfwila6872
    @godgreyfwila6872 6 років тому

    usipokubali mafanikio ya mwenzako lazima utapata taabu xana nakukubali xana simba endelea kufanya yako ili wenye akili utupe hasira kufikia ulipo na pengine zaid. lkn wenye vijiroho mhh

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 років тому +1

    Sasa mmevaa gloves, mask, mbona hamjakava nywele zenu?

  • @hassansalehe2383
    @hassansalehe2383 6 років тому +1

    Kalanga zenyewe ngumu kama jiwe kuma nyie wcb wote

    • @dianaclara1413
      @dianaclara1413 5 років тому +1

      Listen for your words before you bring out control your mouth

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 років тому

    Hata mie fan wa Mond ila nimekula karanga zake sio tamu, sijui Ni zangu tu packet nliouziwa au?wengine mnasemaje kwa utamu na ubora kama mmezila? Nimeisha kula better than hizo aina nyingine

  • @moedavie1165
    @moedavie1165 6 років тому +3

    wouyooooo wakwanza kucomment mimi

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 6 років тому +13

    Dah! huu mradi wote ni wa SIMBA!!?? hakika aliyepewa hapokonyeki

    • @juoanjuo
      @juoanjuo 6 років тому

      Masen Kaitaba jina tu ndilo la Diamond.

    • @hassanissah7064
      @hassanissah7064 6 років тому

      kiwandaa ni cha clouds media yeye yeye mond ni baloz 2

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 років тому

      Hassan Issah una akili za ucku umasikini wako usiwe kikwazo kwenye maendeleo ya watu 😎

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 років тому

      Joan Gatwiri umeambiwa na nani?

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 6 років тому

      Hassan Issah kama mofaya sio

  • @cleophacedarstan6524
    @cleophacedarstan6524 6 років тому +3

    M b O s S o_

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 6 років тому +5

    Daah sasa ukienda kiwanda cha condom Utafanyaje Kama Umezoea kuonja mofaya

  • @nasbakari1849
    @nasbakari1849 6 років тому +1

    Mod ni balozi tu

  • @rashidwasarashid8358
    @rashidwasarashid8358 6 років тому

    karanga na zikubari sana

  • @alvynewilliams9376
    @alvynewilliams9376 6 років тому +1

    Pwahahahaha acha nicheke

  • @kizugecomedianholysmile595
    @kizugecomedianholysmile595 6 років тому

    safi Sana

  • @ashuramamaashuraaachekuvaa7798
    @ashuramamaashuraaachekuvaa7798 6 років тому

    kwaiyo hii kampuni ukoapi?

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 6 років тому

    lazima akauke hahahahaha

  • @samueltumaini3396
    @samueltumaini3396 6 років тому

    Kiwanda chenu ni kali

  • @yohanalapei3992
    @yohanalapei3992 6 років тому +1

    Fisi mkle uozo

  • @Aaa-nh7gw
    @Aaa-nh7gw 6 років тому +1

    Usinzipimieee kwautam

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 6 років тому

    wenye wivu wajinyonge

  • @yonathanyona2926
    @yonathanyona2926 6 років тому +10

    baada ya kuona alikiba- anaonyesha kiwanda chake wameamua kuonyesha chao🐹🐹🐹🐹wamedadavua wakamchukua mbosso ili tusiwagundue kiurahisi@msema kweli

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 6 років тому +2

      Elisa Shekusa sasa point yako ni ipi????? Kiba ndo kaanza au kamkuta Mondi kwenye uanzilishi wa viwanda

    • @stevenlyando1801
      @stevenlyando1801 6 років тому +1

      acha hizo kwani mondi hajawahi kutembelea hiki kiwanda????we wawapi?????

    • @kagileman5798
      @kagileman5798 6 років тому +1

      Elisa Shekusa Acha ushabik wa Kijinga Kile kiwanda cha kiba Wakat kiwanda kipo South africa Na hawakusema Km cha kiba ilioneshwa Ilipotengenezwa Tena wamesema Co yake na ile Kampun Ishatengeza Vtu ving tu Kiba ni Baroz Unakataa ukweli unaokuuma Unakubal Uwongo ili ufulai 😂😂😂😂

    • @godfreychristopher4733
      @godfreychristopher4733 6 років тому

      Kwel aisee,walikuwa wap wasionyesbe icho kiwanda?

    • @yonathanyona2926
      @yonathanyona2926 6 років тому

      oky lkn hatukuwahi ona kiwanda cha mond hadi baloz wa mofaya (ka unavyosema ) aanze kuonyesha kazi yake huo ni utoto mjipange ma brooo pesa minazo ila ndo basy 2 mnapenda upimzani sana

  • @mapendoshantale8969
    @mapendoshantale8969 6 років тому +1

    ??

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 років тому +1

    Upate mofaya plus mondi karanga..utamu mtupu

  • @daviddaud3624
    @daviddaud3624 6 років тому

    poa mkaki

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 6 років тому

    nogewa ujirambe kumamae

  • @clementarts131
    @clementarts131 6 років тому

    Nomanoma

  • @jsggroup3702
    @jsggroup3702 6 років тому

    Aka kamchina kanalipwa na mondi da nkma sana

  • @omondiomondi1903
    @omondiomondi1903 6 років тому

    Nogewa jirambe

  • @youngmadibajr.2481
    @youngmadibajr.2481 6 років тому +1

    Mofaya

  • @chikidahboy9969
    @chikidahboy9969 6 років тому +1

    Mumuzidi na masifa sana mume anza kuni chosha

    • @chiefkaitaba.m.9466
      @chiefkaitaba.m.9466 6 років тому +2

      chikidah boy umaskini wako isiwe sababu ya kutuletea shombo sie

    • @chikidahboy9969
      @chikidahboy9969 6 років тому

      Masen Kaitaba kaka mimi sina umasikini ila na sema kweli mimi na pends ngoma zao but ubishow ume zidi kama hela niko na hela mimi sio kama wale wakutegemeya watu

    • @abdallahsaidaowamekosanaki9601
      @abdallahsaidaowamekosanaki9601 6 років тому

      chikidah boy Kwan ww nani hasa hadi una sema ivyo

    • @munashabanimunashabani9976
      @munashabanimunashabani9976 6 років тому

      chikidah boy unatumwa utizame

    • @emmanuelmanga25
      @emmanuelmanga25 6 років тому

      Unavyoonekana km shoga hivi, halafu nilishawahi kukuona pale Sinza makaburini j'mos moja usiku ukiwa umejipodoa.

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 років тому +3

    Sombaaa

  • @athanastheonest6728
    @athanastheonest6728 6 років тому

    Chibu karanga usisahau kusubscribe account yangu

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 років тому

    Uyo jamaa ni mkongo au simuerewi

  • @mapendoshantale8969
    @mapendoshantale8969 6 років тому +1

    ??