Na pakome wakati anatoa pass ya kwanza yule aliyeipokea hakuwa off side, lkn wakati pakome anaipokea tena alikuwa ashaingia offside, hebu tizama labda mmi ndo sioni vizur
No offside, Yanga denied two clear goals. VAR would help in such situations. Overall very entertaining match and kudos to our Tanzanians brothers for a well organized event. Love from Nairobi ❤
Waamuzi wa mpira wa Tanzania ndivyo walivyo kwa mechi hiyo yanga ilikuwa na magoli mengi.Refer kaibeba simba sana.Kuhusu ubora timu zote ziko vizr ila maarifa watazidiana uwanjani.
The goals that were disallowed by the referee were due to offside infractions. The referee has made a fair decision in this regard, despite potentially being incorrect in some instances, congrats YOUNG FC
Refa kazingua ngua pale kweny penalty tu ya simba kwa yanga gori la pacome dube alikuwa offside na azizi alizidi mkono, kwa penalty ya zizi ki beki alikosa mpira pia alimkosa Aziz aliruka alitua vibaya kaanguka . Refa alibalance tu mchezo🎉🎉
Kuna marefa wanalazimisha tim furani kushinda hawajui wanauwa soka letu mtu akifungwa afungwe ajifunze awe na maswali ya kujiuliza kwann nilifungwa na cyo kumbeba mtu kila cku kulia na marefa tu na hawajifunzi hata akifungiwa anajua atafunguliwa tu.
Filimbi ya mwamuz ilimfanya beki wa simba asizuie mpira uliopgwa na aziz ki ambao ni offside ila alikua na uwezo wa kuuokoa na lisiwe goli, hapa pia wachezaji wajifunze moments kama hizi okoa kwanza hata kama filimbi imelia kuashilia mtu ameotea au faulo maana kama kungekua na VAR hili lingehesabiwa kua ni goli
Wachezaji wasimb walikuwa wanacheza kwapresh sana ukichangia na kelele zamashabiki wao ndokabisa wanachanganyikiwa ata wakipata mpira hawatulii lakin hawakujua yanga izo presha wamezizoea
Wachezaji was simba kinachowaponzaga n pressure za mashabiki plus wanasahau walichofundshwa wakafanye muda wao 80% wanatumia kuwazuia yanga 😅 sikuona mechi ila kwa video hzi tutawapiga nyingi tuu msimu unaoanza 😅
Yanga ni DUBWANA KUBWA SANA saivi.
Yaani kufa lazime tu ufe ila kuna kila aina ya vifo.. #YANGA
Kwa kweli hata kama hatujui sheria za mpira lakini hakuna offside za namna hiyo 😢😢😢
Siyo off side maana amechukua mpira miguuni pa mlinzi wa simba miguuni
Bila refa kuwa na ujinga ujinga goal zilikuwa ni nne kabisa 💚🙌🇹🇿🇹🇿
Yanga's big fun's✊
Just like here👍
Pacome mchezaji hatar sana
Sema lefa kaizingua sana asitair kuchezesha mech zalig kuu afai ata kidogo
Ongera saana Yanga 🔰💚💛
Nimependa touch za maauzi ya haraka wachezaji wote big up niongezeeni umakini nawaona mbali kimataifa tukiendelea na mwendo huu.
Hawa waamuzi Jamani kwanini tusiwe tunachukua marefa nje ya nchi maana huku ni kuchoshana yanga bingwa
JAMANI HIVI HIZI NI OFFSIDE GANI JAMANI AU MM NDO NAONA VBAYA AU SIJUI MPIRA DUH! HAYA BWANA TUTA KUTANA TENA KWENYE LIGI NA UYO REFA WENU MAKOLO
Amna offside refa na linesman ni makolo awajataka. Kuona timu yao inapigwa 4
Refa alibeti
Hebu tizama katika clip hii ilipo fika 10:13 na tizama mkono wa azizi k na mpira ulikotoka, utagundua kuna kiungo kilikuwa offside
Na pakome wakati anatoa pass ya kwanza yule aliyeipokea hakuwa off side, lkn wakati pakome anaipokea tena alikuwa ashaingia offside, hebu tizama labda mmi ndo sioni vizur
@@Lakalhamdu KWA SHERIA ZA FIFA. MKONO AUESABIKI KAMA OFFSIDE KWA SABABU MTU AWEZI KUFUNGA KWA KUTUMIA MKONO TAFUTA GOOGLE UTAONA
Yan naangalia marudio mpk roho inaniuma Hawa waamuz sio kabisa!💛💚Daima mbeleeeeeeee
Kama umesikia mpenja akisema yanga ni mabingwa ngao ya jamii tujuane😂😂🤣🤣
🤣🤣
Simba wanajifia Tu lkn wasimsahau refa amewaokoa Sana kiukweli walikuwa wapigwe 5
Yanga team nzuri,Simba tunahitaji kujijenga sana ili kuweza kuwashinda
kolo amebebwa kosa refa Eheeeeee Tungeziona Zileeeeeeee❤
Mungu ibariki yanga yetu ❤😂🎉
Amina
I love you yanga
Hongera sana wachezaji wetu💚🖤💛✅
Hivi simba bado mnajisifia kwa kutofungwa 8 mlizidiwa zengeli ni hatari younger Africa should win Africa Cup championship
Simba❤
No offside, Yanga denied two clear goals. VAR would help in such situations. Overall very entertaining match and kudos to our Tanzanians brothers for a well organized event. Love from Nairobi ❤
Ebu tafsiri sasa😂😂
You tripping, if that wasn't offside, guess what, you know nothing about football - Young FC fan 💯
Yanga
Ila kuna sehemu max alilazimisha kufunga ambapo alitakiwa kutoa pasi jamani wachezaji tusiwe wabinafsi sometime youote akifunga ni ushindi wa wote
Nimeipenda iyo uyo jamaha anataka afunge yeye tu
Max sio kila sehemu uforce kufunga kuna sehemu ilitakiwa atoe pasi ye akaforce
Mungu ni mwema sana
Tunakushukuru
Heshima kwenu wapiga picha wote💚💚
💛💛💛💛
Allaah Akbar
Hatali sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉gemu ilikuwa ngumu sana
Kazi Iendelee. Mapambano bado
Yanga nakubali sana😅😅😅😮🎉
❤❤❤❤❤❤
Haya, twambieni na leo nani kauza mechi!!?, Tena mshukuru refarii ni wenu!😂
😂😂😂😂
Mwijaku😅😅😅
1❤
kitu yanga tu ❤❤❤ jamanii yangu ni rahaaa sn
Pacome fundi jamani dah!
💚💚
😂😂😂 SIMBA WAMSHUKURU SANA REFA
Ngoma hatari❤🎉🎉🎉
😀😀na refa katunyima ma 3
🔥🔥🔥💛💛💛💚💚💚🔰
10:42 Nilichokgundua marefalii hawakutaka simba wafungwe goli nying
Mimi nimeona jengo tu la Simba 😂😂😂
Waamuzi wa mpira wa Tanzania ndivyo walivyo kwa mechi hiyo yanga ilikuwa na magoli mengi.Refer kaibeba simba sana.Kuhusu ubora timu zote ziko vizr ila maarifa watazidiana uwanjani.
Naona refa amewahurumia sana ubwera
Ali sasii ni beki mzuri WA Simba anajua kukaba kapunguza magoli
Kapombe hakuonekana kama alikuwa offside, lakini Aziz Ki alikuwa offside
Hawa marefa sijui wanasomea wapi!
Maelekezo toka tff.. simba/toto pendwa alitakiwa ashinde ila habebeki
Huyu #Pacome doh..... Mtu na nusu
Hii inaitwa shirikisho piteni kule wa kimataifa tukutane fainali 😢😊
Yanga kanyimwa penalty ya Dube na Aziz Ki na goal zilizotafsiriwa ni offside
Ni busara uongozi wetu wa YANGA should register solid protest about poor referring that unjustly denied more goals to the death battalion.
Ooooh waooo😅😅
Kuna siku tutaamua, tutakua na utaratibu wa kwenda kusalimia majumbani kwao marefa kama hawa baada ya mechi kuwakumbusha kitu kuhusu sheria za mpira.
Naona Refa kaamua kuwapunguzieni Aibu ya Magoli lengo tuwafunge chache Mimi binafsi nahesabu mmekula chuma4 timu Bovu Ubaya Ubwege
hamna lolote nyie utopolo mnapenda sana mteremko
Tuliosikia Yanga ni mabingwa wa Ngao ya jamii tulike hapa😊😅😅😅
Mpenja alivurugwa baada ya timu yake kula chuma😂😂
Yaani leo mdomo shwaaaaa hongera timu yangu tunainjoi tuuu 😂😂😂😂makolo mnalia 😂
Haikuwa offside
Ferdinand nataka nikuambie Yanga imeshindikana hiii usivuje jasho lako bure
Mwamuzi hafai
The goals that were disallowed by the referee were due to offside infractions. The referee has made a fair decision in this regard, despite potentially being incorrect in some instances, congrats YOUNG FC
Kwa upuuzi huu wa refa VAR ije tu
Dube angeacha ujinga wa kushangilia afu kuachia mpira tungefunga mapema sana.
et wakula bomba
Ila dube ule mpira angeusindikiza angewe za funga sema alikua kajiamnisha
Refa kazingua ngua pale kweny penalty tu ya simba kwa yanga gori la pacome dube alikuwa offside na azizi alizidi mkono, kwa penalty ya zizi ki beki alikosa mpira pia alimkosa Aziz aliruka alitua vibaya kaanguka . Refa alibalance tu mchezo🎉🎉
Makolo yameteswaa😅
Yani yanga wamedhurumiwa hapa
Boka hatali medei
Sema hizi nguruwe tumezikosa saaana wallah
Waamuzi wa hovyo kabisa .Huyu muamuzi na wenzake wajitafakari kabisa wa hovyo sana MTAIBEBA SIMBA HADI LINI
Kweli yanga ni dubwasha kubwa.
🎉
TUNAOMBA EXTENDED HIGHLIGHTS PLEASE MAANA VITU VINGINE HAVIPO
Hawa Simba wamshukuru Refa wangefungwa matano
Si offside bali ni uzalindo wa refa
Maamuzi ya nani acheze anaya kocha wezetu walioendelea kimpila wanafanya mabadiliko hadi dakika ya tisini
Kuna marefa wanalazimisha tim furani kushinda hawajui wanauwa soka letu mtu akifungwa afungwe ajifunze awe na maswali ya kujiuliza kwann nilifungwa na cyo kumbeba mtu kila cku kulia na marefa tu na hawajifunzi hata akifungiwa anajua atafunguliwa tu.
Nyie MAKOLO mkarabati jengo lenu linatia aibu, halifanani
Filimbi ya mwamuz ilimfanya beki wa simba asizuie mpira uliopgwa na aziz ki ambao ni offside ila alikua na uwezo wa kuuokoa na lisiwe goli, hapa pia wachezaji wajifunze moments kama hizi okoa kwanza hata kama filimbi imelia kuashilia mtu ameotea au faulo maana kama kungekua na VAR hili lingehesabiwa kua ni goli
Huyu referee alikua na mpango Simba ishinde
Ila hawa marefa walikua na maelekezo aisee haiwezekani waweke offside za bila mashiko
Jeshi 🔰
Wachezaji wasimb walikuwa wanacheza kwapresh sana ukichangia na kelele zamashabiki wao ndokabisa wanachanganyikiwa ata wakipata mpira hawatulii lakin hawakujua yanga izo presha wamezizoea
Wachezaji was simba kinachowaponzaga n pressure za mashabiki plus wanasahau walichofundshwa wakafanye muda wao 80% wanatumia kuwazuia yanga 😅 sikuona mechi ila kwa video hzi tutawapiga nyingi tuu msimu unaoanza 😅
Ukitaka ujue angslia hii ya kampombe na fananisha Ile ya azik k mpaka kufunga goli kama pana utofauti🎉
Hakuna offside hapo basi refa kaamua kuwabeba
Nani kaona dakika ya 37 kipa wa simba kadakia ndani
Hamsemei penati aliyo nyimwa Simba
Sasa penalt na magoli mawili yepi yanauzito?
Yanga nao walinyimwa penalties 2 na magoli 2
Simba wamebebwa adi wamebemendwa
Ubaya ubwelaaa
Huyu reffa hajui kuchezesh mpla
Huyu mwamuzi hafai hata kwenye mashinfano ya kujamba,mjinga mno
Kapombe ameuza mechi
Refa na washika vibendera wake walikula rushwa
Huyu refa asituchezeshe tena
Ma refa walikataa magoli yetu mawili bila sababu kabisa
Refa msenge tuu
Offside za heri sasi hizo
Makolo wamecheza mpira wa maagizo rkn tumewafunga
simba haina ishuu imechokaa sn