EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAZA UWANJA SIO SABABU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 бер 2024
  • EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAWAZA UWANJA SIO SABABU"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 122

  • @officialmapesa3618
    @officialmapesa3618 4 місяці тому +12

    Nani amegundua kuwa daimand amekopi uongeaji wa salam sk, gonga like twende sawa

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 4 місяці тому +16

    Nimependa kusikia kwamba bado mpo pamoja! Kazi iendelee!

  • @user-nh9hh3vq7d
    @user-nh9hh3vq7d 4 місяці тому +9

    Moyo wangu kwa duia ni diamond 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👊

  • @OHANGYAAMISI
    @OHANGYAAMISI Місяць тому +1

    Diamond to the world 🌎🌎🌎🌎

  • @user-nr7zq2rr1r
    @user-nr7zq2rr1r 4 місяці тому +7

    Mziki wetu African mashariki bado tunasubiri,sana ju tunagawanika sisi wenyewe ndio West Africa wanatuburuza Kila pahali SI mziki SI mpira,ata afcon finally ilikua afro beat, Nigeria vs ivory coast wote ni west Africa

  • @MudyNyau
    @MudyNyau 4 місяці тому +25

    ASIEKUELEWA MENDEZI NI MJINGA AKILI HANA❤❤❤

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf 4 місяці тому +18

    Nimekuelewa sana menezi

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr 4 місяці тому +5

    🔥🔥🔥🔥💯💯💯👑👑

  • @user-oe5eg9ji4h
    @user-oe5eg9ji4h 4 місяці тому +10

    Oya mungu akupe upendo unaichi nawatu vizuri bila wewe pengine wcb tisingue mbali

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 4 місяці тому +10

    Maswali ya BABALEVO yameshiba sana
    Na SALAAM YUKO SAWA

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally 4 місяці тому +7

    Aisee

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 4 місяці тому +5

    Bongo Flava bila Mendez no Music No Business

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 4 місяці тому +2

    Ohooh ohooh yauyau #

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 4 місяці тому +1

    Nakubali mendez

  • @HusinaKarama-ti9jm
    @HusinaKarama-ti9jm 4 місяці тому +8

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @prosperabison1368
    @prosperabison1368 4 місяці тому +1

    🔥🔥🔥

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 4 місяці тому +5

    💪💪🇹🇿🦁

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 4 місяці тому +47

    We kama meneja wa msanii mkubwa diamond platnumz tuambie wasafi festival kwa nini haikufanyika kwa mkoa wa dar

    • @cleveronlinemedia820
      @cleveronlinemedia820 4 місяці тому +7

      Na wew km ni mashabiki mkubwa wa diamond utuambie Kwann wasafi festival haikuja mkoa wa shinyanga 😂

    • @ZINDUKAMUISILAMU30
      @ZINDUKAMUISILAMU30 4 місяці тому

      ​@@cleveronlinemedia820😅😅😅

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 4 місяці тому

      ​@@cleveronlinemedia820Ukiona paka anauliz hvy ujuh nishabik wa wasafi na yupo dar kwhy anataka jibu Kwa uongozi Sasa cjuh ww nishangaz wa mond au vp maan umejibu kama mtu usi kuwa na akili timamu

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 4 місяці тому +1

      Kwani dar ndiyo festival region? Acha ujinga

    • @misanamohamedi8438
      @misanamohamedi8438 4 місяці тому +1

      kwa dar ndo kitu gan,mbona mikoa mingi tu haijafanyika

  • @EzekielChija
    @EzekielChija 4 місяці тому +7

    Saut azipo sawa

  • @ruu6592
    @ruu6592 4 місяці тому +5

    Bora umwambie kujaza sio kufanya vizuri kumbwa jinga ilo

  • @Wil_thug
    @Wil_thug 4 місяці тому +6

    Sk salamu nilisema wewe ni Suge knight wa bongo soko la muziki unali hold sana

  • @nehemia397
    @nehemia397 4 місяці тому +3

    dah jamaa anaongea sana

  • @omariselemani6578
    @omariselemani6578 4 місяці тому +4

    Anayekubali huyu jamaa kipara ni mnafki
    Like hapa

  • @muduboy726
    @muduboy726 4 місяці тому +2

    Tv ya familia

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 місяці тому +5

    Uyu jamaa namkubaligi Sana salam Yan..ichi nikichwa Sana Yan..anamadini sana

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 4 місяці тому +1

    Kaka mkubwa

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 місяці тому +4

    Kijibaba levo kimedhalilishwa bila kujua maskini ... Ati akiitwa show ya milioni 5 anafanya. 😅

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 4 місяці тому +6

    Mnalisha sana watanzania matango pori yupi wakupewa dolla 50 sukari au selemani

  • @nicksonmwaringa144
    @nicksonmwaringa144 4 місяці тому +4

    Sallam Sk , vp album kubwa ya Simba na O2arena ni lini mzee baba maana wanaijeria wanatukandamiza sana

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 4 місяці тому

      Propaganda za mziki tu, Diamond hana kitu

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 4 місяці тому +1

      Tunajivunia Diamond huku sisi.
      Wanaigeria ni wengi sana huku nayo ni sababu kubwa ina wa push.

    • @cleveronlinemedia820
      @cleveronlinemedia820 4 місяці тому +1

      ​@@SilaMinandahufatilii muziki wew propaganda mtu anachukua matuzo makubwa anakutana na mastaar weng wa nje nyimbo zake wanajirekodi mastar wakubwa wa muziki mpira na wengine hivi unamdanganya nan sasa😂😂

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 4 місяці тому

      @@cleveronlinemedia820 Taja hapa kajirikodi star gani mkubwa wimbo wake?

    • @jocktanchristopherokinyi
      @jocktanchristopherokinyi 4 місяці тому

      ​@@SilaMinandaVictor Osimhen pamoja na Jesse Lingard wamekua wakijirekodi wakicheza wimbo wa Diamond na Chley unaitwa "Shu"

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e 4 місяці тому +2

    Puakatoka mbio kaenda kupokea simu ya asma nini😂😂

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 4 місяці тому +1

    Blaa blaa blaa uongo mwingiiii

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 4 місяці тому +7

    Diamond aki hamia Marekani ndio mwisho wa mziki wake hakuna anae poteza muda kumsikiliza huku labda wa Kongo, na wakenya

    • @Nalitumpaboy-dm4tk
      @Nalitumpaboy-dm4tk 4 місяці тому +1

      Kuna wa bongo,zambia africa nzima wapo kule we jichetue eti kongo na keny

    • @john_1trader
      @john_1trader 4 місяці тому +1

      Nyie watz hamjivunii kuwepo diamondi taifa lenyu i wish angekuwa mkenya

    • @Amanivicent-lp4sk
      @Amanivicent-lp4sk 4 місяці тому

      Aamie marekani kwan Tz hawezi kuishii acha pigo za ajabu ww

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 4 місяці тому +3

      Kama weweee humsikilizi wako wanaomsikiliza na ndo maana hapa TZ hana mpinzani ?
      Na kama humfuatlilii kwenye social media hii umefuata nini mpaka uka comment ?
      HOVYOOOO !

    • @chapombe_mlafi
      @chapombe_mlafi Місяць тому

      umeishiwa point

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 місяці тому +4

    mendez mgojwa

  • @tinejuxfrancis729
    @tinejuxfrancis729 4 місяці тому +3

    Ila baba levo alivyo chomoka hapoo

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 4 місяці тому +1

    uhakika

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene 4 місяці тому

    Kinywaji milioni 40 acheni kuzinguwa

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally 4 місяці тому +3

    Analipwa Dola laki mbili Kwa shoo

    • @masiradavid
      @masiradavid 4 місяці тому

      Dollar elfu mbili kaka....sio laki mbili😅

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 4 місяці тому +3

    Wanakelele sana hawa mbwa kwanza hotel ipo wap ,ndege ipo wap 😂😂😂😂 ila wasaf

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 4 місяці тому +3

    Salam muongo Sana Arena ni muhimu kujaza diamond Hana uwezo huo

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 4 місяці тому +4

    Stories ndo hizo hizo kila siku population sio Kigezo mana kuna Wasanii wanatoka viji Nchi vidogo na wanajaza ma Arena kila kukicha

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 4 місяці тому

      Tuambie wasanii gani hao na kutoka viinchi gani ?!

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 4 місяці тому

      @@rereshap9416 Bob Marley anatoka Jamaican population yao ndogo, Shaggy, Sean pol Angelique Kidjo Benin na anashinda na Ndio Msanii anaeongoza kwa kuchukua Grammy nyingi Africa Marehemu Oliva Ntukuzi Zimbabwe alikua anajaza Ma Stadium’s Marekani Ulaya, Sonia Jorbat from Gambia kila siku anajaza ma Stadium’s Ulaya na Marekani na wote hao Population zao ndogo nje ya Nchi zao na music yao wanaimba Kilugha chao mana wataanza kusingizia Kingereza kuna Salf Keitta from Mali Faotmata Diwara Mali tena Salfu Keita na Youss Ndoor from Senegal ndo ma legendary from African washajaza Show zao Duniani kote na wanaimba kwa Lugha zao, Tukubali tu kama Mziki wa Bomgo bado na sio kutafuta Sababu zisokua na Mashiko kila siku

    • @cleveronlinemedia820
      @cleveronlinemedia820 4 місяці тому +1

      Hlf kuna wasanii wakubwa tu wa huko nje na wanafanya vizur wana struggle kuijaza 02 arena

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 4 місяці тому

      @@rereshap9416 Sonia Jorbat Gambia, Fortunata Diwara Mali Alipha Blonde Cote waimbaji wakubwa wa Jamaica karibia wote Angelique Kidjo Benin hao wote hawana population’s kubwa Nchi zao wanaoishi Ulaya hau Marekani na wanazaja Ma Stadium’s Ulaya na American, kama Angelique Kidjo ndo Msanii anaeongoza kwa kutoka Africa mwenye Grammy nyingi kama Population Mettar basi Burnboy kishafanya Show Ireland Arena watu Elfu 22 na Wazungu watupu walijaa mana Nchi yao wabaguzi Burnboy huyo huyo kishajaza Greece arena watu Elfu 18 na wote Wazungu hakuna Wanaijeria hapo imefika time tukubali tu Tanzania or EastAfrica Music wao bado kabisa

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 4 місяці тому +2

    Sio kweli ni uongo, inabidi kwenye show yake ili hela hiyo irudi inabidi waingie kwenye show wafu elfu kumi, bado hela ya promota hapo hajapata faida, acheni uongo bsna

  • @user-ht7ik5wy8h
    @user-ht7ik5wy8h 4 місяці тому +1

    Unachekesha sana we mpumbavu...Diamond ana nyumba hapa dar karibia 35 kama haujui. Kuna wakati kaa kimya kama hujui vitu mzee. Au anakuchanganya sababu amepanga pale anapoishi mpumbavu wew

  • @user-ve1xm7gn9y
    @user-ve1xm7gn9y 4 місяці тому +1

    Sallam Sk kama Yuda alivyomusaliti Jesus... Sallam Sk amemusaliti Diamond kwa Harmonize State House...⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿

  • @JustinMkanje
    @JustinMkanje 4 місяці тому

    Siyo hazi yake hadhi yake b 20

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 4 місяці тому

    Huyu jamaa ni mnyamweZi kinyama

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 місяці тому

    Mijitu ya tanzania baadhi uwa inaroppkaga tu haijui ht biashara ya mziki

  • @user-lp5bj3vi3w
    @user-lp5bj3vi3w 4 місяці тому +4

    Mendez kili kubwa

  • @user-nx2vj4wd2x
    @user-nx2vj4wd2x 4 місяці тому

    Uwo unafki salam sk utakufya na humongous wako...

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf 4 місяці тому

    Huo niuongo😂😂😂😂😂

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f 4 місяці тому +1

    Nyie iv wasafi festival imeishia wap jamn??

    • @zuli.comedy.
      @zuli.comedy. 4 місяці тому

      Viwanja haviruhus watu kufny show

  • @Thomas-g8f
    @Thomas-g8f 16 днів тому

    pale mwanjelwa mbeya tz tunasikilizana kwauzur

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 4 місяці тому

    200 apo Mie nimeshu nimefka safali njema ndg zangu

  • @nicksonmusa3457
    @nicksonmusa3457 4 місяці тому

    Diamond kazungukwa na watu wenye akilii kama sallam sk

  • @Mouffassa
    @Mouffassa 3 місяці тому

    Punguzeni makelele ongeeni kwa formula fanyeni noise reduction , Kuna mda mnaongea kwa pamoja mnakera

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf 4 місяці тому

    Arena ipi amewahi kujaza wewe para unauongo😂😂😂

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 4 місяці тому +3

    Inategemea anafanya wapi hiyo show kwa Zanzibar hajawai kulipwa ata mIlion 50

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 4 місяці тому +1

      Una uhakika?

    • @alexmalyango1405
      @alexmalyango1405 4 місяці тому +1

      Ushawahi muandalia show wewe kirandage?

    • @hudhaimarajab9103
      @hudhaimarajab9103 4 місяці тому

      Kwa Zanzibar m255 😂 ni unafiki wakowapi ao watu tiket elfu 10 😂 halaf ifike m255 😂 maan izo shoo za Zanzibar watu elfu 3 hawafiki 😂 apo hajapata muandaaji wa shoo watu wa promotio 😂 mameneja wa msanii et m255 😂 makutu ya mbuzi

    • @suleimanhamza9014
      @suleimanhamza9014 4 місяці тому +1

      Unakaza fuvu akili kisoda😂 watu hawategemei get collection wanaangalia wadhamini ndy wanaotoa pesa kwa ajil ya kubrand bidhaa zao.

    • @yasnshaban9827
      @yasnshaban9827 4 місяці тому

      ​@@suleimanhamza9014akili kubwa

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 4 місяці тому

    Kuhusu arena unatudanganya

  • @user-yu3mf6em1v
    @user-yu3mf6em1v 4 місяці тому +2

    Yaan mondi na meneja wake wanaongea lafudhi moja

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx 4 місяці тому

    Diamond hana mvuto tena anabidi atafute mbinu mpya na mtazamo mingine, na hiyo idadi ya pesa anayotaja huyo jamaa anadanganya huyu jamaa😮

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 4 місяці тому +1

      Yn 😂 yn kuna wt hamuna akili sn hn mvuto wa nn ss mwenzako kashajiwek vizur n kuek pes kubw ya shoo ili pte muda wkupumzika ss ww kichaa ndo unroppk tu

  • @user-bt9sm4lh8p
    @user-bt9sm4lh8p 4 місяці тому

    Acheni kick

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 4 місяці тому +1

    Rema miaka 4 😂 saiv shoo yke b 1

    • @maulidjuma8208
      @maulidjuma8208 4 місяці тому

      Koo m250 ni ndogo kwako ok hongera

    • @ernestcharles4288
      @ernestcharles4288 4 місяці тому

      Sasa uyo ni rema mbona kiba na konde hata 100M hawapati 😂😂😂 mondi kajitahidi sana

  • @omariselemani6578
    @omariselemani6578 4 місяці тому

    Acheni ujinga nyie
    Eti dogo nasibu aje kuishi usa so mnafiki usa ni kama tandale, haana uwezo wakuishi huku huyo

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o 4 місяці тому +2

    Nyumba yenyewe hana alipwe mia 250 pumbavuu kabisaa kiki za kisenge hizoo

    • @user-kg6km2gz2h
      @user-kg6km2gz2h 4 місяці тому +1

      Wewe unayo mbwa wewe

    • @cleveronlinemedia820
      @cleveronlinemedia820 4 місяці тому +2

      Ko na hiyo unakataa tena kwamba alipwi M250 mbn na page kubwa Huwa zinatoa orpdha za wasanii na yeye yumo wanaolipwa hela nyingi kwenye show au ndo umeisikia Leo hapa

    • @JohnValle-xn1dx
      @JohnValle-xn1dx 4 місяці тому

      Haijui milioni 255 huyu jamaa

    • @josephmorris8194
      @josephmorris8194 4 місяці тому

      Wabongo wavivu wa kutafuta information ila wanachoweza ni kubisha na kuponda vyao ila angetajwa msanii wa nje akuna hata mmoja angepinga

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 4 місяці тому

      Atakua ameskia Leo hyu au simu n ya mkopo ilkua imefungwa zlipotolew ordha 😂​@@cleveronlinemedia820

  • @user-lr7fj3xc4s
    @user-lr7fj3xc4s 4 місяці тому +1

    Mondi ni mondi

  • @deogratiousmerchiory5935
    @deogratiousmerchiory5935 4 місяці тому +2

    Tumewachoka bhanange same story nothing new 🚮🚮

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 4 місяці тому

    Watanzania wajinga tu achaneni nao ninyi fanyeni kazi yenu

  • @helenahiro1402
    @helenahiro1402 4 місяці тому

    YOU ARE NOT A TRUSTED PERSOM SALLAM.YOU HAVE ONCE CROOKED ME, YOU AND UOUR TEAM ARE USELESS, WOTE WEZI, REMMEBER PRODUCTION YA MBOSO .
    SOONER OR LATER PESAZANGU MTA LIPA, WEZI NA WAONGO SANA

  • @RodrigueHabarugira-zj7uq
    @RodrigueHabarugira-zj7uq 4 місяці тому +1

    Ivi naile amefanya Zinziba kalipwa 😂