UTAPENDA MANENO YA MCH HANANJA MBELE YA CHID BENZ, NITAMPA AJIRA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 69

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 9 місяців тому +10

    Huyu Baba anaishi na watu vzur xna....Ata watu wa mitaani na wasanii pia anawajua pia...mungu akupe nguvu na uzima bro.

  • @mussakiuzio-wq2jm
    @mussakiuzio-wq2jm 9 місяців тому +6

    Nampenda xan mchungaji mcheshi sana muda wote anaongea point

  • @Touchovtrav
    @Touchovtrav 9 місяців тому +5

    Oya we mzee ni genius

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 9 місяців тому +4

    Dada uwa napenda sana vipindi vyako Mungu azid kukupa maalifa tuko pamoja

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 місяців тому +8

    Mimi ni muislam na napenda sana mchungaji kama huyu anajuwa uhalisiya.

  • @Touchovtrav
    @Touchovtrav 9 місяців тому +2

    This guy is a real keeper 💯 MCH HANANJA 👏

  • @user-fb9lu1fx6k
    @user-fb9lu1fx6k 9 місяців тому +4

    Mch unasemaga ukweli Sana Mungu akubaliki Sana. Pia huyo mtangazaji anajuwa Sana anapenda anacho kifanya sema huwa hajitabulishi anaitwa nani

  • @covenMbaga
    @covenMbaga 9 місяців тому +7

    Huyu mchungaji aishi sanaa kwakeli😅😅😅
    Kuna maisha ya dini na maisha ya mtaani 😂😂

  • @user-gg2yf3zl3l
    @user-gg2yf3zl3l 9 місяців тому +7

    MZEE HUNA MBAMBAMBA YAAN ❤❤❤

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 9 місяців тому +3

    Hongeraa mchungaji unaongea point sana endelea kusaidia watu.

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 8 місяців тому +1

    Mimi nimeweza kutoka mara moja bila sobber na bila Methadon, mwenyezi Mungu ndie aliyenitoa

    • @yassinuddi
      @yassinuddi 8 місяців тому +1

      Umetumia kwa muda gani?

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 8 місяців тому +1

      @@yassinuddi nimevuta kama miaka 8 hivi

    • @yassinuddi
      @yassinuddi 8 місяців тому

      @@ivanminja7954 ni jambo la kumshukuru Mungu, maake wengi naona inakuwa ngumu kutoka mpaka umauti unawafika

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 9 місяців тому +3

    Muziki wa Chidi unauzwa mitandaoni, Chidi hapati pesa yoyote ,Nani huyo anaechukua pesa zake???? Kwa Nini hamlizungumzii swala hili,pengine ndiolinamchanganya Chidi.

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 9 місяців тому +4

    Mchungaji Hananja ana Hekima na Busara pia Hana ubaguzi wa Kidini

  • @wasokyeyangya7757
    @wasokyeyangya7757 9 місяців тому +6

    Mzee anajua sana

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 8 місяців тому +1

    Mama samia hawaoni hawa watu ? Au anataka watu wenye taaluma ya uwalimu kuwaweka kwenye taaluma ya afya

  • @user-bz2hi8xs6z
    @user-bz2hi8xs6z 9 місяців тому +3

    anastahili kitu kikubwa sana kwnye hii nchi uyu mzee

  • @EzekielMsigwa
    @EzekielMsigwa 9 місяців тому +3

    Ivi nifanyaje nikitaka namba ya mchungaji ndugu muandishi

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 9 місяців тому +3

    😂😂😂eti konki kaenda kuombewa kwamwaposa😅🤣😂ananja kiboko aisee

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 9 місяців тому +1

    We mzee nafuatilia sana mafundisho yako

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 9 місяців тому +4

    Mtangazaji ni mrembo sana ila matunzo tu dah

  • @Mr.Ben.RaphaelLazaro-wj7fh
    @Mr.Ben.RaphaelLazaro-wj7fh 9 місяців тому +20

    Mzee embu tuelekeze kanisan kwako ni wap tuwe tunakuja kupata maarifa ya dini na dunia ya sasa coz vyote unavijua

    • @stiangabrirl
      @stiangabrirl 9 місяців тому +3

      Kweli kabisa Mzee anaafya Bora sana yakili

    • @azizirania63
      @azizirania63 9 місяців тому +1

      Amestaafu lkn ni mchugaji huru mwaweza kumualika makanisa munayo enda na hakaja

  • @emmanuelchacha6718
    @emmanuelchacha6718 9 місяців тому +6

    Huyu mzee zamani alikua Bondia mzuri sana.Boxer mzuri mnoo.

  • @SlsProductionTz
    @SlsProductionTz 8 місяців тому +1

    Safi Sana faza

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 9 місяців тому +2

    Karibu katika uislamu .mchungaji. natamani uwe muislam.itapendeza

  • @user-lr5lt3ny5i
    @user-lr5lt3ny5i 9 місяців тому +1

    dah ad raha sn kunawatu tunao wana mungu wana uwelewa mkubwa yan dah kubali sn

  • @simiyugidson2411
    @simiyugidson2411 9 місяців тому

    Kilichonifikisha hapa ni pale ulisema " imeandikwa, usinitishe si imeandikwa" natamani TZ from Kenya

  • @mlawayusuph8842
    @mlawayusuph8842 9 місяців тому +1

    Hahaha mchungaji Ananja nakukubali sana

  • @joelkihogo9312
    @joelkihogo9312 9 місяців тому

    Yuko vzr mchungaji ....nakufatilia sana

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 9 місяців тому +3

    🤣😂eti sholo mwamba namkubali sana uyu mzee nimjanja au nimegundua labda alikuwa msela

    • @hafidhimarijani4961
      @hafidhimarijani4961 9 місяців тому +1

      Sio labda, Mzee alikuwa msela sana hakuna msela kama huyoo

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 9 місяців тому +1

      Baharia huyu

    • @johnmalisa9373
      @johnmalisa9373 9 місяців тому

      Baharia huyo

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 9 місяців тому

      Sio labda alikuwa msela na bado ni msela mwenye busara na hekima

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 місяців тому +1

      Mzee Yuko real anachokwambia sio kaambiwa ndivyo kilivyo habahatishi, ana experience kubwa sana na maisha ya mtaani. Mungu amlinde sana

  • @binsimba6473
    @binsimba6473 9 місяців тому

    Mzee smart sana huyu.

  • @Dogochao
    @Dogochao 8 місяців тому

    Anamjua paja moody bize. Kanal kweli. Huyu anamjua. Chidy sana

  • @GladyMussa-mh6vf
    @GladyMussa-mh6vf 9 місяців тому

    Baba nataka nije nipate maarifa nakupenda sana

  • @JOHNMARWA-pb5wy
    @JOHNMARWA-pb5wy 9 місяців тому +2

    Mzee kabisa lako wap

  • @user-ec1ey1lx6i
    @user-ec1ey1lx6i 8 місяців тому

    Ukweli unauma

  • @ericrsong4778
    @ericrsong4778 9 місяців тому

    Ihefu oyeeeeee🎉

  • @AdelineMassamu
    @AdelineMassamu 9 місяців тому

    Ubarikiwee babaaa

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 8 місяців тому

    Huyu mZee kuna nafasi anastahili serikalini, sijui mama hamuoni au

  • @bestcodetz5726
    @bestcodetz5726 9 місяців тому

    hananja hachujiiii... wkina mwamposa wanakuja wanasepa akina antony lusekelo byebye huyu ni geneous

  • @johnmalisa9373
    @johnmalisa9373 9 місяців тому

    Huna baya pastor muddy bize nilikua namuona pale boma nikitoka tuition mchikichini

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x 9 місяців тому

    Hili sasa ndo jungu kuu ambalo halikosi ukoko sasa, Lina madini mpaka basi.

  • @Hassanhamisi-sw4be
    @Hassanhamisi-sw4be 9 місяців тому

    Fanani ni muumini wa HBC Mzee ananja

  • @swissvany55
    @swissvany55 9 місяців тому

    Ww dada huwa NI pisiii sanaaaa...napenda sanaaa madem Kama ww

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 9 місяців тому

    SIJAWAHI KUACHA INTERVIEW YA HUYU MZEE

  • @user-kk9jn8dp9m
    @user-kk9jn8dp9m 9 місяців тому

    Huyu mchungaji kaniacha hoi kuhusu maandiko hatr

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 місяців тому +1

    Hembu nipeni namba za huyo mchungaji na pia mtangazaji please

    • @rajabushedafa6397
      @rajabushedafa6397 9 місяців тому

      Mmh lengo lako n namba ya huyu mdada tumekustukia 😅

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 9 місяців тому

      @@rajabushedafa6397 ndo tatizo Medulla yako ilivyo kutuma hivyo poles sana mola akusameh dogo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 місяців тому

      ​@@rajabushedafa6397anataka kuleta ujogoo keshauza maharage yake anatafuta wakumchuna

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv 9 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 місяців тому

    Mtangazaji bado kabisa maswali yako umeandika kwenye simu 😂😂 bado kbs

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 8 місяців тому

      Kamsaidie wewe tukuone utakacho kifanya, Hakuna kiumbe kilicho zaliwa kikajuwa kwa wakati mmoja Kila kitu ni kujifunza na kupata uzoefu!

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 9 місяців тому

    Mchungaji Hananja anamjua Modie bize😂

  • @neponova8988
    @neponova8988 9 місяців тому +1

    You interviewers are so negative every time you talk of Chid ni madawa who said jamaa ni teja bado..muacheni mtu apate nafu ya akil…na kuna namna mingi za kumuongelea bila kumuhusisha na madawa..mnamuharibia tu hamsaidii kitu

  • @MagrethElibaliki
    @MagrethElibaliki 9 місяців тому

    ❤❤❤❤