IGP ashindwa kujizuia APIGA SIMU, tatu nzito za RPC Shinyanga zitakutoa machozi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 755

  • @josephinmwanibanza6001
    @josephinmwanibanza6001 6 місяців тому +15

    Mh: Paul Makonda kazi yako ni nzuri binafsi kwanamna unavyosikiliza shida za wananchi na kuzitatua najikuta machozi yananitoka. Amini kwamba MUNGU amekuamini na amekuchagua kupitia Mh: Raisi Samia. Tunakuombea huyo MUNGU akuongoze, akulinde na akukinge na mabaya yote Amina

  • @omarymgovano7209
    @omarymgovano7209 7 місяців тому +18

    Kwakweli mama Rais wetu samia kitendo cha kumpa nafasi mheshimiwa makonda, binafsi nakupongeza sana yan kama ingekua timu ya mpira ningesema umefanya super sub, hongera sana mama yetu mungu akulinde na uendelee kutuongoza mhula ujao InshaaAllah

    • @abrahmanmussa1384
      @abrahmanmussa1384 7 місяців тому

      Mungu akulinde Makonda kazi ipo baada jpm kufariki kunamadudu yaajabu nduguyangu pita kijiji kwa kijiji tena si kwasiku moja japo ukae siku mbili mbili kwa faida ya wanakijiji

    • @user-jd8zh7zs2h
      @user-jd8zh7zs2h 7 місяців тому

      Pole mwenezi kazi yako ngumu Sana mungu akutunze

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 місяці тому

      Wakiona anafanya vizuri ananyendo Kama zamagufuri watamtowa

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 7 місяців тому +20

    Asante Sana Makonda Kwa Kukiumbua Chama Chako Kwa Maovu Serikali Yao Isivyowatendea Haki Wananchi.

    • @ramsonramadhan4156
      @ramsonramadhan4156 7 місяців тому

      Dah umetumia Akili ndogo sana kusema ayo ila Rpc ni binadamu pengine wala sio ccm..ila kila watu wana roho zao Mm sikuwa namkubali san Makonda ila sasa naanza kumuelewa kumbe kuna madudu mengi yanajificha kwa vyeo ila huyu kaka anafanya vitu vyengine vinaelekea

    • @usafiaps318
      @usafiaps318 7 місяців тому +2

      @@ramsonramadhan4156 Bro Rudia Kusoma Na Kuelewa Kilicho Andikwa!!!!

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 7 місяців тому

      ​@@ramsonramadhan4156makonda anakiumbua chama chake kwamba hakisimamii haki za wananchi kimeshindwa kutoa haki za watu

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 7 місяців тому +11

    Mashallah magufur mtetezi wa wanyonge sasa kapatikana mwenyez mungu akubariki baba😭

  • @user-jb2vp8rt7z
    @user-jb2vp8rt7z 7 місяців тому +13

    Mungu akulinde mimi nakufahamu toka ulipokua Mkuu wa Mkoa wa Dar

  • @graceannah8452
    @graceannah8452 7 місяців тому +14

    Mwenyezi Mungu akulinde makonda kaka yangu

  • @EliufooElias-qy7iw
    @EliufooElias-qy7iw 7 місяців тому +26

    Hii Kazi aliyo ianzisha Makonda ni nzito sana😢

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 6 місяців тому +2

      Ndio maana inabd aongezewe ulinzi

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 3 місяці тому

      Ninzuri coz wanyonge wanaonyabyasika wanapata haki yake

    • @KidawaRashid26
      @KidawaRashid26 Місяць тому

      Makonda njoo nahuku daar utusaidie angalia coment zetu

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 7 місяців тому +17

    Makonda makonda makondaaaa mungu akubarikiii tusaidie kaka

  • @user-mt3jc6no5w
    @user-mt3jc6no5w 5 місяців тому +5

    Nimeota makoda kawa Rais wa Tanzania ❤

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 місяців тому +18

    MAGUFULIIIIIIIIIIIIIIIEEEEEEEEEEEE, HUKO ULIKOLALA BABA SIMAMA.

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 7 місяців тому +16

    R. I. P Magufuli wetu tunakukumbuka sana baba yetu 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

    • @aminaabdalla9949
      @aminaabdalla9949 7 місяців тому

      naonakm nimemuona tena magufuli makonda hongerayake

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe8389 7 місяців тому +1

    Dah Mungu akulinde Mweshimiwa Makonda. Rais Samia Asante sana kwa kumleta makonda

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 Місяць тому +2

    HAO makamanda mbn wanaangusha jesh wasukumwe ndanii tuuuu mashaka matupuuu daaah safii makondaa

  • @boazmaobe7245
    @boazmaobe7245 7 місяців тому +3

    Big up makonda mungu akulipe mara dufu

  • @novatht8377
    @novatht8377 7 місяців тому +22

    Kweli watanzania Bora tuwe na vita kuliko kusema tuna amani watanzania tunashida nyingi sana na manyanyaso mengi sana mpaka nimetoa chozi😢

    • @saadyusuph6554
      @saadyusuph6554 7 місяців тому +1

      Inauma Sana kwa jeshi letu

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 7 місяців тому

      Ukosahihi

    • @allymohamed6265
      @allymohamed6265 7 місяців тому +4

      We vita unaijua au unaisikia ? Acha huo upuuzi. We la kuomba ni watu kujitahid kutenda haki na kuacha manyannyaso kwa haki za raia

    • @novatht8377
      @novatht8377 7 місяців тому

      @@allymohamed6265 wewe ulishawahi kuiona au unafikilia watu wanavyoishi na kufanyiwa unyama w namna hiyo unahisi n furaha

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 7 місяців тому

      ​@@allymohamed6265huna kile unachokijua,, jambo lolote gumu hutatuliwa kwa damu👀👀

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 4 дні тому

    Ubarikiwe kwa hili kiongoz

  • @ilambonamahuba3485
    @ilambonamahuba3485 7 місяців тому +2

    Up up comrade Makonda wananchi wanachangamoto nyingi sana unafanya ibada unapokuwa unatatua shida za wananchi.

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 7 місяців тому +4

    Makonda Mungu akubariki na akulinde Sana.

  • @sulemanmndeme8961
    @sulemanmndeme8961 7 місяців тому +2

    Napenda CCM.
    Napenda pia viongozi km Makonda.
    Ila ktk ziara zake, kuwe na watu maalum wa kuchukua taarifa zikafanyiwe mchakato na hatua za dhinamu zichukuliwe juu yao.
    Tunanyanyasika sana.

  • @evodiuskalema2123
    @evodiuskalema2123 7 місяців тому +5

    Huyu mwamba tulilkosa, lkn mama tunakushukuru saaana kwa kumuibua Tena Huyu jamaa ❤❤❤❤

  • @YohanachristopherMkira
    @YohanachristopherMkira 6 місяців тому

    Rps pole kwa kashi kashi ila pambania wananchi hao ndio waliokuweka hapo japo nimeona unapambana mungu akubariki pia mr.paul makonda my br. Unafanya kazi kubwa sana

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 2 місяці тому +1

    "Ndugu yangu Mungu amekuleta naomba unitendee haki"
    Watu wanadhulumiwa sana na hawa wenzetu walioko kwenye mamlaka, Mungu iokoe Tanzania na Africa kwa ujumla dhidi ya wale wote uliowapa dhamana ya uongozi na kuitumia kwa kuwanyonya na kuwakandamiza wanyonge kwa maslahi yao binafsi

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 3 місяці тому +2

    Majambazi ndio viongozi na polilisi! Kuna usalama? Mungu aingilie kati kuiokoa nchi hii itoke mikonononi mwa ccm

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 7 місяців тому +10

    Kazi ya utawala ngumu sana has aAfrica ambapo hatujui kutawala ndiyo maana kila sehmu kirio utafikili hatuna wakuu wa mikoa, hatuna wakuu wa wilaya, hatuna ma RPC, wala Ma OCD maana wote wanakaa ofisini tu kusubili madili badala ya kushughulika na matatizo ya wananchi.

    • @richardsuluta3369
      @richardsuluta3369 7 місяців тому

      M

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 місяців тому +2

      Inasikitisha sana 😭😭😭, watu wanapoteaje kienyeji hivi??? Huyo rpc anadai hamjui seriously???? Hapo shinyanga kuna shida sana.
      Mpaka makonda aende ndo tuyasikie haya na hawa waandishi WA habari wamekalia uchawa Kwa CCM Tu, habari kama hizi Kwa nini hawazifuatilii??? So sad 😭

    • @jackplaymacheku3021
      @jackplaymacheku3021 7 місяців тому +1

      Kabisa brother yani hawajui wajibu wao inauma sana na utashangaa lingne mshahara ukicheleweshwa linalamika n wakat kazi halifanyi kama linavyozingatia mshahara n madili

  • @HAIKALYImO-u3k
    @HAIKALYImO-u3k 7 місяців тому +5

    Makonda mungu akubariki Sana...

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 7 місяців тому +5

    Duu wanyonge tunakalia moto. Ila kuwateka watu kwasababu ya uwezo mlio não sio sawa. Mkistaafu mnajifanya wacha Mungu.

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa4163 7 місяців тому +1

    Mimi nakuita "Dume la madume" sikuiti makonda hakika wewe umeshushwa na mungu kama mtetezi wa watanzania wote, mungu akujalie maisha marefu na akulinde dhidi ya maadui.

  • @samwelimwashiuya7894
    @samwelimwashiuya7894 6 днів тому

    Mheshimiwa Kiukweli Mungu akulinde Sana kiongozi wa watu mzarendo wa taifa hili

  • @Msilu198
    @Msilu198 7 місяців тому +3

    Mh Mwenezi wa chama tawala nchi imeoza saidia watu wa Mungu

  • @doricedeluxe9486
    @doricedeluxe9486 7 місяців тому +3

    Hapo makonda namm leo nimekupenda 🎉

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 7 місяців тому +2

    Hakika makonda nakupongeza ila unakazi ngumu mno na hutaimaliza lakin kwa jitihada yako kwq wananchi inshaalla utapoishiya hatutakilaumu mungu akulinde kaka
    Yani aibu nchi imekuwa kqma haina watendaji huko mitaani hatari AGP wambura fika fika mitaanihuko usisubiri uadhirike kamanda

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 6 місяців тому

    Mungu akulinde sana Makonda kazi hii ni ngumu maana tumefikia pagumu sana inch hii viongozi wangi wamekua kichomi sana

  • @Nagelleislamictv
    @Nagelleislamictv Місяць тому

    Nampenda sana mheshimiwa John makonda Mungu akupee umri mrefu sijawai ona mtu kama wewe ana angalia raia yake

  • @user-hp2cr2mq9r
    @user-hp2cr2mq9r 7 місяців тому +3

    Hongera sana kiogozi

  • @TygerPixels
    @TygerPixels 7 місяців тому +13

    Ukiangalia na kusikiliza kwamakini unagundua kwamba CCM imefeli kabisa kuongoza hii nchi period.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 7 місяців тому +2

      Kwa mawazo yako unaona tuwape kina nani?
      Maana hao wengine bado mtihani kuachiya wenye kiti sasa fikiria uraisi itakuwa je?

    • @aloismwenda8975
      @aloismwenda8975 7 місяців тому +1

      Mjinga wew ccm imefelije

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 7 місяців тому

      Imefeli wapi sasa hakuna nchi isiyo na mashida ni kwa vipo matatizo yanafuatiliwa ndio issue

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 7 місяців тому +1

      Huyo RPC wa shinyanga afunguliwe mashtaka ni jambazi

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 7 місяців тому

      Nadhani umeona mbali sana,, tatizo ni mfumo,, kila kona ni vilio tuu wenye Hakhi hawana haki bali mafisadi ndo wenye nchi,, unadhani Makonda ataweza kumaliza vilio hivi????

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg 7 місяців тому

    Asante mama samia kwakuturudishia mtetezi huyu wa sisi wanyonge ni juhudizako mama ❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 місяців тому +2

    Makonda nakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 7 місяців тому +1

    Nasikiliza tu Ila watu Wana shida kubwa Sana cha kushangaza sasa bdo CCM inashinda Jaman yatubasa kupambania haki zetu tuandamane na tukubali kuitupilia mbali hii serikali

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 7 місяців тому +5

    POLEE MAKONDA MWANANGU!!NCHI HII IMEKWISHAAAAA

  • @user-qy4gb1kn4z
    @user-qy4gb1kn4z 7 місяців тому +4

    icp chukua hatua kwa mara Rpc wako angalia wananchi wa shinyanga wanavyolalamikie jeshi lako wanainchi wamekosa imani na jeshi la polisi

  • @emmanuelmanyama5078
    @emmanuelmanyama5078 7 місяців тому +4

    Saf sana dada nyangeta kwaujasili wako ulioonyesha mh makonda kutuwakilishia hili tukio la kijana wetu

  • @josephinmwanibanza6001
    @josephinmwanibanza6001 6 місяців тому

    Mheshimiwa Paul Makonda Mungu akuongoze na akulinde 🙌❤

  • @user-od6ro8oj4k
    @user-od6ro8oj4k 7 місяців тому

    Nakuombea Afya njema na kazi yako maana hapo mungu akulinde mdogo wangu

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 7 місяців тому +3

    Unajua kuna wapumbavu wanabeza ziara za huyu jamaa makonda kama hazina maana lakini daah ziara zahuyu jamaa zinawakumbusha sana wengi uwepo wa mzee wetu magufuri wewe piga kazi mzee ss kama wananchi tunaona hao wengine wapiga kelele hawatubabaishi kaka wasimamie wanyonge pia msaidie mama watu wanateseka kiongozi wasaidi wanyonge ni mungu peekee ndio atawalipa

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 7 місяців тому +3

    Makonda ulikua wap? Unaona watanzania wanavyo teseka hoongera sana mweshimiwa piga kazi muzazi tuna ona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @judithsimon7892
    @judithsimon7892 7 місяців тому +1

    Hii nchi kuna vitu vinaendelea huko mitaani vinaumiza sana dhuruma manyanyaso n.k inahitaji kiongozi jasiri sana kupambana na haya

  • @user-gm7cn8wn4q
    @user-gm7cn8wn4q 2 місяці тому

    Kaka anamheshimisha mama kiukweli mama hongera kuchagua makonda hapepesi macho yuko moto mungu akulinde maana wabaya ni wengi nyuma yako❤

  • @AbdulrahmaniRomani
    @AbdulrahmaniRomani Місяць тому

    Mh/makonda hongera sana M/mungu akuongoze

  • @bazilimikoma4
    @bazilimikoma4 7 місяців тому +7

    Ongeraaa Sana Baba makonda na pia pore Sana kwa Kazi ngumu hiyo.Sisi wananchi tuko pamoja naraisi wetu Mama Samia .Tunajua hamlali kwajili yakutatua kero zetu na kwaajili yakuleta maendereo kwenye Taifa letu.Mimi Kama kijana ambaye nimkulima Natoa pongezi za zati kwa raisi na viongozi wote wa serikali na Chama Cha mapenduzi.Tunaelewa yote mnayo yafanya kwajili ya Taifa Nazidi kuwaombea viongozi wangu kwa Mungu .

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 6 місяців тому

    Honestly Tanzania is a wonderful country. President Maghufuli had set a great precedence and I'm very happy to see Mama Samia continuing with the same legacy, and she gave it to the right person Mr Makonda. I'm sure Mr Makonda is the next future president in waiting

  • @christinamselle4490
    @christinamselle4490 13 днів тому

    Piga spana Mh. Makonda. CCM oyeeee 👍 Makonda oyeeee, oyeeee, oyeeee. MUNGU anawaona hawa polisi😭😭😭

  • @BabySecond
    @BabySecond 21 день тому

    Jaman wa Tanzania wanyonge tunamengi mazito tunakosa pakuyatolea tukipata fursa km hizi tunaongea kwa uchungu sn mungu aendelee kukututuea

  • @geraldmminza6494
    @geraldmminza6494 7 місяців тому +1

    Hivi kweli tutafika kwa style hii, ya kutokutenda haki, ,makonda pekee yakee hataweza kumaliza kero maana leo.yupo kesho hatakuwepo, na buashara itakuwa kama kawaida hebu tuliyopewa dhamana tuwajibiki, .na tujuwe kuwa baada utumishi kuusha hatutakuwa na raha maishani bali majuto tu.

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 7 місяців тому +2

    Dah askali anae Mlinda RPC nimemuelewa Ile kinoma

  • @pacoraban55
    @pacoraban55 7 місяців тому

    Well Done ✅👍✅ Paul Makonda , magufuli way is what we need 😢

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 7 місяців тому +2

    Muheshimiwa Mwenyezi!😂😂 Rpc mzima umjui mwenezi!! shinyanga oyee 👏

  • @levinaasenga2794
    @levinaasenga2794 7 місяців тому +2

    Uyu mama ni tatizo kubwa ni TATIZO 😢😢😢

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 місяців тому

    Igp angalia haki ya Watanzania. Simamia vijana wako. Asante. Mungu mkuu akupe hekima katika yote. Amen.

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 7 місяців тому

    Dah nimelia kama mzazi jamani kaka makonda chapa kazi kaka asante mama yangu Samia mh kumleta huyu kaka mungu awabariki kwa pamoja na watumishi wote CCM OYeeeeee

  • @godyfreymsangi7852
    @godyfreymsangi7852 7 місяців тому +1

    Kamanda janet pole uko vizuri

  • @ADAMJUMA-qz6pu
    @ADAMJUMA-qz6pu 7 місяців тому +2

    Mjue kila kona kuna matatizo ukiambiwa utaona ya kwako mepesi acha waliofungwa kinyume na haki leo hii wakianza kufuatilia waliofungwa mtashangaa kuna watu wamefungwa na hawa polisi na kuwadhulumu mali zao da!! RIP MAGUFULI"" KATAA WAHUNI""

  • @edoisam
    @edoisam 7 місяців тому

    Daah aisee swahiba wangu Issa Mungu ndie anajuwa namna ya kukurudisha. Kitambo sana swahiba 😭

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 7 місяців тому +1

    Huyu mama wa kwanza anaongea vizuri sana

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaid 3 місяці тому

    Ndio maana Tanzania ni mama Wa ulimwengu mungu ibariki Tanzania pamoja na watu haswa mama mlezi sulu na makonda John pombe mdogo Ameen

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 7 місяців тому +4

    Alikuwa rafiki yake tena walikuwa wote jaman wakuu wa wa wiraya watoke hawana kazi

  • @athumaniyuba935
    @athumaniyuba935 7 місяців тому +1

    Kiukweli Mungu amemtuma mtumishi wake kwa ajili kushughulikia wanyonge

  • @MabulaDoto-xb6xr
    @MabulaDoto-xb6xr 7 місяців тому +2

    Ndugu yangu makonda mwenyezimungu yuko pamoja na sisi watanzania wenzako tuko pamoja na ww

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 7 місяців тому +1

    Ndugu zangu hata kama mnakua na matatizo ila mnapopata nafasi ya kueleza au kuongea mbele ya makonda punguzeni uongeaji wa mfululizo usio na maana hoja zinatakiwa zijibiwe kwa hoja. Hilo pia itasaidia kumpa makonda nafasi ya kuwasikiliza kwa usikivu mzuli.asanteni ❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 7 місяців тому +1

    Hawa wenye power wanadhulumu wanyonge ndio kazi zao wache wafanye mwisho wao ni moto na wanajua kupanga uongo wa kuzungumza mwisho wake wanafedheheka kwa uongo wao Mungu awahukumu kwa udhalim wanao ufanya

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 7 місяців тому +1

    Mh. Makonda nguvu hio hio umerithi mwendo wa mzee wa kazi mzee Jpm asante nguvu ni ile ile hongera kaka

    • @johnkiimbila6799
      @johnkiimbila6799 7 місяців тому +1

      Nguvu hiyo hiyo? Haiwezi kulingana.

    • @ismailimatola3727
      @ismailimatola3727 7 місяців тому

      Kudadeki uyu mwamba magufuli akasome ndio viongozi tunayowaitaji tanzania atutaki use,,,,,,,,,,,e pigakazi makonda

  • @ntihaboseadonis8746
    @ntihaboseadonis8746 7 місяців тому +1

    IGP unafaa kua rais wa 🇹🇿tanzania❤❤❤❤

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 23 дні тому

    Tumefikaje hapo kisiwa cha amani leo ni kilio kila mahali tumekosea wapi jamani ee mungu tusamehe kweli kupotea mwanadamu inauma bola azikwe utalia na kufalijika

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 7 місяців тому +4

    Nchi hii watu wa hali ya chini wanateseka jamani. Jibu ni katiba mpya.

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 7 місяців тому

      WATU SIYO WAZALENDO,HAWANA UTU,SIYO WAADILIFU

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 7 місяців тому

      Watu wa chini hawatanufaika na hiyo katiba kwani matatizo ya wanainchi wa hali ya chini katiba haiwezi kuwasaidia, katiba na sheria ni vitu viwili tofauti ,Marekani wenye katiba nzuri bado kuna ubaguzi sembuse Africa

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 7 місяців тому

      ​@@martinemaganga5253Unafikiri suluhisho ni nini?

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 7 місяців тому +1

    Asante mama kwa ukakamavu wako wao polisi ni wauwaji tu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 7 місяців тому +2

    we makonda huyu RPC akamatwe Sasa hivi na ahukumiwe

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 7 місяців тому

      Sio rahisi hivyo hapa ndo kuna usalama wa Taifa

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe2412 7 місяців тому

    Mungu akutanguliee makonda sina chochote cha kusema ila mungu atutangulie kwa kazi hii mungu atakujaza nguvu

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 6 місяців тому

    Huwa najiiuliza maranyingi!! Hivi upolisi huwa unawafanya watu wawe na mioyo migumu!!! Ukweli polisi wetu wanaroho ngumu sana!! Fanya kazi ndugu yangu!! Hiyo ni kazi ya mungu!!

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 7 місяців тому +1

    Shinyanga inafaa kuwa case study inaelekea kuna shida nyingi.

  • @jacobmwashambwa4893
    @jacobmwashambwa4893 7 місяців тому +1

    Mwenezi Mungu awe nawe katika ziara zako hakika naona chama kinafanya kazi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 місяців тому

    Vizuri havidum mungu mdumieshe makonda aishi miaka mingi apate cheo cha juu zaidi ili aweze kua namamuzi magum zaidi❤

  • @ernestmbago848
    @ernestmbago848 18 днів тому

    Makonda hv wewe huo upeo ulionao umeutoa wapi maana mm sioni deni kwako mungu akubariki sana tena saaana hakuna kiongozi muwazi kama wewe hapa tanzania

  • @Bihagaze
    @Bihagaze 7 місяців тому +1

    Hizi ziara zinaonyesha nchi hii kumbe Haipo!

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 7 місяців тому +2

    Huyu mama Diana Kama waziri mkuu hajatoa majibu makonda atatatua kweli?

  • @issaissa1361
    @issaissa1361 7 місяців тому +1

    Da nimesikitika sana wajina wangu kwanza nimestuka nikajua ni mimi

  • @husseinabdallah7195
    @husseinabdallah7195 7 місяців тому +2

    makonda ccm naichukia na ww mwanzo nilikuwa nakuchikia ila kwa hali nitakupenda ww na samia t na samia nimempenda kwa kuwatoa mashehe

  • @AlifaAlly-hs9sc
    @AlifaAlly-hs9sc 5 місяців тому

    Munguakulinde naakupeuongozi mkuu. yaniuwe rais

  • @user-hr4xd4yj9y
    @user-hr4xd4yj9y 2 місяці тому

    Unatengeneza hongera Sana tatizo la mu African tunakuliwa na wa African wenyew😅😂

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 23 дні тому

    Kweli hapo tunatambua magufuli alikuwa anapitia wakati mgumu sana sana ndio maana kila wakati aliomba aombewe maana kweli kwa hayo mambo ni changamoto

  • @StephanoZayumba
    @StephanoZayumba Місяць тому

    Mungu anawaona hawawanaofanya unuama huu

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 7 місяців тому +3

    So sad😢 mwisho utajulikana tu ipo siku

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy 2 місяці тому +1

    Uzembe Wa jeshi La Police kutojua majukumu yao ipasavyo... niwazi kuna rushwa na uzembe unaofanywa na polisi! Muheshimiwa mwenezi watie spana hao washughlikie ipasavyo waongo polisi nivitisho kwa wanyonge tu ndio nguvu yao inapo onekana. Venginevyo hamna

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 6 місяців тому +1

    Huu RPC akamatwe afungwe...

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 місяців тому

    Shida nini kwa viongozi hawa?. Watambue tu hao ni wazazi wa familia. Mbingu ipo anapo kaa Mungu mkuu na anaona yote na atawapigania Watanzania. Amen.

  • @EDALUPOGO
    @EDALUPOGO 3 місяці тому

    Mungu amekupa kalama nyingi sana hongera

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 5 місяців тому

    Jamani mama pole sana mungu ataweka wazi tuu

  • @Msilu198
    @Msilu198 7 місяців тому

    Kaka yangu Makonda nakutaniria katika nchi hii ya Tanzania utakuwa kiongozi mkubwa ikimpendeza Mungu jaribu kumaintain usije ukabadilika Amina

  • @johnshauri3130
    @johnshauri3130 7 місяців тому +1

    Hiyo chaji ya wizi aliyofunguliwa askari Kenedy kwa maelezo ya huyo mama mlalamikaji hiyo kesi ilipaswa kuwa ya Unyang'anyi sijui kwa nini RPC na timu yake wameipunguza makali?

  • @RichardAssey-pw9ns
    @RichardAssey-pw9ns 2 місяці тому

    Eeeeeh kazi kweli kweli.

  • @aliymajala5678
    @aliymajala5678 7 місяців тому

    Nice my president Makonda 2025🙏👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 7 місяців тому

    Mhuuu Mhuuu Mhuuu makubwa nalia sana na kuomba kwa ajili ya nchi yangu