Mh: Paul Makonda kazi yako ni nzuri binafsi kwanamna unavyosikiliza shida za wananchi na kuzitatua najikuta machozi yananitoka. Amini kwamba MUNGU amekuamini na amekuchagua kupitia Mh: Raisi Samia. Tunakuombea huyo MUNGU akuongoze, akulinde na akukinge na mabaya yote Amina
Kwakweli mama Rais wetu samia kitendo cha kumpa nafasi mheshimiwa makonda, binafsi nakupongeza sana yan kama ingekua timu ya mpira ningesema umefanya super sub, hongera sana mama yetu mungu akulinde na uendelee kutuongoza mhula ujao InshaaAllah
Mungu akulinde Makonda kazi ipo baada jpm kufariki kunamadudu yaajabu nduguyangu pita kijiji kwa kijiji tena si kwasiku moja japo ukae siku mbili mbili kwa faida ya wanakijiji
Dah umetumia Akili ndogo sana kusema ayo ila Rpc ni binadamu pengine wala sio ccm..ila kila watu wana roho zao Mm sikuwa namkubali san Makonda ila sasa naanza kumuelewa kumbe kuna madudu mengi yanajificha kwa vyeo ila huyu kaka anafanya vitu vyengine vinaelekea
Napenda CCM. Napenda pia viongozi km Makonda. Ila ktk ziara zake, kuwe na watu maalum wa kuchukua taarifa zikafanyiwe mchakato na hatua za dhinamu zichukuliwe juu yao. Tunanyanyasika sana.
Rps pole kwa kashi kashi ila pambania wananchi hao ndio waliokuweka hapo japo nimeona unapambana mungu akubariki pia mr.paul makonda my br. Unafanya kazi kubwa sana
"Ndugu yangu Mungu amekuleta naomba unitendee haki" Watu wanadhulumiwa sana na hawa wenzetu walioko kwenye mamlaka, Mungu iokoe Tanzania na Africa kwa ujumla dhidi ya wale wote uliowapa dhamana ya uongozi na kuitumia kwa kuwanyonya na kuwakandamiza wanyonge kwa maslahi yao binafsi
Kazi ya utawala ngumu sana has aAfrica ambapo hatujui kutawala ndiyo maana kila sehmu kirio utafikili hatuna wakuu wa mikoa, hatuna wakuu wa wilaya, hatuna ma RPC, wala Ma OCD maana wote wanakaa ofisini tu kusubili madili badala ya kushughulika na matatizo ya wananchi.
Inasikitisha sana 😭😭😭, watu wanapoteaje kienyeji hivi??? Huyo rpc anadai hamjui seriously???? Hapo shinyanga kuna shida sana. Mpaka makonda aende ndo tuyasikie haya na hawa waandishi WA habari wamekalia uchawa Kwa CCM Tu, habari kama hizi Kwa nini hawazifuatilii??? So sad 😭
Kabisa brother yani hawajui wajibu wao inauma sana na utashangaa lingne mshahara ukicheleweshwa linalamika n wakat kazi halifanyi kama linavyozingatia mshahara n madili
Mimi nakuita "Dume la madume" sikuiti makonda hakika wewe umeshushwa na mungu kama mtetezi wa watanzania wote, mungu akujalie maisha marefu na akulinde dhidi ya maadui.
Hakika makonda nakupongeza ila unakazi ngumu mno na hutaimaliza lakin kwa jitihada yako kwq wananchi inshaalla utapoishiya hatutakilaumu mungu akulinde kaka Yani aibu nchi imekuwa kqma haina watendaji huko mitaani hatari AGP wambura fika fika mitaanihuko usisubiri uadhirike kamanda
Nadhani umeona mbali sana,, tatizo ni mfumo,, kila kona ni vilio tuu wenye Hakhi hawana haki bali mafisadi ndo wenye nchi,, unadhani Makonda ataweza kumaliza vilio hivi????
Nasikiliza tu Ila watu Wana shida kubwa Sana cha kushangaza sasa bdo CCM inashinda Jaman yatubasa kupambania haki zetu tuandamane na tukubali kuitupilia mbali hii serikali
Unajua kuna wapumbavu wanabeza ziara za huyu jamaa makonda kama hazina maana lakini daah ziara zahuyu jamaa zinawakumbusha sana wengi uwepo wa mzee wetu magufuri wewe piga kazi mzee ss kama wananchi tunaona hao wengine wapiga kelele hawatubabaishi kaka wasimamie wanyonge pia msaidie mama watu wanateseka kiongozi wasaidi wanyonge ni mungu peekee ndio atawalipa
Ongeraaa Sana Baba makonda na pia pore Sana kwa Kazi ngumu hiyo.Sisi wananchi tuko pamoja naraisi wetu Mama Samia .Tunajua hamlali kwajili yakutatua kero zetu na kwaajili yakuleta maendereo kwenye Taifa letu.Mimi Kama kijana ambaye nimkulima Natoa pongezi za zati kwa raisi na viongozi wote wa serikali na Chama Cha mapenduzi.Tunaelewa yote mnayo yafanya kwajili ya Taifa Nazidi kuwaombea viongozi wangu kwa Mungu .
Honestly Tanzania is a wonderful country. President Maghufuli had set a great precedence and I'm very happy to see Mama Samia continuing with the same legacy, and she gave it to the right person Mr Makonda. I'm sure Mr Makonda is the next future president in waiting
Hivi kweli tutafika kwa style hii, ya kutokutenda haki, ,makonda pekee yakee hataweza kumaliza kero maana leo.yupo kesho hatakuwepo, na buashara itakuwa kama kawaida hebu tuliyopewa dhamana tuwajibiki, .na tujuwe kuwa baada utumishi kuusha hatutakuwa na raha maishani bali majuto tu.
Dah nimelia kama mzazi jamani kaka makonda chapa kazi kaka asante mama yangu Samia mh kumleta huyu kaka mungu awabariki kwa pamoja na watumishi wote CCM OYeeeeee
Mjue kila kona kuna matatizo ukiambiwa utaona ya kwako mepesi acha waliofungwa kinyume na haki leo hii wakianza kufuatilia waliofungwa mtashangaa kuna watu wamefungwa na hawa polisi na kuwadhulumu mali zao da!! RIP MAGUFULI"" KATAA WAHUNI""
Ndugu zangu hata kama mnakua na matatizo ila mnapopata nafasi ya kueleza au kuongea mbele ya makonda punguzeni uongeaji wa mfululizo usio na maana hoja zinatakiwa zijibiwe kwa hoja. Hilo pia itasaidia kumpa makonda nafasi ya kuwasikiliza kwa usikivu mzuli.asanteni ❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hawa wenye power wanadhulumu wanyonge ndio kazi zao wache wafanye mwisho wao ni moto na wanajua kupanga uongo wa kuzungumza mwisho wake wanafedheheka kwa uongo wao Mungu awahukumu kwa udhalim wanao ufanya
Tumefikaje hapo kisiwa cha amani leo ni kilio kila mahali tumekosea wapi jamani ee mungu tusamehe kweli kupotea mwanadamu inauma bola azikwe utalia na kufalijika
Watu wa chini hawatanufaika na hiyo katiba kwani matatizo ya wanainchi wa hali ya chini katiba haiwezi kuwasaidia, katiba na sheria ni vitu viwili tofauti ,Marekani wenye katiba nzuri bado kuna ubaguzi sembuse Africa
Huwa najiiuliza maranyingi!! Hivi upolisi huwa unawafanya watu wawe na mioyo migumu!!! Ukweli polisi wetu wanaroho ngumu sana!! Fanya kazi ndugu yangu!! Hiyo ni kazi ya mungu!!
Makonda hv wewe huo upeo ulionao umeutoa wapi maana mm sioni deni kwako mungu akubariki sana tena saaana hakuna kiongozi muwazi kama wewe hapa tanzania
Uzembe Wa jeshi La Police kutojua majukumu yao ipasavyo... niwazi kuna rushwa na uzembe unaofanywa na polisi! Muheshimiwa mwenezi watie spana hao washughlikie ipasavyo waongo polisi nivitisho kwa wanyonge tu ndio nguvu yao inapo onekana. Venginevyo hamna
Hiyo chaji ya wizi aliyofunguliwa askari Kenedy kwa maelezo ya huyo mama mlalamikaji hiyo kesi ilipaswa kuwa ya Unyang'anyi sijui kwa nini RPC na timu yake wameipunguza makali?
Mh: Paul Makonda kazi yako ni nzuri binafsi kwanamna unavyosikiliza shida za wananchi na kuzitatua najikuta machozi yananitoka. Amini kwamba MUNGU amekuamini na amekuchagua kupitia Mh: Raisi Samia. Tunakuombea huyo MUNGU akuongoze, akulinde na akukinge na mabaya yote Amina
Kwakweli mama Rais wetu samia kitendo cha kumpa nafasi mheshimiwa makonda, binafsi nakupongeza sana yan kama ingekua timu ya mpira ningesema umefanya super sub, hongera sana mama yetu mungu akulinde na uendelee kutuongoza mhula ujao InshaaAllah
Mungu akulinde Makonda kazi ipo baada jpm kufariki kunamadudu yaajabu nduguyangu pita kijiji kwa kijiji tena si kwasiku moja japo ukae siku mbili mbili kwa faida ya wanakijiji
Pole mwenezi kazi yako ngumu Sana mungu akutunze
Wakiona anafanya vizuri ananyendo Kama zamagufuri watamtowa
Asante Sana Makonda Kwa Kukiumbua Chama Chako Kwa Maovu Serikali Yao Isivyowatendea Haki Wananchi.
Dah umetumia Akili ndogo sana kusema ayo ila Rpc ni binadamu pengine wala sio ccm..ila kila watu wana roho zao Mm sikuwa namkubali san Makonda ila sasa naanza kumuelewa kumbe kuna madudu mengi yanajificha kwa vyeo ila huyu kaka anafanya vitu vyengine vinaelekea
@@ramsonramadhan4156 Bro Rudia Kusoma Na Kuelewa Kilicho Andikwa!!!!
@@ramsonramadhan4156makonda anakiumbua chama chake kwamba hakisimamii haki za wananchi kimeshindwa kutoa haki za watu
Mashallah magufur mtetezi wa wanyonge sasa kapatikana mwenyez mungu akubariki baba😭
Mungu akulinde mimi nakufahamu toka ulipokua Mkuu wa Mkoa wa Dar
Mwenyezi Mungu akulinde makonda kaka yangu
Hii Kazi aliyo ianzisha Makonda ni nzito sana😢
Ndio maana inabd aongezewe ulinzi
Ninzuri coz wanyonge wanaonyabyasika wanapata haki yake
Makonda njoo nahuku daar utusaidie angalia coment zetu
Makonda makonda makondaaaa mungu akubarikiii tusaidie kaka
Nimeota makoda kawa Rais wa Tanzania ❤
Kura yangu lazima nimpe
MAGUFULIIIIIIIIIIIIIIIEEEEEEEEEEEE, HUKO ULIKOLALA BABA SIMAMA.
Mbona hata enzi zake yalikuwepo
Akisimama ww utalala
R. I. P Magufuli wetu tunakukumbuka sana baba yetu 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
naonakm nimemuona tena magufuli makonda hongerayake
Dah Mungu akulinde Mweshimiwa Makonda. Rais Samia Asante sana kwa kumleta makonda
HAO makamanda mbn wanaangusha jesh wasukumwe ndanii tuuuu mashaka matupuuu daaah safii makondaa
wamemtoa kafara
Big up makonda mungu akulipe mara dufu
Kweli watanzania Bora tuwe na vita kuliko kusema tuna amani watanzania tunashida nyingi sana na manyanyaso mengi sana mpaka nimetoa chozi😢
Inauma Sana kwa jeshi letu
Ukosahihi
We vita unaijua au unaisikia ? Acha huo upuuzi. We la kuomba ni watu kujitahid kutenda haki na kuacha manyannyaso kwa haki za raia
@@allymohamed6265 wewe ulishawahi kuiona au unafikilia watu wanavyoishi na kufanyiwa unyama w namna hiyo unahisi n furaha
@@allymohamed6265huna kile unachokijua,, jambo lolote gumu hutatuliwa kwa damu👀👀
Ubarikiwe kwa hili kiongoz
Up up comrade Makonda wananchi wanachangamoto nyingi sana unafanya ibada unapokuwa unatatua shida za wananchi.
Makonda Mungu akubariki na akulinde Sana.
Napenda CCM.
Napenda pia viongozi km Makonda.
Ila ktk ziara zake, kuwe na watu maalum wa kuchukua taarifa zikafanyiwe mchakato na hatua za dhinamu zichukuliwe juu yao.
Tunanyanyasika sana.
Huyu mwamba tulilkosa, lkn mama tunakushukuru saaana kwa kumuibua Tena Huyu jamaa ❤❤❤❤
Kwaya mtakatifu sisilia
Rps pole kwa kashi kashi ila pambania wananchi hao ndio waliokuweka hapo japo nimeona unapambana mungu akubariki pia mr.paul makonda my br. Unafanya kazi kubwa sana
"Ndugu yangu Mungu amekuleta naomba unitendee haki"
Watu wanadhulumiwa sana na hawa wenzetu walioko kwenye mamlaka, Mungu iokoe Tanzania na Africa kwa ujumla dhidi ya wale wote uliowapa dhamana ya uongozi na kuitumia kwa kuwanyonya na kuwakandamiza wanyonge kwa maslahi yao binafsi
Majambazi ndio viongozi na polilisi! Kuna usalama? Mungu aingilie kati kuiokoa nchi hii itoke mikonononi mwa ccm
Kazi ya utawala ngumu sana has aAfrica ambapo hatujui kutawala ndiyo maana kila sehmu kirio utafikili hatuna wakuu wa mikoa, hatuna wakuu wa wilaya, hatuna ma RPC, wala Ma OCD maana wote wanakaa ofisini tu kusubili madili badala ya kushughulika na matatizo ya wananchi.
M
Inasikitisha sana 😭😭😭, watu wanapoteaje kienyeji hivi??? Huyo rpc anadai hamjui seriously???? Hapo shinyanga kuna shida sana.
Mpaka makonda aende ndo tuyasikie haya na hawa waandishi WA habari wamekalia uchawa Kwa CCM Tu, habari kama hizi Kwa nini hawazifuatilii??? So sad 😭
Kabisa brother yani hawajui wajibu wao inauma sana na utashangaa lingne mshahara ukicheleweshwa linalamika n wakat kazi halifanyi kama linavyozingatia mshahara n madili
Makonda mungu akubariki Sana...
Duu wanyonge tunakalia moto. Ila kuwateka watu kwasababu ya uwezo mlio não sio sawa. Mkistaafu mnajifanya wacha Mungu.
Mimi nakuita "Dume la madume" sikuiti makonda hakika wewe umeshushwa na mungu kama mtetezi wa watanzania wote, mungu akujalie maisha marefu na akulinde dhidi ya maadui.
Mheshimiwa Kiukweli Mungu akulinde Sana kiongozi wa watu mzarendo wa taifa hili
Mh Mwenezi wa chama tawala nchi imeoza saidia watu wa Mungu
Hapo makonda namm leo nimekupenda 🎉
Hakika makonda nakupongeza ila unakazi ngumu mno na hutaimaliza lakin kwa jitihada yako kwq wananchi inshaalla utapoishiya hatutakilaumu mungu akulinde kaka
Yani aibu nchi imekuwa kqma haina watendaji huko mitaani hatari AGP wambura fika fika mitaanihuko usisubiri uadhirike kamanda
Mungu akulinde sana Makonda kazi hii ni ngumu maana tumefikia pagumu sana inch hii viongozi wangi wamekua kichomi sana
Nampenda sana mheshimiwa John makonda Mungu akupee umri mrefu sijawai ona mtu kama wewe ana angalia raia yake
Hongera sana kiogozi
Ukiangalia na kusikiliza kwamakini unagundua kwamba CCM imefeli kabisa kuongoza hii nchi period.
Kwa mawazo yako unaona tuwape kina nani?
Maana hao wengine bado mtihani kuachiya wenye kiti sasa fikiria uraisi itakuwa je?
Mjinga wew ccm imefelije
Imefeli wapi sasa hakuna nchi isiyo na mashida ni kwa vipo matatizo yanafuatiliwa ndio issue
Huyo RPC wa shinyanga afunguliwe mashtaka ni jambazi
Nadhani umeona mbali sana,, tatizo ni mfumo,, kila kona ni vilio tuu wenye Hakhi hawana haki bali mafisadi ndo wenye nchi,, unadhani Makonda ataweza kumaliza vilio hivi????
Asante mama samia kwakuturudishia mtetezi huyu wa sisi wanyonge ni juhudizako mama ❤
Makonda nakupenda Kwa ajili ya ALLAH
Nasikiliza tu Ila watu Wana shida kubwa Sana cha kushangaza sasa bdo CCM inashinda Jaman yatubasa kupambania haki zetu tuandamane na tukubali kuitupilia mbali hii serikali
POLEE MAKONDA MWANANGU!!NCHI HII IMEKWISHAAAAA
icp chukua hatua kwa mara Rpc wako angalia wananchi wa shinyanga wanavyolalamikie jeshi lako wanainchi wamekosa imani na jeshi la polisi
Saf sana dada nyangeta kwaujasili wako ulioonyesha mh makonda kutuwakilishia hili tukio la kijana wetu
Mheshimiwa Paul Makonda Mungu akuongoze na akulinde 🙌❤
Nakuombea Afya njema na kazi yako maana hapo mungu akulinde mdogo wangu
Unajua kuna wapumbavu wanabeza ziara za huyu jamaa makonda kama hazina maana lakini daah ziara zahuyu jamaa zinawakumbusha sana wengi uwepo wa mzee wetu magufuri wewe piga kazi mzee ss kama wananchi tunaona hao wengine wapiga kelele hawatubabaishi kaka wasimamie wanyonge pia msaidie mama watu wanateseka kiongozi wasaidi wanyonge ni mungu peekee ndio atawalipa
Makonda ulikua wap? Unaona watanzania wanavyo teseka hoongera sana mweshimiwa piga kazi muzazi tuna ona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii nchi kuna vitu vinaendelea huko mitaani vinaumiza sana dhuruma manyanyaso n.k inahitaji kiongozi jasiri sana kupambana na haya
Kaka anamheshimisha mama kiukweli mama hongera kuchagua makonda hapepesi macho yuko moto mungu akulinde maana wabaya ni wengi nyuma yako❤
Mh/makonda hongera sana M/mungu akuongoze
Ongeraaa Sana Baba makonda na pia pore Sana kwa Kazi ngumu hiyo.Sisi wananchi tuko pamoja naraisi wetu Mama Samia .Tunajua hamlali kwajili yakutatua kero zetu na kwaajili yakuleta maendereo kwenye Taifa letu.Mimi Kama kijana ambaye nimkulima Natoa pongezi za zati kwa raisi na viongozi wote wa serikali na Chama Cha mapenduzi.Tunaelewa yote mnayo yafanya kwajili ya Taifa Nazidi kuwaombea viongozi wangu kwa Mungu .
🙏
Tunashukuru tumeubwa kusahau
Honestly Tanzania is a wonderful country. President Maghufuli had set a great precedence and I'm very happy to see Mama Samia continuing with the same legacy, and she gave it to the right person Mr Makonda. I'm sure Mr Makonda is the next future president in waiting
Piga spana Mh. Makonda. CCM oyeeee 👍 Makonda oyeeee, oyeeee, oyeeee. MUNGU anawaona hawa polisi😭😭😭
Jaman wa Tanzania wanyonge tunamengi mazito tunakosa pakuyatolea tukipata fursa km hizi tunaongea kwa uchungu sn mungu aendelee kukututuea
Hivi kweli tutafika kwa style hii, ya kutokutenda haki, ,makonda pekee yakee hataweza kumaliza kero maana leo.yupo kesho hatakuwepo, na buashara itakuwa kama kawaida hebu tuliyopewa dhamana tuwajibiki, .na tujuwe kuwa baada utumishi kuusha hatutakuwa na raha maishani bali majuto tu.
Dah askali anae Mlinda RPC nimemuelewa Ile kinoma
Well Done ✅👍✅ Paul Makonda , magufuli way is what we need 😢
Muheshimiwa Mwenyezi!😂😂 Rpc mzima umjui mwenezi!! shinyanga oyee 👏
Huo unaitwa mchecheto
Rpc ni ttz kubwa HP polisi mmmh
Uyu mama ni tatizo kubwa ni TATIZO 😢😢😢
Igp angalia haki ya Watanzania. Simamia vijana wako. Asante. Mungu mkuu akupe hekima katika yote. Amen.
Dah nimelia kama mzazi jamani kaka makonda chapa kazi kaka asante mama yangu Samia mh kumleta huyu kaka mungu awabariki kwa pamoja na watumishi wote CCM OYeeeeee
Kamanda janet pole uko vizuri
Mjue kila kona kuna matatizo ukiambiwa utaona ya kwako mepesi acha waliofungwa kinyume na haki leo hii wakianza kufuatilia waliofungwa mtashangaa kuna watu wamefungwa na hawa polisi na kuwadhulumu mali zao da!! RIP MAGUFULI"" KATAA WAHUNI""
Daah aisee swahiba wangu Issa Mungu ndie anajuwa namna ya kukurudisha. Kitambo sana swahiba 😭
Huyu mama wa kwanza anaongea vizuri sana
Ndio maana Tanzania ni mama Wa ulimwengu mungu ibariki Tanzania pamoja na watu haswa mama mlezi sulu na makonda John pombe mdogo Ameen
Alikuwa rafiki yake tena walikuwa wote jaman wakuu wa wa wiraya watoke hawana kazi
Kiukweli Mungu amemtuma mtumishi wake kwa ajili kushughulikia wanyonge
Ndugu yangu makonda mwenyezimungu yuko pamoja na sisi watanzania wenzako tuko pamoja na ww
Ndugu zangu hata kama mnakua na matatizo ila mnapopata nafasi ya kueleza au kuongea mbele ya makonda punguzeni uongeaji wa mfululizo usio na maana hoja zinatakiwa zijibiwe kwa hoja. Hilo pia itasaidia kumpa makonda nafasi ya kuwasikiliza kwa usikivu mzuli.asanteni ❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hawa wenye power wanadhulumu wanyonge ndio kazi zao wache wafanye mwisho wao ni moto na wanajua kupanga uongo wa kuzungumza mwisho wake wanafedheheka kwa uongo wao Mungu awahukumu kwa udhalim wanao ufanya
Mh. Makonda nguvu hio hio umerithi mwendo wa mzee wa kazi mzee Jpm asante nguvu ni ile ile hongera kaka
Nguvu hiyo hiyo? Haiwezi kulingana.
Kudadeki uyu mwamba magufuli akasome ndio viongozi tunayowaitaji tanzania atutaki use,,,,,,,,,,,e pigakazi makonda
IGP unafaa kua rais wa 🇹🇿tanzania❤❤❤❤
Tumefikaje hapo kisiwa cha amani leo ni kilio kila mahali tumekosea wapi jamani ee mungu tusamehe kweli kupotea mwanadamu inauma bola azikwe utalia na kufalijika
Nchi hii watu wa hali ya chini wanateseka jamani. Jibu ni katiba mpya.
WATU SIYO WAZALENDO,HAWANA UTU,SIYO WAADILIFU
Watu wa chini hawatanufaika na hiyo katiba kwani matatizo ya wanainchi wa hali ya chini katiba haiwezi kuwasaidia, katiba na sheria ni vitu viwili tofauti ,Marekani wenye katiba nzuri bado kuna ubaguzi sembuse Africa
@@martinemaganga5253Unafikiri suluhisho ni nini?
Asante mama kwa ukakamavu wako wao polisi ni wauwaji tu
we makonda huyu RPC akamatwe Sasa hivi na ahukumiwe
Sio rahisi hivyo hapa ndo kuna usalama wa Taifa
Mungu akutanguliee makonda sina chochote cha kusema ila mungu atutangulie kwa kazi hii mungu atakujaza nguvu
Huwa najiiuliza maranyingi!! Hivi upolisi huwa unawafanya watu wawe na mioyo migumu!!! Ukweli polisi wetu wanaroho ngumu sana!! Fanya kazi ndugu yangu!! Hiyo ni kazi ya mungu!!
Shinyanga inafaa kuwa case study inaelekea kuna shida nyingi.
Mwenezi Mungu awe nawe katika ziara zako hakika naona chama kinafanya kazi
Vizuri havidum mungu mdumieshe makonda aishi miaka mingi apate cheo cha juu zaidi ili aweze kua namamuzi magum zaidi❤
Makonda hv wewe huo upeo ulionao umeutoa wapi maana mm sioni deni kwako mungu akubariki sana tena saaana hakuna kiongozi muwazi kama wewe hapa tanzania
Hizi ziara zinaonyesha nchi hii kumbe Haipo!
Huyu mama Diana Kama waziri mkuu hajatoa majibu makonda atatatua kweli?
Da nimesikitika sana wajina wangu kwanza nimestuka nikajua ni mimi
makonda ccm naichukia na ww mwanzo nilikuwa nakuchikia ila kwa hali nitakupenda ww na samia t na samia nimempenda kwa kuwatoa mashehe
Munguakulinde naakupeuongozi mkuu. yaniuwe rais
Unatengeneza hongera Sana tatizo la mu African tunakuliwa na wa African wenyew😅😂
Kweli hapo tunatambua magufuli alikuwa anapitia wakati mgumu sana sana ndio maana kila wakati aliomba aombewe maana kweli kwa hayo mambo ni changamoto
Mungu anawaona hawawanaofanya unuama huu
So sad😢 mwisho utajulikana tu ipo siku
Uzembe Wa jeshi La Police kutojua majukumu yao ipasavyo... niwazi kuna rushwa na uzembe unaofanywa na polisi! Muheshimiwa mwenezi watie spana hao washughlikie ipasavyo waongo polisi nivitisho kwa wanyonge tu ndio nguvu yao inapo onekana. Venginevyo hamna
Huu RPC akamatwe afungwe...
Shida nini kwa viongozi hawa?. Watambue tu hao ni wazazi wa familia. Mbingu ipo anapo kaa Mungu mkuu na anaona yote na atawapigania Watanzania. Amen.
Mungu amekupa kalama nyingi sana hongera
Jamani mama pole sana mungu ataweka wazi tuu
Kaka yangu Makonda nakutaniria katika nchi hii ya Tanzania utakuwa kiongozi mkubwa ikimpendeza Mungu jaribu kumaintain usije ukabadilika Amina
Hiyo chaji ya wizi aliyofunguliwa askari Kenedy kwa maelezo ya huyo mama mlalamikaji hiyo kesi ilipaswa kuwa ya Unyang'anyi sijui kwa nini RPC na timu yake wameipunguza makali?
Eeeeeh kazi kweli kweli.
Nice my president Makonda 2025🙏👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mhuuu Mhuuu Mhuuu makubwa nalia sana na kuomba kwa ajili ya nchi yangu