EXCLUSIVE: ALLY KAMWE ASIMULIA MAISHA YAKE BAADA YA KUMALIZA FORM 4 "CHUMBA ELFU 7, NALIPWA LAKI 3"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 93

  • @user-oq2lp8xq1f
    @user-oq2lp8xq1f Місяць тому +53

    Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh

    • @stellashao7885
      @stellashao7885 Місяць тому +1

      Daa mm kila nkiingia UA-cam 🙌

    • @SaedyNganur-he8bc
      @SaedyNganur-he8bc Місяць тому +1

      Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli

    • @levisdeicon5073
      @levisdeicon5073 7 днів тому

      Mi simba lkn all kamwe napenda story zake

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Місяць тому +27

    Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊

  • @getrudamunna
    @getrudamunna Місяць тому +18

    Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema.
    Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe

  • @ZawadiNyambulapi-lk1np
    @ZawadiNyambulapi-lk1np Місяць тому +17

    Aly MUNGU akubariki sana

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 28 днів тому +5

    Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 Місяць тому +16

    KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b Місяць тому +22

    Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️

  • @Saidi-ic7um
    @Saidi-ic7um 16 днів тому +1

    Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa

  • @hk_ballers
    @hk_ballers Місяць тому +2

    Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽

  • @NaseebMshuza
    @NaseebMshuza Місяць тому +4

    Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 Місяць тому +17

    Sema ally kamwe anajua kuongea sana

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Місяць тому +5

    Yahani Ally❤❤❤❤❤

  • @benjaminmpangala2611
    @benjaminmpangala2611 16 днів тому

    "Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Місяць тому +7

    Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 Місяць тому +7

    Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130 Місяць тому +8

    Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu

  • @Bashirubakarisalala
    @Bashirubakarisalala Місяць тому +3

    Mwanafunzi wa Ahmed ally

  • @paulnyingo7316
    @paulnyingo7316 Місяць тому +1

    Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 Місяць тому +1

    Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛

  • @hamisikambona8763
    @hamisikambona8763 Місяць тому +1

    Ally kamwe anajua sana

  • @theheroesmusic4398
    @theheroesmusic4398 27 днів тому

    Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸

  • @yohanadwac7497
    @yohanadwac7497 Місяць тому

    Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌

  • @cryptoboy-5
    @cryptoboy-5 Місяць тому +8

    hii kichwa hii

  • @HassanRamadhan-cv8de
    @HassanRamadhan-cv8de Місяць тому +3

    Dah nimeipenda hii😂❤

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому

    Kichwa Cha ally safi sana

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 25 днів тому

    Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Місяць тому +3

    R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌

  • @OdriaKabati
    @OdriaKabati Місяць тому +3

    Kaka Ali mm nakukubari sana

  • @husseinkadawa2846
    @husseinkadawa2846 19 днів тому

    Ally Mungu mungu akubariki sana.

  • @user-gc6ml8ec3k
    @user-gc6ml8ec3k Місяць тому +3

    Ndo maana movies zetu hazitoboi

  • @mussansoleziplutnumz2097
    @mussansoleziplutnumz2097 Місяць тому +2

    Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji

  • @stn4873
    @stn4873 Місяць тому +3

    Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.

  • @piusnkwale
    @piusnkwale Місяць тому

    Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Місяць тому +1

    Ally huwa nampenda bule

  • @departmentofpolicyplanning8184
    @departmentofpolicyplanning8184 21 день тому

    Namkubali sana

  • @abdylugete2056
    @abdylugete2056 25 днів тому

    Sema unatupanga kka

  • @Officialmuuh
    @Officialmuuh 20 днів тому

    Congratulation brother 🎉

  • @wonderkid14.
    @wonderkid14. 12 днів тому

    Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana

  • @HappyJohn-jo8im
    @HappyJohn-jo8im 26 днів тому +1

    Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf Місяць тому +1

    Kamwe kama kamwe... Semaji lao

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +2

    Ally hachoshi story zake

  • @QueenMushi
    @QueenMushi Місяць тому +4

    Duh! Kweli millage ni baba lao

  • @paulPius-uk9rq
    @paulPius-uk9rq 29 днів тому

    Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Місяць тому +1

    Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata

  • @allyngimba430
    @allyngimba430 24 дні тому

    my rolmodel

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv7966 Місяць тому +2

    😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa

  • @happymboma3567
    @happymboma3567 Місяць тому +1

    Ally utafika mbali

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 22 дні тому +1

    Natafuta movie ya AISHA😅😅😅

  • @AminaLucas
    @AminaLucas 20 днів тому +1

    So fun na raha

  • @idrismghamba6439
    @idrismghamba6439 Місяць тому +1

    Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 Місяць тому +4

    Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto

    • @abdullyjadu7723
      @abdullyjadu7723 28 днів тому +1

      Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx

    • @user-uk4os3zj6f
      @user-uk4os3zj6f 5 днів тому

      Amin me mwenyewe namwona mdog

  • @sangotelleming7444
    @sangotelleming7444 29 днів тому

    Ayo namkubali sana uyu mdada frida

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 20 днів тому

    Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 Місяць тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Місяць тому +5

    Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 21 день тому

    Frida naona kadata & ALLY

  • @antyigasper2850
    @antyigasper2850 18 днів тому

    Ila Ally😂😂 nakupend bure mm

  • @user-lf1bd4vj9c
    @user-lf1bd4vj9c 19 днів тому

    Ally

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Місяць тому

    Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .

  • @user-xh9ow7jl4m
    @user-xh9ow7jl4m 21 день тому

    Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Місяць тому +1

    Mtu wa History san..😂..kichwa

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas 29 днів тому

    Watu wanatoka mbali

  • @user-vf5gs7ik7w
    @user-vf5gs7ik7w 24 дні тому

    Wapi chuo champira???

  • @LatifaOmary-zo1un
    @LatifaOmary-zo1un 12 днів тому

    Ila ally😂😂😂😂

  • @mathiasmhangilwa195
    @mathiasmhangilwa195 Місяць тому +3

    Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali

  • @attanasleones-wn5qs
    @attanasleones-wn5qs 22 дні тому

    Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba

  • @plustzafromusic4908
    @plustzafromusic4908 23 дні тому

    Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote

  • @AlexMosha-ci5uq
    @AlexMosha-ci5uq 19 днів тому

    😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 19 днів тому

    Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Місяць тому +1

    Dah nampend uyu kaka atar

    • @FredMaulid
      @FredMaulid 22 дні тому

      Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.

  • @suwakofmuslim2565
    @suwakofmuslim2565 28 днів тому

    😂😂😂😂😂😂😂Aisha

  • @DonaldMpili-de3kc
    @DonaldMpili-de3kc 28 днів тому

    Ila Ally n kamwe

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Місяць тому +10

    Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚

  • @cryptoboy-5
    @cryptoboy-5 Місяць тому +4

    hii kichwa hii

  • @hamisaepee6938
    @hamisaepee6938 Місяць тому +2

    Muongo huyuu Viapo teleee 😂