Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh
Daa mm kila nkiingia UA-cam 🙌
Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli
Mi simba lkn all kamwe napenda story zake
Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊
Kabisa
Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema.Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe
Aly MUNGU akubariki sana
Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏
KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi
Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️
😂😂😂😂😂😂😂
@@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅
👆
Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa
Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽
Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku
Sema ally kamwe anajua kuongea sana
Watoto wa Mbagala hao
Yahani Ally❤❤❤❤❤
"Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii
Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙
Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe
Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu
Mwanafunzi wa Ahmed ally
Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro
Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛
Ally kamwe anajua sana
Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸
Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌
hii kichwa hii
Dah nimeipenda hii😂❤
Kichwa Cha ally safi sana
Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri
R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌
Kaka Ali mm nakukubari sana
Ally Mungu mungu akubariki sana.
Ndo maana movies zetu hazitoboi
Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji
Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.
😅😅😅😅😂😂😂
😂😂😂😂
Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊
Ally huwa nampenda bule
Namkubali sana
Sema unatupanga kka
Congratulation brother 🎉
Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana
Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu
Kamwe kama kamwe... Semaji lao
Ally hachoshi story zake
Duh! Kweli millage ni baba lao
Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza
Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata
my rolmodel
😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa
Ally utafika mbali
Natafuta movie ya AISHA😅😅😅
So fun na raha
Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪
Mbagala moja hiyo
Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto
Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx
Amin me mwenyewe namwona mdog
Ayo namkubali sana uyu mdada frida
Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn
Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅
Frida naona kadata & ALLY
Ila Ally😂😂 nakupend bure mm
Ally
Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .
Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam
Mtu wa History san..😂..kichwa
Watu wanatoka mbali
Wapi chuo champira???
Ila ally😂😂😂😂
Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali
Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba
Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote
Mbona ilishafanyika SAANA HIYO
😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY
Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa
Dah nampend uyu kaka atar
Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.
😂😂😂😂😂😂😂Aisha
Ila Ally n kamwe
Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚
Muongo huyuu Viapo teleee 😂
😅😅😅
Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh
Daa mm kila nkiingia UA-cam 🙌
Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli
Mi simba lkn all kamwe napenda story zake
Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊
Kabisa
Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema.
Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe
Aly MUNGU akubariki sana
Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏
KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi
Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️
😂😂😂😂😂😂😂
@@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅
👆
Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa
Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽
Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku
Sema ally kamwe anajua kuongea sana
Watoto wa Mbagala hao
Yahani Ally❤❤❤❤❤
"Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii
Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙
Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe
Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu
Mwanafunzi wa Ahmed ally
Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro
Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛
Ally kamwe anajua sana
Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸
Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌
hii kichwa hii
Dah nimeipenda hii😂❤
Kichwa Cha ally safi sana
Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri
R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌
Kaka Ali mm nakukubari sana
Ally Mungu mungu akubariki sana.
Ndo maana movies zetu hazitoboi
Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji
Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.
😅😅😅😅😂😂😂
😂😂😂😂
Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊
Ally huwa nampenda bule
Namkubali sana
Sema unatupanga kka
Congratulation brother 🎉
Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana
Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu
Kamwe kama kamwe... Semaji lao
Ally hachoshi story zake
Duh! Kweli millage ni baba lao
Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza
Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata
my rolmodel
😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa
Ally utafika mbali
Natafuta movie ya AISHA😅😅😅
So fun na raha
Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪
Mbagala moja hiyo
Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto
Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx
Amin me mwenyewe namwona mdog
Ayo namkubali sana uyu mdada frida
Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn
Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅
Frida naona kadata & ALLY
Ila Ally😂😂 nakupend bure mm
Ally
Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .
Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam
Mtu wa History san..😂..kichwa
Watu wanatoka mbali
Wapi chuo champira???
Ila ally😂😂😂😂
Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali
Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba
Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote
Mbona ilishafanyika SAANA HIYO
😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY
Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa
Dah nampend uyu kaka atar
Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.
😂😂😂😂😂😂😂Aisha
Ila Ally n kamwe
Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚
hii kichwa hii
Muongo huyuu Viapo teleee 😂
😅😅😅