PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 28 | Love Story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • #love

КОМЕНТАРІ • 1,6 тис.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  3 місяці тому +626

    HIVI HUYU TINA NA FAMILIA YAKE WANAMPANGO GANI NA KEVI JAMANI??

    • @UmiMazari
      @UmiMazari 3 місяці тому +10

      Waizi

    • @lucywaithira-li8jz
      @lucywaithira-li8jz 3 місяці тому +4

      Wakuwamarinza

    • @SharifaShery
      @SharifaShery 3 місяці тому +3

      wanataka kuwafilisi tu

    • @WssWss-w3p
      @WssWss-w3p 3 місяці тому +3

      WAkupokonya mali

    • @FghgRyy
      @FghgRyy 3 місяці тому +4

      Tulikwambia usimuoe Tina wacha kikurambee😂😂😜

  • @SalumuMkambe
    @SalumuMkambe 3 місяці тому +1066

    Kevin Fanya mpongo uwongeze dakika zifike hata 40 wanao niunga mkono gonga like please

  • @AishamilanAishamilan
    @AishamilanAishamilan 3 місяці тому +57

    Wote wanao ftaria movi hii ya kevin mwenyezi mungu awajarie afya njema ishanllah

  • @Davidmtawala-b4y
    @Davidmtawala-b4y 3 місяці тому +249

    Wanoamini kuwa mama kelvin atajuta baadae akijua kinachoendelea Kwa upanda wa pili gonga like

  • @OmariJumaaWaziri
    @OmariJumaaWaziri 3 місяці тому +247

    Familia ya tina inataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja wanaoamini kama hawawez kufanikiwa gonga like hapaa❤❤anza hapa👍👍

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 3 місяці тому +63

    Yaani hta nikarauka vp siwezi kuwa w kwanza hya bc nipe like ata 10 😅😅😅 kw kuona Kevin anavyomtret tina xx tumwage 🎉🎉🎉 yke tukisonga ❤❤❤🇰🇪🇸🇦

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 3 місяці тому +92

    Wangapi tunamukubal cendy❤️❤️❤️❤️❤️

  • @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u
    @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u 3 місяці тому +218

    Ukisoma ii comment na like basi mungu akufanyie wepesi mambo yako 🙏🙏 🎉🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MERCYmercy-rl3lu
    @MERCYmercy-rl3lu 3 місяці тому +24

    Wow napenda sana movie zako kelvin but shida unachelewa kuleta ❤ any Kenyan in the house ♥️♥️♥️🔥

  • @abderochdogostar
    @abderochdogostar 3 місяці тому +141

    wanataka mali zake kelvin
    oya kama hunamkubali kelvin ngonga like hapa nita share kwa watu 1000

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 3 місяці тому +37

    Ila hyu mama Ake Tina anapoelekea hata izo mali akipata atamuua baba Ake tina

  • @hadijanzaka9422
    @hadijanzaka9422 3 місяці тому +290

    Tangu nianze kuwatch mtoto WA boss sijawai pewa like ata moja

    • @CharityMuthee
      @CharityMuthee 3 місяці тому +3

      Kwani ni chakula 😂😂

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 3 місяці тому +1

      Pol san hhhhh

    • @Ahlam-op2wr
      @Ahlam-op2wr 3 місяці тому +3

      Saw iyo apo chukua itumie vzuri

    • @amekindamba1643
      @amekindamba1643 3 місяці тому

      Km zote izo

    • @SarahDastan-i2z
      @SarahDastan-i2z 3 місяці тому +1

      Izo like mnazililia mnataka mpewe mle au badala ya kusifu na kutoa maon kwenye kaz za watu nyie mnalilia like shenz nyie

  • @SoziSozi2020
    @SoziSozi2020 3 місяці тому +36

    wangapi tulijua mama kelvin ni mamake kambisa 🤚

  • @NatashaTinkoe-n2q
    @NatashaTinkoe-n2q 3 місяці тому +44

    Woooow jamani na mimi nimewahi hata like 5 tu please 🎉❤❤

  • @ZenaRamadhan-sx4rb
    @ZenaRamadhan-sx4rb 3 місяці тому +48

    Mimi ni Burundi na wakubali Kelvin na team take ngoga like hapa🎉🎉🎉🎉 next episode kwaharaka

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 3 місяці тому +50

    Mm naomba like hata 10 tu sitak nyingi 😂😂😂❤from Kenya 🇰🇪

  • @OmariJumaaWaziri
    @OmariJumaaWaziri 3 місяці тому +31

    Binadamu wabaya sana wapo kama panya wanagh'ata wanapuliza kama huikubali familia ya akina tina gonga like hapaa ♥️👍👍

  • @JoysKabanyana
    @JoysKabanyana 3 місяці тому +41

    Wakwanza kutoka burundiiii🎉🎉🎉3❤❤❤❤ nawapenda saaan malikezangu haap

  • @SaumuLugogo
    @SaumuLugogo 3 місяці тому +7

    Waooo safi sana kazi nzuri kabisa kelvin Yuko makini na movie hiii tumpe mauwa yakee❤❤❤❤😅🎉

  • @JohnjoaquimKapembe
    @JohnjoaquimKapembe 3 місяці тому +36

    Leo mim wakwanza , naomba like hapa🎉🎉
    Msumbiji Niko mim

  • @DauglasOmusugu-f6x
    @DauglasOmusugu-f6x 3 місяці тому +1

    Ama kweli mnakuza maudhui amakweli movie tamu kama. Kweli ni tamu gonga like

  • @kimbiliojosephat
    @kimbiliojosephat 3 місяці тому +20

    Jaman love namba like yako

  • @Christina-i6c
    @Christina-i6c 3 місяці тому +126

    Jamani sijawahi pata likes Toka nianze kuangalia hii series
    Si mlike hata kidogo 😢

    • @StartSmall
      @StartSmall 3 місяці тому +2

      😂😂😂😂

    • @Sitiabdhallah
      @Sitiabdhallah 3 місяці тому +3

      Mm pia sijapata si wewe pekeako😢😅

    • @Sitiabdhallah
      @Sitiabdhallah 3 місяці тому +2

      Najilike mwenyewe

  • @YasintaMabumo-x5k
    @YasintaMabumo-x5k 3 місяці тому +17

    Asante baba kelvin kuanza kujua anachopitia mtoto wako jmn mwagen makopaaaaaaa apoooooo ya baba kelvin💝💝💝💝💝💝💝💝

  • @Jennifersenkondo-h7z
    @Jennifersenkondo-h7z 3 місяці тому +55

    Jamn Leo wakanza naomben like ❤❤❤

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 місяці тому +19

    Ahsante san kelvin na timu yako tunawapenda saaana❤❤❤❤

  • @Esther01-g1h
    @Esther01-g1h 3 місяці тому +122

    Tunaoamini huku kwenye jamii kuna wanawake wenye gubu kama Tina like hapa😂😂😂😂😂Nawapenda❤❤❤

  • @OmarNzohabonayo
    @OmarNzohabonayo 3 місяці тому +33

    Duuu Japo nimecelewa nawapenda sana team strong🇴🇲🇴🇲🇧🇮

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 місяці тому +173

    Wangp wanaona pingo kwa mama kelvin 😂😂😂team donta family mko wapi jmn team strong hoyeeeeeeeeee 😂😂 nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦

    • @Fatuma1985
      @Fatuma1985 3 місяці тому +1

      Hoyee sana warauka wewe😂😂tuko ndan hatupotwi watching from Qatar yaN likua naingia nikitoka tuu😂😂😊

    • @FghgRyy
      @FghgRyy 3 місяці тому +1

      Limpate haaswaaa maana alimng'ang'ania Tina sanaaaa 😂😂

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 3 місяці тому +2

      @@Fatuma1985 😂😂😂😂 nkupenda bure

    • @MwanalimaMwalimu-c4m
      @MwanalimaMwalimu-c4m 3 місяці тому +1

      Nakupenda nikiwa Jeddah 😂😂😂limkute kabisa huyo mama

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 3 місяці тому +1

      @@FghgRyy kbsaa naomba ibyo

  • @MercyKahindi-go2nr
    @MercyKahindi-go2nr 3 місяці тому +56

    Woow nmewai leo 🎉🎉 kudadeki na sitaki like zenu.ukigusa comment yngu nakutongoza😂😂

    • @ثامركعبي-ي1ق
      @ثامركعبي-ي1ق 3 місяці тому +1

      Kutongoza 😂😂😂😂

    • @KKK-v6j
      @KKK-v6j 3 місяці тому +1

      Mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂

    • @SuzanaDudiyeck-v2i
      @SuzanaDudiyeck-v2i 3 місяці тому +1

      Nitongoze😀😀😀😀

    • @AnsaB-j2m
      @AnsaB-j2m 3 місяці тому +1

      Tongonza😂😂😂

    • @MercyKahindi-go2nr
      @MercyKahindi-go2nr 3 місяці тому +1

      @@ثامركعبي-ي1ق 😂😂😂😂😂 Ni kutongozwa unataka sioo

  • @mercynanjala1757
    @mercynanjala1757 3 місяці тому +25

    Wa kwanza leo kutoka kenya naombeni likes

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 3 місяці тому +5

    Kelvin jitahidi San umuowe love saw nawapenda san❤❤❤❤

  • @SanuraNamlola
    @SanuraNamlola 3 місяці тому +21

    Na support sana candy hamesimama kiume mpaka yuwa sence kitu kibaya katika maisha yao asichokijua kevi hongera sana candy

  • @abdulmutwi
    @abdulmutwi 3 місяці тому +1

    Kama keeli unamuamini mungu na uko hai kwa abilit yake bas dondosha like hapa kwa kelvin na loveness 💏😅

  • @Hope-dq1or
    @Hope-dq1or 3 місяці тому +52

    Naombeni like ata moja jameni nami nijihisi ka na pendwa❤ kwa sababu toka nianze kufuatilia hii movie sijai pata hata like ishirini

  • @MwaliSuleih
    @MwaliSuleih 3 місяці тому +5

    Kazi inazid kubamba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Bamba kbxa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongereni xn washiriki wote mnazid kutufunza

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 3 місяці тому +83

    Like tano wakenye wenzangu 🎉

  • @AngelinaAgustino
    @AngelinaAgustino 3 місяці тому +11

    Kelvin mpe talak candy umuoe love❤❤❤ sem kazi nzur bigup bro🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DaniJuma-kd2cn
    @DaniJuma-kd2cn 3 місяці тому +15

    The first one duh 😅aki mnipee likes❤Kenya 🥰😊

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 3 місяці тому +7

    Alihamundulih ❤❤❤❤❤ hakika najifunza sana. Congratulations my brother Calvin

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 3 місяці тому +36

    Leo ctk like zenu😢 juu hua mnaninyima daily 😢

  • @AntoniopedroPedrokingnobafo
    @AntoniopedroPedrokingnobafo 3 місяці тому +8

    Kazi njema kelvin mimi nakubari sana filamu zako nipo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @esthermsango5849
    @esthermsango5849 3 місяці тому +52

    Anayeangalia hii movie mungu ambariki

  • @FatumaMalanga-l9n
    @FatumaMalanga-l9n 3 місяці тому +12

    Kwani mnalalaa humu jamani😂😂😂nipeni hata like Tano basii

  • @MwanaaHawaa
    @MwanaaHawaa 3 місяці тому +31

    Wakwanza leo aki mnipe like

  • @alliceMakasi
    @alliceMakasi 3 місяці тому +20

    Am the first one today ,, nipeeni likes from 254 murang'a...

  • @ShazChem
    @ShazChem 3 місяці тому +2

    Kelvin wewe ni Mwandishi wa Tamthiliya nimefurahia hkii God akutie nguvu,ila tuu kwa kweli nimeboeka kwa familia ya kina Tina wanaotaka kukuangamiza,🤔🤔🙄haiwezekani,,kuna watu wanaopitia haya kwa kwelii...❤😂😂🎉Maua yako Kevi

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 3 місяці тому +9

    Hapa kieleweke sasa tina kitamtokea puani movie swaaafy❤❤❤❤sana

  • @JumaMdoe-h4z
    @JumaMdoe-h4z Місяць тому +1

    Dah sema nyie mijamaaa mnajua kuigiza

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 місяці тому +35

    We jamani tulikua na shauku atimae mnzingo hume wasili🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wenzangu he nipeni like 🎉🎉🎉🎉

  • @Mygirl_1032
    @Mygirl_1032 3 місяці тому +6

    Kevin napenda Sana kazi yako from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @BethChege-p8d
    @BethChege-p8d 3 місяці тому +9

    Kelvin na loveness nimewamiss....hopes hamtaenda break tena hadi tumalizie...

  • @Clamcris-y
    @Clamcris-y 3 місяці тому +6

    Aki Tina ananibore,.anaangalia tu kama malaya, mi naweza ua uyo changudoa😂😂😂😂😂

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 3 місяці тому +9

    Nmekuwa wa kwanza leo kucoment pamoja na kulike

  • @55goodmen
    @55goodmen 3 місяці тому +2

    FIlamu nzuri sana tunajivunia watz na waafrica ughaibuni kuona watu home wana talent nzuri sana big up to the creator director and actors and actresses. Tina actor poa napenda sana anavyokasirika.....Loveness very innocent girl....Kelvin such a gentleman etc I am proud of my fellow Africans.....Hii movie ughaibuni inashinda kwa bei nzito tu

  • @mubajoti743
    @mubajoti743 3 місяці тому +23

    Wa kwnz leo hem nipen like kw wing bas team calvin

  • @RovaniaAllen
    @RovaniaAllen 3 місяці тому +5

    Kelvin alafu tunaomba muwai kutuletea epsod jmn ❤❤

  • @ZuhuraMasud-u2w
    @ZuhuraMasud-u2w 3 місяці тому +34

    Nimewahi leo team strong muko wapi

  • @ZeynahKassitah
    @ZeynahKassitah 3 місяці тому +10

    Tang nianz kuwatch hii move sijawah pew like

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 3 місяці тому +10

    Tina anaenda kuchawi watu sasa akisha gundulika leo tabia zake akataliwe kwakina kelvin najua loveness nakilvine wata rogwa wasipendane vita ndio kwaaanxa sasa😂😂😂

  • @KabweTatu
    @KabweTatu 3 місяці тому +4

    Loveness kabinuwa mdomo na kuondoka😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @HanifaMohammed-n4r
    @HanifaMohammed-n4r 3 місяці тому +26

    Wakwanza Leo naombeni like zangu

  • @CharlesWekesa-z1m
    @CharlesWekesa-z1m 3 місяці тому +2

    Yani wewe kev,dr,khan wee mnoma sana hizi picture daah i salute you bigup bro.

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 3 місяці тому +14

    Kitawaramba familia yake tina😅😅😅kama unakubali rusha like apa 😅😅

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 3 місяці тому

    Tina ni mzuri sana but ni kivuluge ndo maana tunamchukia sanaa walio ona kama mie like moja tuuu

  • @IRANKUNDAANASIATY
    @IRANKUNDAANASIATY 3 місяці тому +4

    Wanampango wakudhulumu mali yakwao Kelvin nawawe wamiliki wamalihio, mnipeni like zangu

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 3 місяці тому +2

    Eeh nyiee hii series inaenda kuwa kali.. alooh🙌🙌mama yenu Donta..tatizo mnachelewesha sasa😢

  • @BethChege-p8d
    @BethChege-p8d 3 місяці тому +9

    Finally mmerudi.....shukran watu wangu

  • @FloNoti
    @FloNoti 26 днів тому +1

    Ila wazazi jamani😢😢😢😢mbona mtumie msichana wenye kwa ujinga ivi

  • @DarcMuvuyi
    @DarcMuvuyi 3 місяці тому +11

    Miye njo wa kwanza kutoka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ElizabethHosea-m8h
    @ElizabethHosea-m8h 3 місяці тому +2

    nampenda tina jaman anakashkash uyo movie inanoga😂😂

  • @GreysonMax
    @GreysonMax 3 місяці тому +9

    Mmi wa kwanza naombei like apa

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 3 місяці тому +3

    Sema hizo make up za Tina nimeshindwa kuvumilia 😂😂😂😂😂😂

  • @Deborah-v5q6k
    @Deborah-v5q6k 3 місяці тому +14

    Wa qwanza Leo kutoka Saudi Arabia... Nipeni likes zangu jamani

  • @OBARIOSCAR
    @OBARIOSCAR 3 місяці тому +1

    Nashkuru sana Kaka Kelvin,ila tena usichukue muda mwingi sana kutuandalia mazito,mazuri..Kenyan Boychald following 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NiyonsavyeErnest
    @NiyonsavyeErnest 3 місяці тому +2

    Cha msingi sichoki kukupongeza maana WE ni mwakilishi wetu ❤❤❤pili jaribuni bas ata kutuongeza dakika 30 . Zaidi ya yote tunajivunia kwa kipaji chako asanteni ❤❤❤❤

  • @rochelle8552
    @rochelle8552 3 місяці тому +2

    Mambo yameanza kua moto Sasa adi moyo wanienda mbio woyee 🙆 niku noma noma San👏

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 3 місяці тому +13

    Wale tunaocomment ndo tumalizie episode gongeni like hapa😂😂😂😂

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 3 місяці тому +1

    Tulioona Miguu ya Tina Nan Ina Makovu Atal 😅😅

  • @KalinkoKing
    @KalinkoKing 3 місяці тому +13

    Jamani siuni kama hudem atapata pesa labda kifo mana duu family Tina hatakubali kama wakubali like zenu basi

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 3 місяці тому

      Yeye Ndio Anakuwa hasemi Ukwel jee angemwambia candy isinge fika huko y Ana ficha Mwisho Wa Siku Atavuna alicho panda

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 3 місяці тому

      Hata mie nashangaa. Kila siku anazidisha dau tu. Mwisho wa siku watamuua

  • @LazaroZabron
    @LazaroZabron 3 місяці тому

    Broo Kevin dakika chache zinaua vibe tazama ata kazi za kp na zeeb zinaenda hadi lisaaa bac ata dakika 40 au siyo wanetu gongaa like hapoo tujuanee

  • @JosephineChoma
    @JosephineChoma 3 місяці тому +5

    Ata kama nimechelewa lakin nimewahi jamani naombeni likes ata km moja tu

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 3 місяці тому

    Mi Sina neno mola awajalie wotee wahusika mfike mbaliiii maua yenuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MargretMburu-z2x
    @MargretMburu-z2x 3 місяці тому +5

    Much love Kwa wasanii WA donta🎉❤,lakini hamalizi kazi zingine mfano Siri ya bangili

  • @DaudyMagina
    @DaudyMagina Місяць тому +1

    Dev mungu akupe maisha marefu

  • @GloriahMwende-tl9qu
    @GloriahMwende-tl9qu 3 місяці тому +8

    Nimekuwa wa mwisho acha nicoment haraka kabla nipewe like

  • @PhostineWaswa
    @PhostineWaswa 3 місяці тому +2

    Nampenda sana babake kev n mzazi mwenye busara na mawaidha nadhifu beside babake Tina a monster 😊

  • @LinetNjue-m1g
    @LinetNjue-m1g 3 місяці тому +2

    Kevi unamajibu wewe,😂😂😂😂 ulivyo mjibu tina

  • @Sitiabdhallah
    @Sitiabdhallah 3 місяці тому

    Hivi huyu secretary anajua anachofanyiwa anae sema kua hataki kumuona hata akivuta pumzi Diana mwenye anaamini secretary kitamramba gonga like 👍 👌

  • @ZAHARA-s2m
    @ZAHARA-s2m 3 місяці тому +3

    Patamu hapo Tina kule na mwanasheria huku naye Diana na kend mambo shanta shanta next please donta TV tunakupenda sana 🎉🎉🎉 maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AlexNyimbili
    @AlexNyimbili 3 місяці тому

    yaan mm hadi najikuta kuchoka kila nkiomba like hata hamnipi daaah nanakua wakwanza tyuuu

  • @CarolineShadrack
    @CarolineShadrack 3 місяці тому +2

    Kazi nzuri sana big up but mnatucheleweshea jamani mkimbizane na muda❤

  • @SalimOmar-xu6fp
    @SalimOmar-xu6fp 3 місяці тому

    Haki tunafurahi kuona Donta Tv wakitupa uhondo kamili ila mnachelewa kuleta video kwa muda mfupi. Alafu tunaomba basi muongeza hata muda wa clip iwe ndefu kiasi, wapi likes kama mna kubaliana nami.

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 3 місяці тому +3

    Mambo ni mengi muda ndio mchache move iko sawa mto sana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SabinaKioko-i1f
    @SabinaKioko-i1f 3 місяці тому +1

    Very sweet ...yaani iii iko sawa kuliko zote 🔥🔥🔥🔥🔥💗💗💗💗💗💕💕💕💕💕💕💕💕👍

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 3 місяці тому +8

    Dah! Kend chukua maua yako 🎉🎉🎉Naona uko mbele kelvin ata amin kuwa ulichozungumza ulikua unamaanisha❤❤❤❤

  • @NdojeMaloda
    @NdojeMaloda 3 місяці тому +1

    Kazi nzuri Sanaaaaaa ❤❤ matukio Yamepangiliwa vizuri sanaaaa 🔥 🔥 dakika 25 hazitoshi kabisa lakini tunafurahia Na kuburudika kila episode 😊😊 team kelvin team strong sana ♥️ ✔️ mtafika mbali sanaaaa 🔥 🔥

  • @SmilingBoat-os3mo
    @SmilingBoat-os3mo 3 місяці тому +7

    Wa Kwanza mimi jaman npeni mauwa yangu💚💚💚

  • @sakina5550
    @sakina5550 3 місяці тому +1

    Nani kaona miguu ya tina 😂😂😂 candy kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉

    • @SashaKhamis
      @SashaKhamis 3 місяці тому

      Kujishaua kote huku... Anamiguu mibaya atar😂😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 20 днів тому

      😂😂😂nilidhani nimeona peke yng

  • @MbarakaSefu-w6y
    @MbarakaSefu-w6y 3 місяці тому +2

    Leo baba kelvin umeongea point safi❤chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉