Tina naona kitaenda kumramba mda sio mrefu candy ashamuona wakikumbatiana next n kelvin anaitwa ajionee mwenyewe kimrambe hivyo na loveness apate chance vizuri mashallah 🎉🎉❤❤❤
Mama kelvin kajitakia hayo yy mwenyewe Leo kaukiza swali lkn cjaona kama amejibiwa kwa swali lake hata moja kesho nikumbwaga kofi na tinah mwenye anaamini yangu kalike tu tukisonga n mm wenye kutoka kenya
Team strong 💪💪💪 chukue maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉bana kazi safi sana ,japo Nilifaa kuwepo ndani ya movie ndio niwe nakuletea umbea Kevin 😂😂😂, vitu vingi ujui ujue??😅😅😅 Ama umweke baba levo niaba yangu manake duuh 😅😅😅😅😂😂😂
Watu wana roho ngumuuu nyiee yani kumbe tena wanamzunguka tena huyo secretary waiiii ananyweshwa dawaa😢😢 Jamani jamani usaliti ni mbaya.na haya yapo kweny jmnii tuliyonayo
Daaah.. mpka Leo nime comment... So poah mnafanya kila day niwe na MB... DONTA TV on 🔥🔥🔥🔥... Bro kelvin na mrembo Loveness big up San hongeren Zaid ya hongera sitochoka kufuatiria kaz zenu... Mnafanya vzr Zaid ya vzr.... MUNGU awabarik nyote DONTA TV Kwa kaz nzur mnayo ifanya..,.
Next time,nawashauri mbadilishe majina,pia nawashauri pia muwe muchague jina la movie lenye mvuto wa kibiashara.. Acheni hayo mtoto wa boss mnarudia jina moja tuh
Team hamamum hoyeeee yaani xx ivi naona maombi yngu yakijibiwa hii ndoa inaenda kuvunjika 😂😂😂 km tuko wengi tumwage 🎉🎉🎉kw ajili y kaka kelvin n loveness like tukisonga ❤❤🇰🇪🇸🇦
Ujue from episode one mpaka hapa mlipofikia Familia ya Kelvin hatuoni utajiri wao unajishughulisha na nn inshort fanyeni kitu kuishii hata miaka 10, tunahitaji uhalisia kuona shughuli gani ya kiuchumi family ya Kelvin inajiushia ni kama vile loveness alikuwa anachoma chips kazi mzuri ongozoni ubunifu
Congratulations Kelvin yaani haujatuangusha hata kidogo🎉🎉🎉🎉unaweka mzigo Kwa wakati💯i really love you and the entire family of donta❤KAZI safi kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
VIPI JAMANI LEO NIMEWAHI NIPENI MAUA YANGU 😂❤
🎉🎉🎉🎉
❤
Kaka Kevin naomba kuigiza na nyie hata mi naweza sana😢
Naomba kuingia ktk kundi lako mm ni mwigizaji mzur sana
🎉🎉🎉 hayoo apo
Kelvin. Tunaomba angalau episode iwe na dk hata 40 tuinjoi wanaoniunga mkono gonga like apo
🎉🎉
Kweli
Kabsa hapo umesema
Kweli inaisha time imeshika😢
Kwel ❤
Team strong team loveless hoyeee❤❤❤❤❤ tujuane kwa likes anaeamini kama love ataolewa na Kevin 💖 tujuane.....watching from Saudis 🇸🇦 💖 ❤🎉
Team strong tupe nilikuwa huko last year after contract mwaya sai nipo qatar 😂😂😂
@@judithogaya9730 😂😂😂bdo nasugulia hammam saudi mwaya any way nice to meet you dear 😘 😊
❤❤❤❤❤
Hoyeee team loveness ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖
Nampenda Candy jaman 😢 mnipe like kwa Wanaompendaa❤❤❤❤❤
❤❤❤
Mimi nawapenda wote. Ispokua Tina tu cmpendi.
@@umfahad2609 makasirio 🤣
❤❤❤@@umfahad2609
Mungu akubariki wewe unae😂soma hi comment
Amin🙏
Ameen
Nawapenda san mtuletee yakufata mbon bitu binavurugika
Na kwako pia
Amina 🙏
Team strong mko wapi jmn team donta family 🤗 nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰🥰 🔥 majuto n mjukuu mama Kelly
Vp
Tupo kipenzi 🎉🎉🎉🎉
Riyadh pia
Tupo
Nan ako madinah❤❤🎉🎉
Tunaosubiliii kuumbuka kwa tinaa tujuaneee me number one
Me namba two
Kama unamkubali Kelvin,,,,pita na like Moja,,,, watching form US
Atimae mnzingo umeingia acha tuone drama natokea kenya 🇰🇪 Jamani wakenya wenzangu na wengineo nipeni like zenu🎉🎉🎉🎉
Tina naona kitaenda kumramba mda sio mrefu candy ashamuona wakikumbatiana next n kelvin anaitwa ajionee mwenyewe kimrambe hivyo na loveness apate chance vizuri mashallah 🎉🎉❤❤❤
Mm ni wa kwanza leo wanaomkubali loveness gonga like hapa🎉🎉
Kwa mara ya kwanza nimewahi na mimi,,wanaompenda Love Nes gonga like hapa❤❤❤❤
Mpaka leo nimekua wakanza jamani nipeeni like za kutosha wanangu
Jamani jamani,jamani nimesema mara ngapi, movie ni moto sasa sijachelewa leo nipeni ata like kumi jamani from Kenya 🇰🇪 currently Qatar 😂❤
Waooo nmekuwa wa ushirin leo mambo ni moto ata like kumi jmn
Kelvin naomba like zangu 🌹🌹🌹
Hallo
Mimi wakwaza nikiwa Moçambique naombeni like angalau 10 wana donta TV
Team lovenes tujuane hapa from kenya 🇰🇪
🇰🇪
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe unaesoma comment hii mungu akupe hitaji la moyo wako ❤❤❤
Na kwako pia❤❤❤
Amina 🙏
Amiin
Amen.na wewe pia❤
Amen
Mama kelvin kajitakia hayo yy mwenyewe
Leo kaukiza swali lkn cjaona kama amejibiwa kwa swali lake hata moja kesho nikumbwaga kofi na tinah mwenye anaamini yangu kalike tu tukisonga n mm wenye kutoka kenya
😂😂😂we acha tu kitamlamba
Like moja kwangu wakenya 🇰🇪
Lelvin nakukubali kabisa ku🎉🎉🎉🎉watupatiya muvi kilasiku mungu akubariki😊
Nous vous aimons bcp nous les congolais ❤❤❤❤
Mimi ndo sijawahi kupata likes kabisa
Me wa mwisho naomba like zenu
kelvin kina Daina na mke wa kiss wanabore sana kwenye hii movie braza if it possible give them a break
Lakn unajua movie Mahal imefika Diana ndio kila ktu
@@MercyKahindi-go2nr ni sawa marcy sina cha usemi mm
Team strong 💪💪💪 chukue maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉bana kazi safi sana ,japo Nilifaa kuwepo ndani ya movie ndio niwe nakuletea umbea Kevin 😂😂😂, vitu vingi ujui ujue??😅😅😅 Ama umweke baba levo niaba yangu manake duuh 😅😅😅😅😂😂😂
Nilikuwa natamani sana, mmoja wa family ya kelvin ajue kuwa Tina anatoka njee Sasa imefahamika 😂, msicheleweshe Jaman Wana DONTA TV
Hahah njooni mnicheke na ujanja wangu wote nmekuwa wa mwishooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza jamani naomba tujuane tuloanza mwanzo hadi kipande cha leo..mungu awabariki sana🙏
Tena ukiwa hivi tutakupenda zaidi tunakupenda sana🎉🎉🎉🎉🎉 umewaisha movie
Watu wana roho ngumuuu nyiee yani kumbe tena wanamzunguka tena huyo secretary waiiii ananyweshwa dawaa😢😢 Jamani jamani usaliti ni mbaya.na haya yapo kweny jmnii tuliyonayo
Wakwanza Leo jomon team DONTA TV burudani kwa wote 😊😊
Mama kelvin na bado huo nimwanzo tu picha lenyewe linakuja utaliona pole mummy😂😂😂😂😂
Team strong 🎉🎉🎉 naombeni like zenu japo kidogo tu nawapenda na worch Niki Riyadh ❤❤❤
Ati wanao support kutoka kenya hawapati like?
Team strong 💪 yoooyeeeeee mwenye anakubali lovenes ataolewa n kevo gonga like apo twende nalo tina kayatimba sasa🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Daaah.. mpka Leo nime comment... So poah mnafanya kila day niwe na MB... DONTA TV on 🔥🔥🔥🔥... Bro kelvin na mrembo Loveness big up San hongeren Zaid ya hongera sitochoka kufuatiria kaz zenu... Mnafanya vzr Zaid ya vzr.... MUNGU awabarik nyote DONTA TV Kwa kaz nzur mnayo ifanya..,.
Yaani donta mko vizuri sana Kwa kweli mpo motoo vibaya mnooo mpokee maua yenuuu💐🌹🌺🌷🪴🏵️🌻
Safi sana kevin.ila huyo Tina wako daaa 😮😂😂😂😂
Oyooo wale waloona loveness tayali ashaanz kumpenda kelvin tujuane hapa kwa likes
Jaman Tina hafai ata kwa Bure jmn kelvn huna mke apo tafta Bora umuoe loveness
🎉❤❤❤...Ntazidi kuwapenda nyie wana Dontah mumenielimisha zaidi..Alhamudulilahi..Kaka Kelvin najuwa kuniangusha naye huwezi cheza kiwewe...Tunataka Harusi baina yako na Dada Loveness
Nice meeting points....ucku hua ñdio best....Yani mapema ndio best....alafu mbn imeishia mahali patamu xna....inaitwa onces beaten twices shy....loveness kapata chance rahisi xna....Yani Ata akikosa n upuzi wake mwenyewe....unaanzaje anzaje kukosa penalty na ata kepper kaanguka ...😅😅
Nipeni like zangu namm nimekuwa wa kwanza
Next time,nawashauri mbadilishe majina,pia nawashauri pia muwe muchague jina la movie lenye mvuto wa kibiashara..
Acheni hayo mtoto wa boss mnarudia jina moja tuh
Mi wa kwanza naombeni like nawapenda sana 🥰🥰🥰
Nampenda Sana Loveness na Kelvin kwa hii Movie ❤ Yani Mwanibamba Sana 🎉Makofi kwangu 👏👏makofi Tena👏👏😂🤣
Yan watu mmejaaa atapakukanyaga amnaaa niwekeni began jmniii na mimi nionee😂😂😂
Oyooo nimechelewa jamani ila tuko pamoja kutoka Kenya kama kawaida mama kelvin ashaanza kushutuka apewe mauwa yake🎉
Wakwanza Leo from Kenya love you donta tv❤❤❤❤
Sasa Leo Wifi atamsema mwenzake Ndoa itaishia papo hapo hata Mungu amejibu maombi yangu Sasa loveless atakua mpenzi WA Kelvin😅
Ila nyie wadada hivo vimini daaa 😢😢😢 kwan hamuwez kuigiza bila kuacha mipaja nje
Daahhh kaka saiv hatuna deni na nyie mnatoabkaz ndani ya muda kaz nzuri sana tupo pamoja from Dodoma bungeni
Wooooooow streaming from +254 🇰🇪🇰🇪
Am the 1st 2 say it! Kali sana Kevin napenda hii ❤
Nimejifunz kitu kabla ya kusain usome kwanz maelez maan unawez kujikut unapew million 3 baad y 50😂😂😂
Mama calvin yashaanza kukutokea puani mkwe ulomchagua ndo huyo utajua hujui
Dah sikutaman iishe, kelvin na timu yako mko vizur chukua hiyo💯❤️❤️❤️
Jamani nimengoja Kwa hamu saana tafadhali tujuane hapa ❤
Kelvin dakika umetunyima aky tuongezee mda wnye mnasupport kelvin atuongezee mda gonga hpo
Kutoka Nairobi Kenya naomba likes zenu Jamani
Wakwaza naombeni like zangu😊
Namimi leo munipe likes zangu😅😅😅😅
Kwa kazi ipi uliyofanya?
Safar hii umetisha kelvin ❤❤❤kwa style hii 2tafika
Jamani Leo me ndio wa kwanza nipewe laiki zangu
Leo umewahi kelvin hongera twasubiri next expisode cheza kama wewe,,kama unapenda mungu weka like tukisonga
Me wa kwanza naombeni like
Wow wakwanza leo naomba like zenu donta tv
Being number one from kenyaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kelvin tunachukuru kwakazi ogerasana tenasana ❤❤❤❤❤
Jaman wa 50 Leo Wap wafuas Wa keen Tujuane plz 🙏 ❤❤❤
Oyaaaweee kinaend kuuman😂😂😂😂😂
Nimewahi Leo nipeeni likes 🎉🎉🎉team strong
Team hamamum hoyeeee yaani xx ivi naona maombi yngu yakijibiwa hii ndoa inaenda kuvunjika 😂😂😂 km tuko wengi tumwage 🎉🎉🎉kw ajili y kaka kelvin n loveness like tukisonga ❤❤🇰🇪🇸🇦
Tupo timu hamamum 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 inaenda kuvunjika
Wah ya leo moto kelvin tena mahali imefikia ndo inabamba tu mungu akujalie nguvu kwa kazi yako nzuri..
niko hapa shaghala mwenzangu😂😂
@@khadijaali8902 swa pamoja
Umechelewa sanaa,, sisi atulali tunatafuta move kilamuda😅
Kumechemka woyeee 😮😮😮😮 wenye tunasubiri kuumbuka kwa tina gonga like.......mama Kelvin jmn kajidunga mwiba mwenyewe
Mnipee like ya loveness na Kelvin ❤️🥰
Wa kwanza leo from Congo Kolwezi liké zangu jaman 🎉🎉
Jitahidi hvy hvy kelvin kak Leo umewah xan
Movie naipenda sana na msitie mauganga huko mbele😅wala isiishe araka congratulations wapenzi
Am in love with donta who else🎉❤❤
Ujue from episode one mpaka hapa mlipofikia Familia ya Kelvin hatuoni utajiri wao unajishughulisha na nn inshort fanyeni kitu kuishii hata miaka 10, tunahitaji uhalisia kuona shughuli gani ya kiuchumi family ya Kelvin inajiushia ni kama vile loveness alikuwa anachoma chips kazi mzuri ongozoni ubunifu
Naomba priority Kwako kelvin,,
Congratulations Kelvin yaani haujatuangusha hata kidogo🎉🎉🎉🎉unaweka mzigo Kwa wakati💯i really love you and the entire family of donta❤KAZI safi kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimefika nawapenda sana ❤❤❤❤
Umetisha tupe mambo tina ameyaona niko pale....nasubili final
Hingereni saana wana Donta kwa kazi nzuri. Nakuombeeni kl la heri na mafanikio zaidi. From Oman 🇴🇲
Me wa kwanza leo like zen kwa weng🎉
Kweli we wa kwanza
Leo ni mimi wa kwanza kutoka kenya
Tina dadangu kimekuramba naona uko karibu kuachwa loveness aolewe i love you loveness and kelvin ❤❤❤❤
Na mimi Leo nahitaj like Zang jmn😂😂😂
Tina afukuzwe jamani 😢amampea stress kelvin🇰🇪🇰🇪
Nakubali sana master movie 😊😂😊😂😊🎉😊🎉😊🎉😊😢😊😊😢😊
Hii move inaanza kua mbaya sasa kelvin na loveness hawaonekan sanaa
Am the fast one give me likes
Leo wakwanza from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Duuh naleo tena nimewah lakini duuh
Kevin filam zako nimewashawishi adi mabosi zangu uku maskati omani familia mzima wote tunakufatilia
😂😂 wanajua kiswahili
Ndo kuingia kazi safiii❤
Loveness jipe moyo mama hivi karibuni utakuwa mama mjengoo
Na mm leo jamani naombeni like ata kumi tu😅
Inafaa sana umuoe lovenes ndo itapendeza sana lakn sio kweny move tu