PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 27 | Love Story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 2,5 тис.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  3 місяці тому +1888

    VIPI JAMANI LEO NIMEWAHI NIPENI MAUA YANGU 😂❤

  • @MuemaChristopher
    @MuemaChristopher 3 місяці тому +161

    Kama unamkubali Kelvin,,,,pita na like Moja,,,, watching form US

  • @TongeOfficial-cn1on
    @TongeOfficial-cn1on 3 місяці тому +333

    Nampenda Candy jaman 😢 mnipe like kwa Wanaompendaa❤❤❤❤❤

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 3 місяці тому +107

    Tina naona kitaenda kumramba mda sio mrefu candy ashamuona wakikumbatiana next n kelvin anaitwa ajionee mwenyewe kimrambe hivyo na loveness apate chance vizuri mashallah 🎉🎉❤❤❤

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 3 місяці тому +7

    Mi nishakuwa na mkosi kazi yang ni kuwap like wengne mi hata moja kwa kelvn and loveee naombeni hta mojaaa🎉🎉🎉

  • @sospeterkinunda
    @sospeterkinunda 3 місяці тому +308

    Tunaosubiliii kuumbuka kwa tinaa tujuaneee me number one

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od 3 місяці тому +984

    Kelvin. Tunaomba angalau episode iwe na dk hata 40 tuinjoi wanaoniunga mkono gonga like apo

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 місяці тому +107

    Atimae mnzingo umeingia acha tuone drama natokea kenya 🇰🇪 Jamani wakenya wenzangu na wengineo nipeni like zenu🎉🎉🎉🎉

  • @JanethJoseph-tq2ns
    @JanethJoseph-tq2ns 3 місяці тому +28

    Nilikuwa natamani sana, mmoja wa family ya kelvin ajue kuwa Tina anatoka njee Sasa imefahamika 😂, msicheleweshe Jaman Wana DONTA TV

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 3 місяці тому +8

    Muache ubinafsi tupo sote mwanzo mpaka sasa hata like hamnipi😅😢ila nawapenda nyote❤❤❤hatimae candy ashajuwa ukweli sasa bado Diana amdokezee hayo mengine 😅 waaah mama Tina n baba Tina wauwaji kweli 😢alfu kelvin kuwa makini utapoteza kampuni ya bbko😢😩

  • @Theavairable
    @Theavairable 3 місяці тому +71

    Mimi ndo sijawahi kupata likes kabisa

  • @Esther01-g1h
    @Esther01-g1h 3 місяці тому +59

    Kwa mara ya kwanza nimewahi na mimi,,wanaompenda Love Nes gonga like hapa❤❤❤❤

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz 3 місяці тому +287

    Team strong team loveless hoyeee❤❤❤❤❤ tujuane kwa likes anaeamini kama love ataolewa na Kevin 💖 tujuane.....watching from Saudis 🇸🇦 💖 ❤🎉

    • @judithogaya9730
      @judithogaya9730 3 місяці тому +3

      Team strong tupe nilikuwa huko last year after contract mwaya sai nipo qatar 😂😂😂

    • @Glorian-iv6xz
      @Glorian-iv6xz 3 місяці тому +1

      @@judithogaya9730 😂😂😂bdo nasugulia hammam saudi mwaya any way nice to meet you dear 😘 😊

    • @mwalukoanza
      @mwalukoanza 3 місяці тому +1

      ❤❤❤❤❤

    • @AminaSada-h4p
      @AminaSada-h4p 3 місяці тому +1

      Hoyeee team loveness ❤❤❤

    • @MariamMohamed-k7z
      @MariamMohamed-k7z 3 місяці тому +1

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖

  • @amanimziray8825
    @amanimziray8825 3 місяці тому +21

    Jaman Tina anaenda kuumbuka mda sio mrefu kama unawaza kama mimi angusha like apa💪💪

  • @abdulmutwi
    @abdulmutwi 2 місяці тому +2

    The story as a ending as mtutua maji was a good story and a good endingLet's continue watching until the end of the story we shall be happy and learning a good story Kevin and loveness continue doing what you are doing the best job continue taking us to love what we have in our lives and continue giving us a good memories and a bad memories in our lives don't tell family continue teaching us what we have we don't have and respect what we have what we don't have continue doing the best job❤🎉🎉💯

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 місяці тому +159

    Team strong mko wapi jmn team donta family 🤗 nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰🥰 🔥 majuto n mjukuu mama Kelly

  • @OmarAli-vj9kg
    @OmarAli-vj9kg 3 місяці тому +374

    Mungu akubariki wewe unae😂soma hi comment

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 3 місяці тому +19

    Watu wana roho ngumuuu nyiee yani kumbe tena wanamzunguka tena huyo secretary waiiii ananyweshwa dawaa😢😢 Jamani jamani usaliti ni mbaya.na haya yapo kweny jmnii tuliyonayo

  • @milkahmachana
    @milkahmachana 3 місяці тому +7

    Kumechemka woyeee 😮😮😮😮 wenye tunasubiri kuumbuka kwa tina gonga like.......mama Kelvin jmn kajidunga mwiba mwenyewe

  • @DeanrobertIshara
    @DeanrobertIshara 3 місяці тому +6

    ❤❤❤ una ya stahili harakisheni tufike mwisho nataka kukuona umemupa Love es nafasi

  • @KautharSaleh-y8q
    @KautharSaleh-y8q 3 місяці тому +123

    Mm ni wa kwanza leo wanaomkubali loveness gonga like hapa🎉🎉

  • @sadikhanboy
    @sadikhanboy 3 місяці тому +23

    Nampenda Sana Loveness na Kelvin kwa hii Movie ❤ Yani Mwanibamba Sana 🎉Makofi kwangu 👏👏makofi Tena👏👏😂🤣

    • @ZuwenaJabir-o8z
      @ZuwenaJabir-o8z 3 місяці тому

      👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 3 місяці тому +66

    Jamani jamani,jamani nimesema mara ngapi, movie ni moto sasa sijachelewa leo nipeni ata like kumi jamani from Kenya 🇰🇪 currently Qatar 😂❤

  • @KalinkoKing
    @KalinkoKing 3 місяці тому +11

    Oyooo nimechelewa jamani ila tuko pamoja kutoka Kenya kama kawaida mama kelvin ashaanza kushutuka apewe mauwa yake🎉

  • @AmosNyongesa-ze1mg
    @AmosNyongesa-ze1mg 3 місяці тому +51

    Kelvin dakika umetunyima aky tuongezee mda wnye mnasupport kelvin atuongezee mda gonga hpo

  • @AsiphiwePhilemon
    @AsiphiwePhilemon 3 місяці тому +34

    Hahah njooni mnicheke na ujanja wangu wote nmekuwa wa mwishooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 місяці тому +21

    Nice meeting points....ucku hua ñdio best....Yani mapema ndio best....alafu mbn imeishia mahali patamu xna....inaitwa onces beaten twices shy....loveness kapata chance rahisi xna....Yani Ata akikosa n upuzi wake mwenyewe....unaanzaje anzaje kukosa penalty na ata kepper kaanguka ...😅😅

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 3 місяці тому +23

    Tena ukiwa hivi tutakupenda zaidi tunakupenda sana🎉🎉🎉🎉🎉 umewaisha movie

  • @SamuelIshara-d7f
    @SamuelIshara-d7f 3 місяці тому +1

    Nawapeni pongezi jameni kwa kazi nzuri munaendelea kuifanya, hakika mumetupa funzo mengi sana❤❤❤❤❤

  • @WssWss-w3p
    @WssWss-w3p 3 місяці тому +6

    Waah 🤔🤔 good job guys am watching from saudi Arabia 🇸🇦 ❤❤❤

  • @ernestraymond4006
    @ernestraymond4006 3 місяці тому +7

    Ujue from episode one mpaka hapa mlipofikia Familia ya Kelvin hatuoni utajiri wao unajishughulisha na nn inshort fanyeni kitu kuishii hata miaka 10, tunahitaji uhalisia kuona shughuli gani ya kiuchumi family ya Kelvin inajiushia ni kama vile loveness alikuwa anachoma chips kazi mzuri ongozoni ubunifu

  • @KhanifaJacoub
    @KhanifaJacoub 3 місяці тому +55

    Kelvin naomba like zangu 🌹🌹🌹

  • @RashidKhanOmar
    @RashidKhanOmar 3 місяці тому +86

    Mpaka leo nimekua wakanza jamani nipeeni like za kutosha wanangu

  • @RomaoMauricioGeraldo
    @RomaoMauricioGeraldo 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤ nimeipenda sana hii mungu akubariki sana Kelvin anatupa burudani tuna njoy❤❤❤❤❤

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana 3 місяці тому +1

    Asante kweli Kelvin na week-end tupe ingine épisode panaenda kunoga kbsa😂😂😂

  • @OBARIOSCAR
    @OBARIOSCAR 3 місяці тому +11

    🎉❤❤❤...Ntazidi kuwapenda nyie wana Dontah mumenielimisha zaidi..Alhamudulilahi..Kaka Kelvin najuwa kuniangusha naye huwezi cheza kiwewe...Tunataka Harusi baina yako na Dada Loveness

  • @Gloriarespiki
    @Gloriarespiki 3 місяці тому +59

    Wewe unaesoma comment hii mungu akupe hitaji la moyo wako ❤❤❤

  • @Mygirl_1032
    @Mygirl_1032 3 місяці тому +72

    Team lovenes tujuane hapa from kenya 🇰🇪

  • @ZainshaHassan
    @ZainshaHassan 3 місяці тому +1

    Mm nakupa mau pia nakupend 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @MilkaSumbati
    @MilkaSumbati 3 місяці тому +1

    Jamani mm sijapenda movie ni tamu na inaisha haraka anyways hongera kaka Kevy kwa kazi nzuri❤❤

  • @RehemaIbrahim-wn4ef
    @RehemaIbrahim-wn4ef 3 місяці тому +23

    Mama kelvin na bado huo nimwanzo tu picha lenyewe linakuja utaliona pole mummy😂😂😂😂😂

    • @Pat139enZaeadic
      @Pat139enZaeadic 3 місяці тому

      Waaah sema pole pole dadangu majuto mjukuu😢😢

  • @buguhi3
    @buguhi3 3 місяці тому +10

    Daaah.. mpka Leo nime comment... So poah mnafanya kila day niwe na MB... DONTA TV on 🔥🔥🔥🔥... Bro kelvin na mrembo Loveness big up San hongeren Zaid ya hongera sitochoka kufuatiria kaz zenu... Mnafanya vzr Zaid ya vzr.... MUNGU awabarik nyote DONTA TV Kwa kaz nzur mnayo ifanya..,.

  • @Clintez254
    @Clintez254 3 місяці тому +17

    Ati wanao support kutoka kenya hawapati like?

  • @NdojeMaloda
    @NdojeMaloda 3 місяці тому +1

    Kila mmoja kaigiza poa sana ❤❤ strong team kelvin 😊hakika mnasitahili maua yenu ✅💯 nashindwa ata kusema ni nani anafanya bora sana ila muendelee kutuletea vikongo kama hivii ☕✍️

  • @chidzodunda
    @chidzodunda 3 місяці тому +1

    Tina ndoa imekushinda, bila kumsahau Candy twakupenda sanaa🎉🎉❤❤❤❤

  • @Piliseleman-v6r
    @Piliseleman-v6r 3 місяці тому +17

    Nimejifunz kitu kabla ya kusain usome kwanz maelez maan unawez kujikut unapew million 3 baad y 50😂😂😂

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo 3 місяці тому +37

    Waooo nmekuwa wa ushirin leo mambo ni moto ata like kumi jmn

  • @MussaMatata-d7v
    @MussaMatata-d7v 3 місяці тому +18

    Wakwanza jamani naomba tujuane tuloanza mwanzo hadi kipande cha leo..mungu awabariki sana🙏

  • @kingjunior3898
    @kingjunior3898 3 місяці тому +10

    Oyaaaweee kinaend kuuman😂😂😂😂😂

  • @JEANMARIEIBRAHIMu
    @JEANMARIEIBRAHIMu 3 місяці тому +8

    Kelvin tunachukuru kwakazi ogerasana tenasana ❤❤❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому +10

    Hingereni saana wana Donta kwa kazi nzuri. Nakuombeeni kl la heri na mafanikio zaidi. From Oman 🇴🇲

  • @rachaelnyale9617
    @rachaelnyale9617 3 місяці тому +6

    Movie naipenda sana na msitie mauganga huko mbele😅wala isiishe araka congratulations wapenzi

  • @veronicahnyamweya2855
    @veronicahnyamweya2855 3 місяці тому +38

    Mama kelvin kajitakia hayo yy mwenyewe
    Leo kaukiza swali lkn cjaona kama amejibiwa kwa swali lake hata moja kesho nikumbwaga kofi na tinah mwenye anaamini yangu kalike tu tukisonga n mm wenye kutoka kenya

  • @edinahooko
    @edinahooko 3 місяці тому +14

    Sasa Leo Wifi atamsema mwenzake Ndoa itaishia papo hapo hata Mungu amejibu maombi yangu Sasa loveless atakua mpenzi WA Kelvin😅

  • @KulikoelaVigero
    @KulikoelaVigero 3 місяці тому +5

    Nawakubali sana kelvin kwenye hii movie mmetisha na movie nying sana mnatisha big up sana,ila wakina Vicky na Nelly wako wapi?kunambi yy hua anaonekana kwenye movie zingine tofaut na hii"Mtoto wa boss"ila tatizo cku hizi mnatuletea mara mapacha et kwenye movie kama ya chungu kimoja yaani haina mbele wala nyuma hata kuingiza hawajui.haina mvuto kabisa

  • @ernestraymond4006
    @ernestraymond4006 3 місяці тому +22

    Next time,nawashauri mbadilishe majina,pia nawashauri pia muwe muchague jina la movie lenye mvuto wa kibiashara..
    Acheni hayo mtoto wa boss mnarudia jina moja tuh

    • @sarahfisoo5689
      @sarahfisoo5689 3 місяці тому

      Wazo nzuri huyu kev kila move ni kev loveness ivo ivo Tina inshort walete mabadiliko

  • @frolandaiga
    @frolandaiga 3 місяці тому +14

    Yan watu mmejaaa atapakukanyaga amnaaa niwekeni began jmniii na mimi nionee😂😂😂

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 3 місяці тому +103

    Like moja kwangu wakenya 🇰🇪

    • @BlessingErick-p8w
      @BlessingErick-p8w 3 місяці тому +3

      Lelvin nakukubali kabisa ku🎉🎉🎉🎉watupatiya muvi kilasiku mungu akubariki😊

    • @florencebalimuchabo3023
      @florencebalimuchabo3023 3 місяці тому +3

      Nous vous aimons bcp nous les congolais ❤❤❤❤

  • @Brightfuture036
    @Brightfuture036 3 місяці тому +1

    Naburudika vilivyo🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mna watu, na watu ni sisi 🥳🥳

  • @DulambavuMbavu
    @DulambavuMbavu 29 днів тому +1

    Jaman mwenzenu huyu diana ananipa rahaaaaaa❤❤❤❤

  • @TuairicachimoNantola-t9b
    @TuairicachimoNantola-t9b 3 місяці тому +30

    Mimi wakwaza nikiwa Moçambique naombeni like angalau 10 wana donta TV

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 3 місяці тому +21

    Team strong 💪 yoooyeeeeee mwenye anakubali lovenes ataolewa n kevo gonga like apo twende nalo tina kayatimba sasa🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @naomiomoremereria6739
    @naomiomoremereria6739 3 місяці тому +10

    Being number one from kenyaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo 3 місяці тому +1

    Tina kinaenda kumramba team strong wapi maua yenu.Loveness sasa ndio atakua mke wa mtoto wa boss.🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂

  • @Halimah-ho5us
    @Halimah-ho5us 3 місяці тому +1

    Kazi nzuri tunaelengea ba tamu sana good job Donta family 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @OlenguzurangaLendalen-gr7lv
    @OlenguzurangaLendalen-gr7lv 3 місяці тому +10

    Wooooooow streaming from +254 🇰🇪🇰🇪
    Am the 1st 2 say it! Kali sana Kevin napenda hii ❤

  • @RabiaRashidi-y6d
    @RabiaRashidi-y6d 3 місяці тому +14

    Wakwanza Leo jomon team DONTA TV burudani kwa wote 😊😊

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 3 місяці тому +23

    kelvin kina Daina na mke wa kiss wanabore sana kwenye hii movie braza if it possible give them a break

    • @MercyKahindi-go2nr
      @MercyKahindi-go2nr 3 місяці тому

      Lakn unajua movie Mahal imefika Diana ndio kila ktu

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 3 місяці тому +1

      @@MercyKahindi-go2nr ni sawa marcy sina cha usemi mm

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 3 місяці тому +7

    Safi sana kevin.ila huyo Tina wako daaa 😮😂😂😂😂

  • @JacklineNasimiyu-g7o
    @JacklineNasimiyu-g7o 3 місяці тому +2

    Tina nakuona kwenye kabuki la sahau 😮!!!za mwizi zilipungua dada, na wagongwe wako jitayarishe kuingia korokoroni, mpooo!!!!hadi mamake kevo asha anza kujudia.
    Kiss marehemu mutarajiwa 😂😂😂😂😂!!!
    Jitumeni jamani, cha haramu hakidumu, unatumia nguvu nyingi na mwishowe kujudia, kevo good job 🎉🎉❤

  • @SharonNyangasi-mi8zs
    @SharonNyangasi-mi8zs 3 місяці тому +6

    Leo umewahi kelvin hongera twasubiri next expisode cheza kama wewe,,kama unapenda mungu weka like tukisonga

  • @BilhaKosgei-py6eg
    @BilhaKosgei-py6eg 3 місяці тому +12

    Jamani nimengoja Kwa hamu saana tafadhali tujuane hapa ❤

  • @hadijanzaka9422
    @hadijanzaka9422 3 місяці тому +7

    Wakwanza Leo from Kenya love you donta tv❤❤❤❤

  • @NathanAkimana
    @NathanAkimana 3 місяці тому +25

    Mimi leo nimechelewa lakini like hata mbili zinanitosha

  • @FaizaKabibi-tb2dj
    @FaizaKabibi-tb2dj 3 місяці тому +5

    Mama Kelvin mwana kulitafuta mwana kuligeti siku nyengine musilazimishe mambo muoe Tina sai😂😂😂😂😂

  • @MauwaAuwa1991
    @MauwaAuwa1991 3 місяці тому +11

    Nimefika nawapenda sana ❤❤❤❤

  • @hassanzuberi9091
    @hassanzuberi9091 3 місяці тому +18

    Team strong 💪💪💪 chukue maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉bana kazi safi sana ,japo Nilifaa kuwepo ndani ya movie ndio niwe nakuletea umbea Kevin 😂😂😂, vitu vingi ujui ujue??😅😅😅 Ama umweke baba levo niaba yangu manake duuh 😅😅😅😅😂😂😂

  • @Janet-uy5by
    @Janet-uy5by 3 місяці тому +10

    Mi wa kwanza naombeni like nawapenda sana 🥰🥰🥰

  • @Ntametungirokoleta
    @Ntametungirokoleta 3 місяці тому +1

    Mwenzako namenda kama ivi chukuwa hizi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NazmaJuma
    @NazmaJuma 3 місяці тому +1

    Donta mko sawa lkn mda ni mchache tuongezeeni Angela dakika 40 hivi❤❤❤❤❤❤❤

  • @KWIBEAMISIOBAMA-congo
    @KWIBEAMISIOBAMA-congo 3 місяці тому +7

    Wa kwanza leo from Congo Kolwezi liké zangu jaman 🎉🎉

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 3 місяці тому +7

    Daahhh kaka saiv hatuna deni na nyie mnatoabkaz ndani ya muda kaz nzuri sana tupo pamoja from Dodoma bungeni

  • @SelinaMangula
    @SelinaMangula 3 місяці тому +10

    Yaani donta mko vizuri sana Kwa kweli mpo motoo vibaya mnooo mpokee maua yenuuu💐🌹🌺🌷🪴🏵️🌻

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 місяці тому +1

    Wow ishafika patamu wallah hongeren jmn❤❤❤

  • @AbdallaHamad-y1i
    @AbdallaHamad-y1i 3 місяці тому +6

    Safi sana tina mpelekeshe uyo mama mpaka ajute

  • @YasriRamadhani-f1b
    @YasriRamadhani-f1b 3 місяці тому +21

    Me wa mwisho naomba like zenu

  • @IreneDavid-w2d
    @IreneDavid-w2d 3 місяці тому +10

    Oyooo wale waloona loveness tayali ashaanz kumpenda kelvin tujuane hapa kwa likes

  • @maryaney-v9t
    @maryaney-v9t 3 місяці тому +1

    Ndo hayo mau 🎉🎉🎉🎉🎉 kevi ❤❤❤❤nakupenda

  • @RebeccaRhobi
    @RebeccaRhobi 3 місяці тому +1

    Jamani,James na Amina wako wapi natokea Kenya❤❤❤

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 3 місяці тому +8

    Ila nyie wadada hivo vimini daaa 😢😢😢 kwan hamuwez kuigiza bila kuacha mipaja nje

  • @Rayommy-gf5qr
    @Rayommy-gf5qr 3 місяці тому +6

    Na mm leo jamani naombeni like ata kumi tu😅

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 місяці тому +11

    Mama calvin yashaanza kukutokea puani mkwe ulomchagua ndo huyo utajua hujui

  • @halimashaban811
    @halimashaban811 3 місяці тому +1

    Kazi nzur Masha'Allah 🥰
    Nangoja mwendelezo Innsha'Allah 😊

  • @CarolineImbwaga
    @CarolineImbwaga 3 місяці тому +2

    Wow beautiful ❤❤❤❤❤

  • @MLasha-vu1uj
    @MLasha-vu1uj 3 місяці тому +8

    Team strong 🎉🎉🎉 naombeni like zenu japo kidogo tu nawapenda na worch Niki Riyadh ❤❤❤

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 3 місяці тому +10

    Wow wakwanza leo naomba like zenu donta tv

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 3 місяці тому +6

    Jaman wa 50 Leo Wap wafuas Wa keen Tujuane plz 🙏 ❤❤❤

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 3 місяці тому +1

    Good nice one job brother 🎉🎉🎉🎉

  • @zainba7812
    @zainba7812 3 місяці тому +1

    Chukwa dear maua yko ❤❤❤🎉🎉

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 3 місяці тому +3

    Woow mambo ni Moto moto i say Tina kayatimba wakenya tujuane 🎉Kelvin tulia kaka mambo yashatibuka 😂