PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 27 | Love Story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024
  • #love

КОМЕНТАРІ • 1,5 тис.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  6 годин тому +1187

    VIPI JAMANI LEO NIMEWAHI NIPENI MAUA YANGU 😂❤

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od 5 годин тому +372

    Kelvin. Tunaomba angalau episode iwe na dk hata 40 tuinjoi wanaoniunga mkono gonga like apo

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz 6 годин тому +182

    Team strong team loveless hoyeee❤❤❤❤❤ tujuane kwa likes anaeamini kama love ataolewa na Kevin 💖 tujuane.....watching from Saudis 🇸🇦 💖 ❤🎉

    • @judithogaya9730
      @judithogaya9730 5 годин тому +3

      Team strong tupe nilikuwa huko last year after contract mwaya sai nipo qatar 😂😂😂

    • @Glorian-iv6xz
      @Glorian-iv6xz 5 годин тому +1

      @@judithogaya9730 😂😂😂bdo nasugulia hammam saudi mwaya any way nice to meet you dear 😘 😊

    • @mwalukoanza
      @mwalukoanza 5 годин тому +1

      ❤❤❤❤❤

    • @AminaSada-h4p
      @AminaSada-h4p 4 години тому +1

      Hoyeee team loveness ❤❤❤

    • @MariamMohamed-k7z
      @MariamMohamed-k7z 3 години тому +1

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖

  • @TongeOfficial-cn1on
    @TongeOfficial-cn1on 6 годин тому +126

    Nampenda Candy jaman 😢 mnipe like kwa Wanaompendaa❤❤❤❤❤

  • @OmarAli-vj9kg
    @OmarAli-vj9kg 6 годин тому +267

    Mungu akubariki wewe unae😂soma hi comment

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 6 годин тому +114

    Team strong mko wapi jmn team donta family 🤗 nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰🥰 🔥 majuto n mjukuu mama Kelly

  • @sospeterkinunda
    @sospeterkinunda 5 годин тому +93

    Tunaosubiliii kuumbuka kwa tinaa tujuaneee me number one

  • @MuemaChristopher
    @MuemaChristopher 5 годин тому +54

    Kama unamkubali Kelvin,,,,pita na like Moja,,,, watching form US

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 5 годин тому +45

    Atimae mnzingo umeingia acha tuone drama natokea kenya 🇰🇪 Jamani wakenya wenzangu na wengineo nipeni like zenu🎉🎉🎉🎉

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 3 години тому +14

    Tina naona kitaenda kumramba mda sio mrefu candy ashamuona wakikumbatiana next n kelvin anaitwa ajionee mwenyewe kimrambe hivyo na loveness apate chance vizuri mashallah 🎉🎉❤❤❤

  • @KautharSaleh-y8q
    @KautharSaleh-y8q 6 годин тому +89

    Mm ni wa kwanza leo wanaomkubali loveness gonga like hapa🎉🎉

  • @MwaminiJingu
    @MwaminiJingu 6 годин тому +37

    Kwa mara ya kwanza nimewahi na mimi,,wanaompenda Love Nes gonga like hapa❤❤❤❤

  • @RashidKhanOmar
    @RashidKhanOmar 6 годин тому +66

    Mpaka leo nimekua wakanza jamani nipeeni like za kutosha wanangu

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 6 годин тому +46

    Jamani jamani,jamani nimesema mara ngapi, movie ni moto sasa sijachelewa leo nipeni ata like kumi jamani from Kenya 🇰🇪 currently Qatar 😂❤

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo 6 годин тому +28

    Waooo nmekuwa wa ushirin leo mambo ni moto ata like kumi jmn

  • @KhanifaJacoub
    @KhanifaJacoub 6 годин тому +34

    Kelvin naomba like zangu 🌹🌹🌹

  • @TuairicachimoNantola-t9b
    @TuairicachimoNantola-t9b 6 годин тому +25

    Mimi wakwaza nikiwa Moçambique naombeni like angalau 10 wana donta TV

  • @Mygirl_1032
    @Mygirl_1032 6 годин тому +45

    Team lovenes tujuane hapa from kenya 🇰🇪

  • @Gloriarespiki
    @Gloriarespiki 6 годин тому +38

    Wewe unaesoma comment hii mungu akupe hitaji la moyo wako ❤❤❤

  • @veronicahnyamweya2855
    @veronicahnyamweya2855 6 годин тому +25

    Mama kelvin kajitakia hayo yy mwenyewe
    Leo kaukiza swali lkn cjaona kama amejibiwa kwa swali lake hata moja kesho nikumbwaga kofi na tinah mwenye anaamini yangu kalike tu tukisonga n mm wenye kutoka kenya

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 6 годин тому +84

    Like moja kwangu wakenya 🇰🇪

    • @BlessingErick-p8w
      @BlessingErick-p8w 5 годин тому +2

      Lelvin nakukubali kabisa ku🎉🎉🎉🎉watupatiya muvi kilasiku mungu akubariki😊

    • @florencebalimuchabo3023
      @florencebalimuchabo3023 5 годин тому +2

      Nous vous aimons bcp nous les congolais ❤❤❤❤

  • @Theavairable
    @Theavairable 5 годин тому +14

    Mimi ndo sijawahi kupata likes kabisa

  • @YasriRamadhani-f1b
    @YasriRamadhani-f1b 6 годин тому +20

    Me wa mwisho naomba like zenu

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 6 годин тому +17

    kelvin kina Daina na mke wa kiss wanabore sana kwenye hii movie braza if it possible give them a break

    • @MercyKahindi-go2nr
      @MercyKahindi-go2nr 3 години тому

      Lakn unajua movie Mahal imefika Diana ndio kila ktu

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 2 години тому +1

      @@MercyKahindi-go2nr ni sawa marcy sina cha usemi mm

  • @hassanzuberi9091
    @hassanzuberi9091 4 години тому +7

    Team strong 💪💪💪 chukue maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉bana kazi safi sana ,japo Nilifaa kuwepo ndani ya movie ndio niwe nakuletea umbea Kevin 😂😂😂, vitu vingi ujui ujue??😅😅😅 Ama umweke baba levo niaba yangu manake duuh 😅😅😅😅😂😂😂

  • @JanethJoseph-tq2ns
    @JanethJoseph-tq2ns Годину тому +3

    Nilikuwa natamani sana, mmoja wa family ya kelvin ajue kuwa Tina anatoka njee Sasa imefahamika 😂, msicheleweshe Jaman Wana DONTA TV

  • @AsiphiwePhilemon
    @AsiphiwePhilemon 5 годин тому +8

    Hahah njooni mnicheke na ujanja wangu wote nmekuwa wa mwishooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MussaMatata-d7v
    @MussaMatata-d7v 6 годин тому +14

    Wakwanza jamani naomba tujuane tuloanza mwanzo hadi kipande cha leo..mungu awabariki sana🙏

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 6 годин тому +18

    Tena ukiwa hivi tutakupenda zaidi tunakupenda sana🎉🎉🎉🎉🎉 umewaisha movie

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 5 годин тому +7

    Watu wana roho ngumuuu nyiee yani kumbe tena wanamzunguka tena huyo secretary waiiii ananyweshwa dawaa😢😢 Jamani jamani usaliti ni mbaya.na haya yapo kweny jmnii tuliyonayo

  • @RabiaRashidi-y6d
    @RabiaRashidi-y6d 6 годин тому +10

    Wakwanza Leo jomon team DONTA TV burudani kwa wote 😊😊

  • @RehemaIbrahim-wn4ef
    @RehemaIbrahim-wn4ef 5 годин тому +8

    Mama kelvin na bado huo nimwanzo tu picha lenyewe linakuja utaliona pole mummy😂😂😂😂😂

  • @MLasha-vu1uj
    @MLasha-vu1uj 2 години тому +3

    Team strong 🎉🎉🎉 naombeni like zenu japo kidogo tu nawapenda na worch Niki Riyadh ❤❤❤

  • @Clintez254
    @Clintez254 5 годин тому +7

    Ati wanao support kutoka kenya hawapati like?

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 4 години тому +6

    Team strong 💪 yoooyeeeeee mwenye anakubali lovenes ataolewa n kevo gonga like apo twende nalo tina kayatimba sasa🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @BuguhiMethod
    @BuguhiMethod 5 годин тому +6

    Daaah.. mpka Leo nime comment... So poah mnafanya kila day niwe na MB... DONTA TV on 🔥🔥🔥🔥... Bro kelvin na mrembo Loveness big up San hongeren Zaid ya hongera sitochoka kufuatiria kaz zenu... Mnafanya vzr Zaid ya vzr.... MUNGU awabarik nyote DONTA TV Kwa kaz nzur mnayo ifanya..,.

  • @SelinaMangula
    @SelinaMangula 4 години тому +3

    Yaani donta mko vizuri sana Kwa kweli mpo motoo vibaya mnooo mpokee maua yenuuu💐🌹🌺🌷🪴🏵️🌻

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa Годину тому +3

    Safi sana kevin.ila huyo Tina wako daaa 😮😂😂😂😂

  • @IreneDavid-w2d
    @IreneDavid-w2d 5 годин тому +7

    Oyooo wale waloona loveness tayali ashaanz kumpenda kelvin tujuane hapa kwa likes

  • @AnnieMangi
    @AnnieMangi 4 години тому +6

    Jaman Tina hafai ata kwa Bure jmn kelvn huna mke apo tafta Bora umuoe loveness

  • @OBARIOSCAR
    @OBARIOSCAR 5 годин тому +6

    🎉❤❤❤...Ntazidi kuwapenda nyie wana Dontah mumenielimisha zaidi..Alhamudulilahi..Kaka Kelvin najuwa kuniangusha naye huwezi cheza kiwewe...Tunataka Harusi baina yako na Dada Loveness

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 години тому +4

    Nice meeting points....ucku hua ñdio best....Yani mapema ndio best....alafu mbn imeishia mahali patamu xna....inaitwa onces beaten twices shy....loveness kapata chance rahisi xna....Yani Ata akikosa n upuzi wake mwenyewe....unaanzaje anzaje kukosa penalty na ata kepper kaanguka ...😅😅

  • @HAMIAKAJIBA
    @HAMIAKAJIBA 6 годин тому +11

    Nipeni like zangu namm nimekuwa wa kwanza

  • @ernestraymond4006
    @ernestraymond4006 5 годин тому +4

    Next time,nawashauri mbadilishe majina,pia nawashauri pia muwe muchague jina la movie lenye mvuto wa kibiashara..
    Acheni hayo mtoto wa boss mnarudia jina moja tuh

  • @Janet-uy5by
    @Janet-uy5by 6 годин тому +8

    Mi wa kwanza naombeni like nawapenda sana 🥰🥰🥰

  • @sadikhanboy
    @sadikhanboy 4 години тому +6

    Nampenda Sana Loveness na Kelvin kwa hii Movie ❤ Yani Mwanibamba Sana 🎉Makofi kwangu 👏👏makofi Tena👏👏😂🤣

  • @frolandaiga
    @frolandaiga 5 годин тому +9

    Yan watu mmejaaa atapakukanyaga amnaaa niwekeni began jmniii na mimi nionee😂😂😂

  • @KalinkoKing
    @KalinkoKing 3 години тому +3

    Oyooo nimechelewa jamani ila tuko pamoja kutoka Kenya kama kawaida mama kelvin ashaanza kushutuka apewe mauwa yake🎉

  • @hadijanzaka9422
    @hadijanzaka9422 6 годин тому +6

    Wakwanza Leo from Kenya love you donta tv❤❤❤❤

  • @edinahooko
    @edinahooko 3 години тому +3

    Sasa Leo Wifi atamsema mwenzake Ndoa itaishia papo hapo hata Mungu amejibu maombi yangu Sasa loveless atakua mpenzi WA Kelvin😅

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 4 години тому +3

    Ila nyie wadada hivo vimini daaa 😢😢😢 kwan hamuwez kuigiza bila kuacha mipaja nje

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 4 години тому +5

    Daahhh kaka saiv hatuna deni na nyie mnatoabkaz ndani ya muda kaz nzuri sana tupo pamoja from Dodoma bungeni

  • @OlenguzurangaLendalen-gr7lv
    @OlenguzurangaLendalen-gr7lv 6 годин тому +8

    Wooooooow streaming from +254 🇰🇪🇰🇪
    Am the 1st 2 say it! Kali sana Kevin napenda hii ❤

  • @Piliseleman-v6r
    @Piliseleman-v6r 5 годин тому +6

    Nimejifunz kitu kabla ya kusain usome kwanz maelez maan unawez kujikut unapew million 3 baad y 50😂😂😂

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 5 годин тому +7

    Mama calvin yashaanza kukutokea puani mkwe ulomchagua ndo huyo utajua hujui

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 2 години тому +1

    Dah sikutaman iishe, kelvin na timu yako mko vizur chukua hiyo💯❤️❤️❤️

  • @BilhaKosgei-py6eg
    @BilhaKosgei-py6eg 6 годин тому +9

    Jamani nimengoja Kwa hamu saana tafadhali tujuane hapa ❤

  • @AmosNyongesa-ze1mg
    @AmosNyongesa-ze1mg 2 години тому +2

    Kelvin dakika umetunyima aky tuongezee mda wnye mnasupport kelvin atuongezee mda gonga hpo

  • @charlomzalendo8598
    @charlomzalendo8598 5 годин тому +6

    Kutoka Nairobi Kenya naomba likes zenu Jamani

  • @nadiasuleiman2272
    @nadiasuleiman2272 6 годин тому +11

    Wakwaza naombeni like zangu😊

  • @katomusa7190
    @katomusa7190 6 годин тому +14

    Namimi leo munipe likes zangu😅😅😅😅

  • @InnesyPoul
    @InnesyPoul 3 години тому +2

    Safar hii umetisha kelvin ❤❤❤kwa style hii 2tafika

  • @MleliMakange
    @MleliMakange 6 годин тому +7

    Jamani Leo me ndio wa kwanza nipewe laiki zangu

  • @SharonNyangasi-mi8zs
    @SharonNyangasi-mi8zs 4 години тому +2

    Leo umewahi kelvin hongera twasubiri next expisode cheza kama wewe,,kama unapenda mungu weka like tukisonga

  • @RahelKashinje
    @RahelKashinje 6 годин тому +7

    Me wa kwanza naombeni like

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 6 годин тому +7

    Wow wakwanza leo naomba like zenu donta tv

  • @naomiomoremereria6739
    @naomiomoremereria6739 6 годин тому +6

    Being number one from kenyaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JEANMARIEIBRAHIMu
    @JEANMARIEIBRAHIMu 3 години тому +2

    Kelvin tunachukuru kwakazi ogerasana tenasana ❤❤❤❤❤

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 6 годин тому +6

    Jaman wa 50 Leo Wap wafuas Wa keen Tujuane plz 🙏 ❤❤❤

  • @kingjunior3898
    @kingjunior3898 3 години тому +6

    Oyaaaweee kinaend kuuman😂😂😂😂😂

  • @LydiahMoraa-c9j
    @LydiahMoraa-c9j 6 годин тому +6

    Nimewahi Leo nipeeni likes 🎉🎉🎉team strong

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 5 годин тому +31

    Team hamamum hoyeeee yaani xx ivi naona maombi yngu yakijibiwa hii ndoa inaenda kuvunjika 😂😂😂 km tuko wengi tumwage 🎉🎉🎉kw ajili y kaka kelvin n loveness like tukisonga ❤❤🇰🇪🇸🇦

    • @LinnahMayco
      @LinnahMayco 5 годин тому +1

      Tupo timu hamamum 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 inaenda kuvunjika

    • @RauziaRahel
      @RauziaRahel 4 години тому +2

      Wah ya leo moto kelvin tena mahali imefikia ndo inabamba tu mungu akujalie nguvu kwa kazi yako nzuri..

    • @khadijaali8902
      @khadijaali8902 3 години тому +2

      niko hapa shaghala mwenzangu😂😂

    • @GraceKenya-i4j
      @GraceKenya-i4j Годину тому

      @@khadijaali8902 swa pamoja

  • @MaritiniFetty
    @MaritiniFetty 5 годин тому +3

    Umechelewa sanaa,, sisi atulali tunatafuta move kilamuda😅

  • @milkahmachana
    @milkahmachana 3 години тому +1

    Kumechemka woyeee 😮😮😮😮 wenye tunasubiri kuumbuka kwa tina gonga like.......mama Kelvin jmn kajidunga mwiba mwenyewe

  • @TanashaPamelah
    @TanashaPamelah 6 годин тому +6

    Mnipee like ya loveness na Kelvin ❤️🥰

  • @KWIBEAMISIOBAMA-congo
    @KWIBEAMISIOBAMA-congo 5 годин тому +6

    Wa kwanza leo from Congo Kolwezi liké zangu jaman 🎉🎉

  • @MashakaMakungu-n9m
    @MashakaMakungu-n9m 5 годин тому +6

    Jitahidi hvy hvy kelvin kak Leo umewah xan

  • @rachaelnyale9617
    @rachaelnyale9617 4 години тому +2

    Movie naipenda sana na msitie mauganga huko mbele😅wala isiishe araka congratulations wapenzi

  • @MargretMburu-z2x
    @MargretMburu-z2x 5 годин тому +6

    Am in love with donta who else🎉❤❤

  • @ernestraymond4006
    @ernestraymond4006 4 години тому +1

    Ujue from episode one mpaka hapa mlipofikia Familia ya Kelvin hatuoni utajiri wao unajishughulisha na nn inshort fanyeni kitu kuishii hata miaka 10, tunahitaji uhalisia kuona shughuli gani ya kiuchumi family ya Kelvin inajiushia ni kama vile loveness alikuwa anachoma chips kazi mzuri ongozoni ubunifu

  • @StephanoHerman
    @StephanoHerman 6 годин тому +5

    Naomba priority Kwako kelvin,,

  • @veronicahmuricho
    @veronicahmuricho 4 години тому +1

    Congratulations Kelvin yaani haujatuangusha hata kidogo🎉🎉🎉🎉unaweka mzigo Kwa wakati💯i really love you and the entire family of donta❤KAZI safi kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MauwaAuwa1991
    @MauwaAuwa1991 5 годин тому +9

    Nimefika nawapenda sana ❤❤❤❤

  • @RamadhaniKalokaza
    @RamadhaniKalokaza 51 хвилина тому +1

    Umetisha tupe mambo tina ameyaona niko pale....nasubili final

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 4 години тому +4

    Hingereni saana wana Donta kwa kazi nzuri. Nakuombeeni kl la heri na mafanikio zaidi. From Oman 🇴🇲

  • @cyrusmachoka7322
    @cyrusmachoka7322 6 годин тому +8

    Me wa kwanza leo like zen kwa weng🎉

  • @katemalinda
    @katemalinda 6 годин тому +6

    Leo ni mimi wa kwanza kutoka kenya

  • @AminaSada-h4p
    @AminaSada-h4p 4 години тому +1

    Tina dadangu kimekuramba naona uko karibu kuachwa loveness aolewe i love you loveness and kelvin ❤❤❤❤

  • @efraSeba
    @efraSeba 5 годин тому +6

    Na mimi Leo nahitaj like Zang jmn😂😂😂

  • @ziborajepleting
    @ziborajepleting 2 години тому +1

    Tina afukuzwe jamani 😢amampea stress kelvin🇰🇪🇰🇪

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 6 годин тому +3

    Nakubali sana master movie 😊😂😊😂😊🎉😊🎉😊🎉😊😢😊😊😢😊

  • @NeemaEvarist-g1v
    @NeemaEvarist-g1v 4 години тому +2

    Hii move inaanza kua mbaya sasa kelvin na loveness hawaonekan sanaa

  • @naturebclassic447
    @naturebclassic447 6 годин тому +6

    Am the fast one give me likes

  • @ZainoMussa-ct4qo
    @ZainoMussa-ct4qo 6 годин тому +4

    Leo wakwanza from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 6 годин тому +7

    Duuh naleo tena nimewah lakini duuh

  • @Fikira-u6r
    @Fikira-u6r 5 годин тому +4

    Kevin filam zako nimewashawishi adi mabosi zangu uku maskati omani familia mzima wote tunakufatilia

  • @graceevans7461
    @graceevans7461 6 годин тому +6

    Ndo kuingia kazi safiii❤

  • @MarthaHendry-j6y
    @MarthaHendry-j6y 3 години тому +1

    Loveness jipe moyo mama hivi karibuni utakuwa mama mjengoo

  • @Rayommy-gf5qr
    @Rayommy-gf5qr 5 годин тому +4

    Na mm leo jamani naombeni like ata kumi tu😅

  • @LaulnMgeni
    @LaulnMgeni 3 години тому +1

    Inafaa sana umuoe lovenes ndo itapendeza sana lakn sio kweny move tu