Kwa kweli simulizi za Lisa mwalla nitamu sana wanafamiliya ya anko j wana mkubali sana Mungu akampe Maisha marefu Na mume msuri kama simuliza zake ❤❤❤❤❤❤
Jmn Anko hii inakuchekesha hivi kweli sini balaa,,ila sawa wacha tuone huyu wa mine alipata nn mpaka akakubali kuwa ni wangu ahsante my dear Lissa na Jay mwenyewe hampoi wala hamboi
Anko anko Jay jamani kipaji tosha. " huyu mzee alikua musa au ni nabii eliya" kweli this arrangement of words is contageous. You are really GIFTED. Sidhani kuna wakupinga ❤
Anyway anyone anajifikilia kuhusu kusikiliza hii simulizi, hii simulizi Ni nzuri Sana Ni love story ya kishua yenye uswahili msimulizi kaitendea haki Sana mwandishi Lisa mwalla kafanya yake Kama kawa Ila ankojay kwahiyo uyo mzee ndo kumfananisha na Elia au Musa, mbinguni hakuna nyumba ya udongo , our God is #RICHGOD
@@lissamwalla501 🤣🤣🤣 ankojay hajui Kama magorofa ya Morocco dar yanauwiana kidgo na mbinguni au magorofa kwetu mbeya 🤣🤣🤣 anyway nice work author I would love one day to see you being an international author 🇹🇿 yako hiyo bendera
Weee nimejikuta na cheka na anko jay kabla aanze kusmulia oyaa hii Kali ,Kazi Safi Sana ,,send love from 🇰🇪🇰🇪but currently in 🇸🇦🇸🇦 ankojay uko vizuri sana
Nkanka you ankjay umwambie Lisa mwala asante kwa simulizi kitu kingine umwambie tu nataka simulizi ya uko burundi kwetu🇨🇨❤️🇧🇮🇧🇮 nimesikiliz simulizi nying simulizi ya kwetu burundi hana kweli.
Nothing hurts a man like using private part to bring him down but to an extence of a taking a life is never for me...though im also looking for this man wakunifikisha kileleni🤣🤣🤣🤣🤣much love Anko from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya
Anko kwenye hii simalizi ulikuwa na nguvu sana zakiume handi wanawake waine jamani ulikuwa watukomesha aki kwa kukosa waminifu aki love you Ankoj ❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani leo acha nitangaze na nikiri kwa mdomo msimuliaji ni mmoja tu ankojay anavyo anzaga simuliz sasa adi raha lissa nikiboko yake nawapenda bure mnapo nimalizaga nikiskia wakubwa tu🥰🥰🇧🇮🇧🇮
Waoow hakika solita ni mwanamke washoka ambae hapendi kumbembeleza punda kwenye mteremko akiwa cat yake ikiwa empty ❤❤ hapo safi wanawake wasio penda penda kuchezewa hongera solita
Wale wa kabla ya kusikiliza wanakimbia kwenye coment baada tu ya Kuona anko Jay anachek me nimeanza kucheka nikajuwa to kitakacho zungumzwa hapa Na anko Jay sio cha mchezo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunakupenda Sana anko Jay
Part 2 Hii Hapa 👇
chat.whatsapp.com/ByCrnuNUl8sGfS6tf6Kru8
Asante anko J ya 3 nasubiri 😁❤🥰
@@ashaabdalla924 imeshatoka tayari hii hapa ua-cam.com/video/ZNcfVql7bcg/v-deo.html
Asante Anko J Mungu akubarik🥰
@@ashaabdalla924 ,
Jamani Ankojay bana unatuchekesha yani ❤❤😂 tuliopo Arabuni tunasikiliza tujuwane hapa 😂😂😂
Wow story nzur.❤❤
Kwa kweli simulizi za Lisa mwalla nitamu sana wanafamiliya ya anko j wana mkubali sana Mungu akampe Maisha marefu Na mume msuri kama simuliza zake ❤❤❤❤❤❤
Asante Anko jay & madame Lissa kwa upedo wenu kwetu hamtaki tuhuzunike daima ni furaha tuu wanafamilia niwatakie jpili yapasaka njema 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Leo unann jj ww sa wacheka ata kabla haujaanza any ways big up
Well done 😊ankoj hii yaleo nikali.
Anko j wapenda kucheka daah waniweka hoi mwenzio much love anko j ❤❤❤
Anko jay mm napenda simulizi zako uwa ziko tamu siti toka kenya 🇰🇪🇰🇪Ankojay nakupenda sana
Asante acnkojay tuna jifunza mengi sana kupitia ww asante
Jmn Anko hii inakuchekesha hivi kweli sini balaa,,ila sawa wacha tuone huyu wa mine alipata nn mpaka akakubali kuwa ni wangu ahsante my dear Lissa na Jay mwenyewe hampoi wala hamboi
Nime chelewa kidogo ila sio sana sema nime zingatia hapo "wasi sikilize watoto😂😂😂😂 one love wana simulizi mix 💙💜💚.
❤❤❤❤❤
Anko unacheka sana kabla hujaanza kusimuli itakuwa kali kweli ngoja niwe makini sana😄😄
Ukiona anko jey anacheka jua imo
Jaman hayo makorodani yanavyotembezwa😀😀😀😀😀
Aaaaaaha new character solita huyu ndo staring nini🤗🤗🤗🤗
Ankojay usinichoke mie napenda kusikiliza story uku nacomment nawapa updates watu watakaosikiliza baada yangu nawapa mzuka wajue simulizi Ni🔥
Safi sana 🔥🔥🔥
Nzuri sana asante Anko J na lissa mwalla
Lisa Mwala kwa kweli nakupa.ongera kwa smlz tamu👍👍
Mashallaa 🥰 🥰 🥰 my anko
😢😢😢😢cliffe ni mjinga sana kwani yeye penye anatembea ajawahi ona mke mpaka ndio afanye hivyo jameni 😢😢😢😢😢
Ank Jay haujawahi kufel so kwa utam wa simulizi jaman ❤️🥰🥰🥰🥰
Utamu utamu mwanzo mwisho
Boom Boom Anko wewe nimutalamu🎉🎉
Anko j, unanifurahsha Sana unavyo ongea hyo sauti ya mzungu
Anko mambo..naona umeleta mambo mapya kutoka Kwa kipenzi chetu mwala ❤❤❤❤
Ewaaaaaa
Nimekaribia Anko from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 listening kwa makini sana
SUCH AN INCREDIBLE STORY 🔥ANKO JAY
Ahsante sana
Kweli dda ujakosea unavyo sema 😛😛utasikia ety tangu cku nikuone moyo wangu 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️wanaitwa waume
Ahsante anko jay na kipenzi chetu Lissa MWALA tupo nyuma yenu bumper to bumper hadi mwisho
Asante sama anko jey❤❤🎉🎉🎉
😂😂 Anko you are making us laugh, share the joke
Picha ndo kwaaaaanzaaaa linaanza 💃💃🍢
Au sio na ssi tupo ddaake
😂😂😂 niko makini leo sitak kupitwa na uhondo huu kwa Anko j na Lissa Mwala ❤❤
❤😂😅 love you so much 💞 my wangu
Hii ntasikiliza baadae nikifuturu😂😂😂😂ila asante anko Jay na lissa mwala🎉❤
Anko anko Jay jamani kipaji tosha. " huyu mzee alikua musa au ni nabii eliya" kweli this arrangement of words is contageous. You are really GIFTED. Sidhani kuna wakupinga ❤
Powerfull comment, Thank you so Much
Eurine pole sana bro mungu hako pamoja na wewe omba tuu mungu wako tuu😢😢 lakini huyo clife ni mnyama kabisa love you Eurine Johnson
Niko hapa anko jay from 🇰🇪 napenda story zako bana 🎉❤❤
Anko mhhh hiii ambaye umeanz kwakucheka waaaaah!!! Kuna kitu oky ngoja tuskilize kwanza
Mhm simulizi tamu tunasubiri muendelezo anko J shukran Mungu akuzidishie❤
Mbna kicheko sana anko j tuachie nyuziiiii!!!!
Anko hiko kicheko duuuh kirantesa😂long vie à toi mon frère,je t'aime sana
Anyway anyone anajifikilia kuhusu kusikiliza hii simulizi, hii simulizi Ni nzuri Sana Ni love story ya kishua yenye uswahili msimulizi kaitendea haki Sana mwandishi Lisa mwalla kafanya yake Kama kawa
Ila ankojay kwahiyo uyo mzee ndo kumfananisha na Elia au Musa, mbinguni hakuna nyumba ya udongo , our God is #RICHGOD
😂😂😂😂
Asante sanaaaaaaaaa .😂😂mbinguni kuna magorofa anko Jay hajui
@@lissamwalla501 🤣🤣🤣 ankojay hajui Kama magorofa ya Morocco dar yanauwiana kidgo na mbinguni au magorofa kwetu mbeya 🤣🤣🤣 anyway nice work author I would love one day to see you being an international author 🇹🇿 yako hiyo bendera
🤣🤣🤣🤣alienda kukutana na shetani kule ati musa na elia
Oyooo ❤❤❤🔥🔥🔥
Wanifuraisha sana simulizi zako zanipunga sana Mimi Niko kenya
Anko jey Hongera sanaaaa kweli Duuuuuu paka nalia
Ata mimi wakwanza 😊😊asante ankojay ❤❤ila nami mtoto ndo nishaanza kuisikiliza na nimekutana na kicheko humu nami nacheka😂😂😂ankojay
Shoga angu hupitwi hahaha 🤣🤣🤣🤣
@@OmanOman-nj3eq naanzaje sas kupitwa 😄 🤣 😂 chezea anko wewe
Wewe mwenyewe unacheka sasa sisi sindo tutavunjika mbavu @anko Jay
Yaan tumeanza nakicheko 🙌🤣🤣🤣🤣🤣anko jay shukrani da lissa ubarikiwe 😍😍
Jamani Anko mbona leo umecheka saana humo ndan Kuna nini ngoja tuone
Anko Jay ulipigwa kibuti wewe wanawake wa kibongo Wala tuko POA Sana hatuna mbamba hatuleti stress
Nimechelewa kidogo mie☺️☺️☺️
Ni mewahii leo ila hiii cheko la anko Jay hhhhmmmm inaonekana hii ngoma ni moto
Asante ancojey 🎉
Ihii simulz na ihii mvua ahhh wee nasikiliza zang ndan ya shuka kwa raha zang😂😂
Ujua kutupa raha kwa kweli.asante anko jj
Weee nimejikuta na cheka na anko jay kabla aanze kusmulia oyaa hii Kali ,Kazi Safi Sana ,,send love from 🇰🇪🇰🇪but currently in 🇸🇦🇸🇦 ankojay uko vizuri sana
Thanks anko kwa simulizi zako nzuri zenye mafunzo keep up
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Asante kwa kutuchekesha mn na mm nimecheka najifunza mengi ankojay
Yes, Mzee mwenye msimamo
safi bb kim
Ahsante kwa kibao kipya ,,hongera sana mtunzi mahiri lissa mwala na msimuliaji Anko jay...hicho kicheko nikanafanya mpaka wasikilizaji wanacheka pia😊😊
Nkanka you ankjay umwambie Lisa mwala asante kwa simulizi kitu kingine umwambie tu nataka simulizi ya uko burundi kwetu🇨🇨❤️🇧🇮🇧🇮 nimesikiliz simulizi nying simulizi ya kwetu burundi hana kweli.
Wewe Eurine ni mjinga sana yaani unasalitiwa na unadanganywa tu eti
Ancojey unajuwa ksimulia viru sana ata mm natamani nikupe sitori yangu ya maisha ubarikiwe
Mpeeee
Kwakweli sijawahi kujutia kusikiliza anko jy hogera sanaaa
Nice story 🥰🥰🥂 @anko jay
Thank you 😊😊
Much love for simulizi fupi
Cheka tu ww 🤣🤣🤣🤣twataka huo uhondo ambao wakufanya ucheke,,Anko J Asnte kwa utamu 💕💕💕💕
anko jay. unacheke kweli sana ila asante. kwa stro ❤
Ngoja 🪑🪑🎧🎧🎧🎧
😅😅😅😅mungu akubariki anko jay
Nothing hurts a man like using private part to bring him down but to an extence of a taking a life is never for me...though im also looking for this man wakunifikisha kileleni🤣🤣🤣🤣🤣much love Anko from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kenya
Aloooooh weeee nimewah mkubal mkatae mkae tayar soda zip njian anko twende kazi
Anko kwenye hii simalizi ulikuwa na nguvu sana zakiume handi wanawake waine jamani ulikuwa watukomesha aki kwa kukosa waminifu aki love you Ankoj ❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana Anko jay ❤❤❤❤
Nimependa kicheko cha anko j😂😂😂
Napenda sana sauti Yako anko,unasimulia vizuri sana.
Wa carine jamani 😊
❤❤😊🎉
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nawakilisha. Asante Anko J pamoja na Lisa Mwala.
Mimi Anti J 😂😂😂😂
❤
Uendelezo jaman
Waaaaaah watu hamputwi😂😂😂😂
Hello anko jey ngoja nimsikilize Lisa mwaka katuletea nn jmn ❤❤ so kwakicheko hicho
😂😂😂😂Eti k tamu 😂😂tamu aswaaaa ackwambie mtu😋😋
Jamani leo acha nitangaze na nikiri kwa mdomo msimuliaji ni mmoja tu ankojay anavyo anzaga simuliz sasa adi raha lissa nikiboko yake nawapenda bure mnapo nimalizaga nikiskia wakubwa tu🥰🥰🇧🇮🇧🇮
Thank youuuu 😄😄
Vp umefurahii ank
Jay😂😂😂😂😂😂😂 leo nimefurahi kucheka kwako 😂😂😂😂
Waoow hakika solita ni mwanamke washoka ambae hapendi kumbembeleza punda kwenye mteremko akiwa cat yake ikiwa empty ❤❤ hapo safi wanawake wasio penda penda kuchezewa hongera solita
Jamani Anko naomba link ya WhatsApp group yako..tuburudike pamoja kutoka 🇰🇪🇰🇪
Ankojay mbona umecheka sana ❤❤❤❤
Pole sana
🎉
Duuuuuu ase pole sanaaaaa kaka
Wale wa kabla ya kusikiliza wanakimbia kwenye coment baada tu ya Kuona anko Jay anachek me nimeanza kucheka nikajuwa to kitakacho zungumzwa hapa Na anko Jay sio cha mchezo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunakupenda Sana anko Jay
Solita shikamooo 😂😂😂😂😂😂Eti nipe simu
We Anko jay noma unajua sana pia unakipaji 😁😁😁
Ahsante sana
Anko umeanza na kicheko mpka basi 😂😂😂❤❤❤
Weeeeee tamu kama penzi la mzee c onjwi😂😂😂
😂😂😂😂😂
Napenda sana sauti yako anko j
Ahsante sana
Hi Anko Jay? asante Lissa Mwalla umbalikiwe sana sana Mungu azidi kukupa hafya Jemma zaidi ❤
Nc stol mm nakuaga wamisho kusma jamani ila ❤❤ stol
Chezea uno la kingoni weyeee
hai nko jei napenda sana simuliz akika unakipaj sana na sauti yako sasa akika Mungu kakubarikii🌹🌹
❤❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂anko jay leo umeanza na kicheko jamn 😂😂😂 bac ngoja na sisi tucheke tu hamna namna🙌🙌🙌
😊😊