Jaman jaman jaman me mwwnzenu tangu jana nafanya kaz ya kuchungulia tu ankojay channel kama katupia mzigo nakuta hakuna kitu lakn finally kaleta walio kua kama mm like hapo tujuane😅😅 asante ankojay japo tumesikia saut yako
Nisipo sema assante nitakuwa ni mwizi wafadhila ❤kusema kweli nilikua nimeboweka, assante sana anko Jay kuwa mara nyingine tunakupenda mashabiki zako from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nime wa miss wana famillia ya anko jay lakini anko jay jana nilishida natizama sim kama utatuletea lisa part 15 kumbe unatuletea just a kiss sisi tunapenda alvin lisa
Jana wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA & ALVIN LIKE 10 ILI TUJUANE haya tunasikiliza hii JUST A KISS ✌️✌️✌️🔥🌹
Nyie nimemmiss Lisa na Alvin nione mwishowao
Ata nlirudi 13😢😢 juu ya kuboeka 😊😊
Yaaan tumemmisi haswaaa
Yan mm acha tu
Anko kwakweli tuna boweka sna leta lisa atuna raha
Waliomisss lissa na alvin dondosha like 👍 👌
Nammiss Lisa jamani❤❤❤🎉
Jaman jaman jaman me mwwnzenu tangu jana nafanya kaz ya kuchungulia tu ankojay channel kama katupia mzigo nakuta hakuna kitu lakn finally kaleta walio kua kama mm like hapo tujuane😅😅 asante ankojay japo tumesikia saut yako
Nisipo sema assante nitakuwa ni mwizi wafadhila ❤kusema kweli nilikua nimeboweka, assante sana anko Jay kuwa mara nyingine tunakupenda mashabiki zako from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jaman jana siku ilikua ndefu mnooo bora kipozeo changu nakiskia sasa❤❤❤❤
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya much ❤🇰🇪
Asante tukumbuke Binti Lisa part 15
Tunataka bint lisa 😢😢😢🎉🎉❤❤
Jamani Alvin Lisa wap?anko j tumemisi Binti Lisa bwana
@@user-vv6en8nh1c Anko jay katususa
Dah Leo nilikua nawaza ntamsikia hii voice ntaisikia ikimhadithia LISA NA ALVIN jmn😢but so kesi kidg nafarijika leo😊❤❤
Leo wakwa mimi anko jay uko poa sana simulizi❤❤❤❤
😊😅❤
Wewe anko atatuwa du kilanikiangalia hola asante sana namwagilia moyo na sauti yako
Wow Ankojay wetu umejua kututesa iasee ..alvlisa Ankojay twaisubiri kwa hamu part 15🎉🎉🎉
Good job anko jay🎉🎉
🎉🎉🎉🎉tumesubiri Lisa mpka basii😢
Ata usiseme mi ndio kuboeka mpaka kuboeka tena
Anko jay shukrani kwa kutupa burudani hii ingawa bado hujatuachilia Lissa ila poa acha nimsikilize huyu dada nae anamapya yapi
😂😂😂😂ettti mapya yapi utaniua kwa kicheko
@@sawiaswahibu766
kivipi dadandu sinikweli tuu kwani kila mtu huwa na mapito yake
Asent Ankojay kwa simulizi tamu sana na pia nimamiss Lisa jamani ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉😊
Tunamumiss sana tu lissa mwala
Niwe mkweli sijafurahi kbx tuleteee alvilisa kwanza jmn sku ya 2 leooo😢😢
Kumbe tuko wengi😥😥
ᴺⁱᵏᵒ ⁿᵃ ˢᵗʳᵉˢˢ ⁿᵃ ᶜʲᵘⁱ ⁿᵒ ᶻᵃ ⁿⁿ ⁱˡᵃ ⁿᵃᵒⁿᵃ ˡⁱᶠᵉ ⁱᵏᵒ ˢᵃʷᵃ ᵇᵘᵗ ʰⁱᵛᵒ ᵗᵘ 😅😅😅
Jaman wangapi mm kila mt kawahi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Me too miss Lisa Ankojay listening from Canada
Anko jay lisa part 15 tnaisbir sna😢❤
Waaaaaooooooh mapenzi ya mzazi tamu 🤔😁😁
Anko jey nmkumss kwa sku hzi mbili bt kwa sasa fraha yngu imrud mungu azd kukbrki nzdi kuenjoy🎉🎉🎉🎉
😢😢😢😢😢 binti Lisa jameni
Yaan anko jay ww et angekuwa kuzimu angemwona mzee tupatupa jaman😅😅😅😅😅😅😅
Ninzuri Sana Asante Anko j na mtunzi
Ankojay leo umetuletea mzigo mpya mungu akubriki na tumeku miss sana
Nimewahiiii asante saana ❤
Kwakweri simulizi fupi tamu san inamafunzo mengi Ank jay shukrani kwakazi nzuli
Finally anko nimekumiss jamani
Ila anko ww umetuweza acha tujpoze roho n hii😊
Asante ankojay nimeinjoy ninasubiri binti Lisa kwa hamu na gamu😊😊😊😊😊
Eeeeeh akojey weyeee tuleteye sasa alivilissa sasa nayiyo nzuri
Yani wew anko unajua kutugomesha aki duuuh 🎉🎉🎉🎉
Alivilisa lini
Ankojay nimekuwa nimekumiss jamanai ❤❤❤
Woie liisa wangu😢😢😢😢😢😢
Twashukuru sana japo na miss ALVIN LISA IKI PATAMU
Mungu akubariki sana twashukuru sana anko Jay wetu kipenzi twakupenda pia ❤❤❤🎉🎉🎉
Yani tumeimiss sana Lisa
Nipeni like hata 3 bc mashabiki❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤hapaaaaa !!LISA 🙉 yukowapiiiii
Jaman ank jay tunaimba simlizi ya Binti lisa
Nimewamiss Lisa&kelvin😊
Nime wa miss wana famillia ya anko jay lakini anko jay jana nilishida natizama sim kama utatuletea lisa part 15 kumbe unatuletea just a kiss sisi tunapenda alvin lisa
Angalau maana tuliboeka jaman❤❤❤❤❤
Ahsante bwana anko Jay simulizi
Miss you BABY LOVE ❤️..wacha nisikilize uhondo kwanza
Ankojay jmn usitufanyie ivo😢😢😂😂😂😂 Simulizi ya lisa imeniuguza jmn asubuhi mchana jioni nashinda nikichungulia😮😮😮😂😂😂😂😂
😂😂😂
@@jokhajj usinicheke my Dear 🤣🤣🤣🤣
Mi nackilza tu bac ila nmewamicc Alvilissa❤❤❤
Nani amemiss Lisa na Alvin 😢
Anko jay Lisa part 15 tunasubiriiiiiiiii🎉🎉
Ila Anko J unajua unajua mpaka unajua tena🙌🏽 Mungu abariki kipaji chako
Nmewahi leo afadhali❤❤asante jay
Missing bint Lissa 😢
Daa, baada ya dhiki faraja,na malipo ni hapa hapa duniani
Nilikuwa nimemiss sauti yako kaka karibu nipatie na mawenge
Nimewahi wakwanza leo🎉🎉🎉🎉
sasa mjomba leo umetufanyia nn unatuchaganya 😮😮 sana sis tunataka lisa😢😢😢
Wow such kind of story🥰 God bless you akubarik Anko j wetu
Anko j cku izi mbna unatuacha mataani kw nn jmn🤣😁yna kla mda tunachungulia tu kuko ziii kweli Anko
Nashukuru sana anko j kwa kutusimulia simulia simulizi nzuri sana
Mhh,nadhani huyo siyo mtoto wao, it's more than too much jamani hata wakisali wanafanya unafiki mbele ya Mungu
Real ni simulizi tamu na kusisimua❤
simulizi nzuli saana❤
Nmewahi.sio.no 1 mie
Tunashukuru Mungu kwakukuponya ankojay wetu
Kupendwa kwingi kwa mzazi🎉🎉🎉🎉😅❤
Uncle nirikuwa nimepotea sana sikua na amani nirikuwa nimekumiss sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 wacha nisikize
Simulizi Tamu mwanzo uchungu lakini kwisho ni tamu❤❤
Wow. Jamani iyi simulizi ni tamu, pokeya mauwa anko wa taifa 🎉🎉🎉
Jaman Anko vip LISA & ALVIN tumemis sn
Kweli mbwa ni mbwa tu wee binty ulisha halibiwa na familia yako huna utu ndani yako pole sana 😢😢😢 huna upendo
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri,bado tuko pamoya.
Asante anko lkn alvlisa muhimu sana kipenz.
Ansate Anko ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kweli jay tuletee alvnlisa❤❤❤
Yan me sisema ilipoona notification kwa juu nkajua Lisa iyoooooo kumbe mh
Wow anko j nilikumic lete mamb hayo
❤❤❤❤
Naomba lissa na alvin
Msichana mjinga huna akili kweli ni ziro bren 😢😢😢
Wangapi tumemisi Lisa na Anko Jay toka jana nimeshinda na mawenge😂😂
Ww ndo mwenzangu aisee Anko unatunyima raha sana achia bint lisa😢😢😢
Yaan leo nimesubur mpaka
😢😢yani anko jey ametuamulia
Jamani tumemiss lisa tupe mzigo anko jay
Anko katukaushiya leo
Simulizi nzuri sana ila inasikitisha😢😢 sana pia ina mafunzo mazuri sana❤❤ keep it up ank jay
Lisa anko jay tumekesha youtube tng jna 😢😢😢😢😢
Yani we acha tu
anko ulituambia utatuletea lisa mchana
@@roznaaa5995 labda ucku tna mna saiv cyo mchna tna
Jaman Ankojay tunasubir ALVILISA na MKE WA MTU MTAMU
Wee Anko J umejua kutuweza sana wewe dhaaaa
Tunamsubiria Lisa na Alivin
Likizangu jamani nimewahi
Mimi was mwisho naomben maua yenu wanafamily wenzang
tumemiss lisa jamani anko
Story nzuri sana ❤❤ ancle asante kwa hii ubarikiwe 🙏🎉🎉
Asante anko Kwa kutuletea burudisho la simuliz ❤❤❤❤❤
Anko j huezi liepuka hili hadi Alvlisa hajaisha😂😂😂
Asa ankojay jamn!! Mbona umettelekeza na Lisa wet😢😢😢😢
Ankojay mbana saa2 imeisha?? Vip sasa??
Binti lisa jamani 😢
Twataka tumalize Lisa Kwanzaa
Yani mimi ni mgojwa kabisa kukosa lisa
Oy mjomba acha utan sisi Lisa nikama chakula et ebu shusha mzigo mjomba
Nimechelewa bt ndio nimefka🙉